je inafaa kuswali nyuma ya masalafi ? | Sheikh Salim Barahiyan

  Рет қаралды 32,567

Sheikh Salim Barahiyan

Sheikh Salim Barahiyan

3 жыл бұрын

Пікірлер: 183
@abdallahmoussa614
@abdallahmoussa614 3 жыл бұрын
Masalafi Allaah azidi kuwapa umri mrefu weny kheri mana wametutowa katika ujinga mkubwa alhamndulilahi leo mtu aweza kumjuwa msufi, hizbi, khawariji.....
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 3 жыл бұрын
Allaahuma aamiin
@topfreelancer5151
@topfreelancer5151 3 жыл бұрын
Kweli kabisa, aamin
@selemohd9060
@selemohd9060 3 жыл бұрын
Endelea kujidanganya hivohivo
@husseinsuleiman614
@husseinsuleiman614 3 жыл бұрын
Aaamin ya rab
@hassanhhassan6309
@hassanhhassan6309 2 жыл бұрын
Tafuta elimu
@tasliyaah
@tasliyaah 2 жыл бұрын
ALLAAH akuongoze Mudiyr barahiyani mana umri unaenda lakini huachi kusema uongo!
@awesuawesu6082
@awesuawesu6082 2 жыл бұрын
Allah amuongoze katika njia ilio nyooka
@tasliyaah
@tasliyaah 2 жыл бұрын
@@awesuawesu6082 Atongoze sote ALLAAHUMMA AAMIYN
@alhajjimuftyburma4472
@alhajjimuftyburma4472 3 жыл бұрын
Mashaallah mwenyezimungu azidi kutupa Iman katika dini yetu
@ibnayub2374
@ibnayub2374 3 жыл бұрын
Nlisikia kua mzee barahian elim yake Bado Inahitaji msasa kumbe n kweli.
@ismailyusuf3755
@ismailyusuf3755 3 жыл бұрын
Inahitaji msasa vp..???
@salumrashidabdullashmely2558
@salumrashidabdullashmely2558 3 ай бұрын
Huyu ni barahayawani, sio barhiani Mnakosea kumwita huyu ni pimbi kabisa.
@aminaosman3315
@aminaosman3315 4 күн бұрын
,kudhulumu yatima na mjane ndio Sawa kwa answari WA said janjira Sawa mlivyowadhulumu Allah anawaona inshaallah
@stonecolly
@stonecolly 2 жыл бұрын
Allah akupeni muongozo . Ndugu zanguni . masalafi wakweli na waongo ... mana bwana salim na mafuta . hatujui yupi mkweli.
@hassanihamishassanihamis351
@hassanihamishassanihamis351 2 жыл бұрын
Masha allah
@hassanmtalikwa4082
@hassanmtalikwa4082 3 жыл бұрын
Innalillah wainnailahi raajiuuni
@AbuuKhayraat
@AbuuKhayraat 3 жыл бұрын
UJINGA UNA FANI NYINGI SANA NA HUU NI MOJA KATIKA FANI ZAKE. ALLAH AKUONGOZE MUDIYR
@khamisjuma8813
@khamisjuma8813 3 жыл бұрын
Wewe kwanza nijibu swali langu kwnz. Ktk salafy wamo watovu wa adabu na wenye maneno kunya?
@AbuuKhayraat
@AbuuKhayraat 3 жыл бұрын
@@khamisjuma8813 Swali gani Kijana Wetu? Utovu wa Adabu Upi?
@abuukhairat7738
@abuukhairat7738 3 жыл бұрын
Ahsanteeee
@allytwalibjr.6431
@allytwalibjr.6431 3 жыл бұрын
ALLAH amuongoze huyu
@abuuyunusnassor446
@abuuyunusnassor446 3 жыл бұрын
Mtihani kwa kweli
@binali3871
@binali3871 3 жыл бұрын
Mukiweka comenti zenu wekeni kwa uslubu utakaomjulisha msomaji yakwamba nyinyi ni wautu muliofunzwa ktka mrkaz ya watu wenye Adabu na murwa msioneshe ujahili kama watuwasiona mafunzo ya uislam
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 2 жыл бұрын
Swahiih
@husenisiraji9960
@husenisiraji9960 3 жыл бұрын
Mche Allah matendo yap masalaf wanayafanya yanapishana na wemaa walio tanguliaa mbhn unatuhumu watu muogope Allah
@suleimansheshe8490
@suleimansheshe8490 3 жыл бұрын
Babu mengi tu ikiwemo kujiona Bora ba wema kuliko wote
@karimulahiabdullahi6816
@karimulahiabdullahi6816 3 жыл бұрын
Kupinga Jihaad, Kibri,ujbu, na kuwaita Khawaariij Waislam wanaopigania Daulatul islaamiyyah. Wanajitahidi katk Sunnah Allaah awalipe kwa Hilo, lakini usipokuwa katika safu zao wewe si Salafi.
