Km unaamini na ww ipo siku utakuwa km zari💚 twende kazi🔙✔
@RynlizzyTheBoss4 жыл бұрын
Iddi King zaid ya zarii
@iddiking69634 жыл бұрын
Worldwide Vibes 👉🙏🙏🙏
@ashaathman43554 жыл бұрын
Ingia freemason basi ss wengine twategemea pepo ya Allah
@allyderossi97424 жыл бұрын
Iddi King Ndoto kila ukiamka chuma kinazd kubana mana sio kukaza tena!?.
@naimasaid77634 жыл бұрын
Mh mm natamani kuipata pepo tu hivi vingine wala sina tamaa navyo
@lizbethimanuel81394 жыл бұрын
Hongera zari nami iko siku ntamiliki jumba kama hilo mungu ni wetu sote no kukata tamaa
@kanyamboarexander66894 жыл бұрын
Amen
@adriennebalenba1174 жыл бұрын
Amen
@zaituniamoki60924 жыл бұрын
Lizbeth Imanuel kivideo kifuupi mpk mnakera kama hamuwez bora mkaushe tu
@marrionwatima7974 жыл бұрын
Amen
@HalimaHalima-wd2bt4 жыл бұрын
Inshaallah
@dianamalingumu45164 жыл бұрын
majira kama haya hata mimi nitamiliki mjengo japo hautalingana na Zar Mungu ni wetu sote
@ameenaameena33244 жыл бұрын
Vizuri ni kufanya kitu sawa uwezo uliinao Wengi hufata kumbo baadae wanaishia njiani
@raheemahongeramashaallah14434 жыл бұрын
uwongo tu
@maryammadafa99624 жыл бұрын
Kuna watu wanaamini ukizaa watot wengi huwezi kupata maendeleo ama maisha mazuri basis naomba wajionee kwa macho
@selungwieryka4494 жыл бұрын
Kama na wewe una kubaliana na mm diamond kachemka kumuacha zari kaenda kuchukua mashaka ya roho gonga like hapa 😍
@biancaomari69184 жыл бұрын
@Zeinab Farah 🤣🤣🤣
@elizsita52784 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃
@ceciliabahati13884 жыл бұрын
i like the FACT that she's WISE n STRONG
@violetmunuo50534 жыл бұрын
yaani zari ni mwanamke wa shoka i hope mange utakuwa hospital buy now sweet
@zuwenaali48734 жыл бұрын
Hhahah
@klaragreen79994 жыл бұрын
😆😆😆wanaishia kuonyesha vyoo vya restaurant...
@sarahwangari81964 жыл бұрын
Kabsaaa🙄🙄
@marrionwatima7974 жыл бұрын
😅😅😅😅
@kjgaming97154 жыл бұрын
@@klaragreen7999 hahaha..
@ellyreuben19984 жыл бұрын
Zari huyoooo, sura nzuri na akili nyingi kichwani.
@nancyranji22904 жыл бұрын
Kabisaaaaaaaa!
@jaffaryhassany98324 жыл бұрын
Mbuz wote shut up 🤐 this iz the qeen of AFRIKA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💰💰💰💰💰💰💰💰love you my cc 🥰🥰🥰🥰yo inspireng me alot 🙏
@francissamson75944 жыл бұрын
Ahamie kwake ili awe huru, maana sinema ni nyingi sana.
@roseshanyisa91754 жыл бұрын
African Beauty Queen Zarri ,hakika wewe mwaka huu umefanya BD yako kitofaundi sana, nimependa sanaaa .
@mwazansaid14914 жыл бұрын
Mimi namuomba mwenyezi mungu anijaalie nyumba akhera in shaallah nyumba za dunia ni hatariii
@lollol-xi3oy4 жыл бұрын
Mpaka utoke mtandoni ndio utapata ya akhera
@mwazansaid14914 жыл бұрын
Kwani wanaomba wana wapo nje ya mtandao
@hadijamandanje61894 жыл бұрын
Amiin Yarabiallamina Allah atujalie huko Inshallah
@mawndiswalhi91924 жыл бұрын
Aamyn Dunia hasanatan wafil Aakherat Hasanatan Qur-an
@saidatkhamis46334 жыл бұрын
Ukishindwa kumiliki vya dunia vya akhera utaweza ?
