Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman MKWE 1

  Рет қаралды 249,888

Bongo Cinema

Bongo Cinema

2 жыл бұрын

Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman
Familia nyingi hukubwa na ugovi baina ya wazazi na wanandoa na watoto wao, ugomvi baina ya wazazi na watoto wao umepelekea kuzuka kwa visa,chuki,na mpasuko mkubwa kuhusishwa na imani potofu na ushirikina.

Пікірлер: 144
@joelimujaro2542
@joelimujaro2542 10 күн бұрын
hii 👆 movie ni nzuri lakini haina sauti ya waigizaji bali sauti ya beat tu.kama tuko pamoja gonga like zangu hapa
@shufaambata257
@shufaambata257 Жыл бұрын
Movie ni nzur lakn saut za kuongea aisikik tunasikia kinanda ahsante hemed Suleiman na Jenifer kyaka kwa Kaz nzur
@kabintmpase1544
@kabintmpase1544 2 жыл бұрын
Msomaj comment kwanza hii siangalii nasikia hakuna saut😂😂
@titusmoses7
@titusmoses7 2 жыл бұрын
Hivi wabongo lini mtakuwa serious kwenye kazi zenu, muvi nzuri sound kelele tupu mara dj mix mara inamute Yan hamkui tu
@sharonchihunga8008
@sharonchihunga8008 2 жыл бұрын
Hii movie nliichek 4yrs ago na 2021 nkaitafuta sana xkuiona, leo naiona yasema 1month ago mbna🤷‍♀️ na part 2 iko ap🥺🥺
@swaumkatuga7474
@swaumkatuga7474 2 жыл бұрын
Wekeni part2 this is one of the best Bongo movie😊naipenda Sana Ila inanilizaga Sana😫
@msaysha5886
@msaysha5886 2 жыл бұрын
SASA MBONA NI MZIKI TU SAUTI HAMNA
@maxameddheere1737
@maxameddheere1737 2 жыл бұрын
Movie nzuri sana but mume tu tia aibu upande wa sauti,,, bongo rekebisheni sauti bwana!!!
@RehemaCharles-bc6fn
@RehemaCharles-bc6fn 22 күн бұрын
Asanteni kwa vinanda na vipaza sauti😢
@bitishoriziki1113
@bitishoriziki1113 3 ай бұрын
Wow beautiful ❤️❤️
@user-xc2ne8py8n
@user-xc2ne8py8n 3 ай бұрын
Uyu mama jamani ninamupenda saaaaaaaaana mama mkwe wangu ❤nakupenda muno
@sulesuburasubira6503
@sulesuburasubira6503 2 жыл бұрын
Alaf emed anapenda kuakt na uyu tunu mnapendeza ataivyo nawapnda
@suleimankatana3909
@suleimankatana3909 2 жыл бұрын
Hemd wap part 2 nice move
@BrendaWabwoba
@BrendaWabwoba Ай бұрын
aki amna sauti😊
@fouzfouzz1137
@fouzfouzz1137 Жыл бұрын
mnafanya nagnga simuu itoe sautii lakin daa enyway iko sawa move
@susanchebet3298
@susanchebet3298 2 жыл бұрын
Tunataka sauti ya washiriki sio muziki, imeniboo Ata siangalii tena 😏😏😏😏😏😏
@user-mo6or1wr8t
@user-mo6or1wr8t Ай бұрын
Tunataka sauti ya washiriki
@maikomatei810
@maikomatei810 2 жыл бұрын
Move inafundisho sana hii jamani aya maisha haya yapo kabisa asanteni sana kwakufundisha jamii
@teachaish7143
@teachaish7143 Жыл бұрын
Jamaniiii sautiiiyyy tienii tuleteeniiiiiyyyyy,nyenginee akaaaa,,
@user-oi3of3ti7f
@user-oi3of3ti7f 4 ай бұрын
Mbona hakuna sauti? Lkn movie nzuri i❤ it.
