"Jina la Mchepuko" | MAHABA (Season One) Episode 1

  Рет қаралды 445,643

Loko Motions

Loko Motions

Күн бұрын

Mahaba is a show that reflects beautiful and dramatic stories of African relationships.
Cast:
- Mukasa
- Beatrice
- Meninah
- Mwijaku
Executive Producer - Crexcel Production
Producer: Docta I. Ulimwengu
Assist. Producer: Rehema Visuallab
Camera: Sicos
One echa
Sound: One Echa
Editor: Sicos
Lights: Rogers
Logistic: John Kanumba
Story: Heri Madini
Production Manager: Doveman
Distributor: Loko Motions
2019 Copyrights Crexcel Co. Ltd

Пікірлер: 400
@patricklary8239
@patricklary8239 5 жыл бұрын
"Eti wewe ni mchele watu wanakupumulia" Dah, kama umeisikia hiyo 👍
@sampachino5184
@sampachino5184 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jrlamar8925
@jrlamar8925 5 жыл бұрын
Nimecheka kwenye hicho kipengele
@vickyalexandra436
@vickyalexandra436 5 жыл бұрын
Ajali ya moto
@mrmmare6703
@mrmmare6703 4 жыл бұрын
Ebwanaaaa noma sana hiyo😂😂😂
@mariamrashid3972
@mariamrashid3972 4 жыл бұрын
Bado sana
@dogokahama3016
@dogokahama3016 3 жыл бұрын
Mariam
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 жыл бұрын
Yani nyinyi mpo wote kila cku kwa ajili ya kazi, kazi zenyewe ndo hizi za kitokuuvaa uhalisia, loh! Hata ningekuwa mm ningeweza
@husseinyusuph4087
@husseinyusuph4087 5 жыл бұрын
Nakuelewaa Sanaa blood mwinjaku kazi iko pww
@marymariam33
@marymariam33 4 жыл бұрын
Hahaha wapongo bwana et ameweka chakifipino "don't play with my heart" huhuhu
@irenepatrickdavid5891
@irenepatrickdavid5891 5 жыл бұрын
Story ni nzuri waigizaji hawavai uhusika 😭😭😭😭
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 5 жыл бұрын
Yani kama kwa mke wa mwijaku wangemuweka wolper au nisha daaah
@veileronesmo9219
@veileronesmo9219 5 жыл бұрын
We ungeweza
@irenepatrickdavid5891
@irenepatrickdavid5891 5 жыл бұрын
Veiler Onesmo ofcz ningeweza
@loveaurora4830
@loveaurora4830 3 жыл бұрын
@@irenepatrickdavid5891 easier said than done
@queenbibisha1961
@queenbibisha1961 5 жыл бұрын
Menina ayuko serious kabisa ajifunze sana
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 5 жыл бұрын
Umeonaaaa
@mercyroy6396
@mercyroy6396 5 жыл бұрын
Kweli menina hana hisia kabisa sijapenda hata director jitahidi
@sherrysalim50
@sherrysalim50 5 жыл бұрын
Bibisha mt hata kuongea hujui
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 5 жыл бұрын
@@mercyroy6396 hksia hamana hata m nna bezi ila kwa bby ningeshusha saut kiasi hana uhalisia
@tausak4568
@tausak4568 5 жыл бұрын
Bibisha mt yaaani jamaniii hajuwii Hata kidogo
@wiseentertainment7210
@wiseentertainment7210 5 жыл бұрын
viwango vya chini sana, waigizaji hawaoneshi hisia, pia hakuna uhalisia kwenye vitendo BEST: quality ni nzuri na sauti iko poa sana,
@sittisalum1862
@sittisalum1862 5 жыл бұрын
Wise Entertainment mwanamke ndio anaharibu mchezo
@wiseentertainment7210
@wiseentertainment7210 5 жыл бұрын
@@sittisalum1862 next time muweke nguvu, tunahitaji kuona vitu vizuri, mtazamaji anatakiwa aangalie aone kama anaangalia matukio ya kweli asione kama anaangalia muvi
@naomidaniel3161
@naomidaniel3161 5 жыл бұрын
hata mm nimeona hilo tatizo
@shylahkawa9074
@shylahkawa9074 5 жыл бұрын
Hamna uhalisia ila evrything is perfect 🤦‍♀️🤦‍♀️
@dorapatric9176
@dorapatric9176 5 жыл бұрын
iviii mwijaku na uyo kaka wamefanana utassema ndugu
@Tiffany340
@Tiffany340 5 жыл бұрын
Dora Patric kwani sio ndugu hawa? basi baba yao alichepuka aihitaji DNA apo
@gloryavelin2583
@gloryavelin2583 5 жыл бұрын
Umeona kama mimi eee
@lollol-xi3oy
@lollol-xi3oy 5 жыл бұрын
@@Tiffany340 😂😂😂🇬🇧
@dazk7861
@dazk7861 5 жыл бұрын
Aisee kweli
@assumanichance3963
@assumanichance3963 3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kwenye iyi vidéo kabisa : Tukiwa wapenzi tunasitahili kutambua makosa yetu na kuomba musamaha kwamakosa tuliyo yafanya. Asante sana kwa wachezaji woote 🙏🙏!!
