ITAKUTOA MACHOZI HISTORIA YA MDOGO WAKE MBOSSO AMENITELEKEZA WASAFI NILIENDA AKANIFUNGIA VIOO

  Рет қаралды 342,460

Bongo Touch

Bongo Touch

2 жыл бұрын

#BongoTouch #JsTvShow

Пікірлер: 355
@danielmwainyekule1792
@danielmwainyekule1792 2 жыл бұрын
Dogo pambana wewe ni mwanaume Achana nao hao wanao kukataa wewe jiamini Mungu atakusaidia,hata ukimpata mboso hatakusaidia chochote,
@piccokikongwe5437
@piccokikongwe5437 2 жыл бұрын
Naitwa Picco kikongwe ni mwana music wa bongo flavor, niliimba kikongwe, swagga na nyinginezo, hizo chini Ni platfom ambazo music wangu unapatikana za zamani andika Picco kikongwe Album utapata ngoma zote za kitambo, na ukitaka mpalya andika Picco ameshushwa utapata music mzuri mkali wa kijanja na wa kisasa, sapoti music wa nyumbani msapoti mtanzania mwenzio 1. Boomplay 2. Audiomack 3. Spotify 4. Apple Music 5. Shazam 6. Deezer 7. KZfaq Music 8. Notjustic 9. Soundcloud 10.Tidal 11. Amazon 12. Facebook Etc
@rahmaothman7369
@rahmaothman7369 Жыл бұрын
T
@halimashaib9102
@halimashaib9102 2 жыл бұрын
Mambo ya family yafika hadi huku. Sio kila kitu kinasimuliwa jamani
@evanusder8493
@evanusder8493 2 жыл бұрын
Hiyo ni ngumu wazazi wakiwa ni tofauti hasa kwa familia nyingi hili hufanyika.
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 2 жыл бұрын
Minamshauri amtafute baba yake kwanza baba ndio atakae wakutanisha watoto wake atamuita tu mboso aonane na nduguye
@Wastara001
@Wastara001 2 жыл бұрын
Tatizo vijana wengi wanapenda dezo. Fanya kazi ya halali....acha kusuka nywele wewe ni muislamu
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 жыл бұрын
Mangapi unayoyafanya weee ambayo hayako sawa na uislam na jee hebu jiulize wewe mwisho kufanya ibada lini??????
@Wastara001
@Wastara001 2 жыл бұрын
@@abiboseleman1649 rudi uisome dini kwanza. Acha kiherehere. Kwa hiyo watu wasikataze madhambi????
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 жыл бұрын
@@abiboseleman1649 unakurupuka na kusapoti anachokatazwa MUISLAM. Mwenzako ametimiza tulivoamrishwa WAISLAM, kukatazana MABAYA na kulinganiana katika KUMCHA ALLAH ( swt). Unachukuwa mzigo wa Madhambi BUREEEEE. Kama ulivo shauriwa... KASOME.
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Wewe ulipokua na umri Huo ulikua he?
@hamidusibye5241
@hamidusibye5241 2 жыл бұрын
SIKU ZOTE SHETANI HAKOSI WAFUASI WA KUMPINGA MWENYE MAONYO YA MWEMYEZIMUNGU,SAID ACHANA NA HAO MATAIRA WANAOKUJIBU KIFARA MAPAKA SHUME KABISA.
@kubulizuberikubulizuberihu5896
@kubulizuberikubulizuberihu5896 2 жыл бұрын
Cha msingi mdogo wangu unachotakiwa uanze kumtafuta baba yako ili muyamalize na baba yako ili akuunganishe na kaka yako
@wiseman6276
@wiseman6276 2 жыл бұрын
Point
@yadidiahblack2731
@yadidiahblack2731 2 жыл бұрын
kabisa
@kasembomasele5918
@kasembomasele5918 2 жыл бұрын
Pole sanaa dogo, mmefanana Sanaa. Pambana wewe utatonoa kinnomaaa usihofu
@rahmasamson4427
@rahmasamson4427 2 жыл бұрын
Maskini 😭😭😭😭😭 hivi huyu mbosso haoni hizi interview jamani
@samwelenjuma3312
@samwelenjuma3312 2 жыл бұрын
😭😭😭very painful hawa wasanii basi hawaendi popote the story hurt me 😭😭😭
@khebbetydikson4195
@khebbetydikson4195 2 жыл бұрын
Shida sio mboso shida inakuja kwa mzazi kutowafahamisha watoto kujuana toka wakiwa wadogo
@nindymuruga4798
@nindymuruga4798 2 жыл бұрын
Sasa si amtafute babake jamani mbosso anausika nanini...elewana kwanza na mzee
@amanikarisa9759
@amanikarisa9759 2 жыл бұрын
Mbosso take this,this is really your brother and never crusfie him for nothing kama mwenyewe binafs hajakukosea usimlenge labda kwa makosano ya wazazi wenu apana sio poa bro tomorrow is always dark..