@hassanmati4861
@hassanmati4861 3 жыл бұрын
Maasha Allah
@yusuphharid7204
@yusuphharid7204 2 жыл бұрын
Ok
@amenakenya7993
@amenakenya7993 3 жыл бұрын
Dahhhhh subhnllah ww mzee mche Allah mwanzo mimi na shukuru kwakuwa muislamu na kuwa salafi ww mze tubiya dah
@khamisbakar7637
@khamisbakar7637 3 жыл бұрын
Nini maana salafi?
@ameerzulfiquar2111
@ameerzulfiquar2111 3 жыл бұрын
@@khamisbakar7637 kufwata Quran na sunnah kwa faham ya Salafi waliopita
@nasibuabasi4701
@nasibuabasi4701 3 жыл бұрын
@@ameerzulfiquar2111 muislamu yupoje na salafi yupoje?
@guardianofthebibleftdavidw4001
@guardianofthebibleftdavidw4001 3 жыл бұрын
@@nasibuabasi4701 ni kawaida ya makhurafi kama wewe kutoelewa
@nasibuabasi4701
@nasibuabasi4701 3 жыл бұрын
@@guardianofthebibleftdavidw4001 shukrani bwana boni mwaitege🤣😂🤣😂
@hemedwow8802
@hemedwow8802 3 жыл бұрын
mtihan sana wallah...!!leo uislam una makundi makundi.kila mtu ajiona yeye bora kuliko mwenzake.yani dk 1 tu mtu kakuparamia utosini!.wema waliopota wako weeeengi sana,na kiongoz wetu ni mmoja mtume(s.a.w.w)mgogoro wote huu,mwanzo wake ni pale tulipokosa kiongoz baada ya kufarik mtume....!!HUO NDIO UKWELI.
@dhayondrama9907
@dhayondrama9907 3 жыл бұрын
Haya makundi hayana faida hata moja mmekuwa maadui nyinyi kwa nyinyi waislam
@awesuawesu6082
@awesuawesu6082 2 жыл бұрын
Tambua kaka yangu MTU yoyote atakae zua katika dini sisi masalafi hatu wezi kuacha kitu hicho kitawanyike kwa waumini na kasome dini ili ujue nini maana ya manhaj salafi inshaalah
@abumaryam283
@abumaryam283 3 жыл бұрын
Hiyo ayaa haisomwi hivyo irejee katika surati najimii ayaa 22 haisomeki kwa twiizaa Kaa chini usome kwanza qaidat nnuraniyaaa
@arafatmanga
@arafatmanga 3 жыл бұрын
mawahabi mnapambana!
@bombo45
@bombo45 2 жыл бұрын
Kumbe huyu mzee ndio barahiani laaaaaa Allah akuongoze kwenye haqi
@abuuraslan1551
@abuuraslan1551 2 жыл бұрын
Hakika
@SheikhSalimBarahiyan
@SheikhSalimBarahiyan Жыл бұрын
Wewe ni Shia ?
@JailaniRamadhan-it3kp
@JailaniRamadhan-it3kp 2 ай бұрын
Hiki kizee hakina adabu nanitabia za mawahab??
@ibrahimually1196
@ibrahimually1196 2 жыл бұрын
We mzee ni mûhuni kama wahuni wengine
@nassorbinfundi1196
@nassorbinfundi1196 3 жыл бұрын
Nawewe shekh unauzee gani kaka
@abuumansoor
@abuumansoor Жыл бұрын
Salim barahiani #mdiru Jibu yale maswali kumi uloulizwa na hasimu wako kama wewe ni mkweli...we si unaelimu bhn ....jibu walau moja ...
