Daah broo shukrani nazidi jifunza toka kwako ngoja nile nilale sasa
@allysendege95925 жыл бұрын
Spesho kabwanga nimeanza kupenda hii makala kabla sijakufahamu vizuri kwasababu mimi ni mpenzi mkubwa wa haya mambo sauti nzuri ya mshereheshaji mpangilio nzuri wa sauti ya zao la kipindi zaidi uchaguzi mzuri wa sound track sijui kiswahili zinaitwaje uchaguzi mzuri wa matukio ila ningependa zaidi historia za watu walioleta mabadiliko chanya katika dunia kwa nyanja mbarimbari kisiasa kielemu haya ni maoni yangu ila kwafuraha zaidi ni pale ambapo ningejua ungefuata nyayo za baba yako katika mpira wa miguu ila ukaamua kufuata ndoto zako na mm nakwambia unauwezo mkubwa katika utangazaji unastahili kua sehemu nzuri zaidi ya hapa ila kwa uwezo wa MUNGU atafanya wepesi I will see you at top if God wish
@allysendege95925 жыл бұрын
Kuna kipindi nilikuona clouds cha kampeni ya usafi wa vyoo nikamwambia mwanagu wakuitwa dulla hiba kwamba nimemuona nuru clouds nilifurahi afu uko vizuri mzee baba wakilisha one-day yes
@praxedadominic68925 жыл бұрын
😘😘😘😘
@sirajibakari23365 жыл бұрын
Uko vizur broo
@solomonitv78085 жыл бұрын
Noma sanaaaa
@mathewshedrack48335 жыл бұрын
Hatali sna kufungua mlango mpaka sauti ya mtu aliye teuliwa ndio mlango unafunguka
@damasprotas41265 жыл бұрын
Nimependaaa kazii yakooo mkuuu
@chalietz79695 жыл бұрын
Watatu kucomenti uko vizur boss
@eliastephen27765 жыл бұрын
Asante kwa makala za kuvutia.
@stannerbeats5 жыл бұрын
Endelea kutujuza broo
@martinkurwa52645 жыл бұрын
documentary nzuri sana
@ubwabwa17905 жыл бұрын
brother unajua kupangia sauti yako mpaka unakera yani makala zako nazipenda kulik wali maini.
@fatmahussain57135 жыл бұрын
Asante kwa kutusogezea
@AliBaba-zb3tg5 жыл бұрын
NIkilipata moja Apo mim tajiri Tanzania moja or 2 tu izo ZAHABU
@s.simponda1385 жыл бұрын
good job
@SamoGekondo-rz6hy9 ай бұрын
Naomba kaka ungeze dakika za makalu zako
@khalidkhalid-ks6wd5 жыл бұрын
Nasubiri niwe wa 100 ndio nicomment,sitaki shangwe namsubiri wa 99.
@augustinomwamasinga18945 жыл бұрын
Good work
@hemedshaaban20845 жыл бұрын
Nice jobs
@alliusmugisha39735 жыл бұрын
Wanao lindwa sana ni papa kaka Google and see
@mwikamakomba32835 жыл бұрын
Vipi makazi ya almasi nayo hayalindwi kwa kiwango cha juu
@amirimasunda17805 жыл бұрын
nice bro
@augustinomwamasinga18945 жыл бұрын
God work
@janesuma21935 жыл бұрын
dhahabu zetu hizo
@tumainifesto89105 жыл бұрын
uko vizur wafatiliaji wate twezao
@robertshemaonge60005 жыл бұрын
uko vizur
@youngdady79015 жыл бұрын
Duh hatar sana
@hassansuha24905 жыл бұрын
Tupe zaidi
@imamrema97455 жыл бұрын
💚👍👍👍👍👍👍
@georgenagabona2035 жыл бұрын
nice
@profitmashala17945 жыл бұрын
hizo dhahabu vip
@fahadbmohamed58445 жыл бұрын
Tunaomba historia ya jengo la taj mahal lililopo india
@pendozenda57645 жыл бұрын
Thanks
@shanynyalusi15075 жыл бұрын
Khaaaaa
@batromeombogo71315 жыл бұрын
bado naifikilia hiyo funguo ya hatua 3 anaibebaje
@petromtakati29755 жыл бұрын
kwny zahabu hapo aiseeee
@ahmadsimba21435 жыл бұрын
MmHg.. duh!
@godblesshemed2795 жыл бұрын
Hio zahabu yote hao waingereza wameichimba wap
@marinyasaxistv81215 жыл бұрын
I don't understand swahili Lakini kipindi hiki hua nakisubiri kwa hamu.. Kutoka hapa China
@tumainiwiliam99955 жыл бұрын
Should I teach you
@marinyasaxistv81215 жыл бұрын
@@tumainiwiliam9995 ndyo Tafadhali
@tumainiwiliam99955 жыл бұрын
Talking about very expensive places that are been hide over the world and those places having high security ,protection,place like underground were there prisoner, also in UK there place underground the place having gold ,dimomd,there were using sound of one person to open door as password ,also in America there in underground one company their hidden data for use of communication, also in America there President airplane are thing that there high security to protect airline (private jet)those are place that are so sensitive over world