Kiukweli napenda anavyo jithamini jux mchizi hana time na limbukeni wa mapenzi kama vanesa yaani kwake atabaki kuwa mtalaka tuuu
@mariammgunda91733 жыл бұрын
Pambee yangu macho 👌👌👌
@Ally-ng8ot3 жыл бұрын
Syo kwa jux
@lucianpeter84253 жыл бұрын
all African boys tunajua kuwa hakuna kitu kipya kwenye mapenzi,but wanajitahidi sana kumuumiza mtu ambaye hawafikirii kabisa inaonekana kabisa hao wawili penzi lao si kwa faida yao bali ya wambea wenzo(jux King's of heart) labda rangi tu ndo alichokuzidi
@deondumbaro51463 жыл бұрын
Jux mnyama yuko buxy na mambo yake hanaga hyo k2 hcho kivanessa kinafoc kwa rotim lkn jamaa anonesh hana really love
@ramadhanimhagama50143 жыл бұрын
Moyo haugawanyiki ndio ilivyo katika mapenz vanesa alimpenda sana jux so kinacho happen ni kwamba anafanya hayo yote ili jux aumie lakin jux yuko bize na mambo yake hivyo inaonyesha jinsi gani vanesa alimpenda mnyamwez jux Boy in the building
@noelaleonard34673 жыл бұрын
Vanesa anafos denda lakini rotimi anamtolea nje
@mariamnamwa1883 жыл бұрын
Mara nyingi seems hapendi n pubic
@rosedaniel19813 жыл бұрын
Kwa raha zao😘😘nyie mnao comment vibaya nahisi mko single roho zina wauma tu
@fidianishimwe40353 жыл бұрын
😂😂😂😂
@nsajigwamwamwaja81143 жыл бұрын
Mnapenda sana kujichola ndomana mkiachwa ote lazima tujue jieshimni bas
Mwanamke akishavuliwa chupi na mwanaume huo me wake hauna thaman Tena kwake.... Ila kitakachokuwa na thaman Ni heshima yake nidham yake ndo kitamfanya mwanaume aendelee kumpenda
@aminahamis93433 жыл бұрын
Wanaume hawajaumbiwa mwanamke mmoja hata ukimuheshimu bado akiona mwengine inje atamtaman cha msingi mwanamke ni ujiheshimu wewe mwenyewe na kujithamini ndio mwanaume akuthani
@ashasalim45183 жыл бұрын
Mwanamme akikupenda hata umkosee vipi hakomi akupende kikweli hendi kokote huyo rotim kwa venessa naona mauzauza tuu mtoto wakike ajichosha Sana 🤔 Yani hapo alipo vnesa haoni apoyeza mdaa wakee
@tpdancersvevo92033 жыл бұрын
.
@kpetres28723 жыл бұрын
Jux ako busy na mThailand🤣🤣
@twiga91693 жыл бұрын
Ah wp jux anajua anachofanya juma busy
@chareskyaromwita18603 жыл бұрын
Mapenzi yasikuhizi niyakoborera
@bakarrama61573 жыл бұрын
Jux ameanzaaa kukulaa hata rotimii hajaatambua kunawaa
@ramadhanikiluwa25363 жыл бұрын
Sasa umo kwa vanesa kuna jipya gani kwa jux amegalagala nae miaka yoote leo eti aumie duu iyo aipo wewe
@AmosHashaka3 жыл бұрын
If something is not meant to be, is not meant to be even though you push and forced it won't be authentic. There is alot of women beautiful women on this planet and Jux, hers she is somewhere he got to be patient 😉.
@ashasalim45183 жыл бұрын
Mbwembwe nyingi huyo venessa ataharibu mtanzania hata asome vipi Kuna ujinga flani ataaoge vipi hausfishiki puuuuu....😏
@Dazuu98843 жыл бұрын
Jux dume lijali wewe hawezi umiya kwa shimo ambalo ashalikanyaga sana
@paschalmadeha84383 жыл бұрын
Cjapenda kabx yaani hiy clip yen mnamuumiza juma jux jmn
@kuluthumumussa57543 жыл бұрын
Kina zeeka hakizai kishamba cha mapenzi hichi Usha kua ki bibi zaa huko kwanza jux african boy afu ni mtu alie turia zake
@sergiosumaili18363 жыл бұрын
Kkkkkk vôce ISO e UK jux e um bom gajo vai ter uma boa baby mais voce 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@samwelimwasile66563 жыл бұрын
Like ur couple❤️
@lightnesskitomary28463 жыл бұрын
Ata kama yuko bize lazima aumie
@edahalphonsia68013 жыл бұрын
Kwani yeye jux anakilema au. Acheni unafiki nyieee
@michaelsamwel86213 жыл бұрын
Nice
@imeldakapembe44383 жыл бұрын
Nakupenda Sana Vanessa wane
@arcelokingofficial52813 жыл бұрын
❤️❤️❤️💋
@meshackmganga69483 жыл бұрын
Hizi ni stress tu hamna kitu hapo akili yake yote ni kwa Jux
@hadijasalum63733 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mofanlove27153 жыл бұрын
Love
@misahram4283 жыл бұрын
Pend xan v money
@baradizomarumba68673 жыл бұрын
Mwenyewe
@faridashabani58863 жыл бұрын
Nzuri iyo
@trending71743 жыл бұрын
Asa mbn anamikazo uyo boy yupo kichoko choko
@hadijasalum63733 жыл бұрын
Hatar
@rahabwangeci63483 жыл бұрын
Rotimi aka Dre
@leanhjumbe103 жыл бұрын
Woooooow
@leanhjumbe103 жыл бұрын
Jux ako busy na mambo yake
@aminamwangile40203 жыл бұрын
Mbona jamaa kagoma kulamba ulimi wa dada
@aminahamis93433 жыл бұрын
Wanaume anajiheshim anajua camera inamchukua so akaamua kukausha
@gloryassey39623 жыл бұрын
Ni kama hakupenda umeona alivyokunja uso
@mariamnamwa1883 жыл бұрын
Mara nyingi seems hapendi n public
@estermgonja62703 жыл бұрын
Uhuuu
@mohamedmuhajiri46903 жыл бұрын
Uyu hata simuelewag kbsa..
@amanjackson57193 жыл бұрын
Kuku kama kuku wengine tu,atembee mbele hana jipya, na wewe mtoa post acha upuuzi,Jux atoe machozi kisa choko...????????
@mohdchande30583 жыл бұрын
Sema jamaa anapua kubwa
@hadijasalum63733 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@lovenessnzagamba84263 жыл бұрын
😂😂😂😂
@pilimusa77703 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu
@abelmwangangi17973 жыл бұрын
Is this not DRE wa power
@nahasonandendekisye4653 жыл бұрын
Kapige mswaki ndo utoe ulimi mwenzio ataki uwo ni xhamba
@_ronn_ie3 жыл бұрын
It is
@abelmwangangi17973 жыл бұрын
@@_ronn_ie thanks for this bro
@ashasalim45183 жыл бұрын
Mwanamme amuambia stop it!!!alipoanza mbwembwe za kutowa ulimi Yani kasinywa huyo rotim venessa dadaangu amerika mzima Waka na mwanamme who does not complete you why why .mbona hivi nakuonea huruma Sana
@edahalphonsia68013 жыл бұрын
Kwani yeye jux anakilema au. Acheni unafiki nyieee