@aysharamadhani1644
@aysharamadhani1644 5 жыл бұрын
Mke wa mwijaku usipanikini jitaidi ishaallah utakaa sawa mwanzo mgumu
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 5 жыл бұрын
Mwijako hukoseagi mdogo Wangu,komaa upande huu,hela yako iko huku.Kwangu mimi wewe ndio kanumba mpya....sio Duma wala mwenzake yule
@sabinaviolet805
@sabinaviolet805 5 жыл бұрын
Shekhe uko viziri chapakazi😘
@TheBaronMaestro
@TheBaronMaestro 4 жыл бұрын
Dont play with her heart Mwijaku😂😂😂
@annwanjiku690
@annwanjiku690 5 жыл бұрын
wow mzuri sana naipenda 🤗🤣
@huseinsenior4429
@huseinsenior4429 5 жыл бұрын
Ann wanjiku🔥🔥🔥niaje
@avitrujweka2113
@avitrujweka2113 5 жыл бұрын
Hatimaye umerejea Mwijaku! Keep the good work alive bro 🔥🔥🔥
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 5 жыл бұрын
Da mwejako na recho walikuwa wanatisha halafu walikuwaga pendana kwi walimtowaga gazet in walikuwa wanapendezana hata na wenyewe walisemaga tumeona tu napendezana tukaamuwa kuwa pamoja nakumbuka mwijako nilimuonaga posta
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 5 жыл бұрын
Muongeaji hivyo hivyo sijuwi alikuwaga anaongea na nani kama alikuwa anatoka nje ya ofisi flan. Recho mzur na mwijako ana weusi mzur ajisemeaga mama mtu akiwa na weusi mzur anasema weusi wa jongoo
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 5 жыл бұрын
Hata huyu dada au hawa wadada wa humu masista du nakumbuka kama nilishawai kuiona Lakin kwenye Simu yangu iliyoalibika
@Jc-wl6yf
@Jc-wl6yf 5 жыл бұрын
Hao wadada wakaze sana ...wanakuwa kama wanacheza kkmbolela
@mmn7480
@mmn7480 3 жыл бұрын
umeonaee
@elly_tz1143
@elly_tz1143 3 жыл бұрын
Loko motion up
@K25795
@K25795 5 жыл бұрын
Izi ndo kazi tume kuwa tuki zitaka nimeona tu ep moja tuu nikaelewa stori yote nimepend mlivyo igiza na tungependa msiwi mnatukawiza kutupa bipande vifatayo
@zuushow4338
@zuushow4338 5 жыл бұрын
Nice Nimejifunza jamb hapo
@zoharimohammed2942
@zoharimohammed2942 5 жыл бұрын
Umeliamsha dudeeeeeee
@ngasalucas8558
@ngasalucas8558 5 жыл бұрын
Dah! N kwel episode hi n Kali ila uhalisia sio kivile ila zile zinazo endelea zingine Yan ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@anithalove104
@anithalove104 2 жыл бұрын
Kaigiza vinzur mno 💯💯
@mmbarcelona2384
@mmbarcelona2384 5 жыл бұрын
uyu Demu ni Mzuri. ila hajawa na level yakuwa Actress Bora kuliko wale wanaocheza Bongo Movies...🇹🇿
@mwambodzemwangongo3884
@mwambodzemwangongo3884 3 жыл бұрын
Ww unaota na unaroho mbaya xana...