@maalimhamad1297
@maalimhamad1297 3 ай бұрын
Ajibu nini acheni ujinga
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 3 жыл бұрын
Usufi umekujaje wakati umeulizwa swala la salafi?
@mufydal-harousy5939
@mufydal-harousy5939 3 жыл бұрын
Bakora ya Allah Mawahabi wenyewe kwa wenyewe Vita
@At-tibyaan101
@At-tibyaan101 3 жыл бұрын
Uwahabi ndio nini kaka
@cideboy4676
@cideboy4676 3 жыл бұрын
Bora uendelee kusoma khitma na kucheza kiduku huku waachie wenyewe😏
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 2 жыл бұрын
Na bado mwisho watatiana mboko
@adamh1751
@adamh1751 2 жыл бұрын
Hapa kuna tafauti kabisa na salafiyun wenyewe na huyu mzee, huyu mzee yeye ni hizbi nani lazima ujuwe utafauti wa hizbi,sufi,na mtu wa bidha, na shia na wengine wengi tu.. sasa ww mwenye akili timamu na ilmu ya dini utaweza kujua wapi kuna haki ya kisawasawa
@sadahgullam8228
@sadahgullam8228 2 жыл бұрын
@@adamh1751 tukasome dini hali ni mbaya Allah atupe salama naogopa wallah kila kundi linajiona lenyewe liko ktk haqq
@abdulahmadimkabakuli6342
@abdulahmadimkabakuli6342 3 жыл бұрын
Jibu ndogo maneno mengi Shekhe
@abrahamansaidi8631
@abrahamansaidi8631 3 жыл бұрын
SALIM BARAHIYAN naomba hiyo fatawa ya masalafiy waliosema haifai kuswali nyuma ya maanswari sugu
@ebrahimadan3630
@ebrahimadan3630 3 жыл бұрын
Abrahaman Saidi, Duh!! Subhanallah mbona hivi? Masalafiy ni wepi na Maanswari sugu ni wepi na wote wanafuata manhaji gani? Tuelimishe Akhi.
@mbjunior166
@mbjunior166 Жыл бұрын
Punguza chuki sheikh na uwe muslih na wala usiwe mufsid utafanikiwa. Allah atuongoze ww na mm
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 жыл бұрын
Subuhanallah huyu babu mtihani
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
Mtihan gani??
@khalfanikimanta6663
@khalfanikimanta6663 2 жыл бұрын
Je?wamjua ukweli wa kumjua huyu sheikh?au wazunguma tuu?
@abdullahalbalushi3856
@abdullahalbalushi3856 3 жыл бұрын
Uwo mwisho ws vikundi visokua potofu.kugombana wenyewe kwa wenyewe.size yenu
@hassanhhassan6309
@hassanhhassan6309 2 жыл бұрын
Waaislamu mtume kabla hajaondoka alisema nimewaachia kitabu cha Allah na sunna zangu, Wislamu tunapotea kwa kuacha aliotuachia mbora wa viumbe, badala yake tunafata shekhe amesema, shehe amefanya na ndio maana tunazozana leo hii na kuitana masufi, masalafi, mahizbu hawa motoni hawa peponi, ni ujinga mtupu kukufurishana sisi kwa sisi waislamu.
@awesuawesu6082
@awesuawesu6082 2 жыл бұрын
Utaijua vp hio qur an bila ya kufuata mashekhe wa haki ili wakfundishe Tafuta elimu kaka yangu wa kiislam ndio mtume amekiwacha kitabu yani qur an na sunnah zake Je! Kwa nini mtume hakupewa tu icho kitabu akaambiwa haya kifuate .Mtume Muhammad (s.a.w) alikua pia anamwalimu wake Jibril(a.s) kwa hiyo kutafuta elimu ni jambo LA msingi si kukaa ukatoa akilini vitu katika dini na msimamo wa kweli ahlussalafi ndio msimamo wa kweli kwa sababu maana ya ahlu salafi ni watu wema walio tangulia na masalafi wanajiepusha sana na mambo ya uzushi katika dini ...Nakushauri kaka yangu Tafuta elimu kwanza kupitia hawa masalafi utajua haki iko wapi .Ahsante
@77bakarijuma77
@77bakarijuma77 3 жыл бұрын
Sasa Mudiyr wazunguka kweli dah..... Wafurahi kweli. Da'wah salafiyah itaendelea Biidhnillah
@ismailyusuf3755
@ismailyusuf3755 3 жыл бұрын
Daawa inaendelea tangia zamani tu tatzo n nyinyi mnaoleta vurugu hamna tofauti na makhawaariji
@77bakarijuma77
@77bakarijuma77 3 жыл бұрын
@@ismailyusuf3755 shukran kwa kuniita khawaarij
@shabanimussa4269
@shabanimussa4269 2 ай бұрын
shekhe wa mchongo vip mbona umekimbizi watu waliokuwa wanasaidia watu hopo umeifunga sifaa nikwanini?