@bekamusli85
@bekamusli85 2 жыл бұрын
Dahhhhh nilikuwa naitafuta kwa ham Sana hiii
@user-ni9hn1cp4v
@user-ni9hn1cp4v Ай бұрын
the movie is good but we dont hear voices
@aishaomar9621
@aishaomar9621 2 жыл бұрын
Filamu nzuri nltee party 2
@solangerechol6881
@solangerechol6881 2 жыл бұрын
Film nzuri sana kabisa
@magdalinekenneth7238
@magdalinekenneth7238 2 жыл бұрын
Hio hii music yao sijapenda tunataka kusikia maneno
@mkazahamisi8508
@mkazahamisi8508 2 жыл бұрын
raha ya kuangalia move usikie wanacho ongea ila tunsikia vinanda tyu
@mwakaathumani4793
@mwakaathumani4793 2 жыл бұрын
Tuleteen part 2 bt volume munatuboo iko vzr sna ❤️❤️
@kiya0910
@kiya0910 3 ай бұрын
Wooooh ❤❤❤🎉🎉
@toshaecha7313
@toshaecha7313 2 жыл бұрын
Nyinyi watuwangu je vous aimes plus forte
@tyrt8790
@tyrt8790 3 ай бұрын
Mbona Hamna sauti.mi nko hapa kuskiza manenos Wala sikuangali movements
@muyeshishadrack740
@muyeshishadrack740 2 жыл бұрын
Congratulations
@Elizaclemess
@Elizaclemess 5 ай бұрын
jaman apo to wamearbu lakn move kali
@RatiffaSeti-oh8hv
@RatiffaSeti-oh8hv Жыл бұрын
Wale tunao soma comments ndo tuangali moves tujuane
@mariamtambwe6823
@mariamtambwe6823 2 жыл бұрын
Jamanii Anna anatumia huawei
@lenardshukurujanuary1435
@lenardshukurujanuary1435 2 жыл бұрын
Dj unazingua kinom bna unazidisha
@kenogola3392
@kenogola3392 Жыл бұрын
Suleiman uwanga unatoa movie tamu lakini hili iliharibiwa na ,,,sauti hamna ni wimbo
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 2 жыл бұрын
Sijatizma na wala sitazmai tena km Hamna sauti
@maxameddheere1737
@maxameddheere1737 2 жыл бұрын
Movie tokea mwanzo hadi mwisho ni music only!!
@nakshymrembo2874
@nakshymrembo2874 2 жыл бұрын
Banaeee waboa mpaka basi
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 2 жыл бұрын
Sauti hamuna, utamu wa movie ni kuskia watu wanasemaje😏😏
@fridabondo3171
@fridabondo3171 7 ай бұрын
Nimeipenda hiyo
@flowerskalumbwa668
@flowerskalumbwa668 2 жыл бұрын
part 2 plz
@josepheleteuskumburu6403
@josepheleteuskumburu6403 2 жыл бұрын
Mh mna yumba mtuludishie mb zetu
@magdalinemwikwabe8655
@magdalinemwikwabe8655 6 ай бұрын
I hate this muted scenes😢😢😢😢 to make it worst it’s very loud😢😢😢😢😢😢
@KhadijaKhadija-ee5kr
@KhadijaKhadija-ee5kr 2 жыл бұрын
Kaz nzur ila saut hakuna
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 4 ай бұрын
Tutumieni hemed sul weiter
@rahabpaul5618
@rahabpaul5618 2 жыл бұрын
Movie nzri bt mume boesha sauti
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 жыл бұрын
Sautiiiiii hamuna
@swalehabdulkarim4265
@swalehabdulkarim4265 2 жыл бұрын
Ssa hii movie bila sauti ilkwa na maana gani kuiweka huku tafadhalini launch before ikuwe official ndani ya youtube
@KhadijaKhadija-ee5kr
@KhadijaKhadija-ee5kr 2 жыл бұрын
Mwendelezo lini
@thabitiykitwana1271
@thabitiykitwana1271 2 жыл бұрын
Mnaweka movie nzuri lkni sauti mbovu.
@sumaiyaali5130
@sumaiyaali5130 2 жыл бұрын
Futeni hii movie coz sisi twataka kusikia maneno si music. Hata ileti shangwe. Nyie actors musirudi kwa hio studio tena
@JanetJannet-gy4ef
@JanetJannet-gy4ef Жыл бұрын
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn
@titusmoses7
@titusmoses7 2 жыл бұрын
Bora niangalie Hollywood zangu
@zawadijulius8817
@zawadijulius8817 2 жыл бұрын
Mmeferi sauti bhana
@avituseradius3513
@avituseradius3513 4 ай бұрын
Wasenge nyie mbona amna sauti sasa mnatuekea muziki
@black_queen_vibe
@black_queen_vibe 4 ай бұрын
Alie edit hii movie ananikwaza...watu wa bongo movie mmekariri sound track huko background Yan limuvi linapiga kelele saut znainguliana kwa Haya Huwa hamyaon kabla ya kupost hizi kazi....mnajiharbia wenyew halaf kesho mseme watanzia sio wazalendo hawaangakii movie zenu....mi nmeipenda hii movie ila siangalii nimepoteza mb Zang Bure tu naskia kelele tupu watu wakiongea nyie mnaweka sound track . ....kama hamuez kazi achen kutupistia ujinga ujinga bwana.....
