Salam alaykum, samahani,narekebisha kidogo alieyeoa Pemba si Jamshid, ni ndugu yake anaitwa, Muhammed bin Abdallah al busaidy, kamuoa Salha bint abdallah al miskiry, yeye alikuwa miskry wa kilimni ya mzambarauni, yeye sio miskry wa Ziwani, japokuwa miskry wa ziwani na kilimni ni ndugu, huyo Bi salha mimi ni bibi yangu, na amehahama uingereza muda zamani sana, na kwenda Oman kuishi yeye na mwanawe wa mwanzo anaitwa Khalid bin Mohd bin abdallah al Said
@basharahamtzhalisi687111 ай бұрын
Assalamu alaykum Sheikh Mohammed Said, mbona tulifundishwa ktk history kwamba John Okelo alisaidia katika Mapinduzi Zanzibar. Je, hayo yana ukweli ndani yake?