Nzuri kwa muonekano ila supu inatakiwa iwe simple and clear and not too much viungo inaonekama kama mchuzi wa nyama au mchemsho wa nyama lazima utofatishe mpenzi.
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Hongera dada kwa kazi nzuri wanawake wengi kizazi hiki hawajui kupika mpo wachache xana
@sobbyesmail527817 күн бұрын
Ma shaa Allah ungerahisisha mwanzo usafi wa nyama na kukatwa ndio uhifadhi kwenye friza ukitaka kupika unabadika na kutia viungo inayayuka ikiwa kwenye moto..supu nzuri sana.
@joysdelicacies Жыл бұрын
Yakaa tamu sana... Will try it out
@godfreychristian7196 Жыл бұрын
Safi sana kazi nzuri nimeipenda
@sofrinasway1808 Жыл бұрын
Waooo! Nimeyapenda mapishi yako dear hongera sana
@JumaShabani-yn1ef Жыл бұрын
Supu nzuri dada I like them
@kennedynthiwa5100 Жыл бұрын
Looks appetising. Well done
@KaR1942 Жыл бұрын
Oh my yummy yummy 😋😋😋😋😋 keep inspiring us 💯...Good work.already subscribed.
@sarahayuma3596 ай бұрын
Lazima nijaribu look delicious
@mohamedrajabu9055Күн бұрын
Masha allah
@user-kv8pw3dz2p5 ай бұрын
Waoooo nimeipenda sana iyo jaman
@farajamsigwa13046 ай бұрын
Ahsante sana kwa maelezo mazuri
@atubwenemwakipongo Жыл бұрын
Wow Asante maana nilikuwa sijui kupika supu jamni but Leo nimejifunza
@HawaSaid-ru4zq9 күн бұрын
Mchuzi apo bado ubwabwa 😘
@janemwakasege6460 Жыл бұрын
Upo vizuri mpendwa
@WanyendaMbuli-mu3kt Жыл бұрын
I like it hongera dada
@aloycemugendi92437 ай бұрын
Hapa Nairobi tunaiita "tumbukiza"... But yako ni advanced yani imeenda shule. Good stuff😋😋😋
@user-og3nt3uh1m2 ай бұрын
Safi sana maana wengine wanachemsha maji na chumvi alafu wanaita supu Asante Kwa nyongeza
@millyapopo4457 Жыл бұрын
Hongera kwa supu tamu dada
@zainabumartin95208 ай бұрын
Katia viazi vitunguu nyanya sasa supu gani yani mitandio inamambo kamahujui acha kutupia mitandioni
@deejaykid25432 ай бұрын
Nice one 😊
@NellySovanike15 күн бұрын
Iko good nimependa
@SirielEverest2 ай бұрын
hongera sana my
@jacksonpetermnebwe844 Жыл бұрын
Dar hatari sana nimependa saaana mapishi hayo yummyum
@cookingwithmimmo Жыл бұрын
Napenda sana mapishi
@user-gx9gl6em4e5 ай бұрын
Duh hy so supu jaman viungo vyote hvy au nimim sijui supu kuwa ni chumv tu
Ongera Dada nimependa mapishi yako supu nzuri sana
@user-vy6mi2xl5c28 күн бұрын
Mpishi umenona 😋
@shaibchigwere4645 Жыл бұрын
I miss Supu men...
@user-wt7uo6ps7z2 ай бұрын
Nimeipenda xna
@miriamnikolaus35 Жыл бұрын
Yummy Yummy ❤❤❤❤❤
@user-ht7lr3hf1q4 ай бұрын
Nimeenda mpendwa asante kwamaelekezo
@annalouis23444 ай бұрын
Mchemsho safi sana 😋
@kyaro5945 Жыл бұрын
you got it right babe congrats , spot on!
@nimphermonicah4754 Жыл бұрын
Looks yummy loving it❤️❤️❤️👌
@prisicayamlinga885 ай бұрын
❤❤
@sobbyesmail527817 күн бұрын
Hapo na chapati ua moto ndio mwenziye
@MswakiMwakumbe-fs2md Жыл бұрын
Hongera
@user-ct3js8tv4y4 ай бұрын
Mmmmh hapana uo ni mchemsho Kwa mchemsho ni mzuri sna ila supu hapana
@Gracenassary-zv4qc4 ай бұрын
Supu nzuri sana dada
@carolinemungure60667 ай бұрын
Ungeweka ndizi ufanye mchemsho au ungefanya kuwa trupper 😊😊
@zainabuyohana3780 Жыл бұрын
Itakuwa nzito sana viungo vimezid
@salomekangalu4811 Жыл бұрын
Aisee nmeielewa
@MaryMayala-hl8cm11 ай бұрын
Kwann umewek tangawizi ya unga naulianza na tangawiz ya kusaga
@AMINAMOHAMED-de7gb4 ай бұрын
Naskia njaa tayari.
