Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran

  Рет қаралды 145,773

Kalamutz

2 ай бұрын

Пікірлер: 347
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 2 ай бұрын
Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran
@mussammanga7791
@mussammanga7791 2 ай бұрын
Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.
@user-io8hn1jb4d
@user-io8hn1jb4d 2 ай бұрын
Iran sio waarabu
@mussammanga7791
@mussammanga7791 2 ай бұрын
@@user-io8hn1jb4d Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao. Au kwsbb wanazungumza Kifursi.
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 2 ай бұрын
Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 2 ай бұрын
​@@user-hy5zd5rn6riweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅
@saidiyusufumuhode3159
@saidiyusufumuhode3159 2 ай бұрын
Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi
@abdul-qadirkhamis2518
@abdul-qadirkhamis2518 2 ай бұрын
MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 2 ай бұрын
Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!
@ibrahimsalad1717
@ibrahimsalad1717 2 ай бұрын
Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa
@somoeomar4861
@somoeomar4861 2 ай бұрын
Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot
@deusisindwa616
@deusisindwa616 2 ай бұрын
Asante sana kaka ❤❤ Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 2 ай бұрын
Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi Ай бұрын
Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et
@dulax2457
@dulax2457 2 ай бұрын
Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer
@revocatusjilala2441
@revocatusjilala2441 2 ай бұрын
Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja
@SuperMtani
@SuperMtani 2 ай бұрын
Asante
@allynassor1119
@allynassor1119 2 ай бұрын
Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk
@onelinelyrics200
@onelinelyrics200 2 ай бұрын
Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi
@rk-rp2un
@rk-rp2un 2 ай бұрын
Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana
@hanspop6961
@hanspop6961 2 ай бұрын
Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 ай бұрын
Mchambuzi uko vizuri sana
@mohamedjakaya5355
@mohamedjakaya5355 2 ай бұрын
Maelezo mazuri sana pamoja na ushauri juu ya kuwekeza kwenye elimu ya ujuzi
@snuramushi9612
@snuramushi9612 2 ай бұрын
Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga
@user-to7bs5pl4n
@user-to7bs5pl4n 2 ай бұрын
MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 2 ай бұрын
​@@user-to7bs5pl4n😂😂😂😂 mtajpa puresha bure kwaiyo mungu ndo Alie waambia wawe wanachokoza watu😂😂😂😂
@Alkaburu
@Alkaburu 2 ай бұрын
​@@user-to7bs5pl4nkwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?
@afrahamohamedi6301
@afrahamohamedi6301 2 ай бұрын
​@@user-to7bs5pl4nwewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli
@user-uv8lo5jo3s
@user-uv8lo5jo3s 2 ай бұрын
Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun
@alibinali_
@alibinali_ 2 ай бұрын
Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli
@user-vj8eu7ih4k
@user-vj8eu7ih4k 2 ай бұрын
Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Ай бұрын
Duu safiii broooo
@user-db3vt4ei6b
@user-db3vt4ei6b 2 ай бұрын
Very good mr for this story and i believe that one day you will be a big man in this world in term of revolutionilist
@0diraWilson
@0diraWilson Ай бұрын
Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 15 күн бұрын
​@@0diraWilsonMungu wa Israel ni marekan na ndio mungu wako pia
@user-bo1ew3xq6w
@user-bo1ew3xq6w 2 ай бұрын
Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.
@hajimrisholukamba602
@hajimrisholukamba602 2 ай бұрын
very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense
@kokubukoba7510
@kokubukoba7510 Ай бұрын
Great analysis, asante
@fadhilimnyanga6400
@fadhilimnyanga6400 2 ай бұрын
Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 ай бұрын
Cuba ndio nchi yenye vikwazo zaid
@radjabusuleiman6486
@radjabusuleiman6486 2 ай бұрын
WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.
@selemanshemea4093
@selemanshemea4093 2 ай бұрын
Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.
@suleim505
@suleim505 2 ай бұрын
Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge
@muhamadharun9432
@muhamadharun9432 2 ай бұрын
Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel
@user-sc4ql5kf9v
@user-sc4ql5kf9v 2 ай бұрын
Hongera brother
@yussufmiraji9408
@yussufmiraji9408 2 ай бұрын
Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 2 ай бұрын
Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 2 ай бұрын
@@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui
@jumaali4893
@jumaali4893 2 ай бұрын
Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna​@@osmaniidrisa6290
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 2 ай бұрын
​@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 2 ай бұрын
Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani
@hilalisaidseif8483
@hilalisaidseif8483 2 ай бұрын
MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 2 ай бұрын
Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.
