Masalafi Allaah azidi kuwapa umri mrefu weny kheri mana wametutowa katika ujinga mkubwa alhamndulilahi leo mtu aweza kumjuwa msufi, hizbi, khawariji.....
@khaalidcheo53833 жыл бұрын
Allaahuma aamiin
@topfreelancer51513 жыл бұрын
Kweli kabisa, aamin
@selemohd90603 жыл бұрын
Endelea kujidanganya hivohivo
@husseinsuleiman6143 жыл бұрын
Aaamin ya rab
@hassanhhassan63092 жыл бұрын
Tafuta elimu
@tasliyaah2 жыл бұрын
ALLAAH akuongoze Mudiyr barahiyani mana umri unaenda lakini huachi kusema uongo!
@awesuawesu60822 жыл бұрын
Allah amuongoze katika njia ilio nyooka
@tasliyaah2 жыл бұрын
@@awesuawesu6082 Atongoze sote ALLAAHUMMA AAMIYN
@alhajjimuftyburma44723 жыл бұрын
Mashaallah mwenyezimungu azidi kutupa Iman katika dini yetu
@ibnayub23743 жыл бұрын
Nlisikia kua mzee barahian elim yake Bado Inahitaji msasa kumbe n kweli.
@ismailyusuf37553 жыл бұрын
Inahitaji msasa vp..???
@salumrashidabdullashmely25583 ай бұрын
Huyu ni barahayawani, sio barhiani Mnakosea kumwita huyu ni pimbi kabisa.
@aminaosman33154 күн бұрын
,kudhulumu yatima na mjane ndio Sawa kwa answari WA said janjira Sawa mlivyowadhulumu Allah anawaona inshaallah
@stonecolly2 жыл бұрын
Allah akupeni muongozo . Ndugu zanguni . masalafi wakweli na waongo ... mana bwana salim na mafuta . hatujui yupi mkweli.
@hassanihamishassanihamis3512 жыл бұрын
Masha allah
@hassanmtalikwa40823 жыл бұрын
Innalillah wainnailahi raajiuuni
@AbuuKhayraat3 жыл бұрын
UJINGA UNA FANI NYINGI SANA NA HUU NI MOJA KATIKA FANI ZAKE. ALLAH AKUONGOZE MUDIYR
@khamisjuma88133 жыл бұрын
Wewe kwanza nijibu swali langu kwnz. Ktk salafy wamo watovu wa adabu na wenye maneno kunya?
@AbuuKhayraat3 жыл бұрын
@@khamisjuma8813 Swali gani Kijana Wetu? Utovu wa Adabu Upi?
@abuukhairat77383 жыл бұрын
Ahsanteeee
@allytwalibjr.64313 жыл бұрын
ALLAH amuongoze huyu
@abuuyunusnassor4463 жыл бұрын
Mtihani kwa kweli
@binali38713 жыл бұрын
Mukiweka comenti zenu wekeni kwa uslubu utakaomjulisha msomaji yakwamba nyinyi ni wautu muliofunzwa ktka mrkaz ya watu wenye Adabu na murwa msioneshe ujahili kama watuwasiona mafunzo ya uislam
@bahashachembea69222 жыл бұрын
Swahiih
@husenisiraji99603 жыл бұрын
Mche Allah matendo yap masalaf wanayafanya yanapishana na wemaa walio tanguliaa mbhn unatuhumu watu muogope Allah
@suleimansheshe84903 жыл бұрын
Babu mengi tu ikiwemo kujiona Bora ba wema kuliko wote
@karimulahiabdullahi68163 жыл бұрын
Kupinga Jihaad, Kibri,ujbu, na kuwaita Khawaariij Waislam wanaopigania Daulatul islaamiyyah. Wanajitahidi katk Sunnah Allaah awalipe kwa Hilo, lakini usipokuwa katika safu zao wewe si Salafi.
