No video

Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995

  Рет қаралды 3,692,950

Joseph Mabima

Joseph Mabima

12 жыл бұрын

Пікірлер: 1 200
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 Ай бұрын
Tunaotazama hii hotuba 2024 gonga like hapa
@user-rz8iz4ei9i
@user-rz8iz4ei9i Ай бұрын
Speech yake inadumi milele
@samkisembo-f2e
@samkisembo-f2e 2 күн бұрын
namutaka huyu ras sana
@filipomdendemi9921
@filipomdendemi9921 9 ай бұрын
Mwalimu nyerere nakupenda toka moyoni, na hata hivyo naahidi cku moja ntakuja nifanye uliyofanya kwa sehemu yangu japo najua ni kazi ngumu lakini Baba ntafanya hivyo kadiri ya mazingira ya Leo! Niombee Baba wa taifa! Najua sifahamiki lakini ntafahamika kwa wakati bwana akiniinua hivyoo!
@lutheramani8078
@lutheramani8078 4 жыл бұрын
Jamani wanao mkubal mkono juu.wale wezangu waliozaliwa mwakaa 1999 achia like
@milliontonne5819
@milliontonne5819 3 жыл бұрын
Hahhahjahdhshsijcbhd
@magharibicomms3891
@magharibicomms3891 Жыл бұрын
Kiongozi thabiti, mwenye maono na upendo kwa Afrika kipenzi, kwa wanyonge na kwa waTanzania. Roho yake ipate kupumzika kwa amani milele.❤️🇰🇪🇧🇼🇹🇿🇹🇿
@kelvinmuli9215
@kelvinmuli9215 3 жыл бұрын
Mwalimu your voice will never die! Heshima tokea 254🇰🇪
@zawadiomary8195
@zawadiomary8195 5 жыл бұрын
Aise kama unakubali mzee wetu gani like yako ili tukuone.
@omarypraysalum4198
@omarypraysalum4198 5 жыл бұрын
uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa yanga
@temuramadhani6582
@temuramadhani6582 5 жыл бұрын
zawadi Omary
@emanueljoel227
@emanueljoel227 5 жыл бұрын
zawadi Omary ninaimani huyu mzee angerikuepo hakika Tanzania ingerikua tofauti kbxa
@Pedeshee01
@Pedeshee01 5 жыл бұрын
tuliozaliwa 2000 tujuane kwa kumsoma huyu babu
@eliasrange2180
@eliasrange2180 5 жыл бұрын
Hakuna hayupo kama nyerere
@ponsianomushi8132
@ponsianomushi8132 4 жыл бұрын
JK alizungumza maneno haya mwaka 1995 kuhusu kutamalaki kwa rushwa, ukabila na udini, sijui angekuwepo leo hii, angezungumza kwa maneno gani kuhusu rushwa, ukabila, udini uvyama, ukanda na mengine mengi sana
@ambrosenthiani585
@ambrosenthiani585 5 жыл бұрын
So sharp president I have ever come through this Guy was not ordinary chap from the street read my lips, Mzee Mungu akuweke mahali pema peponi, Mzee mwenye hekima kama Solomon
@SuperKibwana
@SuperKibwana 7 жыл бұрын
HII ITAENDELEA KUWA ONE OF THE BEST
@kelvinchuwa7442
@kelvinchuwa7442 4 жыл бұрын
Ungeya una ya leo mzee ungeli Mungu akulaze pema pepon .Amen::
@StephenWaswa-pd8yx
@StephenWaswa-pd8yx Жыл бұрын
I like listening to this great late man. A great orator. I like his tonal variations
@alexsamson7297
@alexsamson7297 5 жыл бұрын
Napenda xan kauli yak mzz ulikataz udn ukabil ulikuwa unaona mbali xan Baba wa taifa nataman Ata leo ungekuwep baba
@rashidimfaume2272
@rashidimfaume2272 4 жыл бұрын
Sana babayetu tuna kukumbuka sana baba WA taifa
@sidantambilija7535
@sidantambilija7535 3 жыл бұрын
baba wataif ahsante
@sidantambilija7535
@sidantambilija7535 3 жыл бұрын
baba wataif ahsante
@AkuotDiri
@AkuotDiri 5 жыл бұрын
Huyu alikuwa kiongozi mwenye hekima a busara tele. Aliweka msingi thabiti kwa taifa la Tanzania kuwa na umoja na utengamano. Mambo ambayo sisi wa Kenya hatuna. Fare thee well your excellency!
