Therapy Album LISTEN Therapy: lnk.to/jaymelody Connect: with Jay melody instagram: / realjaymelody Tiktok: / realjaymelody @2024 Jay Melody All rights reserved Learn more #therapy #jaymelody
Пікірлер: 533
@VenasAbdallah3 ай бұрын
Wakwanza hapa kutoka Burundi 🇧🇮 Bujumbura sijawayi pata Hata 1k likes leo naomba tafadhali Hata 2k watu wa jay jay jay Mkali wa mahaba ❤❤❤
@SHALEADANАй бұрын
Amazing 💕💕💕❤️❤️
@adamspennydrtrr15 күн бұрын
@@SHALEADAN wow
@JanethMollel-h5b17 күн бұрын
To be honest jay melody nakupend ❤️❤️ sana tuu 🫰🫰🫰🫰🫰
@user-ml7nv3vz7w4 ай бұрын
Unajua kinomaaaa Kaka we are the best one in Africa xema hupendi kutrend unakaa kimy xanaa ila ustar unakufat@aa believe me jay
@AROMAAR_KING0014 ай бұрын
Jay king of love 💕💕💕 wangapi wanamkubali huyu mwamba👍
@josephmaina30092 ай бұрын
HY
@rusopeter2 ай бұрын
Wanaume 🇰🇪 wamuige
@haithamlissu9504Ай бұрын
I’m the first
@nurdinrashid6113 ай бұрын
Thus why He's Mr dedication jamaa fundi sana wa mashairi na tungo za mahaba Tanzania hii sijaona bongo hii
@Kagemulo2953 ай бұрын
Kwenye Album ya Therapy huu ni nimeupenda sana
@moibraTiles7024p4 ай бұрын
Nmechelewa lakn wimbo muzuri naomba like ata moja
@rusopeter2 ай бұрын
Jua kuandika mzuri vizuri tukupe likes
@user-ze9qi6el6q3 ай бұрын
Nakuaminia sana jeymerody nakupenda sana sina msanii zaidi yako
@clarachambedouet80704 ай бұрын
J'aime l'artiste je n'y comprend rien je vais seulement apprendre la musique comme Nakupenda une mélodie que j'adore 🇭🇹🇭🇹🇭🇹🇭🇹🇭🇹🇭🇹
@ayubuamsonjr94374 ай бұрын
Merci bienvenue Tanzanie 🇹🇿
@georgeowiso59472 ай бұрын
We love your songs 💗💗🤩🤩🤩 kwaza wa pekee yangu ❤💘💕💕💌
@user-cj1cx8bg1r3 ай бұрын
Wow 😲 iko fantastic 😍 wangapi wanapenda this guy
@EstherMwangi-hc6go3 ай бұрын
ME😊❤❤❤
@QueenElias-bx6hh4 ай бұрын
Siku nzima nasikiliza nyumbo hii ❤❤❤ 😊❤❤
@mariancruz12613 ай бұрын
🤩🤩😍🥰 tunaisbiria concert yako Kenya we love you
@PhilisMuthoni-ww2ll2 ай бұрын
That's is true we are waiting for you
@sweetlylizzy4 ай бұрын
Wakenya like zenu hapa anajua huyu ndio wapekee angu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@honeyflower2544 ай бұрын
Tuko
@user-cg9df5nt1f4 ай бұрын
Mara 100 ya mziki mzuri p1 jay you kill it brooo
@erickabel62014 ай бұрын
Ziko wapi like za genius jini 🔥🔥🔥🔥
@Josphinasebast-mf7ld4 ай бұрын
anajua tena anajua cn embu gong like hapo
@annewangare20833 ай бұрын
Sawa Jay melody new song beautiful song nice song I like it
@rhosestephenz52824 ай бұрын
This one is my favourite 😍. Love from Ghana 🇬🇭
@ManahDesignerofficial4 ай бұрын
Fundi wa hizi mambo🙌🙌🙌
@barakammchiwa98204 ай бұрын
Jay wew ni fundi wa kuimba🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@franciswanjara24804 ай бұрын
Nakupa maua yko ujawahi niangusha 🔥💯🌹🌹🌹🌹
@user-cg9df5nt1f4 ай бұрын
Oyaaaa tusiache ku like Kum suport Kaka jay
@EvelynMuraguri3 ай бұрын
Wow it's a nice song
@omaryluambano34953 ай бұрын
Mziki Mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri 🎧
@Doshswan3 ай бұрын
Aki this song jay killed it🥰🥰
@sheilamuthoni66463 ай бұрын
Best album among the other 11 albums I love it
@magutumogeko69364 ай бұрын
Haujawahi kutuangusha mukali. ngoma kali sana
@joymutegi6435Күн бұрын
The song is a therapy to my heart...na siambiliki
@castromendozaofficial24854 ай бұрын
💯🔥🔥🔥Album na nusu aiiseeee💯🔥🔥
@nkairforce58194 ай бұрын
Wakwnza naombeni like jamani ata 5 tyu
@AminaGuyo-dl7chАй бұрын
Y Wow that's awesome you doing 😀😀😮
@yuzoclassic89234 ай бұрын
Bro😎comment from zambia🇿🇲 The song is ❤️🔥🔥🔥
@faxkeentv58504 ай бұрын
Master G_J Big Fundi 🔥🔥🔥🔥wat wanguvu sana mtengwe
@FredericOpide3 ай бұрын
Kazi nzuri kaka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@wendylin34784 ай бұрын