@hassanmati48613 жыл бұрын
Maasha Allah
@yusuphharid72042 жыл бұрын
Ok
@amenakenya79933 жыл бұрын
Dahhhhh subhnllah ww mzee mche Allah mwanzo mimi na shukuru kwakuwa muislamu na kuwa salafi ww mze tubiya dah
@khamisbakar76373 жыл бұрын
Nini maana salafi?
@ameerzulfiquar21113 жыл бұрын
@@khamisbakar7637 kufwata Quran na sunnah kwa faham ya Salafi waliopita
@nasibuabasi47013 жыл бұрын
@@ameerzulfiquar2111 muislamu yupoje na salafi yupoje?
@guardianofthebibleftdavidw40013 жыл бұрын
@@nasibuabasi4701 ni kawaida ya makhurafi kama wewe kutoelewa
mtihan sana wallah...!!leo uislam una makundi makundi.kila mtu ajiona yeye bora kuliko mwenzake.yani dk 1 tu mtu kakuparamia utosini!.wema waliopota wako weeeengi sana,na kiongoz wetu ni mmoja mtume(s.a.w.w)mgogoro wote huu,mwanzo wake ni pale tulipokosa kiongoz baada ya kufarik mtume....!!HUO NDIO UKWELI.
@dhayondrama99073 жыл бұрын
Haya makundi hayana faida hata moja mmekuwa maadui nyinyi kwa nyinyi waislam
@awesuawesu60822 жыл бұрын
Tambua kaka yangu MTU yoyote atakae zua katika dini sisi masalafi hatu wezi kuacha kitu hicho kitawanyike kwa waumini na kasome dini ili ujue nini maana ya manhaj salafi inshaalah
@abumaryam2833 жыл бұрын
Hiyo ayaa haisomwi hivyo irejee katika surati najimii ayaa 22 haisomeki kwa twiizaa Kaa chini usome kwanza qaidat nnuraniyaaa
@arafatmanga3 жыл бұрын
mawahabi mnapambana!
@bombo452 жыл бұрын
Kumbe huyu mzee ndio barahiani laaaaaa Allah akuongoze kwenye haqi
@abuuraslan15512 жыл бұрын
Hakika
@SheikhSalimBarahiyan Жыл бұрын
Wewe ni Shia ?
@JailaniRamadhan-it3kp2 ай бұрын
Hiki kizee hakina adabu nanitabia za mawahab??
@ibrahimually11962 жыл бұрын
We mzee ni mûhuni kama wahuni wengine
@nassorbinfundi11963 жыл бұрын
Nawewe shekh unauzee gani kaka
@abuumansoor Жыл бұрын
Salim barahiani #mdiru Jibu yale maswali kumi uloulizwa na hasimu wako kama wewe ni mkweli...we si unaelimu bhn ....jibu walau moja ...
@maalimhamad12973 ай бұрын
Ajibu nini acheni ujinga
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Usufi umekujaje wakati umeulizwa swala la salafi?
@mufydal-harousy59393 жыл бұрын
Bakora ya Allah Mawahabi wenyewe kwa wenyewe Vita
@At-tibyaan1013 жыл бұрын
Uwahabi ndio nini kaka
@cideboy46763 жыл бұрын
Bora uendelee kusoma khitma na kucheza kiduku huku waachie wenyewe😏
@bahashachembea69222 жыл бұрын
Na bado mwisho watatiana mboko
@adamh17512 жыл бұрын
Hapa kuna tafauti kabisa na salafiyun wenyewe na huyu mzee, huyu mzee yeye ni hizbi nani lazima ujuwe utafauti wa hizbi,sufi,na mtu wa bidha, na shia na wengine wengi tu.. sasa ww mwenye akili timamu na ilmu ya dini utaweza kujua wapi kuna haki ya kisawasawa
@sadahgullam82282 жыл бұрын
@@adamh1751 tukasome dini hali ni mbaya Allah atupe salama naogopa wallah kila kundi linajiona lenyewe liko ktk haqq
@abdulahmadimkabakuli63423 жыл бұрын
Jibu ndogo maneno mengi Shekhe
@abrahamansaidi86313 жыл бұрын
SALIM BARAHIYAN naomba hiyo fatawa ya masalafiy waliosema haifai kuswali nyuma ya maanswari sugu
@ebrahimadan36303 жыл бұрын
Abrahaman Saidi, Duh!! Subhanallah mbona hivi? Masalafiy ni wepi na Maanswari sugu ni wepi na wote wanafuata manhaji gani? Tuelimishe Akhi.
@mbjunior166 Жыл бұрын
Punguza chuki sheikh na uwe muslih na wala usiwe mufsid utafanikiwa. Allah atuongoze ww na mm
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Subuhanallah huyu babu mtihani
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
Mtihan gani??
@khalfanikimanta66632 жыл бұрын
Je?wamjua ukweli wa kumjua huyu sheikh?au wazunguma tuu?
@abdullahalbalushi38563 жыл бұрын
Uwo mwisho ws vikundi visokua potofu.kugombana wenyewe kwa wenyewe.size yenu
@hassanhhassan63092 жыл бұрын
Waaislamu mtume kabla hajaondoka alisema nimewaachia kitabu cha Allah na sunna zangu, Wislamu tunapotea kwa kuacha aliotuachia mbora wa viumbe, badala yake tunafata shekhe amesema, shehe amefanya na ndio maana tunazozana leo hii na kuitana masufi, masalafi, mahizbu hawa motoni hawa peponi, ni ujinga mtupu kukufurishana sisi kwa sisi waislamu.
@awesuawesu60822 жыл бұрын
Utaijua vp hio qur an bila ya kufuata mashekhe wa haki ili wakfundishe Tafuta elimu kaka yangu wa kiislam ndio mtume amekiwacha kitabu yani qur an na sunnah zake Je! Kwa nini mtume hakupewa tu icho kitabu akaambiwa haya kifuate .Mtume Muhammad (s.a.w) alikua pia anamwalimu wake Jibril(a.s) kwa hiyo kutafuta elimu ni jambo LA msingi si kukaa ukatoa akilini vitu katika dini na msimamo wa kweli ahlussalafi ndio msimamo wa kweli kwa sababu maana ya ahlu salafi ni watu wema walio tangulia na masalafi wanajiepusha sana na mambo ya uzushi katika dini ...Nakushauri kaka yangu Tafuta elimu kwanza kupitia hawa masalafi utajua haki iko wapi .Ahsante
Daawa inaendelea tangia zamani tu tatzo n nyinyi mnaoleta vurugu hamna tofauti na makhawaariji
@77bakarijuma773 жыл бұрын
@@ismailyusuf3755 shukran kwa kuniita khawaarij
@shabanimussa42692 ай бұрын
shekhe wa mchongo vip mbona umekimbizi watu waliokuwa wanasaidia watu hopo umeifunga sifaa nikwanini?
@tahiraabdul17013 жыл бұрын
We pia umegonga wengi,chukua zamu ya vimondo
@abusumayyah23383 жыл бұрын
Hakuna aya wala hadithi kubainisha hilo bali ni kejeli tu
@amourmattar7732 жыл бұрын
Mimi ni ibaadhi niliswalisha mmoja katiyao alikata swala
@daatyabdul6522 жыл бұрын
naomba mnifahamishe ivi Ile ''Aya inayosema msife ila Ni waislam '' Kama sikosei yaamanisha nn na ilishushwa kwa kina Nani
@awesuawesu60822 жыл бұрын
Sawa Sawa wewe utakubali kufa muislamu kisha uadhibiwe kwa uzushi unao fanywa hivi sasa.Aya ndio imesema hivo kwa sababu mtume amehimiza sana MTU aji tahidi kufa haliakua awe muislamu . kwasababu muislamu akifa haliakua muislamu ataadhibiwa kadri ya madhambi yake kisha Allah atamtoa katika moto wake na kumuingiza peponi ambae hakumshirikisha Allah(s.a) .Je wewe utakubali kuadhibiwa na Allah(s a) kisha uingizwe peponi! Kwasababu hivi sasa watu waislam lakini wanazua mambo katika uislam na msimamo wa kweli hivi sasa nakushauri nenda kasome dini katika markaz za kisalafi .Utajua ni ipi haki ya kweli inshaalah
@abdallhiiddi72803 жыл бұрын
Kumbe wajua umepotea kwanini usirudi katika njiaa
@shabanimataka84182 жыл бұрын
tz uislam upo ktk vtabutu na sio kwa watu, akuna yyte mwenye ukweli,,
@abuuahmad6232 жыл бұрын
Mzee barahiyyani ww ni mtu wabidaa wacha kuwatukama masalafi
@mussakantumba8242 жыл бұрын
Bid,ah ipi kwa mfano?
@aminaosman3315Ай бұрын
,zungumzia dhulma kama dhambi kama wewe kweli unamuogopa allah
@salehal-oufy5380 Жыл бұрын
Hawa masalafy wote ni matatizo wamekosa uchamungu
@leonardmbonea41172 жыл бұрын
lizee la kihizbi
@mbjunior166 Жыл бұрын
Punguza chuki kaka na ulazimiane na kua ni mtengenezaji na usiwe mwenye kufisidi kumbuka ipo cku utaulizwa
@Muswlih10 ай бұрын
Swali la kizushi
@rashidishabani36042 жыл бұрын
Mche mola wako mzee
@mohamedabdul20452 жыл бұрын
Huyu hizbi Mkubwa hajielewi,nyinyi sio watu wa Sunnah,.
@mussakantumba8242 жыл бұрын
Wewe umeingia kwenye moyo wake Hadi ukajua kuwa yeye sio Mtu wa Sunna?
@neemafatu4712 жыл бұрын
@@mussakantumba824 mtihani sana yani
@abdallhiiddi72803 жыл бұрын
Ndio mana alikoswakoswa moshi
@mohamedkachapa26762 жыл бұрын
Kwahy shekh muqbil pia ni salafy uchwara???
@yussufmohamed32702 жыл бұрын
Kazi yako kukufurisha watu tuu
@hamzamwaya463 Жыл бұрын
Mzee jibu swali kutokana na msingi wa swali, naomba usijib kwa hisia kwa kuona muulizaji ameuliza swali kwa sababu ya kikundi fulani
@abeidmbano39413 ай бұрын
Hii nidhambi ya kuwagawa waislam inawatafuna nabado hamtaishia hapo mtaganyika tena.
@abdulahmadimkabakuli63422 жыл бұрын
Jibu ndio au apana mzee unazungukaaa
@jumaothman94493 жыл бұрын
Sijui huyu kuwa si shia isna-asharia
@khaalidcheo53833 жыл бұрын
Uyo shekh kapinda mana vijana wamegongagonga sana ndio mana awachukia masalafi.ana jipya
@Ibrahim-se4mx2 жыл бұрын
Mzee bado hajatoa hoja za kidalili uovu wa hao masalafy...hawaaa za nafsi yako hatari
@suleimankhalfan69383 жыл бұрын
Kweli vijana wa salafy wana maneno machafu xana
@milley7185 Жыл бұрын
Maserafi ni nini mimi mkristo ningependa kujua
@SameerMdumbemalongo2 жыл бұрын
Jee inafaaa kuswali kwa mtu mpiga ngoma.....anacheza maulidi????
@anuourykinye86853 жыл бұрын
huyu ni bonge la hizbi mubdadian quhuu
@gkenjimuhammad4243 жыл бұрын
Sheikh uchwala
@abishafiqabishafiq60653 жыл бұрын
Kwani nyie mawahabi na masalifi mna utafaut gani
@ebrahimadan36303 жыл бұрын
Abishafiq Abishafiq, mawahabi na masalifi ni wepi hawa tufahamishe Akhii
@mutomubaya2 жыл бұрын
Mimi nashangaa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametufahamisha kwamba Tukishimana na Qur'an na Sunnah hatutapotoka abadà. Kwa hivyo, vipi Sheikh Barahian, ambaye amepigania mafundisho ya Quran na Sunnah tangu enzi Waislamu Afrika mashariki walikuwa kwenye giza .. leo atajwa kwamba hayumo ....katika Sunnah....ki vipi..?
