Aliye wai kuwa mwenyekiti wa simba Muhina Seif Kaduguda amesema tatito kubwa linalo ikabili simba kwa sasa ni wanachama wa simba.
Пікірлер: 244
@MpoleJutaАй бұрын
naitwa Mudrick !!! napenda sana kumsikiliza Mzee kaduguda maana anaongea point sana mungu akupe afya njema na maalifa makubwa
@MICHEZODAIMATVАй бұрын
Uyu sio mangungu ni kaduguda
@FredymaswiMwita-oj6gvАй бұрын
fire 🔥 ukweli hautakuwi kwenye mpira wa bongo..big up brother
@user-xf3lv5xp1iАй бұрын
Kaduguda uko sahihi kabisa
@AlliyFaki-vv5ysАй бұрын
Hatutaki maneno tujenge Simba yeti
@abuyunusmohamed6961Ай бұрын
Mzee ana hoja nzito sana.Anafaa kutangazwa kuwa mtakatifu
@zuberikupaza1184Ай бұрын
Kaduguda shida haiko kwa mangungu bali kwa Mo kwa sababu haja kamilisha uwekezaji wake kwa simba. Kifupi Mo hadi leo ni mfadhili sio mwekezaji!!
@barnabasmalima4823Ай бұрын
na MO anawekaje pesa wakati mchakato haujakkamilika?
@mwanangusanaАй бұрын
@@barnabasmalima4823sasa mbona Kaunda bodi wakati mchakato bado ? C akae pembeni akihitajika ataitwa 😂😂 .... Mbona mwenzake anatoka pesa ila hajanza kuunda bodi ?
@mwanangusanaАй бұрын
@@barnabasmalima4823mo na madunduka wanaviziana tu 😂😂 ... Mchakato bado haujakamilika mtu ameshaunda bodi ...akatimua then akateuwa, Mara rais wa heshima kesho mwenyekiti wa bodi upande wa mwekezaji then mwekazaji ni mudi tea vyeo vyote vyake
@salimmalaka256Ай бұрын
@@mwanangusanaTOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂 MACHOGO FC WEWE
@abdallahmdiliko8088Ай бұрын
Mwamba upo sahii sanaaa
@mosesregnald7117Ай бұрын
Namkubali sana huyu Mzee
@ronaldissack3338Ай бұрын
Safi sana Mzee kaduguda
@Esterkomba-ef7ebАй бұрын
Safi sana kaka
@nurumigeyo4625Ай бұрын
Nimekuelewa vizuri mzee uko sahihi
@josephsabuni795Ай бұрын
Mzee kaduguda ulikia unapiga sana hela za MO sasa wamekutoa kwenye mfumo unaongea ujinga mitandaoni, kubali kukaa pembeni huwezi kua kiongozi wa Simba milele.
@user-bl1tx8fc9vАй бұрын
Kwani kaomba kuwa kiongozi? Acha umbumbuuuu. Mfano kasema wanachama wanasema wao wanataka furaha tu sa huo ni nn si ubumbumbu? Haya wanachama hawajui katiba wanakurupuka tu,,
@yusufukim8439Ай бұрын
Uko vizuri Mzee sasa tunauwekezaji lakini malengo sahihi bado hayafanyiki kabisa,
@user-bn8xs8zd7iАй бұрын
Safi sana kaduguda waambie hao wanachama na mashabiki ni mbumbumbu na njaa😂😂😂
@HabasuFamilyАй бұрын
Akili zako na zake zinafanana maana nyote vigeugeu
@user-jn3nf7uw1wАй бұрын
Simba wa Yuda waambie sambusa na nlopokaji unwell Nguvu nyingi kupambana na watani badala ya kucheza boli uwanjani
@salumjumaruhaga2513Ай бұрын
Mashabiki wwengi ni njaa mjaa pigia mstari hapo
@ericraphael9653Ай бұрын
Uyo mzee anaongea kweli sana na mwuelewa sana
@BakariBakari-sf4ldАй бұрын
Umesema sahihi sana Mzee wangu wanasimba kunachakujifunsa
@namtingakassim5529Ай бұрын
Kwa mantiki hiyo wanachama wa simba ndio tatizo hawaijui katiba yao.ndio maana wamekuwa bendera hufuata upepo na ndio maana wamechagua mtu ambae hana sifa za uongozi wa mpira
@hajikalanje5439Ай бұрын
Hayo kaongee kwenye vikao, tatizo wewe mzee unapenda kusifiwa kwa kuiponda simba
@dicksondotto958Ай бұрын
Mwanafunzi mwenzangu Udsm ,mzee anapiga kitabu cha michezo hana mzaha na yuko full time tuko nae Mabibo hostel, anaishi Simba mda wote.