@clarisgambo7960
@clarisgambo7960 2 жыл бұрын
Bongo rekebishen move nyingi zenu sauti tatizo
@noushaddammam8805
@noushaddammam8805 2 жыл бұрын
hii part 1 mushafeli na sauti sijuwi iyo part maana ata sikuimalizia imeniboo sehemu nyingine akuna sauti
@salmasaed4196
@salmasaed4196 2 жыл бұрын
Wbogo mna boo mziki uko juu huskii chochte
@NoIe-zq7jo
@NoIe-zq7jo Күн бұрын
Kama hamupo tayari musiweke
@maryamkomba6720
@maryamkomba6720 2 жыл бұрын
Ovooo bila sauti ndio maana hamwendi mbele
@anthonyndegwa997
@anthonyndegwa997 2 жыл бұрын
According 2me u guyz think ur the only producing movies online, , coz this is my third complain on ua movie. Am a kenyan bt complaining frm Somalia Kismayu.
@agnessmpogole1434
@agnessmpogole1434 2 жыл бұрын
Hii movie itakuwa waliiandaa kwaajili ya viziwi na mabubu
@user-vq1qx1dr4e
@user-vq1qx1dr4e Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂mungu anakuona
@mauwarashid4823
@mauwarashid4823 2 жыл бұрын
kazi mnzuri_jamani_ongereni_washiriki_wote
@kelvinmatenus380
@kelvinmatenus380 2 жыл бұрын
Mbona sauti mmekata kata Sana
@user-xr7zm6hv3e
@user-xr7zm6hv3e 3 ай бұрын
Asanteni
@samweltorai5049
@samweltorai5049 Жыл бұрын
Mbona sehemu zingine sauti haipo?
@JanetJannet-gy4ef
@JanetJannet-gy4ef Жыл бұрын
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn 7:03
@frolandunguru4489
@frolandunguru4489 2 жыл бұрын
Muvi mzuri lakini sauti hainogi
@janethraphael4893
@janethraphael4893 2 жыл бұрын
Mnaboa sana
@ukhtyaishamapozpba4173
@ukhtyaishamapozpba4173 2 жыл бұрын
Hamna ishu kaz mbovu cc hatuna shida ya mzik tunataka tuskie kaz
@hildajoshua2906
@hildajoshua2906 2 жыл бұрын
Nampenda huyu dada hatari
@dagoberthtairo6357
@dagoberthtairo6357 6 ай бұрын
Movie gani ambay Haina sauti
@muyeshishadrack740
@muyeshishadrack740 2 жыл бұрын
Filamu iko sawa lakini sauti
@anthonyndegwa997
@anthonyndegwa997 2 жыл бұрын
By the way mko na shida na voice to your movies, it's almost zote? !!!!
@ashurafundi2873
@ashurafundi2873 2 жыл бұрын
Mbona hamna saut
@anthonyndegwa997
@anthonyndegwa997 2 жыл бұрын
Kindly guyz simchange hii tabia! !!,,,, movie bila sauti? Hatujasomea sign laguage plz?