❤❤❤mimi niokota dodo wapi likes za Jay melody 🎉
@felixfelix28813 ай бұрын
Ww jama ni 🔥🔥🔥
@agostineekoit87232 ай бұрын
imy family love zour songs
@vanbabyKE4 ай бұрын
Honestly I've never seen another album with pure hits🔥🔥 This❤❤ zinanifanya nafall in love na sina mtu😂
@fatmajamnadas7754 ай бұрын
😅😅😅
@MercyWambui-ku8tz4 ай бұрын
Am here😂 to filing the same❤❤❤❤
@YasinA-ig4ws4 ай бұрын
0:42 0:52
@3malis4 ай бұрын
😂😂 oyaaaa weee
@DoreenEdward-sx2wx3 ай бұрын
😂😂😂😂 qubabaqe
@zubedayusufyusuf23873 ай бұрын
Diamond ana mizuka ila hafiki hapa❤❤❤❤
@carolinemukami949010 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉 like the song ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@DeborahDeus-cb6xm4 ай бұрын
Wa peke yangu umetisha jay❤❤
@user-np8ol7bd4r3 ай бұрын
Mabruki ha Bibi umeweza wow nimeipenda sana mabrukiii👍👍👍
@PatrickWambua-jn2vw6 күн бұрын
Aki jay melody anakuanga na rhythm nzuri FF❤😊😊❤
@ZeinudinMuhammed4 ай бұрын
I love ur songs ❤❤❤
@LukmanIsmail-hf7df4 ай бұрын
Jay siku moja utakuja kuniua🙌
@Sadm_ke4 ай бұрын
Mnipee likes zangu from Kilifi kenya nmeshuka apa❤
@swafiya2544 ай бұрын
Uko kila kona 😂😂njoo hapa Airport 😂😂unywe soda😂
@honeyflower2544 ай бұрын
Kumbe mko hata Mimi naomba saport yenu aki
@reginanazi3973 ай бұрын
Heheeee
@AliphonceMartina4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mpelekeini maua yake mwenye nyimbo hizi na staki mlike
@haithamlissu9504Ай бұрын
Kiukweli jay melody nakukubali na ninakupenda mno ❤
@blessjacob91964 ай бұрын
Wa peke yangu 😊😊❤
@ZishEmpireАй бұрын
mtu hapendi mapenzi tuwaambie aje
@NdayisabaValens-gh7kb4 ай бұрын
respect brother🙏🙏🙏umefanya sana,zote ni nyimbo nzuri,hongera kwa kazi njema! lakini tunasubiri videos za nyimbo hizi sababu ni nzuri,from🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@emilyakinyi65444 ай бұрын
Like za Jay melody🎉❤The song is so sweet❤
@philipedward7134Ай бұрын
Ni ABUBAKAR na takakui mbanawewe Jay melody 🎉❤
@TinorankingErick4 ай бұрын
Ni hatarii sana jay daaaah jamnaiiih❤
@JasminMalende2 күн бұрын
Naupenda huu mwimbo naombalike mmoj please😢😊❤
@user-nh6ot7pf7d4 ай бұрын
In love with your music 🎶 ❤
@Spagles4 ай бұрын
The biggest artist in Tanzanian🇹🇿🇹🇿💪
@usumanezana17754 ай бұрын
Nakubali kazi kaka jay ukifa huozi fundi ❤
@user-ve9to8rz1d3 ай бұрын
Diamond hafikii talent ya huyu bro
@jamesmbegeze41223 ай бұрын
MCHUKUE DIAMOND WA 2009 NDO UMLINGANISHE NA HUYU, DIAMOND NI G.O.A.T
@user-xw1ch4pl5r3 ай бұрын
Hahaha😂😂😂 oya acha kumnafkia jaymelody bado sana Kwa diamond
@stellahmwende787620 сағат бұрын
Okay 😮
@ibrahimurashidikomu27624 ай бұрын
Jay Melody on fire🔥🔥
@shalinkwachi39453 ай бұрын
Wa pekee yangu❤❤🔥
@karihezanzibartours15384 ай бұрын
Kali sana
@PrixtonKartel3 ай бұрын
Jay melody unanichanganya Wich song is my favorite🤷🤷❤️🔥❤️🔥😚❤️🔥
@evalinemunala1048Ай бұрын
😀😀😀
@EstherMwangi-hc6go3 ай бұрын
This song has briten My morning ❤❤
@mohamedmbwana86453 ай бұрын
Nzur jman Nice voice
@FatumaMlali3 ай бұрын
❤
@Saidaomar-h9iАй бұрын
❤
@mwanawote4 ай бұрын
Noma kakangu ❤❤
@BraxidisnekesaNekesabrax-dp4vy3 ай бұрын
Wow nice one 🥰
@hassankambwili9574 ай бұрын
Jay kaka unajua
@user-js1xc4eg7w3 ай бұрын
❤❤❤ my favorite song ...😊😅😅
@anyboda17264 ай бұрын
Congratulations on the song Jay. I listen to you with great love and enormous respect. I find myself in your songs. Your talent and angelic voice is God's gift. Be blessed. I love you and I love your voice and the goodness of your soul. 🙏❤️😘
@Candydj2544 ай бұрын
jay melody love from kenya
@user-ty4hz7ql9x3 ай бұрын
Nice song❤❤❤🎉
@itkakenthia17 күн бұрын
Nik murund lakini na pend jay melody❤❤ nyimbo nzuli🦋 ninan anamupend??
