No video

ALIYESHUTUMIWA KUWA ASKARI WA SIRI WA CHADEMA (JASUSI) AWEKA KILAKITU WAZI/HAWA WANAMHALIBIA RAIS

  Рет қаралды 23,702

JAMBO TV

JAMBO TV

Ай бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZfaq: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 164
@agofranco4766
@agofranco4766 Ай бұрын
Huyu jamaa yuko vizuri, anastahili kuwa kiongozi
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 Ай бұрын
Wewe jamaa upo sahihi kabisa hao ma ccm hovyo kabisa chuki ndio kazi zao
@AthumanDauda
@AthumanDauda Ай бұрын
Akili kubwa sana kaka
@majaliwasanga1741
@majaliwasanga1741 Ай бұрын
Pia uwezo wa Kijana huyo musandile ni sawa na uwezo wa wabunge mia wa ccm ,inabidi kama taifa limchukue ajenge nchi ashirikiane na mama na sio kumpiga vita , kwenye masuala ya nchi lazima tuondoe siasa,ndo maaana wenzetu kwenye masuala ya kitaifa wanachukua watu wasomi toka tasisi mbalimbali na sio kuchukua machawa wenye njaa ndo wawe waongeaji hawana Cha maana zaidi ya kupongeza ili kulinda tumbo
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo Ай бұрын
Ndile....keep it up you can ba anything you want, dogo! You are smart, na maccm hayataki vichwa "vilivyotairiwa" kama chako!
@skuleetech6896
@skuleetech6896 Ай бұрын
Huyo jamaa ana uwezo sana
@SelemanMagambo
@SelemanMagambo Ай бұрын
🔥🔥🔥jasus Kam kwel gonga likes hpa.,....
@TakasiSulle
@TakasiSulle Ай бұрын
Watu aina hii wako vizuri maendeleo hayana vyama
@petergabriel4941
@petergabriel4941 Ай бұрын
Ndile Mungu awe nawe nimebarikiwa sana na hekima zako. Mimi niko na wewe tangu Mbozi mission secondary najua tulivyosaidia watu kutkuonewa tukiwa olevel usitishwe na upotoshwaji huyo jamaa kashindwa kwa jina la Yesu
@musandile8142
@musandile8142 Ай бұрын
Asante sana Peter Gabriel
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 Ай бұрын
​@@musandile8142Mussa Ndile; maelezo yako ni mazuri na yanaeleweka vizuri,hebu endelea na msimamo wako wa kutetea haki Katika Taifa letu,waamshe na vijana wengine mtetee haki zenu pia mlikomboe Taifa letu kutoka mikono ya Hawa mafisadi, majizi, manyang'au majangiri, majambazi ya rasilimali zetu, usikubali kununuliwa na ccm ukawa chawa! Nchi inaangamia ndugu! Kutawala huu wa sasa wa ccm ni janga kwa Taifa letu! Wanauza kila kitu! Vijana amkeni tuikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais msiwachague hawa wauza rasilimali zetu ccm! Tusipoikataa ccm sasa hivi huko mbele ni majuto makubwa kwa Wananchi maskini! Asante. Mungu azidi kukulinda daima.