@pichunakichuna21114 жыл бұрын
Congratulations there’s is always a reason for everything 👨❤️👨
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Mpk raha,hongera sana,Mungu akujalie na vingine zaidi
@risperkemunto80814 жыл бұрын
Mmmhh mama tee..kiboko yao...yaani wewe ni kiboko yao..show them in bidii yako mama tee.wow God is good
@user-pn3de3bl9p4 жыл бұрын
Akufanyiaye madharau mungu anakuinua hu mme ameshikwa na kifumwanishi kikubwa mwanaume akipata pahati uichezea tazama hiyo nyumba ghai usikunie sahani ambayo umeishi kukulia maana kesho utaikumbuka kuzaa watoto wawili ata kumi c mwisho kuna wenye awana watoto jipe moyo mum waume acheni mchezo na wanadada
@nightwishisthegreatestband63554 жыл бұрын
Wabongo wengine mnatakiwa mfahamu kwamba kukodi nyumba sio dhambi. Na simuongelei tu zari ambaye mnakazana kusema amekodi, wakati kashakwambia nyumba imenunuliwa na stori yake haijabadilika. Naongea kwa ujumla. Watu wakienda kusoma au kufanya kazi nchi zingine au hata mikoa mengine wanakodi kulingana na uwezo wao na maisha yanaenda. Lakini ikija kwa watanzania wengine mtu akikodi nyumba kubwa tayari ni habari ya mjini tena habari za kipumbavu ambayo haina msingi katika faida yao. Kwanini mtu lazima akuelezee kila kitu na kukupa ushahidi wakati hata senti tano hujawahi kumpa na hakujui? Documents mnahitaji za nini. Mbona chibu kila siku anasema nyumba ole nyeupe ni yake lakini siwaoni ukidai makaratasi. Mkipenda kafanye utafiti land registry ya SA manaake sielewi kwanini kitu cha kawaida tu ya mtu kupenda kuonyesha nyumba yake tayari mapovu yamewatoka. Mtania aibu bara nzima. Account zenu za benki hazitaongezeka, maisha yenu hayatabadilika. Sasa itakusaidia wapi? Loh, jamani tumieni akili.
@rosemarykatogomusanga16194 жыл бұрын
Margarethe Bagile.....hawa watu Ni wivu tuu but. let me. tell you Zari ako na uezo wa kununua nyumba hata zaidi ya hiyo.. Kwani hawaoni izo schule anamiliki....tangu. lini Mtu uonyeonyesha documents hadharani...thats private.. Zari juu juu sanaa.
@nightwishisthegreatestband63554 жыл бұрын
@@rosemarykatogomusanga1619 exactly
@donathaayaga5274 жыл бұрын
ww mwenzetu upo upande gani kati ya hizo mbili account yako kutoongezeka au Maisha kutobadilika???
@anastaziadakho11614 жыл бұрын
margareth bagile Na kwann atuoneshe
@chichidaniels96164 жыл бұрын
Very hardworking woman.