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 2 жыл бұрын
Sauti ya mboso kabisa sura pia
@abuusahya6130
@abuusahya6130 2 жыл бұрын
Sauti ya mboso kabisaaaáa
@blueberrypotatogames7950
@blueberrypotatogames7950 2 жыл бұрын
Mkoshi!!! Watangazaji na uyo rofa. Mmetafuta kitu cha chakudangashiya mboso mmekosa. Wivu. Kila mtu akisonga mbele nyinyi mnapatwa na wivu. Kila mtu yuko na bienye mungu amemuaidi
@nahyamateru3645
@nahyamateru3645 2 жыл бұрын
Jaman msaidie wmpate kakaake ivi mbosso aoni mdogo wake anavyo pata shida ebu ajitokeze jaman🙄🙄
@erickelia9826
@erickelia9826 2 жыл бұрын
Mbosso kwa jinsi mnavyo fanan na huyu dogo hakika ni ndugu kabisa
@richardmayugu515
@richardmayugu515 2 жыл бұрын
kwani kasema katelekezwa c kasema mwenyewe hawajakaa pamoja mda mrefu toka utotoni sasa mngekuwa nyie mngemfahamu
@joyokumu6791
@joyokumu6791 2 жыл бұрын
Pesa zisizo za halali huezi wasaidia ndugu na dada wa damu lazima pia wajiunge na uharamu huo ndo waendane.
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 2 жыл бұрын
Sio kwamba sio za halali nikwamba huyo nikijana afanye kazi
@edwardgistave2644
@edwardgistave2644 2 жыл бұрын
Kabisaaaa nakubali
@mzalendoonlinemedia7170
@mzalendoonlinemedia7170 2 жыл бұрын
Kama nakuelewa hivi
@peninahwambui3867
@peninahwambui3867 2 жыл бұрын
True
@ianmasiba1155
@ianmasiba1155 2 жыл бұрын
True bro
@TwalibuMsharaba-xh5xz
@TwalibuMsharaba-xh5xz 10 ай бұрын
Never give up pambana usikate Tamaa dogo muombe mungu napia mbosso mdogo wng najua mtakutana tyu atakusaidia
@OnePATCHO
@OnePATCHO 4 ай бұрын
Pambana pekeyako mungu ata kuseidia,ata mbosso kuna siku yeye mwenyewe hata kutafuta tu hukitoboa❤
@khadijas4201
@khadijas4201 2 жыл бұрын
Background music is annoying!!