@user-zq8vf4kj8b
@user-zq8vf4kj8b Ай бұрын
Hongera Sana kijana
@JosephatMathias-t7c
@JosephatMathias-t7c Ай бұрын
Hapana msipindishe ukweli hakuna anae mmharibia rais samia, ila yy mwenyewe Rais ndo tatizo. Yy ana Akili pia ana mamlakka, kama anwaacha akiwa anaona wanacho fanya wakat ana mamlaka ya kuwakemea, Inamanisha yy Rais ndo anawatuma That is the meaning. Hawezi kukwepa kuambiwa hilo wakati anawaona na anawaacha waendeleee nayo kama hajalidhika nayo
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 29 күн бұрын
Ukiwa Mwanachadema automatically Kichwani unakuwa vizuri✌️✌️
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 28 күн бұрын
Umeonaeeeeeee!! Hongera kwa kulijua hilo
@majaliwasanga1741
@majaliwasanga1741 Ай бұрын
Watu hawaelewi wamejawa na uchawa ,wanao mharibia mama ni wanaccm hawezi mtu toka mbali akaja akaiba ndani ya nyumba bila mwenyeji kuhusika walio soma Cuba wanajua
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 Ай бұрын
Hii nchi Rais wetu inabidi awe makini na hawa anaowaita chawa wake,hawa vijana kutoka CCM ni watu wasiojitambua na ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu,wao wanadhani hii Tanzania ni Mali yao peke yao,wanafikiri Watanzania wengine hawana haki kwenye hii nchi,ebu fikirieni mtu wala sio Kiongozi,anaitisha mkutano na Waandishi wa Habari ili kumtengenezea mazingira mabaya mtu mwingine achukiwe na Rais na vyombo vya Dola vimwone kama adui mkuu wa hili Taifa,huu ni ujinga mtupu na ni upumbavu kutoka kwa hawa vijana wa CCM,lengo lao kuu ni kumshawishi Rais awateue ktk nafasi za uteuzi alizonazo Rais kwa kuwafanya baadhi ya Watanzania wengine wawe na maisha magumu na ikiwezekana wawe wamefungwa Gerezani na hata kuuwawa ili wao kama machawa wa CCM waishi maisha mazuri wayapendayo kwenye nchi hii ya mfumo wa Vyama vingi vya Siasa,ebu tumwangalie huyo kijana Mussa Ndile,kamaliza chuo Kikuu,hakuna Ajira,anajitafutia maisha yake,Kajiajiri,anatokea kijana mpumbavu wa Iringa anataka kumharibia tu shughuli zake ili akapate taabu huko mitaani,huu ni uchawa kama aliokuwa anaufanya Bwana Msiba kwa Watanzania wenzetu ambao sio maadui wa hili Taifa letu la Tanzania,machawa wa aina hii ni washenzi,hatari na ni wa kuupuzwa tu.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
Tena wa hovyo sana
@sammykateregga6238
@sammykateregga6238 Ай бұрын
Uko vizuri kijana wetu. Mungu awasaidie vijana wetu mpate hekima ya kuishi vizuri katika nchi yetu.
@rithaurassa
@rithaurassa Күн бұрын
Wanaomharibia mama Samia ni hao watu wa Ccm wanapenda wapandishwe cheo.Kijana uko kwenye point san.hongera kijana.
@tisamokebulemasubugu6222
@tisamokebulemasubugu6222 Ай бұрын
Hizi hoja za kusingizia Siasa hazijaanzaleo na Viongozi wandamizi hutumia neno pale kina Siasa ili kuwadanganya viongozi wakuu wa Nchi
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 Ай бұрын
Well said Mkuu. Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Ай бұрын
Na jeshi la akiba maana yake ni nini acheni kuzushia watu uongo huna lolote tukutane kwenye serikari xa mtaa chadema inaenda kushinda kwa upepo wa kisulisuli ushindi wa kivumbi myajua hamjui
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s Ай бұрын
Haa wanampiga vita ili aondolewe kwa nafasi hiyo kwa sababu tuu eti ni wa cdm
@illomowerner7690
@illomowerner7690 Ай бұрын
Haitakaa itokee kwa huyu kamanda makini hapa kariakoo.
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 Ай бұрын
CCM chama Cha ovyo sana wanasiasa za kizamani sana.Sijui kwanini wanapenda kudeal na Chadema wakati vyama vya upinzani ni vingi? Kyela Chadema wametoa msaada wa chakula kiongozi wa CCM aliyekipokea katiwa ndani kaambiwa anadhalilisha chama. CCM acheni kunyanyasa watu kama mnaona mnataki kubaki peke yenu,futeni mfumo wa vyama vingi mbaki peke yenu watanzania tujue moja, kwamba hamtaki upinzani.