@eastermwakalinga2749
@eastermwakalinga2749 4 жыл бұрын
Daima hatuta kusahau baba wataifa
@antonioigneous6653
@antonioigneous6653 11 жыл бұрын
...Thank u Nyerere for coming in Tanzania and share with us the gifts that GOD has given U !
@allansk1035
@allansk1035 2 жыл бұрын
What a great speech wish we had someone like you in Uganda (RIP)
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 3 жыл бұрын
The late President Magufuli was the reincarnation of Mwalimu Julius Nyerere's legacy and vision. May his soul rest in eternal peace.
@dicksonlaurean1614
@dicksonlaurean1614 3 жыл бұрын
Good speech
@milkabelias448
@milkabelias448 2 жыл бұрын
Bigap
@chawamataunion6682
@chawamataunion6682 6 жыл бұрын
michaelgreysonw mwenyezi mungu alitupatia Mwl Nyerere akamtwaa,sasa ametupatia mhe,magufuli.Hapa kazi tu.
@remigiusmwageni6274
@remigiusmwageni6274 5 жыл бұрын
Naomba mungu anipe ata nusu ya hekima ,busara , utii, na ujasil wako Mwl pumzika kwa Amani baba etu Wa taifa 16.01.2019
@janetfrancismsagatimsagati4734
@janetfrancismsagatimsagati4734 5 жыл бұрын
Amen
@nibigirajumapili9074
@nibigirajumapili9074 5 жыл бұрын
Remigius Mwageni d.naombamrzryakoconco
@emanueljoel227
@emanueljoel227 5 жыл бұрын
Remigius Mwageni kweri broo huyu mzeee arikua kiongozi mwema
@ogindiii1465
@ogindiii1465 3 жыл бұрын
He was a great man indeed Legend don't die🇰🇪
@sifamanyori-kf9vq
@sifamanyori-kf9vq Жыл бұрын
Baba mutu akisema ukweri nikichaa mupeleke mirembe akanyogwe
@amihogatai8432
@amihogatai8432 2 жыл бұрын
let me say it again. tanzania, indeed afrika, will never have a leader like him. forever my hero.
@hilimahilimaa7763
@hilimahilimaa7763 4 жыл бұрын
Kama na wew bad unaipenda historia hii had Leo 2020 gonga like twnd pamoja
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huyo nyerere anazungumza kinyume ya sheria ya mungu kabisa kwanza huezi kusema udini au mtu mwenye kufwata dini ni upumbavu katika nchi ya tanzania aliye umba ulimwengu alituamrishe kubudu yeye bila ya dini utaua utachukua reshwa sasa huyo alikaa miyaka thelathini NA tano rais mbona nchi haikuendelea NA kwanini anataka wananchi wamchague mgombea kutoka ccm kapila mungu alisema magapila kwa ajili ya kujuana huyo hivi huyo mzaramu huko muhaya kuna ubaya gani hapo haifai kusema nynye wasawahili NA kutharau wananchi wewe au kutharau maimamu watu wa dini ndio watu wa mungu sio wahuni hata wala rushwa au kuzini au kuiba sasa wewe wanashambulia dini NA unasema tuondoe upumbavu NA sisi hatujengi misikitini mambo yako nashangaza wewe husali wewe huna dini mbona makufuli hatukani kama wewe anatembela misikitini anava kanzu NA kofia anauliza hali za watu watu walipenda NA kila akisema anamtaja yesu NA ni mtu wa dini inchi imeendelea wakati wa magufuli basi umri wake mfupi makosa mengi alifanya huo nyerere vita kila mahali amepoteza uchumi wa tanzania ndio maana ikawa nchi maskini wakati makufuli anasema nchi yetu ni tajiri sana tafauti kubwa baina yao kwa hiyo watu wasikiliza mahutuba ya sio NA maana
@mwovengei2322
@mwovengei2322 2 жыл бұрын
A philosopher colossus that strode along our paths professing and teaching true pan african ideology.Mwalimu lived ahead of his nation's time.I remember his funeral in 1999 at the age of 12 years.I felt a void in my life as he was lowered in his Butiama masoleum.RIP Mwalimu Nyerere!
@adrianobarnaba2381
@adrianobarnaba2381 2 жыл бұрын
L
@shulestuff
@shulestuff 2 жыл бұрын
My dad's independence generation in Kenya was a very hopeful one, gave us names like Nyerere, Kaunda, Nkrumah, Mandela etc. and then proceeded to divide along tribal lines - we are still widening the divide. I miss Nyerere
@MichaelMathew-ke6bi
@MichaelMathew-ke6bi Жыл бұрын
Nashukuru sana hayati baba wa taifa, mwalimu Nyerere. Yaani huyu alikuwa mmoja wa watu adimu sana duniani. Alikuwa ni Magufuli lkn naye hayupo ameshafariki. Mdogo wake baba wa taifa bac alikuwa ni Magufuli. Huyu naye alikuwa jembeeeee sijawahi kuona. Wote hawapo leo. Cjui nilie!!! Leo hii hakuna watu kama hawa wawili, Nyerere na Magufuli.
@R.mkushi-vo2hn
@R.mkushi-vo2hn 11 ай бұрын
Saluti Sana Baba yetu. R.i.p Babu yetu.. Maneno yako hayawezi potea milele, pia wewe haujafa Roho yako, ila mwili umepumzika kwa mda tuu..👏👏👏👏👏🔥🔥🔥💯💯💯
@omspayne5830
@omspayne5830 5 жыл бұрын
Great man of the people, great father of the nation, baba wa taifa 🙏🏽
@greatdocumentaries1473
@greatdocumentaries1473 3 жыл бұрын
Watching in 2021 and Admiring Mwalimu Julius Hapa Kenya
@ommyakili552
@ommyakili552 3 жыл бұрын
Mwaka huu ndio ninazaliwa Kisha legendary ndio anahutubia🤗🤗🤗🤗🤗
@alphoncemsongareri7278
@alphoncemsongareri7278 6 жыл бұрын
Iwapo watanzania na afrika kwa ujumla wangefuata mawaidha ya huyu mzee, hakika tungekuwa mbali
@mackisarara5719
@mackisarara5719 7 жыл бұрын
Mzee kama kifo chako kilikua na mkono wa mtu na alaaniwe mtu huyo na watu wote waseme amen.
@mahmoudaziz6281
@mahmoudaziz6281 6 жыл бұрын
Mack Isarara ameen
@hemedyramsso7424
@hemedyramsso7424 6 жыл бұрын
Mack Isarara Ameen
@halidihatibu961
@halidihatibu961 5 жыл бұрын
Ameen
@devidpanja115
@devidpanja115 5 жыл бұрын
amen
@behindsuccessachievements1901
@behindsuccessachievements1901 5 жыл бұрын
Amen
@kondosalum2884
@kondosalum2884 5 жыл бұрын
Namkubali sana kafanya mengi sana kwenye nchi hii mbaka mungu anachukua roho yake nipengo kubwa kwataifa kwaujumla pumzika kwa amani baba wataifa we remember your slogan says “TOGETHER WE CAN”
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
Dah,chombo hicho na lingine kilichotutoka 2020 vilikuwa lulu haswa isiyo na chembe za kughushiwa kabisa.Adante Mungu aliwayumia vyema kuiwajibikia nchi yetu Tanzania♥️😭
@richardedwinn1291
@richardedwinn1291 4 жыл бұрын
2020. Gonga Like kama bado unaicheck hii, tujuane, haichuji
@kijananakazi2363
@kijananakazi2363 6 жыл бұрын
This is one of the greatest statesman that ever lived
@peterbayo4677
@peterbayo4677 4 жыл бұрын
Kiboko ya hotuba fupi na kali kuliko
@neemalazalo8331
@neemalazalo8331 5 жыл бұрын
This speech..... Will forever live in my soul.... Rest easy dad
@mudymusa5033
@mudymusa5033 4 жыл бұрын
Mambo
@salvatorymtunga2802
@salvatorymtunga2802 2 жыл бұрын
Mkapa alikuwa yuko vizuri, lakini alimpendekeza yule.
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 2 жыл бұрын
Hotuba hii ni hekaya. Mwalimu ni shujaa na bingwa wa Waafrika wote duniani kote.
@petercharls
@petercharls 10 ай бұрын
Peter huyu kiongozi shupavu wa afirica
@shabanimarijani662
@shabanimarijani662 5 жыл бұрын
Nyerere was a president of the 21st century, nyerere didn't like a leader who is of selfish but he liked a strong leader who can fight against corruption in the country. R.I .p mwalimu
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 жыл бұрын
Legends of Africa. Nyerere(TZ) Jomo kenyatta( Kenya) Nelson mandela ( South Africa ) Kwame nkrumah ( Ghana )
@Wesh12346
@Wesh12346 3 жыл бұрын
What did Kenyatta do?
@Wesh12346
@Wesh12346 3 жыл бұрын
What did Kenyatta do?
@iconicwriters1305
@iconicwriters1305 2 жыл бұрын
Jommo Kenyatta is a joke and a useless man
@stever4924
@stever4924 9 жыл бұрын
Thank you Mwalimu, you were a unique leader in Tanzania, and in Africa. Its sad that present Tanzania does not such leader anymore, And maybe Tanzania will never have one in future.
@flalji2166
@flalji2166 3 жыл бұрын
The best you can learn from him is to make sure every citizen of Tazanis gets best education in political science and History of Africa. Tanzanian will have good leaders in future. Tanzania is like mini India. United with different citizens of different cultures and languages. Stay United. And also save the wildlife of your country. Your country is blessed. Protect your country from western culture. Maintain and develop your own culture in art and music. God bless beautiful people of Tanzania. Start a fund raising so you can build a big statue of Mwalimu. UHURU NA UMOJA.
@yusuphalmas8283
@yusuphalmas8283 5 жыл бұрын
Ama hakika mwl nyerere alikuwa muerevu,Allah nipe hekima kama za mwl nyerere
@kabanomtabazy358
@kabanomtabazy358 4 жыл бұрын
Utakumbukwa xna
@lucywilliam3559
@lucywilliam3559 4 жыл бұрын
sawa, lakini ni vigumu. Mwalimu alikuwa kapewa vitu Vingi sana na Mungu zaidi ya upeo wetu wa kawaida
@niyokatwook8355
@niyokatwook8355 4 жыл бұрын
Du ubarikiwe baba yetu mungu akuraZe mahara pema pepon
@khamissiali2231
@khamissiali2231 3 жыл бұрын
Mmshenzi tu huyu Hana lolote
@williammasanja1403
@williammasanja1403 3 жыл бұрын
@@khamissiali2231 wewe ndio mshenji, umekalia udini nenda uarabuni
@hamisimhenwa7082
@hamisimhenwa7082 4 жыл бұрын
Hongera sana Baba yetu. Hivyo maneno yako bado yanaishi, umetatua mengi hivyo naona mchango wako. Mwenyezi Mungu akusamehe madhambi yako.
@frankomollo5285
@frankomollo5285 4 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima,Raha ya milele umpe na Mwanga wa milele umwangazie Ampmzike kwa Amani Amina
@richardmsongolo7121
@richardmsongolo7121 9 жыл бұрын
Critics are unavoidable but nyerere is an intellectual to me, and his thoughts will dwell 4ever.....................R.I.P MWALIMU & KARUME.
@liliankimaro60
@liliankimaro60 4 жыл бұрын
Richard Msongolo ok
@kebo2155
@kebo2155 4 жыл бұрын
Amiin.. but don't worry about the critics Almighty knows the intentions .. R. I. P Teacher..
@samuelsherah2092
@samuelsherah2092 5 жыл бұрын
THIS IS GOOD FOR US FROM KENYA
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
08/09/2020 natazama na kusikiliza hotuba ya Mwalimu JK na bila shaka najifunza kitu kikubwa kuliko nilichojifunza miaka yote nilipokuwa shuleni.... Wisdom floats his head for sure.
@MrPherez
@MrPherez 7 жыл бұрын
The only president that i ever had passion for his leadership....only african president that loved his people wish he was my president...mapenzi tele kambarage
@francescosabin3536
@francescosabin3536 4 жыл бұрын
Mwal tunakuhitaji hasa kwakupitia taarifa na speech zako mhimu
@calebmungai4059
@calebmungai4059 4 жыл бұрын
Amazing,this was a wise man!Africa is still struggling to fight the four vices he mentioned,Corruption,poverty,religion and tribalism.He foresaw these!we are in 2020 and still we can't overcome these and its still getting worse.
@kalungawanje275
@kalungawanje275 4 жыл бұрын
What a Man! May Africa get more of such calibre
@PiusJoshua
@PiusJoshua 9 жыл бұрын
there have never been a leader in Tanzania like Nyerere, kizazi cha sasa hivi hamna shukrani, mnaibuka na kumsema vibaya baba wa taifa. yeye ni binadamu kama wengine, aliyoyafanya tunapaswa tumshukuru kwa hayo na sisi twendeleze hapa tulipo.
@mabroukabeid148
@mabroukabeid148 5 жыл бұрын
Dah hiki kichwa Mungu ndo anae jua amjalie huko aliko R.I.P baba yetu.
@benitosanga2907
@benitosanga2907 4 жыл бұрын
Mabrouk Abeid amina
@yasinimasimba8829
@yasinimasimba8829 5 жыл бұрын
ungekuwepo hadi leo nahisi nchi yetu ingekuwa mbali sana
@jacksonjoakim4115
@jacksonjoakim4115 5 жыл бұрын
ungekuwepo 2019 ukampa Jpm jeuli
@ezekielraymond8749
@ezekielraymond8749 2 жыл бұрын
Always legendary never die much respect kwa baba wa taifu MUNGU aendelee kukulaza mahala pema
@reginaassey6534
@reginaassey6534 11 жыл бұрын
Huyu ndo kiongozi ninayemtamani kwn alitetea wote kwa usawa kulikuwa hakuna matabaka,alipigania unyonyaji, na hata akikemea kitu hakuwa na hofu kwani alijiamini ni Kiongozi mwema. Aliweza kutunza mali za watanzania bila tamaa. Baba wa Taifa nakukumbuka sana. Lala kwa Amani
@mohamednasser2085
@mohamednasser2085 7 жыл бұрын
He was very peaceful ruler and love to his people
@Shoaibkhan-vn6zt
@Shoaibkhan-vn6zt 5 жыл бұрын
I just love this Great Leader❤️❤️🇹🇿👑🌍⭐💯🔥
@abdifatahabdi6282
@abdifatahabdi6282 5 жыл бұрын
Just one of the 5 who dreamt of USA with Kwame nkrumah
@jarielrutaremara3884
@jarielrutaremara3884 5 жыл бұрын
Namupenda sana Mwalimu NYERERE. Viongozi kama yeye barani Africa, siyo wengi.
@maselejacob8370
@maselejacob8370 5 жыл бұрын
Ni halali kuwepo kwa siku ya nyerera day Kwa kizazi cha siku hizi wataona kama wanapoteza mda lakin kama ww n mtanzania mzalendo lazma umkumbuke baba wa taifa letu R.I.P mwanaharakati shujaa jk. nyerere
@maksman.maurice
@maksman.maurice 5 жыл бұрын
Mungu atupatiye wengine kama huuyu...Africa yote itaendelea sawa!
@gilbertodongo613
@gilbertodongo613 2 жыл бұрын
Julias Nyerere are such people like whom the society especially Tanzanians will dwell to recall forever
@mathiassimon4700
@mathiassimon4700 7 жыл бұрын
different speech makes someone to know what supposed to know and what our philosopher's says (R.I.P FATHER OF OUR NATIONAL)
@ndalahwamasembamwandu5432
@ndalahwamasembamwandu5432 4 жыл бұрын
DILA
@peterjohn8745
@peterjohn8745 5 жыл бұрын
Baba maneno yako yatadumu miaka maelfu na maelfu1995 mpaka2019 yanafariji yanafundisha yaan nashndwa niyaelezee vipi mwenyeji mungu akurehemu shujaa wa taifa
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 7 жыл бұрын
Eu tenho muito saudades do nosso Pai mwalimu Nyerere. Um homen muito simpatico e divertido. Viva Nyerere para sempre na nossa historia da Tanzania apesar voce nao esta connosco.
@EzekielMasi
@EzekielMasi 6 ай бұрын
Mungu atupee kiongozi kama huyu Kenya na African
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 5 жыл бұрын
04 septemba 2019 Mwalimu alikuwa anaona mbali sana maana upeo wake ulikuwa ukiyatambua mambo yajayo.
@bobtalksseries650
@bobtalksseries650 5 жыл бұрын
Ooh what a man.... RIP great wise man. African united. Ukabila ni sumu
@gaspernziku551
@gaspernziku551 8 жыл бұрын
mungu amlaze pema peponi mwalimu wetu ameiopigania nchi yetu kwazati
@deogratiusmaruma2652
@deogratiusmaruma2652 5 жыл бұрын
Hongera baba WA taifa uliona mbali sana ww ni nabii haswa Mungu akuweke mahali Pema peponi Amina
@josephmatonyi1802
@josephmatonyi1802 5 жыл бұрын
Ooohh mungu msamehe mwalim Na umpumuzishe baba wa taifa retu kwa aman Amin
@MonicaAshery
@MonicaAshery 10 жыл бұрын
You are immortal though long gone, RIP Julius of Tanzania. Amazing how you could see years ahead of time, you are so missed!
@deadcrush
@deadcrush 10 жыл бұрын
there is no hell, and if hell existed, the foolish man speaking in that video would be in hell right now. IT'S GOOD THAT HE LET THE MICROBES FREE OFF HIS BODY AND HIS DECAYING BODY MADE GOOD FERTILIZER FOR THE FUTURE. THE FOOLISH MAN LEFT US NOTHING BUT THE ABOVE. tanzania is full of FOOLISH PEOPLE. PEACE PLUS POVERTY EQUALS DISEASE,VIOLENCE AND FOOLISHNESS. going to dig up the body of the foolish man and put a bullet on his head. i will kill him again.
@kabwikaibrahim9502
@kabwikaibrahim9502 Жыл бұрын
There many ,problem is how to spot them!
@kabwikaibrahim9502
@kabwikaibrahim9502 Жыл бұрын
Actualy he built a very concrete foundation of which mother Tanzania. Stands!
@RestMasha
@RestMasha 8 ай бұрын
Yanga
@mathiasmateru9977
@mathiasmateru9977 5 жыл бұрын
I will miss you so much. Your a mirrow in my future's leader dream.
@sudyngoma9266
@sudyngoma9266 4 жыл бұрын
Nikwel baba wataifa maneno yako mungu akulumie uko ulipo
@rev.musabalalarogersmusabalala
@rev.musabalalarogersmusabalala Жыл бұрын
Safi sana hotuma makini sana. Mungu asaidie nchi itembee kwenye misingi makini sana
@psterinishayo4270
@psterinishayo4270 5 жыл бұрын
Ubarikiwe saana mwalimu heri na tumbo lililokizaaa
@samuelsikanyika6097
@samuelsikanyika6097 5 жыл бұрын
Hayo maneno ndio yanayonifanya nimpende Magufuri. Ongera Mwl
@mtegar.d4074
@mtegar.d4074 4 жыл бұрын
safi san
@chiefkaitaba.m.9466
@chiefkaitaba.m.9466 3 жыл бұрын
Magufuri kwa lipi??
@boybony2543
@boybony2543 3 жыл бұрын
Kwa o Lip
@alphoncelagwen1712
@alphoncelagwen1712 3 жыл бұрын
Mama
@alphoncelagwen1712
@alphoncelagwen1712 3 жыл бұрын
@@boybony2543 mama
@sharifmuadham2454
@sharifmuadham2454 6 жыл бұрын
unatisha sana we mzee mungu akubariki sana
@SaidiMfwangavo-ht6jd
@SaidiMfwangavo-ht6jd 5 ай бұрын
Hotuba bora kabsa kutoka kwa kiongozi mzalendo na mkubwa Mwl Julius Kambarage Nyerere (1922-1999(77)
@user-db8lv3dy3w
@user-db8lv3dy3w 3 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba wa Taifa, ulituacha wakati bado tunakuhitaji❤❤❤❤
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 жыл бұрын
I wish this man would be a live & witness what happening now.
@shedrackmgeyekwa4131
@shedrackmgeyekwa4131 7 жыл бұрын
mwalimu alikuwa nauongozi wakipekee sana
@mgundaevaristo5547
@mgundaevaristo5547 4 жыл бұрын
we ndio baba lao
@edwardedward2520
@edwardedward2520 6 жыл бұрын
Udini utatusaidia nini sisi big up Baba wa taifa.... RIP you were incredible and serious leader.
@tomasbugwano5287
@tomasbugwano5287 4 жыл бұрын
Asante mwalim nyerere mungu akulaze mahari pema
@samsonsitta6127
@samsonsitta6127 12 жыл бұрын
"freedom without discipline is slavery"..... kama watu wanaweza kutoa maoni kuhusu Baba wa taifa lenye amani duniani.... ambaye kila philosophy alizoamini na kuhubiri zinaonekana mpaka sasa katika hali ya nchi na matatizo yanayoikumba nchi, basi huyu mtu atakua na walakini katika reasoning yake.. honestly, Utani's comments are perverse.... it does not reflect mtoto wa kiafrika aliyelelewa na wazazi wake vyema. NYERERE WAS A GREAT LEADER.. May his soul RIP
@anoldydanielyanoldy5819
@anoldydanielyanoldy5819 6 жыл бұрын
Nyerere Tz One iyo kichwa ni hatar kwa mafisad mrithi wake Anko magu, Mungu awatie nguvu popote walipo.
@rizikimustapha3806
@rizikimustapha3806 4 жыл бұрын
AMEEN AMEEN
@rizikimustapha3806
@rizikimustapha3806 4 жыл бұрын
Kaikombowa nchi wao wanataka kutia gundu
@mrsamson8810
@mrsamson8810 5 жыл бұрын
Siku nilipo sikia umefariki nilikua Safarini ghafla nilijihisi mwili wangu unajizoazoa na nilihisi kuugua ghafla, lkn nililazimika kukubali. nmekaa ktk mashaka mda mrefu, lkn sasa ingalau nmeanza kuona jpm anakuja vzr..
@jamesrichard2026
@jamesrichard2026 5 жыл бұрын
Mr Samson
@barakaseverini5702
@barakaseverini5702 4 жыл бұрын
Baba wataifa letu ulifanya vitu vingi Sana vizur japokua nilikua bado sijazaliwa ila nikisikiliza wosia wako naona kama bado upo .mwenyezi mungu akulaze mahala pena pepon mwokozi wetu wa afrika na duniani.. I baba
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 жыл бұрын
Huyo ni adui mkubwa kwa uslaam huko zanzibari stini NA ine alifanya mathambi ona Google youtu.be eliua elfu ishirini waaslam
@freudntanama7839
@freudntanama7839 7 жыл бұрын
milele utabaki kuwa nyota wa Tanzania yetu na sasa tunae JPM nahisi kama anafuata nyayo zako kwa kujali wanyonge, huko uliko nakuomba umuombee Rais wetu JPM . love you Tnzania
@murubonabaptistmbstudentce7293
@murubonabaptistmbstudentce7293 6 жыл бұрын
you are very Wrong
@alphamaninga8237
@alphamaninga8237 6 жыл бұрын
shenzi wew acha kumchafua nyerere
@januarylugasio8040
@januarylugasio8040 5 жыл бұрын
Freud Ntanama jpm hajawahi kuwa wala kuelekea kuwa, tuhuma nyingi sana zinamkabili!
@ditricamgeni2690
@ditricamgeni2690 5 жыл бұрын
ASANTE SANA BABA WA TAIFA. MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI. HATUTAKUSAHAU BABA YETU MPENDWA.
@fauswalidauda8958
@fauswalidauda8958 5 жыл бұрын
Watu wanadai wanadai nini
@felixmweyendezi9927
@felixmweyendezi9927 10 жыл бұрын
ukweli, upendo vilikuwa ndani ya moyo wa malimu hakika alikuwa mzawa na mzalendo!!! Asante baba wa taifa letu.
@abdallahjuma7516
@abdallahjuma7516 5 жыл бұрын
Cjawahichoka kumsikiliza huyu mzee mabaya na mazuri aliyonayo Ila mungu amfanyie wepesi huko roho take ilipo!
@salumiddi8549
@salumiddi8549 5 жыл бұрын
Shikamo huko ulipo pumzika, Pumzika kwa amani, Hapa nipo kukutia na kukusikiliza hutuba Zako za kuelimisha na masirahi ya watanzania,
@hassanharoun9721
@hassanharoun9721 5 жыл бұрын
Acha urofa huyo ni marehem .
@shukurualoyce4150
@shukurualoyce4150 4 жыл бұрын
Mwalimu kwawa kioo kwetu nawamfano hakika alibarikiwa sana tutakukumbuka baba wataifa mana mambo yote sahz ndo anayoyafanya Jpm
@edwardaron729
@edwardaron729 5 жыл бұрын
Africa tunahitaji viongozi au kiongozi kama Mwalimu Nyerere, tungekoma kuomba omba wazungu .
@safarikadingi1454
@safarikadingi1454 3 жыл бұрын
This is the wisest president ever in East Africa. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
@SuperKibwana
@SuperKibwana 4 жыл бұрын
Moja kati ya Hotuba Muhimu mno alizowahi tuzitoa Mwalimu J.K.Nyerere. RIP jemedari wetu.
@peterbayo4677
@peterbayo4677 4 жыл бұрын
Hotuba zake ziko kama hiyo. Sema hii ilikuwa nzuri kwa wakati ule ni wa uchaguzi alipiga kwenye kitovu hasa
@bugutadzeha1391
@bugutadzeha1391 11 жыл бұрын
He was a rare leader found in affrica
@jamesmwanginde9345
@jamesmwanginde9345 12 жыл бұрын
greatest talk,by the time it was difficult for myopic mind to fully complihend the message.But now the political status of the country objectively verify its inner meaning.
@davidkamando9630
@davidkamando9630 Жыл бұрын
This man was straight forward...
@TheBigyosef
@TheBigyosef 11 жыл бұрын
We miss you Mzee Mwalimu Rest in Peace Mzee
@emmamibrahm8148
@emmamibrahm8148 4 жыл бұрын
TheBigyosef
@ezekielmassawe5621
@ezekielmassawe5621 9 жыл бұрын
ccm ya nyerere sio hiii ya sasa jameni nikimsikiliza mwalimu machozi yananitoka alikuwa na uchungu na tz, lkn mungu alimpenda zaid,
@fredymachange6069
@fredymachange6069 7 жыл бұрын
Ezekiel masawe
@linuskyando8022
@linuskyando8022 5 жыл бұрын
Kweli
@kaliwabuyehosheba4330
@kaliwabuyehosheba4330 5 жыл бұрын
Kumbe tupo wengi mwenyewe ad nimelia
@youngloyclassic3173
@youngloyclassic3173 5 жыл бұрын
uko sahihi
@johnkessy4966
@johnkessy4966 5 жыл бұрын
Watu wanasikia lakini, wameweka pamba masikioni mwao. Maneno yao na vitendo vyao tofauti kabisa na Mwl Nyerere. Pumzika kwa Amani Baba.
@R.mkushi-vo2hn
@R.mkushi-vo2hn 11 ай бұрын
MUNGU alikupa Ufalme ili kuonyesha njia ambayo Afrika inatupasa kuipita na kuifuata, na Sisi tuliobaki ndio tunaendeleza Maono yako na siyo kuvunja muungano wa Afrika..🤝🤝🤝 AFRIKA UNITE 🤝🤝🤝
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Baba yangu hayati mwl nyerere rushwa imerudi upya na chama kimekuwa cha matajiri tutakukumbuka daima wewe na hayati magufuli mungu awalaze mahali pema peponi amina
@wanscal
@wanscal 12 жыл бұрын
this was a great leader who spoke from his heart and had true love for his country.
@shabanikisengo6864
@shabanikisengo6864 4 жыл бұрын
Pascal Nabwana konk
@rikitotonui744
@rikitotonui744 11 ай бұрын
Kiongozi wa kuigwa. Mwenye msimamo na ushawishi thabiti.
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 28 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 31 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16