@rayanaabdallah6580
@rayanaabdallah6580 2 жыл бұрын
Pambana mdogo wangu siku hizi damu si nzito tena kama zamani
@mwantumjaff2589
@mwantumjaff2589 2 жыл бұрын
Umenenepa mzee baba J, kwel hkun mwembamba 😂
@aliamirbakar5580
@aliamirbakar5580 2 жыл бұрын
Huyu ni mboso damu
@rukiaomar3369
@rukiaomar3369 2 жыл бұрын
Nenda wasafi onana na dida utafanikiwa iwenda yeye akakusaidia
@saidmduma9706
@saidmduma9706 Жыл бұрын
siwez kumtafuta mtu hana mcgango wala msaada na mimi pamba ongeza juhuni ya kazi zako nzuri utafanikiwa
@ezekielsimon1066
@ezekielsimon1066 2 жыл бұрын
Dogo ana sauti Kali sana akihimba
@mwanatummohammed6967
@mwanatummohammed6967 2 жыл бұрын
Wamefanana saana MashaAllah adi sauti utathani mapacha❤️😇
@emmanuelmasse6219
@emmanuelmasse6219 2 жыл бұрын
Kumbe baba mmoja mama tofauti hapo kusema ukweli kukusadia inahitaji moyo Sana Tena usikute hapo huyo baba yenu alimuacha mama yake na mboso anateseka na wanae ndio akaanza mahusiano na mama yako Hivyo nawewe haso kijana Kama yeye alivyo haso mtegemea Cha ndugue hufa masikini
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
kabisa ndugu upande wa baba hawana nguvu kama mulozaliwa tumbo 1 mama hapa msaada kwa mbosso ata simlaumu mbosso atulie tuu dogo
@larickmtui2852
@larickmtui2852 2 жыл бұрын
Nyie mnaemtukana mboso akil zenu fupi sana huyu dogo anatakiwa amtafute baba mzazi na sio mboso maana mboso sie aliezaa na mama wahuyu kijana
@fadhilsamwel3965
@fadhilsamwel3965 2 жыл бұрын
exactly bro big point
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
nashangaa kabisa mbosso halaumiki haswaa amlaumu mama ake alotembea na baba wa mbosso machizi wote wanaomtupia lawama mbosso angekua mbosso hana umaarufu angemtafuta wamuache ndugu wa baba 1 kupendana kumsaidia ndugu ni mulozaliwa mama 1 tuu
@fatumakassim64
@fatumakassim64 2 жыл бұрын
Ata wew chizi unae sapont boss utakuja kujua tu badae
@vveronicamakori2297
@vveronicamakori2297 2 жыл бұрын
Ooh my God mbosso unamlenga ur brother, 😭so painful Sana. Ukipata ur brother akikutafuta take interest on it u never know tomorrow
@isaacelijah6516
@isaacelijah6516 2 жыл бұрын
Uc chargi wa2 wakati hujui kinachoendelea sio.
@Pratnumzsimba
@Pratnumzsimba 2 жыл бұрын
Muda wote alikua wap?
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
kabisa 19yrs alikua wapi
@puyapotiger4732
@puyapotiger4732 2 жыл бұрын
Kama kwel mboso kwel kamsahau ndugu bas mung atampotezea leng ata kumchukuabt kuish nae ad dog anapata tabu hv
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 2 жыл бұрын
Wewe mtangazaji wacha uchonganishi ugomvi wa wazazi unawahusu Nini watoto
@kevooulemsee5673
@kevooulemsee5673 2 жыл бұрын
Pata pesa ujue madugu na mabraza
@mupassalaurent1171
@mupassalaurent1171 2 жыл бұрын
Ana fanana naye
@angelageofrey9756
@angelageofrey9756 2 жыл бұрын
Kiki nyingi si rahisi kumfikia mboso je kama unaenda kumzuru ungeenda taratibu tuonyeshe kithibitisho basi kama ni braza ako
@richardmayugu515
@richardmayugu515 2 жыл бұрын
jamani sikilizeni burudani mengine waachieni mambo ya kifamilia hayo acheni UMBEYA
@rezegerezege691
@rezegerezege691 2 жыл бұрын
😆😆
@stevenruhunga3677
@stevenruhunga3677 2 жыл бұрын
Wachafu wote kweli wachafu kabisa. Ukishazama wachafuni kilakitu hakiendi unakata idi ndugu wa dam
@azizakombo376
@azizakombo376 2 жыл бұрын
