No video

JINSI YA KUPIKA PILAU KILO 50 YA KWENYE SHUGHULI TAMU SANAA

  Рет қаралды 28,535

Hadija Sheban

Hadija Sheban

2 жыл бұрын

Пікірлер: 111
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Hi Lovies Video za biashara kzfaq.info/sun/PL0lMsQJd3yDB5YqRtSZUla-Wb9N9XMqd5 Please Subscribe tuweze kusonga pamoja please share the video 🥰 #roadto50k ✔️Mahitaji ya hii pilau ya Kilo 50 hayo hapo chini ukipenda zidisha ila too much of something is poison Pilau mix ½Kg Onion 3Kg Garlic ½Kg Paste 1Kg Uto 10 Litre Hoho 2Kg Tomatoes 2Kg Ginger ¼Kg Dania 6Pcs Salt 1½kg Maji 4 geleni(zile kubwa)Silazima yatumike yote yategemea na mchele zaidi angalia video🥰🥰 Ukitaka ya 10kg punguza vipimo🥰🥰 yaani cheza na kugawanya tu!
@mohabatkhanmalak1161
@mohabatkhanmalak1161 10 ай бұрын
Mashallah chakula mzuri. Na kumbuka zamini sikale, 1968-72 Uganda ndio hivo tulikuwa twa pika pilao za harusi, hakika awo hafula.🌴
@FebineAwuor
@FebineAwuor 2 жыл бұрын
I love how everyone is helping around with cooking. The pilau turned out so well.
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Thanks mpenzi
@GlaDiary36
@GlaDiary36 2 жыл бұрын
Wow the pulao looks so inviting thanks for sharing with us
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Thanks dear
@user-lq9nm1rj1x
@user-lq9nm1rj1x 11 ай бұрын
Dada hadija hongera kwanza kwa kazi nzuri
@mariamali7438
@mariamali7438 2 жыл бұрын
Mashallah mashallah keep it up gal
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Thanks Love❤️❤️
@Georges.Kitchen
@Georges.Kitchen 2 жыл бұрын
Inaitaji nguvu sana na hongera ❤️ madam chef
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Asante sana chef wangu
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 жыл бұрын
Mashallah sister khadija shukran ❤🥰🥰🇴🇲
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Tabarakallah darling ❤️
@lutfiabakari1105
@lutfiabakari1105 Жыл бұрын
Mashaallah, may allah bless you for being selfless 🙏🏼
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Tabarakallah my love Allahuma Ameen
@sakinaabdulrahman5395
@sakinaabdulrahman5395 2 жыл бұрын
Ma sha Allah yavutia
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Na tamu sana mpenzi
@sadaakiba4291
@sadaakiba4291 2 жыл бұрын
Walaikum musalam kipenzi tumeenjoy wow yumyum 😋😋
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Asante sanaa kipenzi
@shamzone388
@shamzone388 2 жыл бұрын
Mash allah napenda sana chakula cha kupikwa na kuni kinakuwa na tasty mash allah
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Tasty mwanzo mpaka mwisho hakina mfano😋😋
@ogmkavu7979
@ogmkavu7979 2 жыл бұрын
Amazing 😍
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Thanks
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Tabarakallah 🥰
@maryammohammed1991
@maryammohammed1991 2 жыл бұрын
mashaAllwa toeni muziki
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Okey sawa
@shebanishebe7866
@shebanishebe7866 Жыл бұрын
Maa sha ALLAH
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Thanks dad🥰
@umlee9895
@umlee9895 2 жыл бұрын
MashaAllah 😋👌
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Tabarakallah ❤️
@learnwithflo4077
@learnwithflo4077 2 жыл бұрын
Wow it turned out so well thanks for sharing ❤️❤️
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Welcome dear
@Alithoya-qr7di
@Alithoya-qr7di 6 ай бұрын
Jee watu 500 wanaweza kuwapikia kilo ngap za mchele​@@HadijaSheban
@ibraabuemu9231
@ibraabuemu9231 2 жыл бұрын
Maa sha ALLAH ilikua poa
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Sanaa