@aminasaid308
@aminasaid308 2 жыл бұрын
Movie poa but sauti hapo ndio mwatuboesha
@collinsmwanuli5173
@collinsmwanuli5173 Жыл бұрын
Mziiki tu sauti hamna
@irenebaya6296
@irenebaya6296 2 жыл бұрын
jamani movie nzuri sauti hakuna ,part two basi twataka
@agnesbochaberi5738
@agnesbochaberi5738 Жыл бұрын
Sauti plz
@rachelkelembu5651
@rachelkelembu5651 2 жыл бұрын
Dj unasinguwa
@fannyniyubahwe8847
@fannyniyubahwe8847 2 жыл бұрын
Mutania film nzuri lakini sauti hakuna
@alingoka6274
@alingoka6274 2 жыл бұрын
Kila mmoja analalamikia sauti hivyo bc sioni haja ya kutazama
@aishasaid3455
@aishasaid3455 2 жыл бұрын
Saut mmezingua san jmn
@zahranmohd6713
@zahranmohd6713 2 жыл бұрын
Mm sipendi kuangalia sinema bubu nimechoka km hamjarekebisha situpi mb zangu bure
@SophiaMrembo-tl5zl
@SophiaMrembo-tl5zl 10 ай бұрын
Saf san
@sulesuburasubira6503
@sulesuburasubira6503 2 жыл бұрын
Labda smu zenu znashds mbona saut nikubwa jaman
@lazarusnyabayoobadiah4360
@lazarusnyabayoobadiah4360 2 жыл бұрын
Part 2 pliiiz
@rafeerafeek3549
@rafeerafeek3549 2 жыл бұрын
Sio ukubwa wa sauti kuna sehemu sauti hakuna ni kama mabubu.
@bienfaitkamole858
@bienfaitkamole858 2 жыл бұрын
Bien
@ashaiddi6449
@ashaiddi6449 Жыл бұрын
Sauti sijapenda
@saudahamad7481
@saudahamad7481 2 жыл бұрын
Siku hizi naona n movie zote hazina sauti
@selinakabibikombe2309
@selinakabibikombe2309 2 жыл бұрын
Sauti jaman
@benardmsafiri4648
@benardmsafiri4648 2 жыл бұрын
Sauti kubwa
@adijasalumu6452
@adijasalumu6452 2 жыл бұрын
Sauti jamani
@evangelineirakoze7335
@evangelineirakoze7335 2 жыл бұрын
Hiyo volume wapi hatimusikiii
@hamisjumanne3431
@hamisjumanne3431 2 жыл бұрын
Sasa munaweka miziki ya nn badala yakuweka sauti mnakazana na mamiziki tu
@titusmoses7
@titusmoses7 2 жыл бұрын
Yani mnaboa kweli na misauti yenu, hivi mnakuwa na mtu wa sauti na mnamlipa Kwa ujinga huu
@deborahhatungimana4113
@deborahhatungimana4113 Жыл бұрын
Ni hatari
@jumaabdalla4699
@jumaabdalla4699 Жыл бұрын
Hana sauti lkn mbne
@jumaabdalla4699
@jumaabdalla4699 Жыл бұрын
Mwaboo n sauti
@hadijamwakare5713
@hadijamwakare5713 2 жыл бұрын
Movie nzuri ila sauti hamna
@dr.ayesigamfuriki2364
@dr.ayesigamfuriki2364 2 жыл бұрын
Mbona sisikii chochote ni mziki tu🤔🤔🤔🤔
@zahakinchabili5797
@zahakinchabili5797 2 жыл бұрын
Mnaficha nn kwenye saut wakat nyiny ni wasanii wakubwa?
@sakinakhatibu1820
@sakinakhatibu1820 Жыл бұрын
Movie nzuri lkn miziki mingi hatusikii wanaongea nn
Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman  MKWE 2
1:08:36
Bongo Cinema
Рет қаралды 164 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 36 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 11 МЛН
Vicent Kigosi | Jacquline Wolper, HARD PRICE 1A
34:19
Bongo Cinema
Рет қаралды 737 М.
King Of Love Part 1 - A Swahili Movie
47:16
RIVERWOOD BONGO MOVIES
Рет қаралды 400 М.
GABO ZIGAMBA AMEKUJA NA MOTO MWAKA HUU/ JIONEE
1:01
Smart Facts
Рет қаралды 17 М.
THAMANI YA MAMA || Swahili Latest || Bongo Movie 2021
33:52
kapaayathegreat films
Рет қаралды 256 М.
Haji Adam & GABO  Mariam REFUND FULL MOVIE Part 1
1:25:38
Bongo Cinema
Рет қаралды 119 М.
PAIN KILLER PART2B
37:40
Halisi tv
Рет қаралды 164 М.
Matilda Part 1 - Hemed Suleiman & Salma Jabu (Official Bongo Movie)
1:01:16
Africha Movies
Рет қаралды 1,4 МЛН
FILAMU YA “FAMILY MATTERS”
1:41:38
JASONS TV
Рет қаралды 425 М.
ХОТЕЛ ПОТОПИТЬ ДЖЕКА, НО НЕ ВЫШЛО
0:51
Tasty Series
Рет қаралды 1,2 МЛН