@Susanwanjiru19894 жыл бұрын
This woman is sharp...alidanganya watu nyumba ni ya king bae...wana mitandao mtapata taabu sana😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@muniraahmed6244 жыл бұрын
+mind + Beautiful= MNEY💰💼
@suleimanshaban21404 жыл бұрын
NICE,,, Allah akupe zaidi,,,, na akuongize ktk njia ilionyooka,,,,
@hellenmwayole87154 жыл бұрын
Go on zarii, na Mungu aenendeleee kukutunza
@bratin57354 жыл бұрын
I just love her lifestyle,
@xmain89504 жыл бұрын
I agree
@jenambarikiwa45544 жыл бұрын
Wow very nice
@princesstriza15894 жыл бұрын
Mmmmm my mentor my mommy big up I wanna have it because am following your steps
@sir_ENOCKMACHA4 жыл бұрын
Hivi mond kwann umemuacha huyu manz anamaendeleo ya hatari na ana akili balaa
@ashashabani42104 жыл бұрын
hongera sana zari wangu
@florahmbala30474 жыл бұрын
Strong woman..i love what am seeing
@janetlamb90184 жыл бұрын
Big up zari 🙌🙌🙌🙌😘😘😘😘
@janetcharo15433 жыл бұрын
MashaAllah,soo beautiful
@bjzee19814 жыл бұрын
Ninavyo jua mtu hununuliwa zawadi . Unaweza kua mzuri, tajiri lakini usiwe na furaha ya maisha
@nantongojane54104 жыл бұрын
Congratulations zari
@lydiahbhoke22844 жыл бұрын
I wish you happiness always
@ashaherzog44884 жыл бұрын
Go.. go Mama Nee hardwork pays💪🏾 👏🏾👏🏾👏🏾💕💕
@ebiswajustin1864 жыл бұрын
Beautiful house through
@foscakblessed36484 жыл бұрын
Congrats Queen 👑 always motivated
@joanndors90434 жыл бұрын
I like the way you do. And that helps me tobe strong. 😘😘😘
@joharinaz50074 жыл бұрын
😍😍😍ipo siku na mm in sha Allah
@allyderossi97424 жыл бұрын
johari naz IN SHA ALLAH.
@hemedibabu9774 жыл бұрын
Mambo
@joharinaz50074 жыл бұрын
@@hemedibabu977 poa
@sophierayc4 жыл бұрын
She deserve every thing bcoz she is so hand working 💖💖
@ebiswajustin1864 жыл бұрын
Hard or hand
@MsAggie54 жыл бұрын
Sophie Rayc I attract money easily very true she is working very hard
@umutoni-roussel52334 жыл бұрын
You so blessed mama T 😍
@sand49464 жыл бұрын
Beautiful😘😘😘😘
@alhandroraj80094 жыл бұрын
Nice house mummy. Enjoy yrself if God has given you chance to
@teamsheilablessings.60764 жыл бұрын
Amazing 😍 Madam 👋 Boss Lady 🤴. Congrats!!!!
@issanassor23364 жыл бұрын
Good
@rubbymusa19714 жыл бұрын
hongera mwanamke mwenzetu tuwakilishe
@DhudhulaDhudhula4 жыл бұрын
Masha Allah
@triciapwele17474 жыл бұрын
Congrats 🎉 boss Lady 😍
@adamabangura99564 жыл бұрын
Well love dae home
@mariamhaidari33774 жыл бұрын
My one and only boss lady in thise world Zari 😘😘😘
@roseshanyisa91754 жыл бұрын
Mariam Haidari African Beauty Queen hakika ameingia katika kitabu cha kumbukumbu duniani.
@mariamhaidari33774 жыл бұрын
@@roseshanyisa9175 kabisaa 😚
@gama2544 жыл бұрын
I admire your life Zari
@ellysilwani92874 жыл бұрын
Hongera mamii...
@malayamtamu68994 жыл бұрын
hongera mwaya
@jacquelinerayamu31874 жыл бұрын
Mashallah
@kilungodionizi18654 жыл бұрын
congrations mama Tee
@charlesmushi79344 жыл бұрын
Mjengo mkali mbaya
@sulaimanafrican81343 жыл бұрын
Mashaallah 😍
@allthingdranabeauty4 жыл бұрын
Wow hongela kwake namie Ipo siku nitajinunulia in jesus Name ,
@Theraldylaniscool4 жыл бұрын
Amen
@saidaayoubtunatakapichaien52444 жыл бұрын
hongera sana
@joselynesango65464 жыл бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️🇺🇸zarithebosslady
@rehemashafi48094 жыл бұрын
Hongera sana Zariiiiiiiii
@onanarosse96574 жыл бұрын
Wooooow congratulation zari nice house be blessed more.