@generosennko8343
@generosennko8343 Ай бұрын
Huyu mwanahabari sidhani kama ana nia nzuri ktk kumhoji huyu kijana. Amejibu maswali yote vizuri sana. Musa ni kiongozi mziri sana anayelipenda kazi yake.. Ni watu wabaya wanataka kumchafua tena hawana hoja
@simulizizakiswahili
@simulizizakiswahili Ай бұрын
Jukumu la mwandishi wa habari ni kuhakikisha anauliza kitu ambacho anayeulizwa atatoa majibu ya kina na kumfanya mtazamaji au msikilizaji kupata uelewa kamili juu ya kilchoulizwa. Mwanahabari/mwandishi hana jukumu la kupaka mafuta kazi yake ni kumfanya muulizwaji kujipaka mafuta
@calystkavishe9670
@calystkavishe9670 Ай бұрын
Intelligent boy
@ChazGoodluck-g3q
@ChazGoodluck-g3q Ай бұрын
Ndugu zangu watanzania niwaombe kwa moyo wa dhati kabisa tuache kuwalebo watu vibaya. Naieleweke kwamba hapa simu 2000 hatuitaji siasa. Pia taarifa zinazozagaa mitandaoni kuwa hili jambo Nila siasa naomba nimuombe ndugu patrik ajitathimini kwani haya nimaisha ya watu. Pia ingelikuwa ni siasa basi hata wananchi wanaoishi na kupata huduma ndani ya soko hili wasinge tuunga mkono juu ya upazaji sauti.niiombe serekali itutatulie kero zetu pia wapo watu wachache wanao muaribia Rais.
@ireneshao7950
@ireneshao7950 Ай бұрын
Poleni sana nasi tunaomba Mungu Ili watu wafanye kazi zao Kwa amani
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 Ай бұрын
Mwandishi uko vizuri na mhojiwa ni mzuri sana
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 Ай бұрын
Kijana amesoma hamna ajira Kahaso na kufungua biashara. Yake sasa mnamletea hujuma za uongo
@illomowerner7690
@illomowerner7690 Ай бұрын
Kweli kaka' Aise Musa ni jembe
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 Ай бұрын
Waliotia hasara nchi katika ripoti ya CAG mnashindwa kudeal nao.Mnadili na watu wa chini.Mnaogopa maandamano wakati hamtekelezi wajibu wenu kutatua kero za wananchi.Maandamano ya wananchi ni ishara kwamba viongozi mmeshindwa kutatua matatizo ya wananchi.
@briankatani6770
@briankatani6770 Ай бұрын
Huyo aliyezusha ujinga huo ashitakiwe
@eunho9529
@eunho9529 Ай бұрын
CHADEMA siku zote ina watu wenye weledi na akili kubwa
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 Ай бұрын
@@eunho9529 Kweli kabisa,lkn nchi haiwatumii
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 Ай бұрын
Very good Bwana Musa Ndile
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 Ай бұрын
uyu wa iringa ..akamatwe atoe ushahdi aliyajuwaje hayo na kuthibitisha anayoongea..kwajli anawachafuwa watu..nafki na muongo na uyu ndie anayeandaa..tuache unafiki watanzania
@allyshaban406
@allyshaban406 Ай бұрын
Kwanza huyu ni msomi na mjasiliamali alieanzia chini sana, na anamalengo chanya ya kulisaidia Taifa. Achaneni na wapiga ramli, hawalisaidii Taifa.