@raymondsekabigwa5907Ай бұрын
Hamkuwa na wachezaji wenye uwezo wa kuwavusha robo we mzee. Mlikuwa wa kuwavfikisha robo tu
@abiboseleman1649Ай бұрын
Huyu ndio kadugiguda wa mashabik Sema sisi nao Tunazingua kweli
@SimonSamson-wp5ikАй бұрын
Mo anawaburuza 😂😂
@HabasuFamilyАй бұрын
Kuna wanaoburuzwa na gsm lkn cc kimyaaa walifanya uchaguzi mtu na ukuta lkn cc kimyaa
@silvesterrichardhelenya1319Ай бұрын
Ulivyosema hati inamlikiwa na mpangaji ni sawa na ccm seriali inaiwajibisha ccm
@abiboseleman1649Ай бұрын
Sasa mlimpaje upngozi jamani nanyie sindio mpiga lira kadugida
@sebastiansalamba313Ай бұрын
We mtangazaji mjinga hujui maswali huna
@jicholafursa7058Ай бұрын
Acha wivu amejitahidi
@bbclondonulimwenguwasoka6126Ай бұрын
Kajula , Mangungu hawafai
@vaxminja9053Ай бұрын
Kaduguda anajua mpira sanaaaaa na anaongea mpira. Hivi huo ukubwa wa Simba Africa uko wapi? Hawajachukua kombe lolote la Africa.
@allymtunge5530Ай бұрын
Simba wa yuda
@kennedjohn5785Ай бұрын
Hiyo Simba aliyoitaja Mwina ilikuwa sio poa
@salvatorydotto8987Ай бұрын
Kumhoji mtu mwenye Elimu kubwa kuna kazi sana,unafanya nn hicho mwandishi wa Habari 😮😮
@salumjumaruhaga2513Ай бұрын
Simba wa yyuda
@bakarimakalo7128Ай бұрын
Kaduguda acha Kusumbua Wanasimba. Juhudi kila siku zinahitajika, kushindwa kufikia Lengo sio Hoja ya kulala. Wanachama na mashabiki hawana lawama. Hata Kaduguda ni Wanachama na pia ni Shabiki. Aache Upuuzu wake!
@saidmasoud9004Ай бұрын
Mwandishi hujui kuuliza maswali.
@sebastiansalamba313Ай бұрын
Shida ni tajiri,umsajiri vizuri,halafu unauza wachezaji fedha kibindoni tajiri hamna hapo
@GodfreyJames-zt6igАй бұрын
Yeye mwenyewe alikuwemu humo ni mkundu tu huyo ana lolote Kuma huyo
@user-tb4gh1sm9kАй бұрын
KADUGUDA UKO SAHIHI PIA USIACHE KUSEMA SAID IS KUIOKOA SIMBA MO DEWIJI NI TATIZO SIMBA
@user-le3wy6ug7mАй бұрын
🙏🙏🙏
@nadulabudodi1816Ай бұрын
Mzee mwenyewe amekaa jujuu TU kama kabanwa na mavi😂😂
@vumiliamgendi148Ай бұрын
Kweli baba tunaomba utusaidie kuling'oa lile lizee
@filbertntibasiga8093Ай бұрын
Tuachia yanga yetu sisi viongozi na timu wakizingua wote nje sisi ni taasisi kama hawalijui hili yanga tunataka ubingwa wa afrika na uwanja mengine watajua wao
@mtumeananiasjohachim8760Ай бұрын
Mimi siyo mbumbumbu mzeee, wanangu wanakula kupitia mimi, hao unaotuita mbumbumbu inawezekana tukawa tumekupita maisha palefu Sana na umbumbumbu wote.