@abuuraslan15512 жыл бұрын
Tamaa zakidunia
@abaafarhat91913 жыл бұрын
Mimi sivutii upande wowote ila ni muislam kuiga wema waliopita ni sahihi sana tena sana kusema masalafy ni mafaski huna tofauti na hicho unacholalamikia aliyetukana na wewe mbona hamna tofauti coz ni sawa ni mlipa tusi kwa tusi mi sio shekhe nasema hivi salafy, Answar sijui nani hata wewe hapo shekh ni ndugu yangu katika imani mi naona kuwasema vibaya ndugu zako katika midia haifai hapo huna tofauti na unaolaumu
@khatiibhassan84383 жыл бұрын
Kweli kaaka katika imaani
@awesuawesu60822 жыл бұрын
Kweli
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Anaefuata Quran na Sunna anaitwa Muislam sio salafi. Hili ndio jina tulilopewa ktk Quran. Hakuna mahali tumeitwa Salaf. Kwa nini watu mnajiita majina ambayo Allah Hajawaiteni? Mna matatizo gani? Kwa nini jina la Uislam hampendi kulitumia mnapenda Salaf?
@Kekulebenzene3 ай бұрын
Shia muislamu, khawarij muislamu, salaf muislamu, Sufi muislamu, nk nk nk waislamu Hao wote wanafuata kitabu na Sunnah? Unawatofautishaje?
@hassanhhassan63092 жыл бұрын
Unapataje nguvu muislamu unajiita salafi.. Salafi ni watu wema walipita na wao hawakupatapo kujiita salafi..
@abdallahsaid71772 жыл бұрын
ان الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا لست منهم في شي انما امرهم الى الله ثم ينبهم بما كانوا يفعلون Al anaam 159 Haijuzu wala haifai kujigawanya katika dini ya Allah na yeyote yule anaegawanyika awe atakaekuwa basi ataingizwa motoni. Awe sunni au shia au salafi au, au, au. Shauri yenu
@awesuawesu60822 жыл бұрын
Jua kabla ya hayo salafi ni nini
@user-ug8hc4yh5k3 ай бұрын
Masalafiya jadidah Ni mtihani mkubwa kabisa
@bacteria51843 жыл бұрын
Swadakta wana wadharau wanachuoni na raddi za kijinga.
@bahashachembea69222 жыл бұрын
Kweli
@husnamohamed94482 жыл бұрын
Hawa ni wema waliopo kwa sasa hivi.Ukiwa huko pamoja nao basi ujue raddi inakuhusu
@bacteria51842 жыл бұрын
@@husnamohamed9448 radi mambo za ikhtilafat ni kutafuta sifa na nani kakuambia ni wema?Allah ndo anajua aliyekuwa mwema sio masalafi ambao kibri inawafanya utadhn wamebashiriwa pepo. Narudia mwogopeni Allah
@bahashachembea69222 жыл бұрын
@@bacteria5184 Safi sana akhy
@mussakantumba8242 жыл бұрын
@@bacteria5184 Wanaojiita masalafi: Wana mioyo michafu kwa kuwa hawana Adhkaari ili kuisafisha mioyo yao!! Adhkaari Ndio inayoleta : Hofu ya Allaah, Kutokua na wivu, Aadabu, Hekima, upendo kwa Waumini, kuwahurumia wasiofanya ibada, kutojiamini kuwa utakwenda peponi, kuomba Sana mwisho mwema, kudumu na Adhkaari ili kuendelea kupata msaada wa Allaah.Ko wanaojiita; Masalafi Hawana Hayo!! Ndio Maana unaona hawana Aadabu za Kidini.