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Mashaallah
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Tabarakallah
@mozaal-rashdi6166
@mozaal-rashdi6166 Жыл бұрын
ما شاء الله
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Tabarakallah
@badawyhaji9288
@badawyhaji9288 2 жыл бұрын
😋😋😋😋😋😋😋😋
@azizayassin3623
@azizayassin3623 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@minah780
@minah780 2 жыл бұрын
Mashaallah nlitamani nipate hii pilau Kama sai yaani inavutia sanaa
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Tamu sanaa na kajuive weuuuh
@lionness_simsima5941
@lionness_simsima5941 2 жыл бұрын
Hello there, how’s it going? Definitely mouthwatering
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Hello so cool on your side?
@MbarukuElisante-im3pv
@MbarukuElisante-im3pv 7 ай бұрын
Nice
@HadijaSheban
@HadijaSheban 7 ай бұрын
Thanks
@aminakassim7741
@aminakassim7741 2 жыл бұрын
Hadija unanigeuza kuwa Mama Lishe rasmi wallah , Allah barik
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Yeees nataka sqna uwe mama lisheeeee😍😍nimefurahi na karibu
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Ameen
@aminakassim7741
@aminakassim7741 2 жыл бұрын
@@HadijaSheban Ahsante kipenzi ... Vipimo kwa description pls nijue naanzaje
@lakimohamed2199
@lakimohamed2199 Жыл бұрын
Mashallah
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Tabarakallah
@agapejoel7822
@agapejoel7822 Жыл бұрын
Weeee nimejifunza
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Asante love
@user-xs9xk4zx8i
@user-xs9xk4zx8i 5 ай бұрын
Keki plz
@SharonandFamily
@SharonandFamily 2 жыл бұрын
Hii mob yenye imepikwa kwa mawe ndio the best and tastes amazing😋👌. Sasa wacha nilete plates zetu msitumalizie nyama😆😆
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣musikuje wemgi pls.sis...yeees hi nitamu kushinda za 2kg
@dorcaswamalwa8677
@dorcaswamalwa8677 2 жыл бұрын
Please do pili pili yambirimbi it made pilau my favorite school lunch
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
I will dearest
@zanfastfood7300
@zanfastfood7300 2 жыл бұрын
Mzr san ...pia tunaomb uwek discription..ya v2 ulivotmia ..chin ya box
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Sawa kipenzi nasghulikia baby nitaweka kila kitu
@rizikirajab7082
@rizikirajab7082 2 жыл бұрын
Masha'Allah... tupe recipe ya mbirimbi dada
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Inakuja soon mpenzi
@rizikirajab7082
@rizikirajab7082 2 жыл бұрын
@@HadijaSheban in shaa Allah
@swafaamohamed9603
@swafaamohamed9603 2 жыл бұрын
Aa nice vedeo mashAllah.kilo 20 biriani mchele watumia nyama kiasi gani?vitungu,viazi na tomato plz let me know
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Ws love kindly reduce the ingredients zenye nimetaja kwa 50🥰
@carolinemwakagali3909
@carolinemwakagali3909 3 ай бұрын
Samahani auntie nyama ilichukua dakika ngapi kuiva na je ilikuwa brownish?
@kelvinmaluki2362
@kelvinmaluki2362 Жыл бұрын
Wafaaa. Kutumia Maji kias ganii 😮
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Soma comment nimepin
@lucykaluwa9283
@lucykaluwa9283 2 жыл бұрын
NAPENDA SANA
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Asante kipenzi
@marysmartkenya
@marysmartkenya 2 жыл бұрын
Am still wondering how you guys managed to balance all the ingredients.
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
It was not easy but penye wapishi hapakoseki jambo
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 Жыл бұрын
Hi dear thank you for this...ume tumia Rice Gani?
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Hi zile tu za local