@asasiame500Ай бұрын
Shida hujaelewa kile ambacho anazungumza, wameelewa waliosoma cuba
@tonyelshabbazАй бұрын
Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo mbumbumbu
@salvatorydotto8987Ай бұрын
Hujamwelewa mzee, unaweza ukawa una elimu kubwa ila kweny mpira ukawa zero yaaan mbumbumbu hajasemea maisha
@jumandangu9909Ай бұрын
Hizi Tim Za Simba na Yanga Mpaka Ziachiwe na Serekari Ndio Zitafanya Vizuri huo uwekezaji Unacheleweshwa na Serikari
@abdallahomaryabdallahАй бұрын
Kweli.kaduguda.mangungu.hana.uwezo.
@michaelmaziku991Ай бұрын
Kwl mzee wanachama wengi ni mambumbumbu ndio maan tuliletew Manzoki kwenye uchaguzi halaf wakawachagua leo wanaanza kulialia
@AliAli-uv5gwАй бұрын
"Mbumbumbu inaendelea"
@abdulhamidnjovu6031Ай бұрын
Mtangazaji ana 'bore' sana...anaidharirisha taaluma kwa kutojipanga wala kuelewa mantiki ya hoja za anayemuhoji!
Mzee anapita kila siku media anataka nin , hii timu ni ya public, anapita kila media anataka nin mi hata sielewi
@HabasuFamilyАй бұрын
C anapewa chochote kitu na gsm ili avuruge makusudi sbb kakoseshwa kula
@mwanangusanaАй бұрын
😂😂😂 kwani yeye sio sehem ya iyo public au wewe unaelewa Nini kuhusu iyo public ?? Au ni makosa kuwa na mtazamo tofautiii tofautiii?
@mwanangusanaАй бұрын
@@HabasuFamily... Kwa mitazamo ya namna hii yanga Bingwa 😂😂😂 ..... Hiv madunduka wakat miaka 4 ya ubuntuu ile ya moto 🔥 pale juu kagere chama miquissone bwalya , kotei , wawa , joash ... Okwi ndo hii ya akina jobe , Fred na sawadogo 🤣 😂🤣... Halaf Rudi yanga ya yikpe , Molinga , sibomana , kindoki ... Halaf Rudi sasa pale Paccome Zouzoua, Aziz ki , Diarra , Max halaf bado mnakuja na mawazo barafu kweli ?? Mwambie muamed arudishe watu wa mpira pale msimbazi punguzen janja janja ndugu zanguni bhana Enzi zile unamkuta Hans Pope Evance Aveva Geoffrey Nyange Kaburu Mwamba mkubwa magori Sued Mkwabi ...... Halafu kule yanga kipindi Wana manji Alikuepo Bin kleb Seif magari David mosha
@sinemazakoreaАй бұрын
Mzee unazunguka zunguka lkn point yako ni mangungu sio mtu wa mpira, ukija kwa wanachama wameshaelewa mtu waliomkabidhi hawezi kuwafikisha popote ndio maana wanataka ajitoe..sasa we tuambie mwanachama anatumia kipimo gani kujua huyu mtu atafanya hiki au hiki zaidi ya ahadi za mgombea wanachama wapo sahihi waliishi kwenye ahadi za mangungu ila ahadi hazijaenda kama walivyotaka sasa wanachama unawalaumu kwa kipi
@BensonKelvin-tr7ulАй бұрын
Hii ndimu anayo isema 😂😂😂😂 bila D mbili utoboi 😊
@luckygmdegela8477Ай бұрын
Toka wee
@rehemamejja8342Ай бұрын
Tumkuelewaaa
@saxannjo6173Ай бұрын
Mashabiki NJAA na kina MZARAMO,,,,KISUGU,,,😂😂
@mack_vita_onyango8409Ай бұрын
Anadhani kuingia nusu ninkazi nyepesi, nenda ulaya arsenal mpaka leo hana kombe la champions league
@davidfelician2903Ай бұрын
simba wamekosa watu wa mpira walifeli hata kusajili watu .nashauri body iondoe viongozi hao wote wasiokuwa watu wa mpira.