@senikomanya7223
@senikomanya7223 2 ай бұрын
Kweli aisee kama iran ingekua inasubir kupewa hakika ingekua imeisha anguka
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z Ай бұрын
Mhadhiri umesaidia uchambuzi mzuri na umetupa manufaa sn kuelewa hali ilivyo mashariki ya kati na ht mgogoro wa Israel na Iran. Thanks
@krisantmwaipungu1434
@krisantmwaipungu1434 2 ай бұрын
Well said brother
@Mbmaster-os5oi
@Mbmaster-os5oi 2 ай бұрын
Hongera ndugu
@user-tf3vf8rj8n
@user-tf3vf8rj8n Ай бұрын
Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua Kaka Allah akubarik
@user-pf2qk8fz9o
@user-pf2qk8fz9o 2 ай бұрын
Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi
@ShadrackMwikoni
@ShadrackMwikoni Ай бұрын
Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year
@PatrickBarnabas-fs4ow
@PatrickBarnabas-fs4ow Ай бұрын
Umetisha
@SalamaKhamis-un8vn
@SalamaKhamis-un8vn 2 ай бұрын
Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka
@ramadhanmazije3882
@ramadhanmazije3882 2 ай бұрын
Hongera broo
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 2 ай бұрын
Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua
@abdulpagali7476
@abdulpagali7476 2 ай бұрын
I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.
@HabibuMudhwahir
@HabibuMudhwahir 2 ай бұрын
اللهم صل على محمد وال محمد
@user-yv2mx1vq3w
@user-yv2mx1vq3w 2 ай бұрын
I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 ай бұрын
Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 2 ай бұрын
Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 2 ай бұрын
Uchambuzi mzuri sana
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 ай бұрын
Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 2 ай бұрын
Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 2 ай бұрын
​@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.
@martinisadru9899
@martinisadru9899 2 ай бұрын
​​@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 2 ай бұрын
@@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu. Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅
@ramadhanmazije3882
@ramadhanmazije3882 2 ай бұрын
Tatizo ukijaribu tuu kuwekeza kwenye elimu itakayoikomboa nchi west wataleta figisu na hatuziwez figisu zao kwa kuwa uchumi wetu ni tegemez
@abdulkasukari5481
@abdulkasukari5481 2 ай бұрын
Good Presentation
@saiddarrus6400
@saiddarrus6400 2 ай бұрын
Hats off brother
@user-pe4lj4zl5n
@user-pe4lj4zl5n 2 ай бұрын
Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉
@GapsonRevoson-bn7nt
@GapsonRevoson-bn7nt 2 ай бұрын
Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 2 ай бұрын
Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...
@fadhilimnyanga6400
@fadhilimnyanga6400 2 ай бұрын
Nice work broo..nakusoma mjomba
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 2 ай бұрын
Maashaallah umetufunza
@peterokoo7962
@peterokoo7962 2 ай бұрын
Jamaa akovizuri sana
@jafariHabibu-jc9zf
@jafariHabibu-jc9zf 2 ай бұрын
Nakushukuru sana bro nimekupata vyema
@jumamohammed2748
@jumamohammed2748 2 ай бұрын
Mashallah mwalimu wangu Mr Mtani, nimekuelewa sana.
@NgamelaYussuph
@NgamelaYussuph 2 ай бұрын
Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 2 ай бұрын
Lets wait
@RamadhanmwidiniUdulele
@RamadhanmwidiniUdulele Ай бұрын
My love teacher % fact
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 2 ай бұрын
Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran
@AnthonyGabriel-ou7wz
@AnthonyGabriel-ou7wz Ай бұрын
Tuambie imekuwaje Ajali ya Raisi wao?
@saidngumbi6222
@saidngumbi6222 2 ай бұрын
@simulizi na sauti
@issakawaya8315
@issakawaya8315 2 ай бұрын
Mashallah
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 2 ай бұрын
Iran fumua nuclear hao mazayuni na huyo mmarekani
@akidashekue163
@akidashekue163 2 ай бұрын
Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 2 ай бұрын
Mmmhhhh pole bhana
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
NDIO WAO WOTE HAO LAKINI ZAO ZIMEFIKA.