@salumuandrew6775
@salumuandrew6775 3 жыл бұрын
@@mwambodzemwangongo3884 ni kweli ukiangalia hata anavyoact hayupo serious
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 5 жыл бұрын
Ngoj nikangalie kam Sjaku4low ila na Uhakik Tayar, Sas Nmepat Jibu ambalo Sjawaig kuw na Swal lake #Mwijaku Wew Unawezaaa..!Wajifunze Kupitia Kwako.
@benedictmasigo3802
@benedictmasigo3802 5 жыл бұрын
Itapendeza sana kama brother k ata join
@happymahega2000
@happymahega2000 5 жыл бұрын
Mtukome kina Happy pumbavu nyie😀
@tundalawokovu
@tundalawokovu 5 жыл бұрын
Ni juma lokole
@ndayisengafrorence3991
@ndayisengafrorence3991 5 жыл бұрын
😂😂😂
@christinalrene1132
@christinalrene1132 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 5 жыл бұрын
😀😀😀 Itakua
@marymariam33
@marymariam33 4 жыл бұрын
Hahaha namie nimeuliza ivyoivyo
@allygambo1618
@allygambo1618 5 жыл бұрын
Mwijaku unajua sana ila muda kidogo tunakuomba ongeza muda kwa vipande
@LokoMotions
@LokoMotions 5 жыл бұрын
Usijali, Episode zinazofuata zitakua na dakika 30
@masoudjuma2180
@masoudjuma2180 5 жыл бұрын
muendelezo vp kaka
@dominicnzai8256
@dominicnzai8256 5 жыл бұрын
Ndio maana ya episode one...yaani sehemu ya Kwanza...nadhani mtatofautisha mwijaku Sasa wee,..jamaa anaelewa anachokifanyaga
@celinamgundoi5601
@celinamgundoi5601 5 жыл бұрын
Loko Motions Tufanyie mpango ili mashabiki zako tucjisahau
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 5 жыл бұрын
Sio Juma 😂😂😂Mwijaku unajuw kweli ongera
@rashidizmkunjila9269
@rashidizmkunjila9269 3 жыл бұрын
Kuweni makini kwa maongezi
@jafarysharo2819
@jafarysharo2819 5 жыл бұрын
Kazi nzuli sana
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 жыл бұрын
Menina hajui kiukweli sijaweza imalizia hii movie kwa ajili yke hajavaa uhusika kabisaaaa
@elardmadeez3382
@elardmadeez3382 5 жыл бұрын
sikatai nime cheat ila siyo juma lokole ni happy hahahahaaaaaaaaaaa
@freakyboy5149
@freakyboy5149 4 жыл бұрын
Ahh meninah hawezi bado
@issakamangila9113
@issakamangila9113 5 жыл бұрын
Iko poa sm ni fupi mno na uyo dem wa mwijaku ni actress mzuri sn afocus atafika mbali
@humphreynduye6239
@humphreynduye6239 4 жыл бұрын
Menina ,,,,hayuko serious kwel.,,,,,yap Kbisa
@salumjuma5937
@salumjuma5937 5 жыл бұрын
Juma lokole uyo 😂😂😂😂
@tuwenasitv9695
@tuwenasitv9695 5 жыл бұрын
uko vizur brother mwijaku
@emmanuelmacha9354
@emmanuelmacha9354 5 жыл бұрын
TUWENASI TV
@halimafazeli52
@halimafazeli52 3 жыл бұрын
Wala awajauwa move mbaya
@angelntandu661
@angelntandu661 4 жыл бұрын
Kumbe ilikuwa kweli dah pole mkewe na mwijaku
@benjaminomega5623
@benjaminomega5623 4 жыл бұрын
Angel kumbe umeona... kumbe walikuwa wanaingiza kile wanachopitia kwenye maisha harisi ya ndowa zao
@angelntandu661
@angelntandu661 4 жыл бұрын
@@benjaminomega5623 mh kweli kjini shule
@hadijahmwajombe9588
@hadijahmwajombe9588 5 жыл бұрын
safi sana mwijaku
@mmungalubunga4404
@mmungalubunga4404 5 жыл бұрын
Mke wa MWIJAKU awezi kuingiza uzuri sio kipaji mwajaku tafuta mwanamke mwenye kipaji huyo dada awez kabisa ayuko siriaz
@abdullatifabdulkarim5316
@abdullatifabdulkarim5316 5 жыл бұрын
Kweli kabisa recho alikua vizr sana nafas yke bado aijazbika
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 5 жыл бұрын
true bro, huyo menina hamna kitu, hamna uhalisia
@aishakyejo5565
@aishakyejo5565 5 жыл бұрын
ni kwel..