@MashakaMpuruti-di9dcАй бұрын
Huyo alikua kiongozi alifell zaidi mpaka ka fukuzwa akosa ubunifu amebaki kutamani nafasi yakazi hawezi pata
@SaidaYakubАй бұрын
Yanga mpeni Kadugida kibarua huyo, kelele zote hizo anatafuta sifa mumuone! Mzee mzim asiyekaa akashaurina na wenzake badala ya kuzunguka kwenye vyombo vya habari!
@nimlambangu2771Ай бұрын
Kawekeze katika kutuelimisha maarifa uliyonayo wape basi na wengine
@user-gr9wc7bc2mАй бұрын
Kilomoni mwingine huyu hapa
@fredrickipembe8188Ай бұрын
Huyu mzee siku hizi mimi simuelewi
@mwanangusanaАй бұрын
@@fredrickipembe8188😂😂😂 kama alivyokuwa hawaelewi mashabiki oya oya
@MohamediOmari-nz4vvАй бұрын
Anasema ukweli mashabiki awajielewi
@salumjumaruhaga2513Ай бұрын
Duuuu kwwelii ni mambumbu
@chemstry409Ай бұрын
Mashabiki MBUMBUMBU....😂😂😂
@gordiansoko9113Ай бұрын
Huyu mzee njaa inamsumbua sasa anaweweseka anatembea kwenye vituo vya redio kuichafua Simba.
@LowasaSanareАй бұрын
Huu ndio kiongozi Sasa anaona mbali sanaa lkn pumbupumbu hawatawez kuelewa huyu mwamba
@rajabumsuya-hg8jdАй бұрын
Hiyo aya alieitoa inaingiaje hapo? 😊😊😊😊😊😊
@velxempire8995Ай бұрын
mzee umeongea point mpira unahitaj ueled
@shaurichapote1138Ай бұрын
Mzee wangu kwa heshima yako ayo mambo ungeachana nayo tu wew kwenye uongozi wako umefanya nini?
@chemstry409Ай бұрын
KADUGUDA ANAONGEA KWELI TUPU....