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 3 жыл бұрын
We pia umegonga wengi,chukua zamu ya vimondo
@abusumayyah2338
@abusumayyah2338 3 жыл бұрын
Hakuna aya wala hadithi kubainisha hilo bali ni kejeli tu
@amourmattar773
@amourmattar773 2 жыл бұрын
Mimi ni ibaadhi niliswalisha mmoja katiyao alikata swala
@daatyabdul652
@daatyabdul652 2 жыл бұрын
naomba mnifahamishe ivi Ile ''Aya inayosema msife ila Ni waislam '' Kama sikosei yaamanisha nn na ilishushwa kwa kina Nani
@awesuawesu6082
@awesuawesu6082 2 жыл бұрын
Sawa Sawa wewe utakubali kufa muislamu kisha uadhibiwe kwa uzushi unao fanywa hivi sasa.Aya ndio imesema hivo kwa sababu mtume amehimiza sana MTU aji tahidi kufa haliakua awe muislamu . kwasababu muislamu akifa haliakua muislamu ataadhibiwa kadri ya madhambi yake kisha Allah atamtoa katika moto wake na kumuingiza peponi ambae hakumshirikisha Allah(s.a) .Je wewe utakubali kuadhibiwa na Allah(s a) kisha uingizwe peponi! Kwasababu hivi sasa watu waislam lakini wanazua mambo katika uislam na msimamo wa kweli hivi sasa nakushauri nenda kasome dini katika markaz za kisalafi .Utajua ni ipi haki ya kweli inshaalah
@abdallhiiddi7280
@abdallhiiddi7280 3 жыл бұрын
Kumbe wajua umepotea kwanini usirudi katika njiaa
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 2 жыл бұрын
tz uislam upo ktk vtabutu na sio kwa watu, akuna yyte mwenye ukweli,,
@abuuahmad623
@abuuahmad623 2 жыл бұрын
Mzee barahiyyani ww ni mtu wabidaa wacha kuwatukama masalafi
@mussakantumba824
@mussakantumba824 2 жыл бұрын
Bid,ah ipi kwa mfano?
@aminaosman3315
@aminaosman3315 Ай бұрын
,zungumzia dhulma kama dhambi kama wewe kweli unamuogopa allah
@salehal-oufy5380
@salehal-oufy5380 Жыл бұрын
Hawa masalafy wote ni matatizo wamekosa uchamungu
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
lizee la kihizbi
@mbjunior166
@mbjunior166 Жыл бұрын
Punguza chuki kaka na ulazimiane na kua ni mtengenezaji na usiwe mwenye kufisidi kumbuka ipo cku utaulizwa
@Muswlih
@Muswlih 10 ай бұрын
Swali la kizushi
@rashidishabani3604
@rashidishabani3604 2 жыл бұрын
Mche mola wako mzee
@mohamedabdul2045
@mohamedabdul2045 2 жыл бұрын
Huyu hizbi Mkubwa hajielewi,nyinyi sio watu wa Sunnah,.
@mussakantumba824
@mussakantumba824 2 жыл бұрын
Wewe umeingia kwenye moyo wake Hadi ukajua kuwa yeye sio Mtu wa Sunna?
@neemafatu471
@neemafatu471 2 жыл бұрын
@@mussakantumba824 mtihani sana yani
@abdallhiiddi7280
@abdallhiiddi7280 3 жыл бұрын
Ndio mana alikoswakoswa moshi
@mohamedkachapa2676
@mohamedkachapa2676 2 жыл бұрын
Kwahy shekh muqbil pia ni salafy uchwara???