@salehkhamis-ob8ln4 ай бұрын
Huyu jamaa nyimbo zake zinafanana fanana badilisha staily kuwa m,bunifu
@TiffaJuma-yf3gk3 ай бұрын
kwaniamba ya kipnz cha mie 😊😂😂❤❤
@dsmvibetv86824 ай бұрын
U killing bro
@CatherineMcharo-fs4bnКүн бұрын
I like it❤️
@emmanuel0ioil00wcxxwcekish615 күн бұрын
Nice song Jay melody ❤
@dkambua55213 ай бұрын
Jay Melody fav bongo artist😀🙃😊
@elijahap78714 ай бұрын
😢😢😂 dash you're a genius brother 🔥💯💯
@DeborahMgesi4 ай бұрын
❤❤
@tashajami18942 ай бұрын
Indeed Hii ni therapy Feels my heart with calmness💞very time I play the song❤️it’s my new therapy💯
@abdimajidnur23834 ай бұрын
On fire 🎉
@Obede94 ай бұрын
Unaweza sana Upo na Nyimbo Nice ♥️♥️♥️♥️♥️
@sponsor78824 ай бұрын
Tumsapoti mkenya mwenzetu
@user-fu6ue6du6v3 ай бұрын
Fundi wa nyimbo za mapenz nampenda san
@rocknyke93093 ай бұрын
Pure hit nakolea ❤❤
@ValletyneHudson3 ай бұрын
❤❤❤❤jay melody to the top
@Jk_rules_4 ай бұрын
Dodo tamu sana braza
@LucyNjiraini-lf6eq2 ай бұрын
I feel in love when listening to this music ❤😊
@mwajumahajji3 ай бұрын
🔥🔥🔥🙌🙌
@everlynmbete32752 күн бұрын
😂❤
@hassanabdulrahim59123 ай бұрын
Like za jay please kijana no hatari keep up the good work jay
@rahmarajab69143 ай бұрын
Ilove this guy❤😢he always give us what we need 🎉😊❤big up jay melody 🙏🏼
@user-qx6hg8xr7e23 күн бұрын
Unajua unajua unajuatena 😘😘
@SukeynaabdallahomarCutesakuu3 ай бұрын
Nyie jay kauwaa kinoma😍
@brendambai-bc1mg3 ай бұрын
What a song ,je l'aime
@mamdecute3 ай бұрын
kaka umeweza👌👌👌😜😜
@vinesmbwanji85094 ай бұрын
This song🙌🏾
@philismacharia4 ай бұрын
Wa pekee yangu 😩😩❤️❤️
@OwenMwenda-er2tb3 ай бұрын
Jay melody is doing amazing,, He deserves an award, if there Is any voting,, make sure you vote for This amazing talented person please🎉
@user-zh6bi4mn3d3 ай бұрын
I loooove love your songs are so powerful and soulfu❤❤
@AlineIrakoze-pv6rd3 ай бұрын
I will never forger Jay Melody 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@shanicemwangi16093 ай бұрын
Nshspata ngoma ya kuimbia mpenzi..shida ni aty sina huyo mpenzi..who wants to be my dodoo❤
@kennedyrono612512 күн бұрын
Love from 🇰🇪
@smartyusufu16704 ай бұрын
🎉🎉nakubali once again
@user-yr4yx4tc5t4 ай бұрын
Lit love song ni za jay adi U feel it❤❤❤❤❤❤❤
@user-ip2zy7dc9h3 ай бұрын
Jmani nime ipenda hi nyimbo ❤❤❤❤ wooo iko so nice katika nyimbo zote nimependa hi mmi 😍😍