Daa kweli bwana ukiingia uchafuni lazima na wwe uchafuke tu maana huyu mboso ni ndugu yke kabisa yaani
@alainnduwimana544
@alainnduwimana544 2 жыл бұрын
Punguzeni mdomo mimi tangu n'a zaliwa wanasema n'a fanana n'a Davido je nijiite ndugu yake nendeni taratibu
@balakajolam3211
@balakajolam3211 2 жыл бұрын
Dogo sasa unamtafuta mtu umempata kakufungia vioo ww kaendelee kuosha tu magari mungu atabless tu kazi yako achana na misuko iyo pesa ya kusikia inatosha kununua homo ili utimize ndoto zako napia acha kitonga Maana apo unamtafuta mbosso ili upate kitonga tu
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 2 жыл бұрын
Dogo nakujua Kuna siku nilikutania kuwa kuosha Prado na ist Bei sawa ukacheka Sana
@aminangombe8815
@aminangombe8815 Жыл бұрын
Daah! Kumbe mama tofauti! Kukusaidia inataka moyo Xana
@ffaa4744
@ffaa4744 2 жыл бұрын
Hujaupata umbosso umeanza na ww kusuka yebo loooh 😀 kazi ipo
@asmotz3327
@asmotz3327 2 жыл бұрын
Kwa kweli inaskitisha kijana kama mm 2 bado mdog sana ila asichoke mungu yupo pamja na yeye
@khalmudodoma6271
@khalmudodoma6271 2 жыл бұрын
Nipeni namba za huyo dogo
@mohamedoman9344
@mohamedoman9344 2 жыл бұрын
Mm naitwa Mohamed natokea nchi Oman anapenda sana kipindi chako
@AsmaAsma-gd3mv
@AsmaAsma-gd3mv 2 жыл бұрын
Mambo
@sixtussperatus711
@sixtussperatus711 2 жыл бұрын
Tutafute pesa wadau naamini ata Mimi nina pacha wangu 🙄🙄
@user-qn1yq1pi7p
@user-qn1yq1pi7p 8 ай бұрын
Suzy nikiwa Kenya too mach ❤️❤️
@rukiaomar3369
@rukiaomar3369 2 жыл бұрын
Kweli kafanana na mboso
@aminamohamed3916
@aminamohamed3916 2 жыл бұрын
salàm alekum mashallaah munafanana sàna bila kuliza
@dison.mnyamwezi
@dison.mnyamwezi 2 жыл бұрын
tafut pesa dogo saiv ndug yako si mwezako tena huwo mda wa interview ungeutumia kutafuta chochote kama anajua saman yako yeye atakuatafuta
@shroerascomedy8675
@shroerascomedy8675 2 жыл бұрын
Akikukataa we kuja Kenya tupige mjengo bro😅😅😅
@festolemsmuhindo4700
@festolemsmuhindo4700 2 жыл бұрын
Kabisa wanafanana sana, asiofu kakake mboso ni mtu mzuri sana, te bwana mboso
@Best_tz
@Best_tz 2 жыл бұрын
Inasikitisha lakinn uskonde bwana mdogo ipo siku mungu atakufanyia wepesi
@mlolabooy9074
@mlolabooy9074 2 жыл бұрын
Ndug yke huyu 😜😜😜
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 2 жыл бұрын
Mboso please tafuta brother ako
@mdadif5225
@mdadif5225 2 жыл бұрын
Sahii mbosso tajiri hata hakumbuki family 😲😱inauma sana 😢mbosso mchukuwe broo please 🙏#kenya
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Md adif kuna tatizo ndani ya familia hiyo ya mboso kuchangia baba mama tofauti japo wanafanana sura
@eppiemodest
@eppiemodest 2 жыл бұрын
Copy right Khan Mbosso. Dah. Mboso uko wapi mdogo wakoanakutafuta.
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Muulizeni vizuri. Subiri ukaribishwe.
@julietnamayega2525
@julietnamayega2525 Жыл бұрын
Kwa mtazamo wangu ni wazazi hawakuleta watoto pamoja kujuana so so makosa yo mbosso by the time huyu mdogo wake akuae mtu mzima tayari mbosso alikua ashaenda kuhangaika mjini but asikufe moyo watapatana tu
@splanevanuelguyms7254
@splanevanuelguyms7254 2 жыл бұрын
Uyo jama ni mbosso tu, na sasa ni video nyingi sasa, kwa nini mbosso ajali kuja kuangalia pacha mgodo wake, sasa uyo jama ajikaze sana ....🙏🙏🙏
@marthabura2266
@marthabura2266 2 жыл бұрын
Mboso usifanye hivyo ndugu yako huyu mnafanana naye jamani pesa usikupe jeuri please .