@roseshanyisa91754 жыл бұрын
onana rosse lioness Zarri The Boss Lady ashabarikiwa natunaomba ili asidi kubarikiwa saidi ya hapo I love you sooo much Zarri.
@sir_ENOCKMACHA4 жыл бұрын
Huyu dem si wamchezomchezo
@yasmenoozm80944 жыл бұрын
Ur blessed mama tee
@salmarashidi82064 жыл бұрын
ongera sana
@sheilahsheilah58344 жыл бұрын
MashaAllah
@florambwambombwambo13224 жыл бұрын
Hongera sana
@elizabethmwalo84243 жыл бұрын
Mungu twakuomba utubariki na hata Sisi na jumba Kama hii. Mungu ni wetu sote. Amin
@faisalrashid42134 жыл бұрын
Dah pesa ndo kila kitu ila yote hayo yanamalizwa na kifo
@bujsaudaselemani55624 жыл бұрын
Ongera sana mama
@neemawambawa34764 жыл бұрын
Ongela zari boss ledy mungu ni mwema kwako
@subiramohd8854 жыл бұрын
Hongera yke ila mimi sikat tamaa na Rehma ya Mungu.lnsha aallah ntamilik tuu nyumba yangu
@shakira13014 жыл бұрын
Bosslady but wengine wataleta uwivu zao love mama tiffa😘😘
@aminasalum10424 жыл бұрын
Hongera zari .hata mm mwenyew huku Zanzibar naishi ndani ya mjengo mkaliiii lkn naona sio kitu ni kawaida sana mana ipo siku nitakufa na mali zote nitaacha.
@sellyeenallyeen71184 жыл бұрын
Hii sio alinunuliwa kingbae?Nways congss
@tiffahgwandumi46064 жыл бұрын
❤❤
@linahchrissy75744 жыл бұрын
Hongera kipenzi changu
@rosemutisya20734 жыл бұрын
God hear ma prayers
@keagleeagle8214 жыл бұрын
Yaani interview za Zari mnaachia kama dozi ya dawa .Kwa mwezi mara moja
@graceglory30384 жыл бұрын
Hongera Sana ZARI wangu naamini ipo siku ntakuwa kama ww Maan na mm napambana
@mariammuscat43003 жыл бұрын
Naic
@dominickbugerula3524 жыл бұрын
Nice house
@sharutztv94814 жыл бұрын
Mmh sisi wengine hatuja wahi kuota kuwa na mjengo kama huwo ila naimani mwenyez mungu pekee atanipa nguvu na ujasili wa kutafuta na kufanya kazi na mm nikawa na maisha mzuli zaid kama unaamini basi mungu yupo basi usipite bila ya like comment yangu na kama ukipata mda pitia chanel yangu SHARUTZ TV pia subscrabe pale kuna simuliz na comed mbali mbali asante
@zenaotman57344 жыл бұрын
hahahaha haya bhan mm sisemi acha tupambane nasi tuta fika t eshima uhai ongera mama t
@remiomar71544 жыл бұрын
Hii tuliskia n ya king bae kanunua ili ahamie huku leo mbona imekundio birthday gift yk mmmmh
@susanruo80874 жыл бұрын
Yah I remember that, mbona watu wamesahau? It's not birthday present....