@michealphy4013
@michealphy4013 5 жыл бұрын
Yupo vzuri. Anaitaji tu director arekebishe kidogo. Kubadili character inaharibu kabisa . Kama ww unajuwa utaelewa.
@suleimankiumwa5328
@suleimankiumwa5328 5 жыл бұрын
Mwijaku mkeo mzuriii
@morefravuorgroup3122
@morefravuorgroup3122 5 жыл бұрын
atariiii sanaaaaaa
@munirahassan2220
@munirahassan2220 5 жыл бұрын
Kazi Kazi ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
@naominandy94
@naominandy94 5 жыл бұрын
Mwijaku simu 😂kamua ku save jina la mwanaume
@shibinjakulwa1627
@shibinjakulwa1627 5 жыл бұрын
Ndio michezo yetu hiyo siku hizi 😄😄😄😄
@jumabajurah1397
@jumabajurah1397 5 жыл бұрын
jina langu limeleta utata
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 4 жыл бұрын
.....MTOTO MONG’ONYOOOO....! Mnajifanya MNAEKTI kumbe MNANG’ONG’OZOANA kiukweli ukweli....!
@cassianclement5595
@cassianclement5595 5 жыл бұрын
Nlicho kipenda mwaz mpaka mwisho nikuona mwinjaku kavaa jez ya simba 😂😂
@rachelmrosso2938
@rachelmrosso2938 5 жыл бұрын
Cassian Clement 😁😁😁😁😁 nimejikuta nacheka kwa sauti
@shebbykavanda9406
@shebbykavanda9406 5 жыл бұрын
Kali sana
@carolcosmas2415
@carolcosmas2415 5 жыл бұрын
Very intresting
@hassanissa4792
@hassanissa4792 5 жыл бұрын
nimecheat lakin sio juma ni happy 😃😁😁😁 sa kwanini uni cheat na happy?
@elizabethmarwa4021
@elizabethmarwa4021 5 жыл бұрын
Hahaaaaa nimecheka
@khadijahussen2763
@khadijahussen2763 5 жыл бұрын
Hongera sana mwijaku
@snowwhite4670
@snowwhite4670 5 жыл бұрын
Mwijaku utabakii kuwa juuu
@paulolenard624
@paulolenard624 2 жыл бұрын
Vizur xana mwaijaku kaz nzur nimeipenda sana
@muhbmoh7200
@muhbmoh7200 5 жыл бұрын
Kuna jera na guest weweeeh 😂😂
@zawadmohammed1137
@zawadmohammed1137 5 жыл бұрын
Sijui kwann wameshindwa kuweka uzito kwenye hii story hawapo serious kabisaaaaaaaaaaaaaaa
@ayadkishuga7229
@ayadkishuga7229 5 жыл бұрын
Nakupenda dada angu meninah
@zuwenaalley9187
@zuwenaalley9187 5 жыл бұрын
mwijaku we noma juma happy 😁😁😁😁
@annaelia5743
@annaelia5743 5 жыл бұрын
Teeeeee uwi eti sio juma ni happy uwi mbavu zangu
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 5 жыл бұрын
Menina kaza bado sana hauko serious
@elly_tz1143
@elly_tz1143 3 жыл бұрын
Kazi nzuri numepanda sana big yes
@anthonyenglebert145
@anthonyenglebert145 4 жыл бұрын