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp Ай бұрын
Kila kitu kipo juu sukari ipo juu mafuta yajuu bidha zote juu mnashindwa kushusha mnahangaika naujasuchadema chadema wa najeshi ujasusi unatoka wapp
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Ай бұрын
HONGERA SANA MUSA NDELE UNAFAA KUWA MBUNGE AU UONGOZI WOOWOTE ❤
@BenardLucumay
@BenardLucumay Ай бұрын
Wezi, mafisadi na Watekaji wanawaharibia raia wa Tanzania
@ZaitunAbdallah-ol1bb
@ZaitunAbdallah-ol1bb Ай бұрын
Ondoka kwani maandamano ni kosa kikatiba ? Tena unalalamika nini chawa weee
@eliasmakoye3939
@eliasmakoye3939 Ай бұрын
Kwa akiri ya utambuzi huyo kasomea kazi yake vizuri
@chande2k250
@chande2k250 Ай бұрын
Wapuuzi cku zote hawaishi ukiona Mtu anaita press then anatoa Maneno ya uchawa ni sawa na chawa musiba tu
@user-cj2iq1qv6n
@user-cj2iq1qv6n 29 күн бұрын
Iv kwa Nn Kwanza Nyinyi. Ccm Mnapenda Kufukuza WANANCHI Mnapenda Kuwatoa Kwenye Maeneo Yao Bila kuwandaria Eneo Jingine
@faustinecelestine3882
@faustinecelestine3882 Ай бұрын
Hii "Maslaahi mapana " inatumika Vibayaa sana
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Ай бұрын
Lengo lenu ni kumtowa huyo kijana hapo ili muweke kiongozi wa ccm.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
Aibubyao wanataka kupiga dili wanamuona kama yy ni kuzibe
@ephraimkalanje7105
@ephraimkalanje7105 Ай бұрын
Sasa mpango huo wa siri ni upi? Maanamano si yanaruhusiwa? Chadema si wanafanya maandamano mengi tu? Shida iko wapi? Hofu iko wapi?
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Ай бұрын
CCM fuatilieni 4R zenu msimamie kwa nguvu na kwa umakini zitawapa ushindi mzuri. Msibweteke na wasiyozizingatia 4R.
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Ай бұрын
Kaka uko vizuri tatizo la wanaccm wengi ni vizabinazabina,bendera fuata upepo,kazi Yao ni uongo kuchonganisha viongozi ,subiri mtaona wakati wa uchaguzi,2025 ccm itakavyogawanyika vibaya baada ya kura za maoni,Sasa hivi Kuna wabunge waliopita wakati wa jpm wengi Hawana amani ,nakuna kundi linasema ni kundi la mama ! Sasa kama halijawekwa sawa hili heeeeee
@AthumanDauda
@AthumanDauda Ай бұрын
Mbona maandamano yao ayajareta tatizo naisi wewe unalako jambo nawaliokutima watanganyika tunajielewa achen upuuz
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Ай бұрын
Hata kama ni Chadema, ila hana Hiyo ya ujajusi
@violavicent5162
@violavicent5162 Ай бұрын
Tunatetea ugali wa watoto wetu sisi hatuna siasa kwenye hili soko...huyo musa mnamuonea tuuuu tunasema hatutaki karakana.serikali ielewe hilo
@adimudachi7984
@adimudachi7984 16 күн бұрын
Mwalim nyerere avunja uxhawishi waukabila lakini alisahau kuwekasawa itikadi zavyama vyasiasa maanakatikakila fulsa Ccm wanataka waongoze wao yaniwatu wasipaze sauti kutetea hakiyeyote Basi nikama umetukana nchi Niya wore cc niwatz nguvumoja
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Ай бұрын
Kijana yupo vizuri, maana soko la wote. Na huyi jamaa wa Iringa atakuwa na pepo
@JovianRichard-i5n
@JovianRichard-i5n 28 күн бұрын
Hilo swala liko wazi maana chadema wameacha kuongea hoja wanazungumzia maswala ya uzanzibari Kwa mama Samia na tuwaambie hayo maandamano tunajua ajenda zenu Hadi issue za kariakoo Sasa hatutakubali mbuzi wawili waharibu amani ya nchi hii lissu anatoa matusi Kila Leo lakini vyombo vya usalama vinaangalia
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Ай бұрын
Kama hakuna lolote ukionekana mwanaharakati uaitwa jasusi mwacheni kijana wa watu auze mabegi yake kinachowasumbuwa ni chuki wivu na umbea i
@user-im4jv9he2t
@user-im4jv9he2t 4 күн бұрын
Kwa hiyo wewe upo mbele nyuma Yako Kuna nani mpango ni WA Siri wewe umejuaje kwani polisi wanashindwa Nini kukukamata uwasaidie?
