Рет қаралды 38,762
My memo tonight inamhusu mwendazake ken waliaula walibora. Msomi wa lugha ya kiswahili, mhariri, mwandishi, mwanahabari na mwalimu. Walibora aliaga dunia siku ya ijumaa tarehe kumi mwezi aprili mwaka huu baada ya kugongwa na basi. Jambo la kusikitisha ni kuwa, hakuna aliyejua yaliyomfika marehemu walibora hadi baada ya siku tano. Jamaa na marafiki walianza kumtafuta baada ya kutompata kwenye simu na hata nyumbani kwake…na hatimaye siku ya jumatano nduguye aliupata mwili wake katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali kuu ya kenyatta..