@ernestmshanabakari1352 Жыл бұрын
Nice nyau
@elizabethmwambu57042 ай бұрын
Itakuwa tamu sana
@abubramah9024 Жыл бұрын
Kila nchi na mapishi yake hongera dada🥰
@user-hq5mo3dx7lАй бұрын
Nimeielewa hii supu nzuri sanas
@kwizeraalphonse10247 ай бұрын
Wee we unapig supu ya vizuri sana
@rizikiibrahim7236 Жыл бұрын
Mbona tangawizi nyingi sana
@JacklinePatrick-mo3dg4 ай бұрын
Dr Nyau nimekumic sana
@sarasaidi6078 Жыл бұрын
Congratulations 🙏
@NK-DF-ST-10-3 Жыл бұрын
Thanksss
@elizabethchigua46755 ай бұрын
Upo vizuri
@OmaryOmary-rv6ob Жыл бұрын
Wawooo nimeipenda hy
@NK-DF-ST-10-311 ай бұрын
Your welcomeee
@nyanzimajid7373 Жыл бұрын
Asanti sana kijana
@user-mq6kl5ir2c22 күн бұрын
Aiii so kwasup hili 😂😂 hadi karoti zilizo sagwa 😂
@idrissamola6087 Жыл бұрын
Maashallah
@neemamzande85479 ай бұрын
😂😂😂😂😂mchemsho wa mzazi huo sio supu jamani unakula bandozi zetu tuu
@aishaaisha4549 Жыл бұрын
Yummy
@oscarojuku3567 Жыл бұрын
Nimetamani sanaa unapatikana wapi?
@user-je4wo8gj5i Жыл бұрын
Nice
@Hanee388 Жыл бұрын
nice
@JennevivaJenneviva4 ай бұрын
Hongera mamy wanawake wa leo jiko lao tiktok
@habibagarad93945 ай бұрын
Good work but please don't touch the tap when ur hands have blood it will contaminate everything
@elmanichombe719811 ай бұрын
Safi nimeipenda hiyo supu
@NK-DF-ST-10-311 ай бұрын
Karibuu
@maruhesadi7825 Жыл бұрын
Asant san dada yangu Leo nitajaribu iyo nakupend san
@khadijakiroboto1135 Жыл бұрын
Hadi iliki jaman🤔
@kowthowayne3474 Жыл бұрын
Umepika vizuri sizani kama ni ukale kama kwenye comment watu wanavyosema ,,, that is creativeness big up watu wamekalili supu isiyo na hoho wala viungo lkn sasa hivi ni digital life ,,, big up u are creative
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Kabisa ,wamekariri supu ,maji mengi kama kioo ujione humo
@fridachuwa86229 ай бұрын
Washamba kabisa ndugu, hebu waulize supu ya mboga mboga inawekwa nini na nini,
@fridachuwa86229 ай бұрын
Kwa kuwasaidia supu ya mboga mboga inawekwa ----------- Vitunguu saumu Vitunguu maji Tangawizi Karoti Hhoho Iliki Giligilani Na kingine unachopenda, kwa hiyo utasema sio supu? Watu waache kukariri wajifunze Kama hawwajui
@VictoriaMrisho8 ай бұрын
umenenaaa mwaaaa
@soeurbetty7667 Жыл бұрын
Asante mama
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Safi lakini,viyonjo vimekuwa vingi sana imekuwa mboga sasa.
@StevenBhoke3 ай бұрын
Nakukumbusha ukiwa unapiga funga nywele na kitamba sawa mamii but umepika vzr cngltl
@eddyjabry6939 Жыл бұрын
Asante.. Hiyo sio hoho..Bali ni pili pili mboga!
@user-sg1fw9vf7u7 ай бұрын
Like my friend
@mariamyoyote8172 Жыл бұрын
Weweweee hata Kama nyama imelala kwenye friza hakikisha umeitoa mapema imeyeyuka Kishan OSHA nyama moja baada ya nyingine eeeeee Yani unatoa Kisha waipika na dam, mibarafu duuuuu ,,,,, ni mtazamo wangu bibie wala usijali mpenzi❤❤❤
@israelkisaila84016 ай бұрын
Uenda kabla hajaiweka kwenye frizer aliishaisafisha vizuri
@user-mm5qk4zq9q7 ай бұрын
Supu nzuri
@evelynmtenga4744 Жыл бұрын
Nimekuelewa
@StellaShayo-js9pq2 ай бұрын
Hiyo mambo waachiee wachaga😂hiyi sio soup..ni mchemsha wa viazii
@mmumambondo2 ай бұрын
Ni biga naye ibna nikubvizuri una tu wezeshabku kuwa na uwezo wakubji oigiya 7:58 😅❤🎉
@wilkistermbaria9427 Жыл бұрын
Asante sana dada,bali comments,wueh!watu waache kucriticize upishi wa wengine.kila mtu na mapishi yake.
@Judy-qh8bj Жыл бұрын
Safi sana...mapishi ni ubunifu ttz watu wanakariri
@vitusugulumu9079 Жыл бұрын
Wana wivu hawana lolote
@HawaSadock5 ай бұрын
Kabisaa
@user-qf1wp1nb3t4 ай бұрын
Supu zuri mnoo
@mariamsaidi61477 ай бұрын
Woooo nyam nyam
@reynargeorge2853 Жыл бұрын
Hii nisupu au mchemsho?
@esthermanka88067 ай бұрын
Uwo nimchemsho bwana wa nyama 😮
@jacquelinerwehumbiza5902 Жыл бұрын
Hii supu mchuzi au mchemsho???..
@user-mq6kl5ir2c23 күн бұрын
Kwani dada ulikua hunampango wakupika umestukizwa maana umeosha nyama za juu tu kwanza unaharaka Gani mpaka uchemshe nyama ambayo haija yeyuka so kiufupi haijaoshwa vizury
@StellaShayo-js9pq2 ай бұрын
Ikipoa tu !na jinsi inaviaziii inakuw ni mtori wa viazi