No video

JINSI YA KUBADILISHA MAJIRA MAGUMU KWENYE MAISHA YAKO || PASTOR GEORGE MUKABWA || 12/05/2024

  Рет қаралды 17,869

Pastor George Mukabwa (JRC Church)

Pastor George Mukabwa (JRC Church)

2 ай бұрын

Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
Kwa walio Kenya, unaweza kutoa sadaka yako kupitia Safari Com
- M-Pesa : +254 722 578 776 (Jina : George Stephen Mukabwa)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Пікірлер: 78
@hellenmroso6786
@hellenmroso6786 2 ай бұрын
Niliposikiliza mafundisho yako yahusuyo maombi ya usiku wa manane na kuyafanya, ndipo nilijua aina ya mgeni niliyekuwa naishi naye ndani
@Judith-mw4ys
@Judith-mw4ys 2 ай бұрын
Nimejua neno la mungu kwa undani kupitia mtymish wa mungu 👏long live the man of God 🙏
@ChristinaSanga-pl5jm
@ChristinaSanga-pl5jm 2 ай бұрын
Pastor wewe ni wa pekee sana ktk kufundisha unaeleweka sana napokea mafundisho Yako nikiwa hapa Dar Mungu azidi kukufunulia Siri za kimbingu
@JudithNinah-lr2wz
@JudithNinah-lr2wz 2 ай бұрын
Am passing hard time 8 years in marriage without a child, nimejaribu kufatilia mafundisho yako na kuyaeka kwa action sija fanikiwa but I still keep my faith to God the creator of heaven and earth,naami ni Mungu asiyekuwa na mpinzani
@cerecere5758
@cerecere5758 2 ай бұрын
Utapata dia usife Moyo, Luke 1: 37
@naseeralbishi4726
@naseeralbishi4726 2 ай бұрын
Amen Mungu asikie kilio chako
@abbyimbukwa3835
@abbyimbukwa3835 2 ай бұрын
Eccle 3vs 11 God made everything beautiful in its time... keep going never give up
@FAUSTERMATHIAS
@FAUSTERMATHIAS 2 ай бұрын
Kutoka 23:25-26
@user-gy9fb3fc9c
@user-gy9fb3fc9c 2 ай бұрын
Wafilipi 4:6,7
@user-wk2bg6fd7z
@user-wk2bg6fd7z 2 ай бұрын
Happy mother's day to me and all mothers Long life full of God's grace and favor 🙏🙏🙏.
@StephenShiling-mk3pj
@StephenShiling-mk3pj 2 ай бұрын
Ni kweli hata mimi nimependa mafundisho yake yako in deep sana ,mteule yeyote akimsikiliza lazima apate kitu cha tofauti,ambacho kitamsaidia kwenda mbele zaidi katika maisha ya kiroho,na katika kujenga ufalme wa mungu aliyehai ,inthe name fo jesus amen
@chikamajenisia2244
@chikamajenisia2244 2 ай бұрын
Mimi siyo muumini wa hili kanisa lakini kama nisingestuka na kuanza kufatilia mahubiri na mafundisho ya huyu Mtumishi wa MUNGU shetani angenidhalilisha sana. kiufupi shetani na mama mukwe wake wanalia. Asante sana MUNGU kwa kunipatia baba mzuri wa Kiroho. Shetani umekaria misumari.😮 Nimeokoka Nimeokoaaa. Nimeokoka
@ibrahimukikwilili4368
@ibrahimukikwilili4368 2 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe sana tunabarikiwa sana na mafundisho yako umande wa mbingu uwe juu yako na manono ya nchi nayo yawe juu yako na uzao wako ukabarikiwe na mavuno ya ardhi viwe juu yako pia
@MariamBahat
@MariamBahat 2 ай бұрын
Nimeanza kufatilia haya mahubiri Kuna kitu nimekipata hakika Kuna mungu kwa huyu pastor
@janemuthoni7122
@janemuthoni7122 2 ай бұрын
Listen from Kenya 🇰🇪 na pst amekuwa mbaraka sana kwangu nmejuwa neno la mungu zaidi
@marymessay2768
@marymessay2768 2 ай бұрын
Asante Mungu kwa siri hii ya maneno yako kupitia mtumishi wako asante libarikiwe jina laYesu ninaamini hali yangu imebadirika na kufanikiwa sanasana
@DomyBaganya-pm4sh
@DomyBaganya-pm4sh 2 ай бұрын
Mungu asifiwe arie kuiita na akutuma Uwe mwalimu. nimejengwa sana na mafundisho Yako Siku zote nikikufuata Pastor
@Ngutaiagnes814.
@Ngutaiagnes814. 2 ай бұрын
Happy mothers day to all beautiful mum's outside there may God grant you the wishes of your hearts
@assiasolomon1418
@assiasolomon1418 2 ай бұрын