@abdiomar68323 жыл бұрын
Huuuu ujinga acheni
@minaziparasu33523 жыл бұрын
Nyote vibaraka tuu ktk dini hamna lstiqama yasawawa lengo ni farkaa .
@amourmattar7732 жыл бұрын
Huyu Sheikh Yuko sawa
@mussakantumba8242 жыл бұрын
Dini KHAASWAA Ipo kwa Watu wa Twariqa, Ingawa nao Wana kasoro zao.
@abdallhiiddi72803 жыл бұрын
Umetoka ww unazulumu waislam kwa kula mali zao japo ukweli unauma
@jumanneissa82263 жыл бұрын
Muulizaji jahil mjibuji pia jahil
@lilianmakwati52283 жыл бұрын
Tulia sindano ikuingie
@jumanneissa82263 жыл бұрын
@@lilianmakwati5228 sawa hizb
@tamimumelly35813 жыл бұрын
Uko sawa kabisa kwanza huyo mzee hana elimu hata ya iptidai
@abuuaisar55453 жыл бұрын
Mudir sharubu uparue sio sunna
@ismailysaidy8843 жыл бұрын
Acha ujinga mche allah akhii
@zanziboysaid9522 жыл бұрын
W unaewasema Masufi c ndio ww unaeshirikiana nao ww Barahiyani ktk mamb yenu huko,Barahiyani ww ni mtu wa madili,n nani aliekwambia sisi hatuswali nyuma yetu ww
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Huo usalafi uchwara walikua nao maswahaba
@maalimhamad12973 ай бұрын
Acha ujinga wewe ni sahaba
@tamimumelly35813 жыл бұрын
Wew mzee ni mwehu Nahisi anavuta mbagi huyu mzee apimwe na akili
@lilianmakwati52283 жыл бұрын
Tulia sindano ikuuingie
@mkubwakhamis75023 жыл бұрын
Pó
@tamimumelly35813 жыл бұрын
Huyu mzee namatatizo ya akili
@khatiibhassan84383 жыл бұрын
Wewe unakosea saana kumtaja Shekh kwa mambo haayo.
@khatiibhassan84383 жыл бұрын
Wewe unakosea saana kumtaja Shekh kwa mambo haayo.
@jumangodu24022 жыл бұрын
(تِلۡكَ إِذࣰا قِسۡمَةࣱ ضِیزَىٰۤ) Twiiza maana yake nini? Aya haikuja hivo mudiru Tuletee ushahidi salafi aliyesema kuwa inafaa kuswalia swala za kawaida na manswari ila idi haifai Acheni uongo nyinyi watu muogopeni Allah Haya mnayofanya yatawdhuru nyinyi na sio hawa wanaowaita salaf uchwara
@awesuawesu60822 жыл бұрын
Sawa sawa
@sharifutwaybu81602 жыл бұрын
Firiauni alijiita yeye Allah je yeye alikua Allah kweli? Acheni ujinga nyinyi mwajiita salafi nawakati hamuendani na Salafi. Salafi hawakua hivo Kama nyinyi kazi yenu NI kutukana watu na kujiona nyinyi NI Bora kuliko wengine hiyo NI hatari sana kwenu
@Silay1034 Жыл бұрын
اخوارج هذا الزمن السلفيون هداهم الله قبل الموت
@zumemooha65043 жыл бұрын
Hawa salafy wa sasa ni kundi la wanazuoni wanaolipwana mmarekani
@hamiyarsaid28442 жыл бұрын
dola ngapi kw mwez wanalipw
@mohammedkimanga89603 жыл бұрын
Salafi wa saa kzi yao kubwa ni kukosoa wenzao na kujiona wko sawa wao waeza sema pepo iko mikononi mwao
@bahashachembea69222 жыл бұрын
Kweli kabisa
@husnamohamed94482 жыл бұрын
Hata mimi nakuunga mkono haswaaaa
@mussakantumba8242 жыл бұрын
Yaani Cha kushangaza: Kuna wanazuoni wakubwa sehemu mbalmbal Duniani ambao Ni Alama ya Dini ambao wamefanya kazi kubwa kuwalingania Watu na kuwaleta kwa Allaah, Na Wengine Ndio waliotufanya tuujue na kuipenda dini hii ya Allaah!! Ila wao, Wanaojiita: Masalafi wanawahukumu upotevu
@musanamasaka73813 жыл бұрын
Huyu ni sufiii Wala tusiwe na shaka
@othmanmhabeshi78453 жыл бұрын
Wewe barahiani umewasema watu bila kuwajua kama raddi Allah SW alimradd Abu lahab kW kumtaja hasa Leo mkiradiwa mwasema midomo yetu michafu nyie mmesalimika?