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 Ай бұрын
Mmmm uchawa ni shida
@geofreymwanshuli4344
@geofreymwanshuli4344 3 күн бұрын
Maandamano ameluusu mama huyokipusasa ankeleka nini laisi samia yukopowa shida nihawa machawa
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 Ай бұрын
Tunatoa angalizo mapema.Watanzania tusije tukasikia huyu mwamba ametekwa,tutaona mna dhamira mbaya.
@nzubukamlekwa2831
@nzubukamlekwa2831 Ай бұрын
Kazi ya kuchunguza mambo ya jinai vyombo vya usalama ndiyo vina wajibu,Kama raia ukiona Kuna hali ya hatari mahali Fulani huna budi kuripoti sehemu husika,na vyombo vya usalama tunaviamini Sana sababu wao wanautaalamu huo.Asa huyo jamaa yeye anakitengo gani kwenye vyombo vya usalama.Tusivishushe hadhi vyombo vyetu vya usalama kwa fitina za masilahi binafasi
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 Ай бұрын
Hao wanafki tu wanapenda kualibia watu kumwambia jasusi
@user-uo9tq8cc7q
@user-uo9tq8cc7q Ай бұрын
Wewe muandishi ni mbabaishaji unajibiwa kitaalamu kavue samaki feli kazi ya muandishi haikufai
@fredrickkaaya6287
@fredrickkaaya6287 Ай бұрын
Nawasikitikia sana kwani mnakumbuka shuka wakati kumekucha. Mfumo wowote ukishachoka anguko lake huwa halizuiliki. Jipangeni acheni kutapatapa angalieni kilichotokea kwa ANC. Hata Ile Soviet Union ilisambaratika siyo kwa kupenda Bali ule mfumo wa kikomunist uli - expire na ukasambaratika. Pia kuweni makini na machwawa wenu wanatia madoa kwenye kazi nzuri iliyofanywa na awamu ya sita.
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo Ай бұрын
Sasaaaa,!!
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 Ай бұрын
My schoolmate at ifm
@musandile8142
@musandile8142 Ай бұрын
Thank you
@eliasmakoye3939
@eliasmakoye3939 Ай бұрын
Huyo asidanganye mhoji mkiwa wawili atakueleza mengi hata hivyo hawezi kutoa Siri nzima kasomea huyo
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso Ай бұрын
Tatizo ccm wanaposhindwa kuwajibika na kutekeleza wajibu wao wanaungiza siasa tatueni matatizo ya wananchi acheni uoga shindaneni kwa hoja
@user-mo3ik6go6r
@user-mo3ik6go6r 28 күн бұрын
Hukiwa chedema razima huwe vizur kichwanii tuwahache hayo mazuzu
@user-ty9yg8fg9g
@user-ty9yg8fg9g Ай бұрын
Wa Tanzania chonde chonde tusianze kuitana majina ya kutisha kwa kufanya hivyo tunapandikiza dhambi kubwa sana Maneno kama gaidi jasusi ni maneno magumu sana Tukianza kuitana au kutuhumu kwa staili hii madhara yake ni mabaya na ile misemo ya Wa Tanzania ni wa moja itaondowa dhana hiyo hapo serikali na vyombo vya ulinzi viwe macho na matamko ya mtu mmoja mmoja kwani yanaweza kuleta taharuki katika nchi yetu pendwa Tanzania
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 Ай бұрын
Huyo chaliii Wa iringa,kubwaJINGA,Akamatwe kwa kusababisha taharuki,ili atoe maelezo zaidi juu ya hili
@AthumanDauda
@AthumanDauda Ай бұрын
Ccm awamuitaji huyu mtu
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 10 күн бұрын
Mpango UPI huo ? Wewe umepataje Taarifa hizo? Je kilicho tokea huko nini ? Weka wazi evidence zote mhimu. Wananchi tujue panapowezeka tahadhari ichukuliwe.