@yussufmohamed3270
@yussufmohamed3270 2 жыл бұрын
Kazi yako kukufurisha watu tuu
@hamzamwaya463
@hamzamwaya463 Жыл бұрын
Mzee jibu swali kutokana na msingi wa swali, naomba usijib kwa hisia kwa kuona muulizaji ameuliza swali kwa sababu ya kikundi fulani
@abeidmbano3941
@abeidmbano3941 3 ай бұрын
Hii nidhambi ya kuwagawa waislam inawatafuna nabado hamtaishia hapo mtaganyika tena.
@abdulahmadimkabakuli6342
@abdulahmadimkabakuli6342 2 жыл бұрын
Jibu ndio au apana mzee unazungukaaa
@jumaothman9449
@jumaothman9449 3 жыл бұрын
Sijui huyu kuwa si shia isna-asharia
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 3 жыл бұрын
Uyo shekh kapinda mana vijana wamegongagonga sana ndio mana awachukia masalafi.ana jipya
@Ibrahim-se4mx
@Ibrahim-se4mx 2 жыл бұрын
Mzee bado hajatoa hoja za kidalili uovu wa hao masalafy...hawaaa za nafsi yako hatari
@suleimankhalfan6938
@suleimankhalfan6938 3 жыл бұрын
Kweli vijana wa salafy wana maneno machafu xana
@milley7185
@milley7185 Жыл бұрын
Maserafi ni nini mimi mkristo ningependa kujua
@SameerMdumbemalongo
@SameerMdumbemalongo 2 жыл бұрын
Jee inafaaa kuswali kwa mtu mpiga ngoma.....anacheza maulidi????
@anuourykinye8685
@anuourykinye8685 3 жыл бұрын
huyu ni bonge la hizbi mubdadian quhuu
@gkenjimuhammad424
@gkenjimuhammad424 3 жыл бұрын
Sheikh uchwala
@abishafiqabishafiq6065
@abishafiqabishafiq6065 3 жыл бұрын
Kwani nyie mawahabi na masalifi mna utafaut gani
@ebrahimadan3630
@ebrahimadan3630 3 жыл бұрын
Abishafiq Abishafiq, mawahabi na masalifi ni wepi hawa tufahamishe Akhii
@mutomubaya
@mutomubaya 2 жыл бұрын
Mimi nashangaa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametufahamisha kwamba Tukishimana na Qur'an na Sunnah hatutapotoka abadà. Kwa hivyo, vipi Sheikh Barahian, ambaye amepigania mafundisho ya Quran na Sunnah tangu enzi Waislamu Afrika mashariki walikuwa kwenye giza .. leo atajwa kwamba hayumo ....katika Sunnah....ki vipi..?
@abuuraslan1551
@abuuraslan1551 2 жыл бұрын
Tamaa zakidunia
@abaafarhat9191
@abaafarhat9191 3 жыл бұрын
Mimi sivutii upande wowote ila ni muislam kuiga wema waliopita ni sahihi sana tena sana kusema masalafy ni mafaski huna tofauti na hicho unacholalamikia aliyetukana na wewe mbona hamna tofauti coz ni sawa ni mlipa tusi kwa tusi mi sio shekhe nasema hivi salafy, Answar sijui nani hata wewe hapo shekh ni ndugu yangu katika imani mi naona kuwasema vibaya ndugu zako katika midia haifai hapo huna tofauti na unaolaumu
@khatiibhassan8438
@khatiibhassan8438 3 жыл бұрын
Kweli kaaka katika imaani
@awesuawesu6082
@awesuawesu6082 2 жыл бұрын
Kweli
@allymahaba3425
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Anaefuata Quran na Sunna anaitwa Muislam sio salafi. Hili ndio jina tulilopewa ktk Quran. Hakuna mahali tumeitwa Salaf. Kwa nini watu mnajiita majina ambayo Allah Hajawaiteni? Mna matatizo gani? Kwa nini jina la Uislam hampendi kulitumia mnapenda Salaf?
@Kekulebenzene
@Kekulebenzene 3 ай бұрын
Shia muislamu, khawarij muislamu, salaf muislamu, Sufi muislamu, nk nk nk waislamu Hao wote wanafuata kitabu na Sunnah? Unawatofautishaje?