@salhacker77283 жыл бұрын
Naomba maana ya raddi
@sharifutwaybu81602 жыл бұрын
Masalafi feki inatakiwa muelewe Nini mzee kamaanisha siyo mnalopoka tu ndiyo maana mnaitwa salafi uchwara kutokana na kulopoka kwenu
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Misikiti ambayo hawatukani watu ni Masufi tuu peke yao baaaas.
@bahashachembea69222 жыл бұрын
Swadaqta
@mussakantumba8242 жыл бұрын
Tena huko kwa masufi ndiko hata Mimi nilipata uchamungu wa kumtaja Sana Allaah, kumswalia Sana Mtume, Aadabu, nk.
Baarahyani wewe mwenyewe ni mtu wa matusi, na umetukana sana mashekh wengi, kwahiyo malipo hapa hapa duniani babuuu
@ibnayub23743 жыл бұрын
Ujinga ni shuhuli hahahahahah
@eng.saalim86463 жыл бұрын
Hivi tukisema watu kuwa na matusi kuna anaemshinda barahiyaan. Mcheni mola wenu nyie mahizby. Mmahusda kuona daa’wa salafiyya yazidi kunawiri kila uchwao?
@shenjamamzingi79502 жыл бұрын
"Barahiyaan ni mshindi wa Matusi"? Kuna faida gani ikiwa yeye ni Muislam?
@awesuawesu60822 жыл бұрын
Watu wanao jinasibisha na wema walio tangulia yani ni masalafi Leo hii unamwita MTU anae jinasibisha na sunnah za mtume na kufuata wema walio tangulia unamwita salafi uchwara !!! Huu in ukosefu katika dini ... Msimamo ulio bora ni salafi ata ukisema vp uwadharau vp haijaliishi. Hivi wewe Leo hii unajirikodi video katika dini hali ya kua mtume Muhammad (s. a.w) amekataza jambo hilo Leo hii wewe unafanya jambo hilo kisha mnalitia dharura jambo hilo haliakua sio dharura kabisa kisha huo ndio msimamo wako kabisa hujali kuhusu hilo. Tambua msimamo was kweli ni wale ambao wanamfuata mtume (s.a.w) na kuacha uzushi katika dini kwani hakuna dhambi mbaya kama uzushi muogope Allah(s.w)
@Silay1034 Жыл бұрын
Wewe Awesu Awesu soma kwanza hili ni jambo lenye khilaf baina ya ulamaa kutkana na hadith ya mtume sasa we ukiwa upande mmoja wa ikhtilaf hyo niuchaguzi wako umeamua kuchukua rai hyo usimhukum aliekuw against nawey katika fatua za mashekh usiwe mdandiaj ka gar hii ni dini soma wacha misimamo
@nasirabdullah6227 Жыл бұрын
Ujiita ww salafi,sunni,ibadhi,ghurafi cjui dhehebu gan basi ujue umepita njia tofaut na Mtume wetu (s.a.w) kw sababu unategeneza kundi ndan ya uislam kitu kisichosawa n kuugawa uislam
@musashiundu Жыл бұрын
@@nasirabdullah6227 wewe ndo hujielewi kabisa kasome