@muawiyaomar92
@muawiyaomar92 Жыл бұрын
Faaris
@user-wx4ph2rk6u
@user-wx4ph2rk6u 3 ай бұрын
Chakula kitamu vp naweza pata wap sufuria mzito Kam hyo
@zulfahafidh7796
@zulfahafidh7796 2 жыл бұрын
Naulza mwenye anajua bei ya hizi sufuria hupika kilo 50 aniambie
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Kwakweli sijui pia mm nataka nunua nkijua nitakwambia
@christinejilani2645
@christinejilani2645 Жыл бұрын
Hadija tafadhali ipike hio pilipili ya mbirimbi niione ...🤗
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Nishapikq love search pilipili ya mbirmbi hadija utaipata
@aishanjagi4351
@aishanjagi4351 Жыл бұрын
Assalamu alaikum. Naomba ingredients zakupika pilau 50kgs please. Thanks
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Waaleykhm mussalam soma vizuri hapo juu niliamdika ukitaka unafanyaje🤗
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 2 жыл бұрын
Kwani hukuosha Michele?
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Ndio
@samiranjambi3621
@samiranjambi3621 Жыл бұрын
Salt kiasi ngani
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Soma chini
@husnakafuta5270
@husnakafuta5270 2 жыл бұрын
Silazima uweke carrots
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Ukipenda waeka
@CristianoRonaldo73976
@CristianoRonaldo73976 2 жыл бұрын
Mbona haina viazi?
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Ingebaki ingeoza
@carolinew887
@carolinew887 Жыл бұрын
Umetumia mchele aina gani?
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Mchele unaoitwa biriani
@muawiyaomar92
@muawiyaomar92 Жыл бұрын
Faars
@alaidertolatine4750
@alaidertolatine4750 Жыл бұрын
Mafuta umeeka lita ngap
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
Nimepin hio . comment
@BellaNapoli-np5kl
@BellaNapoli-np5kl Жыл бұрын
Nyamba hakuna😆
@HadijaSheban
@HadijaSheban Жыл бұрын
🤣
@atu5303
@atu5303 2 жыл бұрын
Hadija unavofunikia mfuko then ukaeka moto juu si mfko unaungua ndni ya ubwabwa??au unaprotect vip usiungue...
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Hio ni karatasi kama gazeti vile nibora iungue karatasi kuliko wali wenyewe
@atu5303
@atu5303 2 жыл бұрын
Ok shkran..unjbu on time mashaAllah..
@lucymutheushanga8841
@lucymutheushanga8841 2 жыл бұрын
Dawa za pilau zilikua kiasi gani
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Am sorry nawaandikia pls
@irenecandyk
@irenecandyk 2 жыл бұрын
Nangojea hii pilau ya 50kgs nione yapikwa vipi.
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Asante sana
@cookwithhusna9657
@cookwithhusna9657 2 жыл бұрын
Mchele ulikua kilo ngapi
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
60kg but sufuria kubwa was 50kg
@fatmabadi6423
@fatmabadi6423 2 жыл бұрын
Mbona hakuna viazi?
@HadijaSheban
@HadijaSheban 2 жыл бұрын
Hatukueka tulihofia kuharibika tukieka
Jinsi Ya Kupika Pilau Kilo 25,Rahisi na Fasta Fasta
7:18
Carol Haro
Рет қаралды 1,9 М.
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 34 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 110 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,8 МЛН
PILAU YA MAJI BARIDI NA YA KUCHAMBUKA/PILAU YA KISWAHILI
6:22
Hadija Sheban
Рет қаралды 15 М.
PILAU LA USWAHILINI, tamu balaa🤤🙆🏽
10:03
Ika Malle
Рет қаралды 105 М.
VIFAHAMU VIUNGO MBALIMBALI VYA CHAKULA/MAHANJUMATI
32:40
Mahanjumati Online
Рет қаралды 77 М.
JICHO LA MKE MWENZA TAMU NA RAHISI KUPIKA #ramadan #roadto100k
6:48
JINSI YA KUPIKA PILAU LA NAZI LENYE NJEGERE NA NYAMA
11:33
Dina Marios tv
Рет қаралды 106 М.
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 34 МЛН