@hassanhhassan6309
@hassanhhassan6309 2 жыл бұрын
Unapataje nguvu muislamu unajiita salafi.. Salafi ni watu wema walipita na wao hawakupatapo kujiita salafi..
@abdallahsaid7177
@abdallahsaid7177 2 жыл бұрын
ان الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا لست منهم في شي انما امرهم الى الله ثم ينبهم بما كانوا يفعلون Al anaam 159 Haijuzu wala haifai kujigawanya katika dini ya Allah na yeyote yule anaegawanyika awe atakaekuwa basi ataingizwa motoni. Awe sunni au shia au salafi au, au, au. Shauri yenu
@awesuawesu6082
@awesuawesu6082 2 жыл бұрын
Jua kabla ya hayo salafi ni nini
@user-ug8hc4yh5k
@user-ug8hc4yh5k 3 ай бұрын
Masalafiya jadidah Ni mtihani mkubwa kabisa
@bacteria5184
@bacteria5184 3 жыл бұрын
Swadakta wana wadharau wanachuoni na raddi za kijinga.
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 2 жыл бұрын
Kweli
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 2 жыл бұрын
Hawa ni wema waliopo kwa sasa hivi.Ukiwa huko pamoja nao basi ujue raddi inakuhusu
@bacteria5184
@bacteria5184 2 жыл бұрын
@@husnamohamed9448 radi mambo za ikhtilafat ni kutafuta sifa na nani kakuambia ni wema?Allah ndo anajua aliyekuwa mwema sio masalafi ambao kibri inawafanya utadhn wamebashiriwa pepo. Narudia mwogopeni Allah
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 2 жыл бұрын
@@bacteria5184 Safi sana akhy
@mussakantumba824
@mussakantumba824 2 жыл бұрын
@@bacteria5184 Wanaojiita masalafi: Wana mioyo michafu kwa kuwa hawana Adhkaari ili kuisafisha mioyo yao!! Adhkaari Ndio inayoleta : Hofu ya Allaah, Kutokua na wivu, Aadabu, Hekima, upendo kwa Waumini, kuwahurumia wasiofanya ibada, kutojiamini kuwa utakwenda peponi, kuomba Sana mwisho mwema, kudumu na Adhkaari ili kuendelea kupata msaada wa Allaah.Ko wanaojiita; Masalafi Hawana Hayo!! Ndio Maana unaona hawana Aadabu za Kidini.
@abdiomar6832
@abdiomar6832 3 жыл бұрын
Huuuu ujinga acheni
@minaziparasu3352
@minaziparasu3352 3 жыл бұрын
Nyote vibaraka tuu ktk dini hamna lstiqama yasawawa lengo ni farkaa .
@amourmattar773
@amourmattar773 2 жыл бұрын
Huyu Sheikh Yuko sawa
@mussakantumba824
@mussakantumba824 2 жыл бұрын
Dini KHAASWAA Ipo kwa Watu wa Twariqa, Ingawa nao Wana kasoro zao.
@abdallhiiddi7280
@abdallhiiddi7280 3 жыл бұрын
Umetoka ww unazulumu waislam kwa kula mali zao japo ukweli unauma
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 3 жыл бұрын
Muulizaji jahil mjibuji pia jahil
@lilianmakwati5228
@lilianmakwati5228 3 жыл бұрын
Tulia sindano ikuingie
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 3 жыл бұрын
@@lilianmakwati5228 sawa hizb
@tamimumelly3581
@tamimumelly3581 3 жыл бұрын
Uko sawa kabisa kwanza huyo mzee hana elimu hata ya iptidai
@abuuaisar5545
@abuuaisar5545 3 жыл бұрын
Mudir sharubu uparue sio sunna
@ismailysaidy884
@ismailysaidy884 3 жыл бұрын
Acha ujinga mche allah akhii
@zanziboysaid952
@zanziboysaid952 2 жыл бұрын
W unaewasema Masufi c ndio ww unaeshirikiana nao ww Barahiyani ktk mamb yenu huko,Barahiyani ww ni mtu wa madili,n nani aliekwambia sisi hatuswali nyuma yetu ww
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Huo usalafi uchwara walikua nao maswahaba
@maalimhamad1297
@maalimhamad1297 3 ай бұрын
Acha ujinga wewe ni sahaba
@tamimumelly3581
@tamimumelly3581 3 жыл бұрын
Wew mzee ni mwehu Nahisi anavuta mbagi huyu mzee apimwe na akili
@lilianmakwati5228
@lilianmakwati5228 3 жыл бұрын
Tulia sindano ikuuingie
@mkubwakhamis7502
@mkubwakhamis7502 3 жыл бұрын
@tamimumelly3581
@tamimumelly3581 3 жыл бұрын
Huyu mzee namatatizo ya akili
@khatiibhassan8438
@khatiibhassan8438 3 жыл бұрын
Wewe unakosea saana kumtaja Shekh kwa mambo haayo.