@mohammedali-yj6wv
@mohammedali-yj6wv 2 жыл бұрын
Maskini Pole sanaa wasani hadi ndugu muna watelekeza mhhh kwani mboso hajui kma ako n ndugu
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
katelekezwa na baba ake mbona hamsemi wkt baba ake yuko hai na hataki kumtafuta ujinga huu
@misapinamiswi5751
@misapinamiswi5751 2 жыл бұрын
Sauti pia yake
@cheupestefano5424
@cheupestefano5424 2 жыл бұрын
Unamtafuta MBOSSO akufanyie nini kama babako mwenyewe hakushughulikii
@hamisimohamedhamisi3241
@hamisimohamedhamisi3241 2 жыл бұрын
Ww muache amtafute kaka yke ww ayakuhusu kaka tafuta mboso utampata
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
ndo apo nashangaa
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
@@hamisimohamedhamisi3241 kwani mbosso ndo baba alolala na mama ake aende uko hujielewi na ww wamtafute baba ake uko
@elishakishiwa599
@elishakishiwa599 2 жыл бұрын
dogo ana haki ya kumtafuta kka yake maana ndugu ni kubebana so anaamin akimpata kka anaweza kumwezesha kwa chochote akajikwamua kimaisha hii ndo big up kwa wachaga maana akiwin mmoja atawawezesha na ndugu zake so dogo akipata nafas ya kuonana na mbosso naamini mbosso atafrah sana the way dogo anavyosema mbosso yuko pekeake so atakuwa hapy sana kuonana na ndugu yake wa dam
@elishakishiwa599
@elishakishiwa599 2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 kwan kumtafta kka ni vibaya kama unaonyesha chuki kwa ndugu wasiokuhusu itakuwaje mmeo akiwa na mtto wa nje si patachimbika isitoshe dini yako inaluhusu so kusema kwamba kwan mbosso katembea na mama wa dogo ni kujizalilisha wewe na jamii yako acha roho mbaya
@stanleybaraka3227
@stanleybaraka3227 2 жыл бұрын
Dogo nakushauri umtafute budako muongee mwanzo then uyo ndo atakusaidia kumpata mboso
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
di hadi huyo mboso awe anamjua babaake na aweko naye ktk maisha?
@geffdepoet5974
@geffdepoet5974 2 жыл бұрын
Mboso kuwa na roho ya utu umsaidie ndugu yako
@rehematawalani733
@rehematawalani733 2 жыл бұрын
Oh kafanana na kakae hadi sauti mashallah
@doublej5688
@doublej5688 2 жыл бұрын
Good work
@shreemwanakombo6794
@shreemwanakombo6794 2 жыл бұрын
Kwani uyu mbosso haendagi kwao jamanii.....atakama pia yeye alipitia hard life bt sio poa vile anafanya he has to be with his family bwana ......kama vipi mbosso anafail
@rossikirossiki6518
@rossikirossiki6518 2 жыл бұрын
Pole Kaka ndugu apate nawe upate undugu waleo nimtihani uwenaco ukimtegemea mwanadamu utabaki njiapanda
@shakukawele9959
@shakukawele9959 2 жыл бұрын
Mungu wangu huyu ni Mbosso mtupu
@chumbulajames9895
@chumbulajames9895 2 жыл бұрын
Iyo yote m2 akiwa xehemu flan me cwez kujipendekeza kabsa kabxa
@hawaomary2782
@hawaomary2782 2 жыл бұрын
Cheupe babao sinimoja jamn
@pillyolsen8377
@pillyolsen8377 2 жыл бұрын
Kwakweli wamefanana
@ayoayoo1222
@ayoayoo1222 2 жыл бұрын
Mwambie aende kwa producer mocco genius atapata number ya mbosso
@sharifusadiki2348
@sharifusadiki2348 2 жыл бұрын
Duuh kweli ndugu yake mpaka sauti wanafanana
@hajratmohamed8757
@hajratmohamed8757 2 жыл бұрын
Kama hamna yakucoment fungeni mikono yenu nyie mapaka wote mnaotoa tu maneno ya shombo
@naimanimo4925
@naimanimo4925 2 жыл бұрын
He should go to the family first go to the mother of mbosso if the dad is there get not looking for mbosso it's not right
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 2 жыл бұрын
Maisha ni kupambana mdogo angu, usitegemee ngudu.
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 жыл бұрын
Lydia kumbe kwenu ni NGUDU !!!!!😀😁😂🤣😃😄😅
@assanisefu7080
@assanisefu7080 2 жыл бұрын
Kwanini mbosso anafanya hivo kwandugu yake?