Samahani nilikuwa naomba sana kuongea na pastor George please 🙏
@NannyNanny-fo9yh
@NannyNanny-fo9yh 2 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏,nimefuatilia mafundisho Yako mtandaoni,nimebarikiwa sana, Asante,nko 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-pn4wk3du3h
@user-pn4wk3du3h Ай бұрын
Asante sana Mungu kwa kulituma neno lako kupitia kwa mtumishi wako kwa hakika limeniponya Mungu wangu asante maombi yangu kwa pastor george Mungu azidi kukuongezea neema zaidi
@user-sd2cb3wr8x
@user-sd2cb3wr8x 2 ай бұрын
Happy mother's day to all I'm proud to be called a mother in Jesus Name Amen 🙏🙏🙏
@user-kq9je6zf3v
@user-kq9je6zf3v 2 ай бұрын
Barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri kweli 🙏🙏🙏🙏🙌❤️ ❤️
@elishasamweli-me1kn
@elishasamweli-me1kn Ай бұрын
Amina mchungaji napokea uponyaji kwenye family yangu
@matadd9401
@matadd9401 2 ай бұрын
Happy mothers day to me ❤
@JemaRashidi
@JemaRashidi 6 күн бұрын
Asanteee sanaaa mtumishi umenifanya kuniamsha kiloho adi mwili
@estherkamene3942
@estherkamene3942 2 ай бұрын
Powerful teachings, God bless you🙌👏👏👏🙏🙏
@patiencemapenzi4188
@patiencemapenzi4188 2 ай бұрын
Happy mothers day to me and all mothers. Si rahisi kuwa mama.
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 2 ай бұрын
Jamani mbona huku niliko mothers day bado au huwa zinapishana
@rehemanswila1565
@rehemanswila1565 2 ай бұрын
Ahsante paster
@SophiaSteven-nc1li
@SophiaSteven-nc1li Ай бұрын
Amina baba ubalikiwe sana
@user-vr1cp8xt8v
@user-vr1cp8xt8v 2 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri yakunijenga nikweri nilikuwa natengemeya kuomba musanda kwawanandamu na tangia nivoaza kufatiliya mafundisho nawona yananijenga kumutazama mungu asante mungu akubariki mutumishi wamungu naitaji zaidi maombi isiyubishe kwahali niliyonayo nizindi kumug' ag' niya mungu amen
@aurelialucas2541
@aurelialucas2541 2 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu akubariki mchungaji na huduma yako ikue kwa kiwango cha lami.Toka nime anza kufatilia haya mahubiri yako sija baki kama nilivyo.
@filorammbaga5710
@filorammbaga5710 2 ай бұрын
Mtumishi ninakushukuru kwa mafundisho yako. Naomba upako.wa.kupokea eneo la familia pale mlandizi Napokea uponyaji,ndoa upenyo utiisho kwa.ji a Yesu.
@ibrahimukikwilili4368
@ibrahimukikwilili4368 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana na kukupa umande wa mbingu na manono ya nchi viwe juu yako na mavuno ya ardhi viwe juu yako na uzao wako ukabarikiwe sana mtumishi wa Mungu umekuwa baraka mno kwa ulimwengu wote wanaokufuatilia
@josephinelauwo4947
@josephinelauwo4947 2 ай бұрын
Ahsante Mungu kwakunipa nafasi ya kusikiliza mafundisho yko hakika Mungu amenibadilisha kupitia mafundisho yk Mungu azidi kuku tunza baba
@user-io5rz2cn6g
@user-io5rz2cn6g 2 ай бұрын
U olways have a word for me . blessings
@user-gh3fw6nj7i
@user-gh3fw6nj7i 2 ай бұрын
Amen mtumishi w mungu azidi kukupaka mafuta unanibariki sana na haya mahubiri 🙏 🙏 🙏
@lilianmbeyu
@lilianmbeyu 2 ай бұрын
nimependa Sana mahubiri na mafundisho haya,Mungu akubariki mtumishi
@mosscherry
@mosscherry 2 ай бұрын
Pray with me am.oses but hawa wengine ni bure tu
@LeticiaShoka-me2wq
@LeticiaShoka-me2wq 2 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@FridahOriyo
@FridahOriyo 2 ай бұрын
Asante muchungaji nabarikiwa nikiwa Nairobi kabete
@LeticiaShoka-me2wq
@LeticiaShoka-me2wq 2 ай бұрын
Amen 🙏 nabii wa Bwana
@RuthMomanyi-bh3ez
@RuthMomanyi-bh3ez 2 ай бұрын
It was so powerful and interesting sermon be blessed pastor