@ChrisantMujambula
@ChrisantMujambula Ай бұрын
Hao ma-ccm ni waoga pamoja nakuwa na silaha zote za kivita..Maana ni wakati wa WATANZANIA kuikomboa nchi yao mikononi mwao! Wakitambua hilo woga umewameza!
@faustinecelestine3882
@faustinecelestine3882 Ай бұрын
Kwa CCM ndio Wana Hao majasusi 😅😅😅😅 yaaan bhaaana,
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 Ай бұрын
Mpango wa siri mipango gani, hayo masilahi mapana ya nchi upana wake nini wakati watoto wanalipishwa hadi mitihani ya moko. Hospitali dawa hakuna, wazee wanateseka hawatibiwi,wamama wanajifungua kwa gharama kubwa.upana huo wa maslahi ya nchi ni upi?
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Ай бұрын
Anajibunhija kukikomwabunge 290.wa. CCM.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Ай бұрын
HAPA WATU WAMESHAANZA KUJAMBISHWA HATA KWA SAUTI ZA PANYA.
@beinafuu6219
@beinafuu6219 Ай бұрын
Duh wewe kijana umetisha upo na uwezo mkubws mno.mno.watu wengine ndo hivyo kichwan nisufuria hipo
@adammjomba5814
@adammjomba5814 Ай бұрын
Niuongo niuongo hakuna kitu kama hicho? Watanzania NI waoga sana hawawezi kufanya hayo unayoongea wewe unasumbuliwana njaa fanya kazi kaka maneno hayata kusaidia
@jacksonbalama5990
@jacksonbalama5990 Ай бұрын
Machawa niwengi kuliko watu maccm waovyo sana
@JofreyMfugale
@JofreyMfugale 10 күн бұрын
Kwanini anahisi yy ndy mvunja amani hy jamaa anaye ongea achunguzwe
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s Ай бұрын
Agenda hii haina chadema haina ccm
@illomowerner7690
@illomowerner7690 Ай бұрын
Kweli kaka user
@LeonardNtabwa
@LeonardNtabwa Ай бұрын
Kijana kaza kamba KAZI unaiweza tunakosa vijana kama ww
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 Ай бұрын
jamani uyu musa mkweli ..na anaongea ukweli mtupu kuliko huyo mchochezi wa iringa n muongo..wanasaikolojia naomba msaidie hapa..uyo mnene njaa na mnafki na hana elimu na muongo sanaa ..Police nqomba mumuhoji yule mtoa tarifa za uongo ili kupotosha umma
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 28 күн бұрын
Uko sahihi kabisa 😊
@babukije268
@babukije268 Ай бұрын
Kwani maandamano siosheria
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 Ай бұрын
Wasiojulikana ni MAJASUSI?? AU NI MAANA TOFAUTI?
@user-pp1cq9op5y
@user-pp1cq9op5y Ай бұрын
Ccm majasusi wao wako wangapi natunawajua
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 Ай бұрын
maCCM wameshidwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wote nchi nzima wamebakia kutafuta excuse za kijinga na kipumbavu.
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 Ай бұрын
Haya mafisadi, majangiri, manyang'au, majizi, majambazi ya rasilimali zetu urithi wetu na watoto wetu,yanyakiwa yanyimwe kura uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais, msiwachague hawa wauza rasilimali zetu ccm! Yafute kabisa yasipate hata mwenyekiti wa mtaa! Kijana amesoma/amesomeshwa na wazazi kwa shida na ghalama kubwa amenaliza chuo ajira hakuna amejiajiri lakini bado Hawa mafisadi yanatafuta maneno ya kizushi kwamba ni mambo ya kisiasa! Je wanawatoa hapo waendelee wapi? Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Hii Serikali siyo ya kurudisha Madarakani! Ikirudi madarakani Wananchi maskini watajutia zaidi ya hapo! Asante.