@khatiibhassan8438
@khatiibhassan8438 3 жыл бұрын
Wewe unakosea saana kumtaja Shekh kwa mambo haayo.
@jumangodu2402
@jumangodu2402 2 жыл бұрын
(تِلۡكَ إِذࣰا قِسۡمَةࣱ ضِیزَىٰۤ) Twiiza maana yake nini? Aya haikuja hivo mudiru Tuletee ushahidi salafi aliyesema kuwa inafaa kuswalia swala za kawaida na manswari ila idi haifai Acheni uongo nyinyi watu muogopeni Allah Haya mnayofanya yatawdhuru nyinyi na sio hawa wanaowaita salaf uchwara
@awesuawesu6082
@awesuawesu6082 2 жыл бұрын
Sawa sawa
@sharifutwaybu8160
@sharifutwaybu8160 2 жыл бұрын
Firiauni alijiita yeye Allah je yeye alikua Allah kweli? Acheni ujinga nyinyi mwajiita salafi nawakati hamuendani na Salafi. Salafi hawakua hivo Kama nyinyi kazi yenu NI kutukana watu na kujiona nyinyi NI Bora kuliko wengine hiyo NI hatari sana kwenu
@Silay1034
@Silay1034 Жыл бұрын
اخوارج هذا الزمن السلفيون هداهم الله قبل الموت
@zumemooha6504
@zumemooha6504 3 жыл бұрын
Hawa salafy wa sasa ni kundi la wanazuoni wanaolipwana mmarekani
@hamiyarsaid2844
@hamiyarsaid2844 2 жыл бұрын
dola ngapi kw mwez wanalipw
@mohammedkimanga8960
@mohammedkimanga8960 3 жыл бұрын
Salafi wa saa kzi yao kubwa ni kukosoa wenzao na kujiona wko sawa wao waeza sema pepo iko mikononi mwao
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 2 жыл бұрын
Hata mimi nakuunga mkono haswaaaa
@mussakantumba824
@mussakantumba824 2 жыл бұрын
Yaani Cha kushangaza: Kuna wanazuoni wakubwa sehemu mbalmbal Duniani ambao Ni Alama ya Dini ambao wamefanya kazi kubwa kuwalingania Watu na kuwaleta kwa Allaah, Na Wengine Ndio waliotufanya tuujue na kuipenda dini hii ya Allaah!! Ila wao, Wanaojiita: Masalafi wanawahukumu upotevu
@musanamasaka7381
@musanamasaka7381 3 жыл бұрын
Huyu ni sufiii Wala tusiwe na shaka
@othmanmhabeshi7845
@othmanmhabeshi7845 3 жыл бұрын
Wewe barahiani umewasema watu bila kuwajua kama raddi Allah SW alimradd Abu lahab kW kumtaja hasa Leo mkiradiwa mwasema midomo yetu michafu nyie mmesalimika?
@salhacker7728
@salhacker7728 3 жыл бұрын
Naomba maana ya raddi
@sharifutwaybu8160
@sharifutwaybu8160 2 жыл бұрын
Masalafi feki inatakiwa muelewe Nini mzee kamaanisha siyo mnalopoka tu ndiyo maana mnaitwa salafi uchwara kutokana na kulopoka kwenu
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 3 жыл бұрын
Misikiti ambayo hawatukani watu ni Masufi tuu peke yao baaaas.
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 2 жыл бұрын
Swadaqta
@mussakantumba824
@mussakantumba824 2 жыл бұрын
Tena huko kwa masufi ndiko hata Mimi nilipata uchamungu wa kumtaja Sana Allaah, kumswalia Sana Mtume, Aadabu, nk.
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 2 жыл бұрын
@@mussakantumba824 MashaAllah!