@chemstry409Ай бұрын
BLAHH BLAHH...MASHABIKI NJAA.......😂😂😂😂😂
@AllyShaban-ms7otАй бұрын
Una mpila wa making wakat wew Ni kiongoz uliipeleka WAP ximba
@HamisMghuna-fj3vzАй бұрын
MO Mangungo Tray again wote wapigaji
@babycandycharles7816Ай бұрын
Kweli mzee mashabiki wa Simba mbumbu wanafuraiya kitu chakijinga mo kaongea mtandaoni wao wanafuraiya mwiteni mo aje mkae kikaopamoja siokuongea mitandaoni mnajifanyamnajuwa hamjuilolote ndiomaana mnapingwa namtapigwa kilasiku Sasa mo kaludisha viongozi walewale mnafuraiya ligi ikianza hatumtaki furani hamuoni hapo mashabiki mnashida kazi mnakaa kwenyemidia mnatukana viongozi huu Sasa ndiowakati wakukutana na viongozi kwapamoja nakuongea ukweli
@AllyShaban-ms7otАй бұрын
We mzee huna akil
@faustinombilinyi9809Ай бұрын
Kaduguda ww mwenyewe mwanachama kwa hiyo na ww ni mbuumbuu tuu si mwanachama
@fadhilisuleАй бұрын
Tafadhali sana kaduguda mbumbumbu ni hao Simba usichanganye hapo,
@mussampagama3065Ай бұрын
Kweli kabisa, anyooshe maelezo huyo mbumbumbu
@hashimsadiki4389Ай бұрын
Tatizo ni project. Club inaendeshwa kama mali ya mtu binafsi
@lusajomwasumbwe2735Ай бұрын
Huyu mzee mwanzoni sikumuelewa ila kaongea point sana
Sasa kwani Kaduguda si aliwai kuwa kiongozi pale Simba alifanya nini cha maana
@user-ht5tc5yv5tАй бұрын
Wanasimba mtaendelea kuporomoka kila siku mkiendelea kukaza fuvu, na saiv mnafurah et mwakan mtabeba kombe kisa moo karud lkn mwakan baada ya msimu kuisha mtagombana hivhiv make hamjielew
@Kabeya410Ай бұрын
KWELI ENYIMBA YA JUZI IMEBEBA UBINGWA
@babycandycharles7816Ай бұрын
Hapa shabiki muelewa mchome pekeake kapinga maneno ya mo lakini waliobaki kilamtu anakwambia kafuraiya maneno yamo haya ngojainyeshe tuone panapovuja
@saidmasoud9004Ай бұрын
Mwandishi mjinga hujui kitu
@danielelikana2615Ай бұрын
Hakika Kaduguda unaongea ukweli kabisa!! Wanachama wa Simba ndo Mapoyoyo kabisa!..mgombea anawaletea Manzoki na kulishwa pilau bila hata kufikiria, mnampa uongozi...upuuz kabisa!!
@mtegemeemungusiomwanadamu6618Ай бұрын
Huyu mzee ana akili sana
@shukurually8769Ай бұрын
Kiukweli hata mimi nasema tatizo la simba ni wanachama na mashabiki
@MohamedMshitiАй бұрын
Wewe Mzee mbumbumbu mama yako Kuma mamaako!
@marwawilliam3648Ай бұрын
Haichukui nafasi ya Jobe😂
@makamelilaАй бұрын
Ama kweli kila mtu haoni kisogo chake huyujamaa kaongoza tff kafeli kaja simba kafeli leo anawafuja wenziwe hahahaaaaaa balaa hili
@AllyShaban-ms7otАй бұрын
Mbna Kuna Tim kubwa zinaixhia robo acha njaa
@abdallahomaryabdallahАй бұрын
Mo.hana.tatizo.si.anatowa.hela.zake
@YOSHUAMWAMPETAАй бұрын
KADUGUDA UKO VIZURI NAKUFAHAMU
@richardkwayson7202Ай бұрын
Huyu mzee ananzaa anatafuta pakula...
@chemstry409Ай бұрын
RAGE ALIKUWA RIGHT KUWAITA WANACHAMA WETU MAMBUMBUMBU...KADUGUDA.
@songombingo108Ай бұрын
Yanga hawapo kama Madunduka. Mpaka majuzi wamefanya kikao kwa amani na ubingwa mara 3. Madunduka nendeni mkajifunze kwa Injinia Hersi.
@HabasuFamilyАй бұрын
Injinia aliiga kwa waliochukua ubingwa Mara nne
@yassinchuwa8824Ай бұрын
Mtamuelewa mchome tuu. Mchome popote ulipo.... Here hoa!!
@user-sq4sz5jj2gАй бұрын
Mamelod wamecheza robo ngap na ni wakubwa kuliko ss mzee unataka ugal hy ni footbal tu