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
KAMA HUYU ANAEOJI C MKENYA ATA KISWAHILI MKENYA
@saidyemanuel8924
@saidyemanuel8924 18 күн бұрын
Waandishi muwe na kiswahili sanifu.... wanaomuhalibia ndo nini??? (Wanaomuharibia) elimu duni ya lugha
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 Ай бұрын
Huyo jamaa anajitengezea kiki kama kuna kitu kinakuja si utuambie Acha uongo
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Ай бұрын
Huyo anaye mtuhumu ndile kuwa ni asikari wa siri anachochea ccm na viongozi wa serikari ni wakupuza wajinga kama hawo
@user-oj1cp8xo8k
@user-oj1cp8xo8k 27 күн бұрын
kwani kua chadema zambi?.akili ndogo haiwezi tawala akili kubwa.
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Ай бұрын
HUYU KWELI MPELELEZI
@user-im4jv9he2t
@user-im4jv9he2t 4 күн бұрын
Kwa hiyo wewe matamko Yako police hawakusikis?
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
Vijana kama hawa wanatakiwa kuwa viongozi wa watu wasikilizwe badala yake wanasikilizwa machawa tena ukiwafuatilia hata shule hawana ila uchawa unawafanya kuteuliwa na kuwa ma-RC/DC😮
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Ай бұрын
Haha hivi nchihii hutakiwi kuwakimberebere
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 Ай бұрын
ila uyu musaa yupo vzuri sanaaa
@egfridmkoba4767
@egfridmkoba4767 Ай бұрын
Waweza kukuta huyu ni askari wa siri wa chama tawala.
@musandile8142
@musandile8142 Ай бұрын
Duuu😅
@evelinenzuguma2953
@evelinenzuguma2953 Ай бұрын
Mhhhhhhh siasa bwana!!
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
Wewe kama uliyoyasema kuwa mtu/watu hasa wanasiasa wanayo haki ya kuandamana na kutoa maoni yao sijui Shida iko wapi?halafu unatumia neno taharuki katika maeneo ambayo hayakuhusu unaogopa kupoteza hiyo nafasi uliyonayo ya viti maalum?maoni ya wapinzani wa chama chako yatapelekea kubadilisha sheria zilizopo ukose hata hako kadogo ulikopewa acha makasriko DC
@josephancety1019
@josephancety1019 Ай бұрын
Huyu muandishi anauwezo mkubwa sana
@JosefuSwai
@JosefuSwai Ай бұрын
NYuma ya pazia lipi wewe chawa mkubwa kama mbuzi
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s Ай бұрын
Unapotosha na unajifanya ujuaji una lolote kumbuka mwenzako mjinga kipindi Cha nyuma alijuuta mwana alakati uru kaongea mengi kuibua mengi ya ovyo uyo njita Sasa Yuko wapi muasisi wauchawa Tanzania ujinga akuna taaruki Wala jasusi ajui Nini maana ya ujasusi
@ndeshilema4788
@ndeshilema4788 28 күн бұрын
We fala sana
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward Ай бұрын
Mnaojitokeza tukutugombania wtz kwa sababu gani. Yapo matatizo ya msingi nchi hii ya kumjadili. Tuna tatizo la ajira nchii. Tatizo la msingi sio vyama vyetu. Uchama au mtu mmoja sio tatizo letu. Mikakati ya fursa mbadala badala ya uchuuzi tangia ngazi ya familia Zetu taifa zima.
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 Ай бұрын
Njaa ni mbaya sana, sasa huyu anaedai watu wanataka kupanga maandamano kwani ni maandamano ni halamu? katiba si inaruhusu. Hizi teuzi ni mbaya sana
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 13 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 157 МЛН