@SporahappymacxMkomekwa
@SporahappymacxMkomekwa 2 ай бұрын
Asante
@MatundaModesta
@MatundaModesta 2 ай бұрын
Asante Mungu unaeishi
@cedricmwavaka4484
@cedricmwavaka4484 2 ай бұрын
ubarikiwa to sana mafudisho yako ni ya ukweli na mungu akuonekaniya
@sophiaathumani393
@sophiaathumani393 2 ай бұрын
Nimeteseka na uchumi kwa miaka 11 sasa Nina deni la m16 biashara zote zimekufa na imani yangu inatindika naomba mnisaidie tuombe pamoja
@devotamwandete
@devotamwandete 2 ай бұрын
Mungu ninayemuamini akufanyie mlango wa kutoka ukapate ushuhuda kwa jina la YESU ameen
@sophiaathumani393
@sophiaathumani393 2 ай бұрын
@@devotamwandete Amen dear niombeeni tu Nina Hali ngumu sana
@NivessKomba
@NivessKomba 2 ай бұрын
MUNGU ATUJALIE TUMAINI JEMA WANAWAKE WOTE TUNAOPITIA MAGUMU. HAKIKA SIKU MOJA TUTAFURAHI PAMOJA NA TUTA MSIFU MUNGU KWA PAMOJA.
@user-zc9mu8ie6t
@user-zc9mu8ie6t 2 ай бұрын
Shalom wapendwa Bwana awabariki mbona huyu binti haongozi ibada ss hivi sauti yake ni nzuri sana inaupako
@Susan-ot8wq
@Susan-ot8wq 2 ай бұрын
Be blessed pastor from Kenya
@ayubusadiki9902
@ayubusadiki9902 2 ай бұрын
Amina ,Amina ,amen;;;;
@asteriankwera541
@asteriankwera541 2 ай бұрын
Naombeni anayeuza kiwanja DAR ES SALAAM kwambei nafuu kabisa
@AgnesNyaleso
@AgnesNyaleso 2 ай бұрын
Amen happy mother's day ❤❤❤
@user-zj9yc3ge9s
@user-zj9yc3ge9s 2 ай бұрын
nipo moshi ni muumini wako mkubwa na ibada zako zinanibariki na kunifungua sana
@WINNERBOYKE
@WINNERBOYKE 2 ай бұрын
Amen and Amen
@EsthermlongoEsther
@EsthermlongoEsther 2 ай бұрын
Amen amen 🙏 🙏🙏
@bettkipkiruimichael3469
@bettkipkiruimichael3469 2 ай бұрын
Amina
@rachelwilliam3585
@rachelwilliam3585 2 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@julmuwanje5281
@julmuwanje5281 2 ай бұрын
Amen 🙏
@user-je8qx8ze8o
@user-je8qx8ze8o 2 ай бұрын
Amen
@doreenephraim4057
@doreenephraim4057 2 ай бұрын
🙏
@priscaonesmo1416
@priscaonesmo1416 2 ай бұрын
Natafuta Wadada wenzangu kutoka huku kanisani ambao tunatakaa kubadili majira na nyakati tuombe pamoja sina watu wa kuomba nao kabisa
@priscaonesmo1416
@priscaonesmo1416 2 ай бұрын
Please kindly reply here tuanzishe jeshi 😊
@StephenShiling-mk3pj
@StephenShiling-mk3pj 2 ай бұрын
11:14 11:16 11:17
@hellenmroso6786
@hellenmroso6786 2 ай бұрын
Niliposikiliza mafundisho yako yahusuyo maombi ya usiku wa manane na kuyafanya, ndipo nilijua aina ya mgeni niliyekuwa naishi naye ndani
JINSI YA KUUINGIA MWEZI KIROHO  || PASTOR GEORGE MUKABWA||  01/08/2024
1:12:11
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 4,8 М.
JINSI YA KUSHINDA ROHO YA HASIRA.
1:07:04
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 8 М.
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 35 МЛН
Bwana ninajua-Nitangulie Bwana-Hakuna Mungu mwingine by pst Collins Khisa.
28:27
Pastor collins khisa
Рет қаралды 262 М.
AINA YA MAOMBI AMBAYO MUNGU ANAJIBU Mwl Mpoki Jafari
21:44
mpoki jafari
Рет қаралды 19 М.
MAKUSUDIO YA MUNGU MAISHANI MWAKO
27:49
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 57 М.
JINSI YA KUJIUNGANISHA NA MSAADA WA MUNGU|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 12/11/2023
2:20:21
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 15 М.
MKESHA WA MAOMBI|| USIKU WA MAREJESHO  ||  PASTOR GEORGE MUKABWA ||02/08/2024
4:48:39
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 2,6 М.
FUNGUO ZA UPONYAJI WAKO
58:31
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 2,6 М.
MTOTO WA KIKE AU MTOTO WA KIUME? PR. DAVID MMBAGA
50:33
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 13 М.