@mcharmo2544
@mcharmo2544 2 жыл бұрын
Dah jamani sauti kabisa ni ya Mbosso Khan
@sadayusuf887
@sadayusuf887 2 жыл бұрын
Ila wababa nyie ndio mnayaleta haya yote pole pambana achana na wanao kukwepa mola atakupa mafanikio InshaAllah
@obrigadoofficial1506
@obrigadoofficial1506 2 жыл бұрын
Sauti inafanania mboso tutafaya uchunguz wa kina
@saudasaleh5694
@saudasaleh5694 2 жыл бұрын
Hata sauti ni moja wanafanana sana
@kbaleofficial3040
@kbaleofficial3040 2 жыл бұрын
duh jamn hatakam mama tofauti sio kwaukatili huu jamn
@benjaminahadi5926
@benjaminahadi5926 2 жыл бұрын
Njo utizame njisi diamond amekubali ngoma ya harmonize 🔥🔥🔥🔥🔥🔥kzfaq.info/get/bejne/esiJocWQusWtqGg.html
@richgambi6694
@richgambi6694 2 жыл бұрын
Ndege mzuri hutua penye mti mzuri
@brianorenge7423
@brianorenge7423 2 жыл бұрын
N ngumu dana hyo historian mandugu
@magamatorignal2879
@magamatorignal2879 2 жыл бұрын
Kwani mbosso Hataka kusema Ajuwi kama ana mdogo wanke
@tedymdee9995
@tedymdee9995 2 жыл бұрын
Mhhh jaman awenahuruma huyo mbosso
@mfaumealphani3554
@mfaumealphani3554 2 жыл бұрын
Basi kama nikweli mungu a tamlipa kwa kukataliwa yeye mboso siye msani WA kwanza
@semanimasere7126
@semanimasere7126 2 жыл бұрын
Mungu apendi
@rehematawalani733
@rehematawalani733 2 жыл бұрын
Wewe angalia maisha Yako achana name kutafutana km ni kweli yeye anajua anamdogo wake atakutafuta tyu lkn km ni kweli km ni kiki basi acha tuendelee na comment zetu
@ozilozil1775
@ozilozil1775 2 жыл бұрын
Umesuka unataka kusaidiwa fanyeni Kaz acheni uhanisi mnataka dezo dezo
@elizabethkimani991
@elizabethkimani991 2 жыл бұрын
Kweli kama hawa njuani sini kazi ya wazazi kuinganisha, bona huyu hange tafuta babake ili awaunganishe, lkn kama mbosso hana umaarufu hangetautwa 😏😏step brother tafuta kakako kiutaratibu sio kwa mitandao, pia siwezi shughulika na wewe uko nifuata hivi.
@rahmankaran7287
@rahmankaran7287 2 жыл бұрын
Kafanana nae kweli 😍
@j-platnumztz4933
@j-platnumztz4933 2 жыл бұрын
Duh!! Sauti ya mboso kabisa
@bishazomimah_love3852
@bishazomimah_love3852 2 жыл бұрын
Sasa apo mbosso anakosa gan mshaurini dogo akamtafute baba yao kwanza then baba yao atawaita atawakutanisha kama ni ndugu
@alfarsialfarsi2754
@alfarsialfarsi2754 2 жыл бұрын
Kweliii
@maresianantibakazi-yh4qd
@maresianantibakazi-yh4qd Жыл бұрын
Wanaume mungu atawachoma moto
Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI KINGWENDU NYUMBANI KWAKE
18:31
小女孩把路人当成离世的妈妈,太感人了.#short #angel #clown
00:53
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:19
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 37 МЛН
Watermelon Cat?! 🙀 #cat #cute #kitten
00:56
Stocat
Рет қаралды 52 МЛН
ALICHOKIONGEA SHEIKH OTHMAN MBELE YA RAIS SAMIA
10:59
arkas online tv
Рет қаралды 140 М.
USALITI 💔--full short film | university films |
12:52
UNIVERSITY FILMS
Рет қаралды 457
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
MkasiTV
Рет қаралды 1,3 МЛН
UNAPOSUSA NDOA UNASUSA URITHI WA WATOTO WAKO : PASTOR TONY KAPOLA
27:25
小女孩把路人当成离世的妈妈,太感人了.#short #angel #clown
00:53