Kuna sehemu hapo haionyeshi uhalisia ,haiwezekan message ya mchepuko inaingia unaficha simu mkeo asiione halafu,unasema umsindikize mgeni na ndio chance ya kwenda kuchati na mchepuko halafu unaacha simu haileta sense jaman jitahidin
@imranisaidi5269
@imranisaidi5269 5 жыл бұрын
we mkali we bonge la ecta
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 5 жыл бұрын
Mi ndio naanza angalia wabongo mwanipunga sana,one love ❤❤❤
@wastarashemadanga1817
@wastarashemadanga1817 4 жыл бұрын
Zed zed
@benyabenjamini456
@benyabenjamini456 3 жыл бұрын
Usishindane na moyo wake 😋😋
@kwizeranadia7836
@kwizeranadia7836 5 жыл бұрын
Jmn nacheka na comment zenu wadau🤣🤣🤣🤣 hii tabia ya kusevu namba hivo ninao jmn sijui kwann
@young_eecarro9507
@young_eecarro9507 4 жыл бұрын
Atari #lokomotion
@iamohani6275
@iamohani6275 5 жыл бұрын
Aisee ifundisha, 🔥🔥🔥
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 5 жыл бұрын
Hakuna uhalisia kabisa, sauti iko Sawa location nzuri
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 5 жыл бұрын
Yani inaonesha kabisa wanaigiza, hawako calm hasa huyo Menina
@frankelias5988
@frankelias5988 4 жыл бұрын
Safisana
@mwambodzemwangongo3884
@mwambodzemwangongo3884 3 жыл бұрын
Hapo mwijaki mko juu
@samwelkihongole5346
@samwelkihongole5346 5 жыл бұрын
Ndo shida iz unachepuka na anna jina unasevu shabban haaaahaaaaa 😂😂😂
@angelmwandata2233
@angelmwandata2233 5 жыл бұрын
Samwel Kihongole 😂😂😂😂sana madhala hayo😂😂🙈🙈
@255nyumbani6
@255nyumbani6 5 жыл бұрын
story mzur video ipo sana camera man yupo poa sana edt iko poasana ila waigizaji vituko uwalisia hakuna kabisa
@anithalove104
@anithalove104 2 жыл бұрын
Igiza wewe kama utaweza
@nurujulius1920
@nurujulius1920 4 жыл бұрын
Wadada wote hamjui kuigiza hasa menina
@festomlowegypsum8214
@festomlowegypsum8214 5 жыл бұрын
Tunaomba mwenderezo
@LokoMotions
@LokoMotions 5 жыл бұрын
Leo Saa Mbili usiku
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 5 жыл бұрын
Hapo Recho angeweza sana.
@deboramrema2861
@deboramrema2861 5 жыл бұрын
Mwijaku amecheza pat yake vizuri ila dada jitahidi kuvaa uhalisia unatoka njee ya uhalisia maoni yangu ila nawapenda wote mnaelimisha
@eliadaboniphace4081
@eliadaboniphace4081 5 жыл бұрын
Na ww umeliona hlo kwanza kulia hawez hata sura ya kuumizwa no.