@nurbahsan7615
@nurbahsan7615 2 жыл бұрын
Nani kasema ....ulimsikia sheikh gani wakisalafi akisema kua inafaa kuswali katika misikiti yenu eeeh nyie makhurafi acheni uwongo
@alhashimy2625
@alhashimy2625 3 жыл бұрын
Baarahyani wewe mwenyewe ni mtu wa matusi, na umetukana sana mashekh wengi, kwahiyo malipo hapa hapa duniani babuuu
@ibnayub2374
@ibnayub2374 3 жыл бұрын
Ujinga ni shuhuli hahahahahah
@eng.saalim8646
@eng.saalim8646 3 жыл бұрын
Hivi tukisema watu kuwa na matusi kuna anaemshinda barahiyaan. Mcheni mola wenu nyie mahizby. Mmahusda kuona daa’wa salafiyya yazidi kunawiri kila uchwao?
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 2 жыл бұрын
"Barahiyaan ni mshindi wa Matusi"? Kuna faida gani ikiwa yeye ni Muislam?
@awesuawesu6082
@awesuawesu6082 2 жыл бұрын
Watu wanao jinasibisha na wema walio tangulia yani ni masalafi Leo hii unamwita MTU anae jinasibisha na sunnah za mtume na kufuata wema walio tangulia unamwita salafi uchwara !!! Huu in ukosefu katika dini ... Msimamo ulio bora ni salafi ata ukisema vp uwadharau vp haijaliishi. Hivi wewe Leo hii unajirikodi video katika dini hali ya kua mtume Muhammad (s. a.w) amekataza jambo hilo Leo hii wewe unafanya jambo hilo kisha mnalitia dharura jambo hilo haliakua sio dharura kabisa kisha huo ndio msimamo wako kabisa hujali kuhusu hilo. Tambua msimamo was kweli ni wale ambao wanamfuata mtume (s.a.w) na kuacha uzushi katika dini kwani hakuna dhambi mbaya kama uzushi muogope Allah(s.w)
@Silay1034
@Silay1034 Жыл бұрын
Wewe Awesu Awesu soma kwanza hili ni jambo lenye khilaf baina ya ulamaa kutkana na hadith ya mtume sasa we ukiwa upande mmoja wa ikhtilaf hyo niuchaguzi wako umeamua kuchukua rai hyo usimhukum aliekuw against nawey katika fatua za mashekh usiwe mdandiaj ka gar hii ni dini soma wacha misimamo
@nasirabdullah6227
@nasirabdullah6227 Жыл бұрын
Ujiita ww salafi,sunni,ibadhi,ghurafi cjui dhehebu gan basi ujue umepita njia tofaut na Mtume wetu (s.a.w) kw sababu unategeneza kundi ndan ya uislam kitu kisichosawa n kuugawa uislam
@musashiundu
@musashiundu Жыл бұрын
@@nasirabdullah6227 wewe ndo hujielewi kabisa kasome
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 2 жыл бұрын
Salafi hawapo.
JE INAFAA KUJIITA SALAFI ? | SHEIKH SALIM BARAHIYAN
37:54
Sheikh Salim Barahiyan
Рет қаралды 18 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 64 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 56 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 36 МЛН
JE INAFAA KUSWALI NYUMA YA IBADHI?
9:03
OMAR KHAMIS MOHAMMED
Рет қаралды 2,3 М.
KUOMBA DUA BAADA YA SWALA INAFAA AU HAIFAI......? JIBU HILI HAPA
6:41
Muhammad bachu sio salafi bali ni mropokaji tu by sheikh Abu Ume'yr Adam Khamiss Allah amuhifadhi
10:41
Abu Muhsin Minani Abdoullah As'salafiyyu
Рет қаралды 35 М.
Tofauti ya Masalafi na Answar Sunna wa Tanzania @rifqtz
27:19
Historia ya Maulidi, Hawa ndio Wanzilishi wake. Sh. Salim Barahiyan
40:44
Je! Sheikh Kishki ni Salafy? | Sheikh Salim Barahiyan
7:56
IHSAAN TV
Рет қаралды 31 М.
Tofauti Ya Masalafi Na Answaar Sunna
5:30
Abuu Dharry
Рет қаралды 1,2 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 64 МЛН