@YassinAwami-yi8jd
@YassinAwami-yi8jd 2 ай бұрын
Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point
@shabaniramadhan6751
@shabaniramadhan6751 2 ай бұрын
Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.
@user-nc7fx2qc2v
@user-nc7fx2qc2v 2 ай бұрын
Wairani hawakubali utumwa kama waarabu
@stanslauslawa4777
@stanslauslawa4777 2 ай бұрын
Bro comment yako juu ya elimu nimeikubali 100%
@MohamedKasalama
@MohamedKasalama 2 ай бұрын
Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi
@NoelNjementi
@NoelNjementi 27 күн бұрын
Kwer mumeamini kuwa Israel inatisha ee vita inakufa nawatu wengi
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 ай бұрын
Silaha wanazopewa waarabu hazitakiwi kuzidi uwezo wa Israel
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 ай бұрын
Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.
@SaidiChinduli
@SaidiChinduli 2 ай бұрын
Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.
@user-fn5zt6tm1h
@user-fn5zt6tm1h 2 ай бұрын
Anaejua anajua tu Hongera umetufumbua macho
@Inbrajabtv
@Inbrajabtv 2 ай бұрын
Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana
@mehboobdosa3719
@mehboobdosa3719 2 ай бұрын
Safi,na
@omaryyusuph3251
@omaryyusuph3251 2 ай бұрын
Ushauri mzuri sana serikali ilione hilo kwa jicho la tatu
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila Ай бұрын
Israel na marekani hawaiogopi Bali wanataka watu Iran inatakiwa wawe Huru hawapo huru kwaana siyo mda mrefu tulishuhudia wanawake wakiuwa bila sababu wanaandamana lakini hawakuweza kwahiyo Mimi naona siyo nchi ambayo inaviongozi making huko mashari ya kati Kuna nchi Zina nguvu ila zimetulia sana mfano nchi yenye nguvu kama Kuwait Iran inapenda ukubwa ingali haijafikia level hiyo
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 2 ай бұрын
Safi sana Iran
@safarichui8551
@safarichui8551 2 ай бұрын
Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979
@surerichard1116
@surerichard1116 2 ай бұрын
🙏
@athumanimvula3718
@athumanimvula3718 2 ай бұрын
Irani wako vizuri sio kwenye tekrnolkgia tub, pia wamesomesha watu wao dini ilimtu hataakipata uongozi awe na hofu ya Mungu.
@issackmfeti6708
@issackmfeti6708 Ай бұрын
Mtu kama huyu ni msaada sana kwa nchi, ama kweli ni mchambuzi nimemuelewa vizuri sana
@amrannjiwa
@amrannjiwa Ай бұрын
big up
@saidahmed9688
@saidahmed9688 2 ай бұрын
good story
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 ай бұрын
Nchi zenye kufanya maajabu makubwa kama hayo zilijikita na ku invest ktk masomo ya Sayansi Sisi Nchi zetu kufikia hizo level sio leo wala kesho kwani tumejikita zaidi kuwaandaa vijana wetu Kuja kua Wana sheria tuna wanasheria wengi mno kazi kujisifia WAKILI MSOMI 😂
@jumasaidswaiguti4190
@jumasaidswaiguti4190 2 ай бұрын
Hongera kwa presentation nzuri na kwa ushauri uliotoa kwa serikali na jamii kuwekeze kwenye technologia badala ya vyuo vikuu.
@musasabuu2808
@musasabuu2808 2 ай бұрын
Mwenyezi mungu ibaliki iran
@sameerbaksh98
@sameerbaksh98 2 ай бұрын
Tatizo watanzania huwa hatatuk kupata elimu kila kitu tufata ushabik please ongezen elimu kusoma bila kutumia din wala ushabik
@mapromovichege6997
@mapromovichege6997 2 ай бұрын
Allah akbar
@NoelNjementi
@NoelNjementi 27 күн бұрын
Israel iliwambia Italipa kisasi mliona kisasi chake mliona kisasi chakutosha mpaka amtosaau mlivyo fanywa
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 2 ай бұрын
Mchambuzi nakushukuru sana
@EligiusRichardGoldenboy
@EligiusRichardGoldenboy Ай бұрын
@kilungoramadhani7291
@kilungoramadhani7291 2 ай бұрын
Selekali yetu haipendi kushauliwa Apo ukiludiatu Utaenda kupumuzishwa
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Shida Tanzania siasa imetawala na uchawa tu,
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 18 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 81 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 23 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 18 МЛН