@temesjames8867
@temesjames8867 5 жыл бұрын
Pat one,inamaneno ya hovyo sana haifai kuangaliwa ukiwa na familia mwijaku unaisifia si nzuri
@jescajohn5034
@jescajohn5034 5 жыл бұрын
temes james anavoisifiaga hii tamthilia kumbe hata uhalisia hawana poor acting specially girls
@sophiajeremiah5521
@sophiajeremiah5521 5 жыл бұрын
Wamefanana mwijaku na uyo mdogo wake ni ndugu kweli ama
@emadasmar5714
@emadasmar5714 5 жыл бұрын
Umeonaeee mpka sauty
@lamiessaed1092
@lamiessaed1092 5 жыл бұрын
Uyo menina hajavaa uhusikaaa asaaa
@fabianfabio490
@fabianfabio490 4 жыл бұрын
miss you njoo bac😂😂😂
@Kaizirege
@Kaizirege 3 жыл бұрын
juma lokole
@ZIGUAGIANT
@ZIGUAGIANT 5 жыл бұрын
Meninah! 🙌🙌😋 mzuri mpk ana kera.... 😉🙈
@leylasaid2616
@leylasaid2616 5 жыл бұрын
Huyu menina kumbe...amekuwaaaa
@hhassani6832
@hhassani6832 5 жыл бұрын
kz poa sana
@The_real_musamansa
@The_real_musamansa 5 жыл бұрын
Hii kali sana iwe na mwendelezo
@peterambassada7684
@peterambassada7684 5 жыл бұрын
Nimekipenda kidem
@alyahmuhsin6061
@alyahmuhsin6061 5 жыл бұрын
Alaa kumbe ndo zenu mnasev juma lokole kumbe happy sasa itabidi tuchunguze sm zenu
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 жыл бұрын
Hahahaha jumalokole
@jumakatema6348
@jumakatema6348 5 жыл бұрын
huyo jamaa ni mdogo wake shafii dauda
@jrlamar8925
@jrlamar8925 5 жыл бұрын
MENINA HAYUKO SERIOUS. ANASHINDWA KUVAA UHALISIA. AENDELEE KUJIFUNZA KUVAA UHUSIKA
@sifamugwaneza1178
@sifamugwaneza1178 5 жыл бұрын
Nimeipend san nzuri kbs #Mwijaku kaza baba tueni muendelezo bas
@shamilahasan7344
@shamilahasan7344 5 жыл бұрын
Sifa Mugwaneza
@LokoMotions
@LokoMotions 5 жыл бұрын
Leo Saa Mbili usiku
@allymmanya546
@allymmanya546 5 жыл бұрын
Nimelipenda hilo onyo la mwisho la Meninah😂😂😂
@roselin571
@roselin571 5 жыл бұрын
Umenisemea wabongo wachieni wakenya na wengineo kingereza
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 5 жыл бұрын
Hv huyu mke wa mwijaku si menina atik ama? Anajitahid kwa kweli
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 5 жыл бұрын
Hii episode 1 imeanza vzur nimependa
@kushkomal9906
@kushkomal9906 5 жыл бұрын
Naangalia huku nasoma comments ila inaonekana iko OK subir niendelee
@mligombuma2287
@mligombuma2287 5 жыл бұрын
Wanawake hawapo serious kaaabisaa vaeni uhusika ipasavyo......all in all kazi nzuriii
@LokoMotions
@LokoMotions 5 жыл бұрын
Mligo Mbuma Angalia Episode Two
@dullymushsa1450
@dullymushsa1450 5 жыл бұрын
mwejaku kazinzuri tupemwendelezo
@janetsaidi8272
@janetsaidi8272 5 жыл бұрын
mwendelezo jamani nice movie
@LokoMotions
@LokoMotions 5 жыл бұрын
Leo Saa Mbili usiku
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
😂😂😂 Kwahyo ww mchele
@modestsanga3913
@modestsanga3913 4 жыл бұрын
hahahahaha nowmaaaaa mwinjakuu unawezaa mnoo
@emanueljohn2878
@emanueljohn2878 5 жыл бұрын
Mwanamke anazingua mwijaku hana hisia kwenye kuigiza
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 10 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 52 МЛН
"Picha za uchi"| MAHABA (Season one) Episode 5 #Mwijaku #Meninah #Mukasa
19:58
USARITI WA DADA #film
1:05
FAMILY MELODY TZ
Рет қаралды 4,5 М.
WAKE ZANGU |1| New Swahili Series | Adam Leo | Bongo Movies 2024
36:43
Adam Leo Studios
Рет қаралды 55 М.
Nandy Atengeneza Historia Mbagala Halopesa Perfomance.
3:11
Nandy - The African Princess
Рет қаралды 3 МЛН
Тоже попался 🤣
0:12
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 1,1 МЛН
Рыбка с ножками 😅 #shorts #мультфильм #юмор
0:40
BiBoBen Shorts | Just for fun | Wrong time ....😂🤣
0:22
BiBoBen Shorts
Рет қаралды 4,9 МЛН
How Sigma girl Caught Red handed #funny #youtubeshorts
0:22
mountainlion5
Рет қаралды 42 МЛН