@peterkyese45164 жыл бұрын
Here jomonii 🙄🙄🙄hamisa kweli hawezi kushindana na zari
@rehemaalphonce38824 жыл бұрын
mond ana maendeleo ya kubadilisha wanawake
@wardadanda63224 жыл бұрын
wabongo kaz kupeana magari tu ya kifahari uku nyumba mtu kapanga ongera zari wew
@MsAggie54 жыл бұрын
Warda Danda Yaani Hata mimi nashindwa kuwaelewa hawa mastaa wetu Mbona hawana mijengo mikubwa kama hii au ya wasanii wa Nigeria?? Ushaoona nyumba ya Davido? Ni hatari tupu
@douceuretivya60394 жыл бұрын
Weee Mange kimavii Yako nyumba ata geto IKO wapii ongea tena Zari ni Wi-Fi kiboko yao
@neemalulonga51774 жыл бұрын
😀😀🥂
@MsAggie54 жыл бұрын
Douceure Tivya 😂
@fredylucas24844 жыл бұрын
Mange Kimambi anaishi council house mwacheni jameni
@ashnaomi23854 жыл бұрын
Hongera
@benithabuberwa15532 жыл бұрын
UK vizuri
@saudashaaban86334 жыл бұрын
kama mliyona zari alivyokuw na mond alikuw hana maendeleo yoyote nipe like
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Honger
@damslandscapeworksadams67934 жыл бұрын
Naona kama Ile ya d" unayo kaa bado Kali Sana kuliko iyo ....Bora ubaki Kule iyo pangisha ....utazixi kuwa juuu ...domo ana nyotaa ....note: ushauli Tu lakini.
@Sanyah-le1od4 жыл бұрын
Mondi's is really really nice Congrats to Zari too.
@rajabuhashimu32204 жыл бұрын
Mjini heshima kod mamaeee
@raphaelgadau27834 жыл бұрын
Amen
@judnesstemba72524 жыл бұрын
Wa kwanza kuicheki like hapa
@mariaserafini65624 жыл бұрын
Kama.kweli.yake hongera zakee
@leokamil62844 жыл бұрын
Mumewe si inasemekana alimuachia nyumba nyingi mhhh na bado ananunua tu kila siku kuna jipya hongera zake kama kweli au ni komesho ?
@wardasalehe65014 жыл бұрын
😘😘
@joanndors90434 жыл бұрын
I wish to know you beter❤️❤️❤️
@songabaluku41534 жыл бұрын
Show off huwa sio nzuri.....unakaribisha hata waizi
@advocatekarama49174 жыл бұрын
Songa Baluku ndo maana ya social media, and katafuta kwa jasho lake muache tu ashow off 💪💪
@daimavlog4 жыл бұрын
Songa Baluku yeye ni star na ndo Maana tuko hapa
@songabaluku41534 жыл бұрын
Ni maoni yangu tu....lakn hata Mo Dewj sini billionea lakn sjaona akionesha nyumba yake mpka ndani.....si poa kwa upande wa security...
@ashaherzog44884 жыл бұрын
Her hardworking money her rules, let her show off and everyone else should show their own, life is too short
@jumannemfaume4 жыл бұрын
Kabisa kulikuwa na haja gan ya hiz mambo sasa
@ebbymbao17364 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍
@deogratiasmichael74634 жыл бұрын
Zali huo niushamba kwani katika nyumba zilizoko sauzi unaona Hiyonayo nyumba acha ushamba sakama ume nunua si inatuhusunn
@syndyritah48724 жыл бұрын
Shoga wewe huna hata hela
@suzanamushi45674 жыл бұрын
So brave
@fatumahengo68494 жыл бұрын
Tokea tulivyosikia nyumba yake siku nyingi sana kuhamia kwenyewe ahamii kutwa kuonyeshwa tu na bado yupo kwa Diamond
@nightwishisthegreatestband63554 жыл бұрын
Sasa tatiza kwako ni nini?
@happymaiko51214 жыл бұрын
Kwan unateseka
@wacmber21314 жыл бұрын
Wanawake cjui tulikosea wapi yaani tunahasad mpaka kwenye mitandao omba mungu nawe akupe si kukejeli wengine kununua nyumba na kujenga mwenyewe huwa ni process mbili tofauti sana kitambo ukabidhiwe nyumba ilojengwa tayari lazima use na hati zote b4 uhamie ndani yake
@MsAggie54 жыл бұрын
Fatuma Hengo kwa nn wanawake hatupendani? Yote yanakutoka ya nn? Anaishi kwa Mondi kwa sababu ana watoto wa Mondi period!
@happymaiko51214 жыл бұрын
@@MsAggie5 Yan wtu Wana roho mbaya San Ni wivu tu anamwonea alaf anajifanya hafwatilii life ya watu kumbe ndo wakwanza