JOHN HECHE ASIMULIA ALIVYOACHA UALIMU wa SERIKALI na KUTIMKIA CHADEMA AKIWA KAZINI...

  Рет қаралды 23,619

Global TV  Online

Global TV Online

5 ай бұрын

JOHN HECHE ASIMULIA ALIVYOACHA UALIMU wa SERIKALI na KUTIMKIA CHADEMA AKIWA SERIKALINI...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 43
@globaltv_online
@globaltv_online 5 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 5 ай бұрын
J. Heche moja ya hazina tuliyonayo hapa Tz. Mungu akubariki sana kiongozi
@mataypanga5262
@mataypanga5262 5 ай бұрын
Hongera sana Heche kwa viwango vyako vya elimu
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 5 ай бұрын
WE'LL SAID MR JOHN HECHE
@hamadimziraymziray-ry4vi
@hamadimziraymziray-ry4vi 4 ай бұрын
Hazina yetu hy❤❤❤❤
@mauamkamba4906
@mauamkamba4906 Ай бұрын
Marehemu alikua mshamba sana. Funza waendelee kumtafuna
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 5 ай бұрын
Ni kweli chama cha walimu Ina mifumo michafu sana imenyanganya serikali baadhi ya walimu na kuwaajiri upya matumizo mabaya ya fedha za walimu
@George-jz3jg
@George-jz3jg 5 ай бұрын
Heche kuwa mkweli kuna siku moja umesema kuwa wewe uliacha ualimu kwasababu ya kumpiga mtoto alipokuja mkuu wa wilaya hiyo kesi ikaibuliwa uliposemeshwa ukachukua vifaa vysko ukaondoka
@MilajiYasssni-pl6ox
@MilajiYasssni-pl6ox 4 ай бұрын
❤❤
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 5 ай бұрын
Inaonyesha ulikuwa mkorofi shuleni
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 5 ай бұрын
Fact
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 5 ай бұрын
Na kusema ukweli siyo hasira na tunataka tume iwe huru mmetutesa vya kutosha
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
✌️👍👊.
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 5 ай бұрын
Kitu kinacho wafanya walimu wasiwrze kufanya Kwa uhuru, ni kutishiwa, na wenyewe kushindwa kujiamini.
@tobiaspaul9203
@tobiaspaul9203 5 ай бұрын
Loli modo wangu
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 4 ай бұрын
Hili la walimu inasikitisha kwa kweli. Juzi juzi kwenye wilaya mojawapo mkoani Rukwa walimu walialikwa kwa semina ya siku mbili, wamelipwa dsa 40,000/=, i e. 20,000/= kwa siku 😮
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 5 ай бұрын
Si kinatawala chama kimojja?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 5 ай бұрын
Ameingia SIASA ili alambe RUZUKU 😢😢😢😢😢
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 4 ай бұрын
Useless
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 5 ай бұрын
We fisiemu unayejifanya uko ulaya acha uongo ulaya hata house girl anatoboa sembuse mwalimu ATI asijenge we unaumwa mavi mkaharishe mbwa wee
@jovinkenesya484
@jovinkenesya484 5 ай бұрын
Uko saw kka
@saidrajabu635
@saidrajabu635 5 ай бұрын
Kumbe nawewe nimzee wa selena
@samuelmbogo7448
@samuelmbogo7448 5 ай бұрын
Huja tembea, changamoto za waalimu hata huku ulaya (UK) zipo. Huku ulaya UK mwalimu kujenge nyumba au kumiliki nyumba ni changamoto. Punguza kulalamika, kila ikisikika ama kuhojiwa nikulaumu ,kushutumu! Sasa wakati mwingine haueleweki una taka nini au chama chenu kina simamia nini!. Rushwa ulaya ipo tena sana tu.
@prosperreuben1724
@prosperreuben1724 5 ай бұрын
Kwahiyo kwasababu umaskin upo ulaya tusikerwe na umaskini tanzania tujivunie umadkin wetu sio
@Ushauri235
@Ushauri235 5 ай бұрын
Acha wewe utalinganisha na huku
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 5 ай бұрын
Huku Ulaya UK, 😂😂😂😢 Daaah
@coolruler6820
@coolruler6820 5 ай бұрын
Kalale wewe hujielewi,,,,unaishi kwa kukuriri, kwahiyo unamanisha kilicho ulaya lazima kiwepo na Tanzania?
@csato9415
@csato9415 5 ай бұрын
🧠 🕳 🗑😒
@deodatangereza960
@deodatangereza960 5 ай бұрын
Asichezee ajira za watu,kazi imemshinda anaingia mafichoni chadema kwa wasio na mielekeo wenzake hana lolote!!!
@bedatarimo9679
@bedatarimo9679 5 ай бұрын
Edb😢dgl
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 5 ай бұрын
Hivi wewe hizi hasira zako wanafunzi walikuwa wanakuelewa kweli!!!
@sambulugu9988
@sambulugu9988 5 ай бұрын
Hahahaha huyu angeua wanafunzi hasira nyingi kuliko tija!
@issackmwakyami2740
@issackmwakyami2740 5 ай бұрын
Sio kwamba Hana hasira,ila ana hasira na ma ccm
@user-mw5rd2zm5r
@user-mw5rd2zm5r 5 ай бұрын
Safi jibu zr​@@issackmwakyami2740
@aminielkombe66
@aminielkombe66 5 ай бұрын
Huwezi taja top 3 Professions ukaacha Uhasibu
@emmanuelmwambona3438
@emmanuelmwambona3438 5 ай бұрын
Waliruka fensi hahahaha
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 5 ай бұрын
Inaonyesha ulikuwa mkorofi shuleni
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН
🅻🅸🆅🅴  JOHN HECHE ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA IFAKARA
44:24
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
LISSU: MWABUKUSI ATOSHA, AUKUMBUKA UTAWALA WA JPM
4:11
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 15 М.
Harris slams Trump at her first presidential rally
17:25
CNN
Рет қаралды 2,3 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН