Mtu Wa Maana Kabisa The king budwaka

  Рет қаралды 106,539

Theking Budwaka

Theking Budwaka

16 күн бұрын

#Thekingbudwaka #uvira #congo #comedy

Пікірлер: 348
@thekingbudwaka2
@thekingbudwaka2 14 күн бұрын
Thx Kwa Sapoti
@SalomeSwalehe-gz6wm
@SalomeSwalehe-gz6wm 14 күн бұрын
Sawa dj
@shakirambugi8142
@shakirambugi8142 14 күн бұрын
Limeisha ilo Tajir
@thekingbudwaka2
@thekingbudwaka2 14 күн бұрын
@@shakirambugi8142 Mtu Wa Maana Sana
@Vee_money
@Vee_money 14 күн бұрын
Nkushauri kitu dj, watu watakupenda tuu wala uctumie nguvu, boresha kazi yako kwa kukata vpande vya matangazo, hapo utatukosha zaid
@thekingbudwaka2
@thekingbudwaka2 14 күн бұрын
@@Vee_money Mtu Wa Maana Sana
@RithaDavidson-nz9uf
@RithaDavidson-nz9uf 14 күн бұрын
Nimejaribu kuwa like wooote mlionitangulia ila huyu mtoto wa mama maria atakipata anachokitafuta😂😂😂😂
@UmmyZakiah
@UmmyZakiah 14 күн бұрын
Ila majizo apewe maua yake 😂😂maana sio poa weeeeh
@user-zc9qs8kk1z
@user-zc9qs8kk1z 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 14 күн бұрын
Frank nakuonea huruma sana umechachisha mapenzi wakati mwenzio yuko kwa game 😢
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 14 күн бұрын
😂😂😂atatudi kwenye ili tabia yake
@francelasway492
@francelasway492 14 күн бұрын
Frenk atakumbuka maneno ya femi kuwa makini na maria
@nyamiziramadhani4232
@nyamiziramadhani4232 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@nyamiziramadhani4232
@nyamiziramadhani4232 14 күн бұрын
Wadada wa mjin😂
@irankundaAlia
@irankundaAlia 14 күн бұрын
Alaaaa kimaria kinaboa aa umalaya gani uwo sasa mxuii
@rilianwillium
@rilianwillium 14 күн бұрын
Jamn Dj apewe maua yake nimeitafuta sana Leo mpaka mchozi😂😂
@abiangala-gi3hm
@abiangala-gi3hm 14 күн бұрын
Maria anaweza Tena anaweza Kila siku anakuabora💫
@emanuelnjau1747
@emanuelnjau1747 14 күн бұрын
Anafundisha vile wadada wanaweza kuwa manyangau😂
@aminakipande5645
@aminakipande5645 14 күн бұрын
Hapo kwa maria na frank walivyo kumbatiana asee daah usingo utaniua 😂😂😂😂
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂weeeeee
@olicej7837
@olicej7837 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂 kwahyo umekula kwa macho 😂😂😂😂
@mauwabanda2746
@mauwabanda2746 14 күн бұрын
😂😂😂
@veronikasamson6438
@veronikasamson6438 14 күн бұрын
😂😂😂
@aminakipande5645
@aminakipande5645 14 күн бұрын
@@olicej7837 acha yani duuh nimeumia kweli 😀😀
@kitulotvkitulotv418
@kitulotvkitulotv418 14 күн бұрын
Kama na wewe umeitafuta kama mimi gonga like
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 14 күн бұрын
Yaan nyie ndo mnao tuponza mpka watumaji wana susa na kuamua kuuza ktk magroup ya telegram na wasp ...ambacho hamuelew ni nn mkiambiwa muache kuomba likes mara kusema mm wa kwanza cjui wa 60 km mitoto bn heb mjitambue walau kwa sekunde 3. Aaahhhhh 🤬🤬🤬
@user-yf1ne4gr4v
@user-yf1ne4gr4v 14 күн бұрын
Me nshaanza kuichukia jua kali maana kila kitu maria tu kupendwa ni maria tu yeye hajawai kupenda ata mmoja
@olicej7837
@olicej7837 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@juliethgervas3194
@juliethgervas3194 14 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-dr7ld2em8y
@user-dr7ld2em8y 14 күн бұрын
Unataka upedwa wewe
@agnessbahamu3931
@agnessbahamu3931 13 күн бұрын
Nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣
@user-lh4bb8mm8w
@user-lh4bb8mm8w 14 күн бұрын
Haha..madam simba eti anataka akaokoke 😅😅😅madam simba we nikiboko hasa
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 14 күн бұрын
Mbona nahisi km atampata Maria😂😂😂
@user-lh4bb8mm8w
@user-lh4bb8mm8w 14 күн бұрын
@@m.mmarckus6298 kumpata vipi yani
@user-go4uc4oe4p
@user-go4uc4oe4p 14 күн бұрын
Jamani nawakubali sana King na baba hake I love you.🎉🎉🎉🎉
@elizabethwakesho5900
@elizabethwakesho5900 14 күн бұрын
Me mkenya napambana huku nipate hela niende zangu nkamtafute Frank,nampenda uyo mkaka jamani,niliskia anadrive left hand nikaogopa😅😅😅Muarabu huyo🙌🥰🥰
@tusmokinana3836
@tusmokinana3836 14 күн бұрын
Wacha umbwakini mburukenge unatuaibisha😂
@theodorachaki5174
@theodorachaki5174 14 күн бұрын
femi🎉🎉🎉🎉achanana ton Malaya wa kiume nimemisi idi na wake zake nawapenda sana maria na Anita mmeweza
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 14 күн бұрын
Femi anampenda luke ila mama yake hamtaki nahilo balaa alilolifanya ndokabisaaa
@Ruu-yt4pm
@Ruu-yt4pm 14 күн бұрын
Nampenda Femi anamsimamo
@user-pg7nc4kr9u
@user-pg7nc4kr9u 14 күн бұрын
Wauoooooh namimi leo wa tatu munipe like jameni 🎉🎉🎉
@Daniella249
@Daniella249 14 күн бұрын
Hv wanaume wanaochanganikiwa kama madevu bado wapo au ni kwenye juakali tuu 😅😅😅
@ismailabdalla7953
@ismailabdalla7953 14 күн бұрын
Jua kali bila ya diba sio mzuri
@AyshaMussa-xs2ut
@AyshaMussa-xs2ut 14 күн бұрын
Na mjomba lusajo ila diba atakuwa busy kwenye tamthilia ya Jiya
@VeeEhMgimwa
@VeeEhMgimwa 14 күн бұрын
Kwelii tenaa
@MariamSekwao
@MariamSekwao 14 күн бұрын
Viviani nakupenda bure unafurahisha ofisini
@LehemaalfanAthuman-nb1hv
@LehemaalfanAthuman-nb1hv 13 күн бұрын
Hii ni ya Jana usiku lakin
@ElizabethCharles-tx1lb
@ElizabethCharles-tx1lb 14 күн бұрын
Frank ni mzuri jaman I love you
@Lukiapaulo-xz6sf
@Lukiapaulo-xz6sf 14 күн бұрын
🎉🎉🎉 upate mwanaume kama tomas rahaaaa
@davidanderson125
@davidanderson125 14 күн бұрын
Kwani Hiyo Mimba Ya Maria Hajifungui Tuu😁😁😄😄
@Tatu_Cool
@Tatu_Cool 14 күн бұрын
Afu nampenda sanaaaa Maria I'm from Rwanda 🇷🇼
@fathiyaahmady1913
@fathiyaahmady1913 14 күн бұрын
Kwan hawa wanaume hawamuon anita jaman😢
@eligiverkingson3799
@eligiverkingson3799 14 күн бұрын
Mwenyewe nashangaaa
@VeeEhMgimwa
@VeeEhMgimwa 14 күн бұрын
Yani ata vivi tuu hawamuonii
@user-zw7sl5qz2t
@user-zw7sl5qz2t 14 күн бұрын
Maria ni kahaba
@shakilasharifa9
@shakilasharifa9 14 күн бұрын
Asante sana nimefurahi kuona jua kali mapema 🎉🎉
@user-ph7yz5kf9d
@user-ph7yz5kf9d 14 күн бұрын
😂😂Maria ana pepo la umalaya
@user-dr7ld2em8y
@user-dr7ld2em8y 14 күн бұрын
Sikuhizi mpka hapitite ya kuangalia juakar ilishakata naangalia tyu kwasababu ni wajibu😂
@MaryamHAMISI-ei9fq
@MaryamHAMISI-ei9fq 14 күн бұрын
Jamaniiiii miss u semeni na sofia🎉
@EsteR-dt9iw
@EsteR-dt9iw 14 күн бұрын
Ahaaaa mm sitaki urafiki na Viviani jamani 😅😅 nimegundua uta mwambia shemeji yako kuwa nina mimba wakati mm bado natafuta maokoto😅😅
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 14 күн бұрын
Hivi unapomkumbatia frenk hubinyi mmmh mmh ya frenk in majizo voice
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 14 күн бұрын
Tony na maria waoane sio kwa uhuni huu
@Lovenesszani
@Lovenesszani 14 күн бұрын
Maria na Toni wanafaa kuoa ju game zao mojaa😂😂😂😂
@sadahamad6158
@sadahamad6158 14 күн бұрын
Frank bwabwa kweli 😂😂😂😂
@kinananyuni9732
@kinananyuni9732 14 күн бұрын
Muache akatolewe kinyanyamshenzi😂😂
@sadahamad6158
@sadahamad6158 14 күн бұрын
@@kinananyuni9732 🤣🤣🤣🤣
@EFROSINANGONYANI
@EFROSINANGONYANI 13 күн бұрын
😂😂😂
@user-fh4fj3fh6v
@user-fh4fj3fh6v 14 күн бұрын
Kwn hiyo mimba vipi haitokei 😢afu umalaya wa maria duh umetisha usituulie frank wetu 😅😅😅 namis mwajay wetu bna mtuonyeshe
@YusraMohammed-zj4ck
@YusraMohammed-zj4ck 14 күн бұрын
Astaghafilulah ,mweee uyu Maria uyu uyuuuuu achiiiii 🙆
@FestonyMwalongo
@FestonyMwalongo 13 күн бұрын
Ety hakun matata nan kaipenda hiyo😂😂
@sestinandelwa1385
@sestinandelwa1385 14 күн бұрын
Jamani yote Tisa, nmemiss familia ya kina diba @uncle lusajo, anganile. Weken kipande chao tufurahi jaman
@PascarSaimoni
@PascarSaimoni 14 күн бұрын
Acheni ufala mnalilia like za nn kila mtu naomba like ukishapewa unafaidika nn sasa mnakera kunguru nyie
@ElizabethFabian-pn8bv
@ElizabethFabian-pn8bv 14 күн бұрын
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@AgnessDaud-jk7ro
@AgnessDaud-jk7ro 14 күн бұрын
semag ww
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 13 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@user-rz8mn8cn3o
@user-rz8mn8cn3o 14 күн бұрын
🔥🔥🔥
@anastaziamlungu9871
@anastaziamlungu9871 14 күн бұрын
Nilivohangaika kuipata mmmh
@cecylaurentkabutu8188
@cecylaurentkabutu8188 14 күн бұрын
Tumpe Femi mauwa yake kaweza🎉💐💐💐💐🌹💐
@user-rl5qu4zj9b
@user-rl5qu4zj9b 14 күн бұрын
Waoooo fem
@MaggieSichone-fj5kc
@MaggieSichone-fj5kc 14 күн бұрын
Endelea na msimamo Femi safi saana
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 14 күн бұрын
Lkn Femi anaoneka bado anampenda Tony😂😂😂 sema litoni halieleweki
@khadijatwaha7684
@khadijatwaha7684 14 күн бұрын
​@@m.mmarckus6298na tony anasema anatimiza ahadi tu ila anampenda mariaa
@marypaul4085
@marypaul4085 14 күн бұрын
🔥
@JaliaHussein-px4ws
@JaliaHussein-px4ws 14 күн бұрын
❤❤❤ thx
@rachelfadhil6024
@rachelfadhil6024 14 күн бұрын
🔥😊
@user-be8lm2bo7g
@user-be8lm2bo7g 14 күн бұрын
Yaani wee thomas mzee unanikosha
@leahjohn4734
@leahjohn4734 14 күн бұрын
The last part of prayers got me😂😂😂
@aishaabeid8106
@aishaabeid8106 14 күн бұрын
Nimemmiss mahi Juma😂😂
@jessysammy4664
@jessysammy4664 14 күн бұрын
Tunaomba utuwekee telegram
@NoorynMuddy
@NoorynMuddy 14 күн бұрын
Dj mtu wa maana kabisa ❤
@shakilafadhili3517
@shakilafadhili3517 13 күн бұрын
Kwan mbon zinakuj nakuondoka jamn
@FelisterGodwin
@FelisterGodwin 14 күн бұрын
Kijumbe vivian
@mahijjaeidi9144
@mahijjaeidi9144 14 күн бұрын
Mmmh lenimehi🇦🇪🇦🇪🇦🇪
@majabiali973
@majabiali973 14 күн бұрын
Siku hizi. Siangaliagi jua kali imenichosha uyo marym feki simpend
@SizzoSela29-sh8nz
@SizzoSela29-sh8nz 14 күн бұрын
Nimeitafuta sana
@Eunicekhayesi33
@Eunicekhayesi33 14 күн бұрын
Kwanzia leo hamna siku sitaona jua kali tena ,,ikifika maria kuwakiwa na jua mniite ,, haiwezi lamata kutuzingua kila wakati maria mshindi tu nkts
@zennahhamisi5779
@zennahhamisi5779 14 күн бұрын
🥰
@stellajoseph6212
@stellajoseph6212 14 күн бұрын
Jmn madevu🤗
@kemmymugele350
@kemmymugele350 14 күн бұрын
Ukiwa na rafiki mmbea kama Vivian ni shida😂😂😂
@olicej7837
@olicej7837 14 күн бұрын
Anakuuza wewe bila kujua 😂😂😂😂😂😂
@user-ed4nr1lx6f
@user-ed4nr1lx6f 13 күн бұрын
Maria🙌🏻
@vickydan2869
@vickydan2869 14 күн бұрын
Mke wa majizo😢
@user-xl5ze7yr2v
@user-xl5ze7yr2v 14 күн бұрын
Nan kagundua dogo ana hongea kama frank kwa gara B
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 13 күн бұрын
Mariya wee huogopi😂😂
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 14 күн бұрын
Maria nae umaya tu kuoga aaah
@kinananyuni9732
@kinananyuni9732 14 күн бұрын
Hapa nimecheka amekuwa Nassoro umalaya lkn kuoga aaah😂😂😂😂😂
@user-ki1jy7fn5t
@user-ki1jy7fn5t 14 күн бұрын
Namfikiria majizo 😢
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 14 күн бұрын
unamfikiria majizzo nn sasa kwan unadhan hakuambiwa mpaka akamruhus kumuona hap lulu ni mmew amekubali aingie ku act 😂😂 na juz alikuwa zake insta anasapot kaz ya mkew endelea kuwaz ujing
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 14 күн бұрын
Alafu yy hana habari ww endelea kumfikiria😂😂😂😂
@hosea7919
@hosea7919 14 күн бұрын
Ila watu asa majizo kafikaje huku, fikra za kimaskin hizo😂
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 14 күн бұрын
​@@hosea7919😂😂😂
@freddyblackboyonenine2492
@freddyblackboyonenine2492 9 күн бұрын
Courage
@VeeEhMgimwa
@VeeEhMgimwa 14 күн бұрын
Maria bhanaa tumechoka huwakiwi tu na hilo jua khaa🙌🙌🙌🙌🙌
@susanjoseph8420
@susanjoseph8420 14 күн бұрын
Pale kwenye ujauzito ndo wap jmn thomas khaa 😅😅😅anakamba huyu mzee
@user-cl3rv6fr1x
@user-cl3rv6fr1x 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 14 күн бұрын
Hujaona yajana kwan
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 14 күн бұрын
Vivi na madevu ni wambea😂😂😂😂
@AtukuzweGift0-kg1ns
@AtukuzweGift0-kg1ns 14 күн бұрын
Hahahahah😂😂ila Mariah😂😂
@stellajoseph6212
@stellajoseph6212 14 күн бұрын
Ila vivi na madevuuu 😂😂😂😂
@mariamakungwa
@mariamakungwa 13 күн бұрын
Hawa ni kiboko 🤣
@YustaNtara-po7cl
@YustaNtara-po7cl 14 күн бұрын
Thomas na Vivian mnanipa Raha sana😂
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 14 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@sheilanaliaka
@sheilanaliaka 14 күн бұрын
It has been long this jua kali
@danielmwakalinga6049
@danielmwakalinga6049 13 күн бұрын
Maiko anaakili
@SalimSalim-wp3zx
@SalimSalim-wp3zx 14 күн бұрын
Maria kubabako kabisaaaa 😢 kama huwezi kutulia na frank wetu achana nae usimfanye mjinga
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 14 күн бұрын
Thomas friji haligandishi lol😂😂😂
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 14 күн бұрын
Nice
@barutilazizi1223
@barutilazizi1223 9 күн бұрын
Upewe maua yako baba
@Fatma-to6rq
@Fatma-to6rq 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂Thomas na viviani duuu alafu maria kitakuramba
@mariamakungwa
@mariamakungwa 13 күн бұрын
Mtoto wa maiko anaona mambo ya vivian na babake 😂😂
@AminaSadallah-yi1dv
@AminaSadallah-yi1dv 14 күн бұрын
Aaisee Mr DJ 🎉 yan kitu natural pasi na ile sauti yavkishenzi inayo wekagwa back ground
@Mrmshindo
@Mrmshindo 13 күн бұрын
🎉🎉🎉dj
@user-jl7ju9pu9h
@user-jl7ju9pu9h 14 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@elvinakalu6991
@elvinakalu6991 14 күн бұрын
Nqmiss drama,Anna na wake wenza,huku kwengine nikuboeka tu
@aishamsofe3274
@aishamsofe3274 14 күн бұрын
Jamani ya Ijumaa sijaionaa
@neemacharles9848
@neemacharles9848 14 күн бұрын
Asante dj
@HeavenlightMarco
@HeavenlightMarco 13 күн бұрын
Ila maria wa mwanzo pengo lake halijazibwa aisee niwe tu mkweli 🤣🤣
@JacklineDavid-nz3fn
@JacklineDavid-nz3fn 14 күн бұрын
Maria khaaa😅😅
@selinalucaschatta5216
@selinalucaschatta5216 14 күн бұрын
Kumbe watu washenzi jmn badala mtoe like kwa alieposti mnaomba ninyi muwe mnaiposti ninyi ili mpewe like fyuuu😂
@floraflora5717
@floraflora5717 14 күн бұрын
Jua bila diba Anna akuna utamu
@wardawilla5618
@wardawilla5618 14 күн бұрын
Gg😅 x vtxdf
@merymery3606
@merymery3606 14 күн бұрын
Jua kali jamani mbona hakuna kipengele cha kina Sofia mm napenda sana hapo kama hakuna hua naona jua kali ikiniboo😂😂
@user-tn2co6ps7q
@user-tn2co6ps7q 14 күн бұрын
na familia ya akin Diba piaa
@merymery3606
@merymery3606 14 күн бұрын
Yeah kabisaa
@user-hf9cc6sw7c
@user-hf9cc6sw7c 13 күн бұрын
❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@DottoKhamis
@DottoKhamis 14 күн бұрын
Lamata Thomas mwengezee buannaaaaa
@ErnestMsemakweli-nm2ok
@ErnestMsemakweli-nm2ok 14 күн бұрын
Daah jmn tuma miendelezo msitutenge hivy
@toshamafikiri5961
@toshamafikiri5961 14 күн бұрын
Mwanamke akiwa nawanahumewote siyo mwanamuke
@BarkerNassir001
@BarkerNassir001 14 күн бұрын
Na nyie wakuomba like wacheni upuzi Hadi miji Baba ina omba like
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 14 күн бұрын
😢😢yaan mpk watumaji wamesusa kututumia skuhz.
@ismailabdalla7953
@ismailabdalla7953 14 күн бұрын
Chwamtaka anna na mpenzi wake
@pendolema2743
@pendolema2743 14 күн бұрын
Mpenzi wa mchongo.
@bagenihuduma1569
@bagenihuduma1569 13 күн бұрын
Maria we ni nyoo asee
@beatricesway5782
@beatricesway5782 14 күн бұрын
Mm naanza kuchukia jua kalii
@user-zw3jt1sh8e
@user-zw3jt1sh8e 13 күн бұрын
majozi yakupigwaa
@buru1235
@buru1235 14 күн бұрын
Vivian mandevu n mashetani sana and for you Femi Tony n Malaya Wa jua Kali km ujuhi heei Lukas wko wallai
[九日 NineSols] 全Boss無傷 | All Bosses [No Hit]
39:59
鸚鵡 | Parrot
Рет қаралды 23 М.
WASAA WA SIFA UKIONGOZWA NA SOUNDS OF HOPE JUMAPILI 12/05/2024
3:28
Iringa Central Church
Рет қаралды 79
СҰЛТАН СҮЛЕЙМАНДАР | bayGUYS
24:46
bayGUYS
Рет қаралды 762 М.
1🥺🎉 #thankyou
00:29
はじめしゃちょー(hajime)
Рет қаралды 77 МЛН
CAN YOU HELP ME? (ROAD TO 100 MLN!) #shorts
00:26
PANDA BOI
Рет қаралды 36 МЛН
JUAKALI SERIES - Behind The Scenes (602024)
1:32
6ix fingers
Рет қаралды 24 М.
Michael ataka kumuoa Vivian - Jua Kali | S7 | Ep 31-35 | Maisha Magic Bongo
2:07
沈腾被春晚毙掉的小品讽刺性太强了,句句都是笑点
12:44
VISA SERIES EPISODE [01]
13:52
Menina Films
Рет қаралды 20 М.
Jua Kali SE07 EP35
0:43
DStv Tz
Рет қаралды 40 М.
Jua Kali SE07 EP34
0:42
DStv Tz
Рет қаралды 27 М.
#LIVE ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU DOMINIKA YA PENTEKOSTE PAROKIA YA KRISTO MFALME
2:53:16
SONAA _ Episode 12
20:41
kp wa Aquino
Рет қаралды 124 М.
МИХАИЛ ЗАДОРНОВ О ГРОЗНОМ.
0:47
Люди говорят • People.talking
Рет қаралды 2,2 МЛН
Книжка где, пончик? #shorts #сериалы #юмор
0:44
Мир Сватов
Рет қаралды 4,6 МЛН
Sigma Boy Magic Lips 💋 #momson #funny #viral #comedy
0:36
Aayush & Abhay
Рет қаралды 2,2 МЛН
Prank ambil hp cewe sampe di kejar
0:27
Ary Afrizal
Рет қаралды 7 МЛН