No video

KAMBI YA SIMBA MISRI | Kocha Fadlu, mratibu wa timu, wachezaji wazungumzia kambi

  Рет қаралды 74,879

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Tazama mkusanyiko wa matukio katika kambi ya Simba SC, ambayo hadi leo imetimiza wiki moja tangu waanze kujifua jijini Ismailia nchini Misri.
Kocha wa timu hiyo Fadlu Davids, Mratibu wa timu, daktari wa timu na wachezaji watoa neno kuhusu maendeleo ya kambi na mtazamo wao kuelekea msimu ujao.
#KambiYaSimba #Preseason #SimbaSC

Пікірлер: 101
@patrickkimamba7124
@patrickkimamba7124 Ай бұрын
safi sana che malone kwa kututia nguvu
@abdallahally842
@abdallahally842 Ай бұрын
All the best simba nguvu moja
@YustaFrank
@YustaFrank Ай бұрын
Naipenda simba tuwaombee tu wachezaji wetu🤝🤝
@user-gz2or2ui9n
@user-gz2or2ui9n Ай бұрын
Allah awape nguvu wanajeshi wetu
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 Ай бұрын
Boss karudi simbaaaaaa nguvu mojaaa
@RoseAbdul-m7w
@RoseAbdul-m7w Ай бұрын
Nice
@shabanimzalla7108
@shabanimzalla7108 Ай бұрын
Simba sc nguvu Moja 🇹🇿, Raha sana
@shevbran7390
@shevbran7390 Ай бұрын
Nguvu moja 💪🏻we will conquer 🫶
@user-bc4cz7vo1x
@user-bc4cz7vo1x Ай бұрын
Allah walinde na wachawi wote mue na afya njema inshallah Amiin inshallah Amiin
@mussangalawa2403
@mussangalawa2403 Ай бұрын
Kabla ya simba day wachezaji wakirudi wafikie pahara isomwe dua ya Abaldili kwa yeyote atakaeifanyia ubaya club kuanzia kwa wachezaji wasio waaminifu mpka viongozi wale yamini ya umoja wa kuipigania club na kwa walio nje ya club ambao wanadhamila mbaya dhidi yetu na wachezaji wetu waangamie kama jua lizamavyo.
@emmanueldaudi3797
@emmanueldaudi3797 Ай бұрын
Hakuna ubaya wowote ni kuwa na quality tu msijidanganye Wala hakuna kurogwa Wala Nini
@mussaismail1285
@mussaismail1285 Ай бұрын
Alie muelewa chemlon kama mm aseme nguvu moja
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile Ай бұрын
Nguvu moja
@user-zh1fd8zv1x
@user-zh1fd8zv1x Ай бұрын
Asanteni sana wana jeshiwetu mbambaneni msimu huu mutoondolee ahibu
@RashidKindezi
@RashidKindezi Ай бұрын
Simba dam dam
@RashidKindezi
@RashidKindezi Ай бұрын
Simba nguvu mojaaa
@RashidKindezi
@RashidKindezi Ай бұрын
Unyama mwingi
@RashidKindezi
@RashidKindezi Ай бұрын
Mwaka uuu mbona wata koma watan
@SalimRamsei-ok9el
@SalimRamsei-ok9el Ай бұрын
Nomaa sanaa
@peacerichard8970
@peacerichard8970 Ай бұрын
Wizard fc wanawaza uchaw tu, wizard wa Africa
@user-be9zz3yg1f
@user-be9zz3yg1f Ай бұрын
Mbele za mungu hakun uchawi wameaza na Bismillah wamemaliza na alihamdullilah
@lastbornofficialtz
@lastbornofficialtz Ай бұрын
I love you Simba ❤❤❤
@EsauDidiye-qs3ej
@EsauDidiye-qs3ej Ай бұрын
💯💯💯💯💯💯 nguvu moja
@IssaRamadhani-f2h
@IssaRamadhani-f2h Ай бұрын
Simbaaa nguvuu mojaa
@MrBm369
@MrBm369 Ай бұрын
We love you Simba
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 Ай бұрын
Sipendi kusema Mimi wa kwanza , nishazivuka hizo level
@shukranionesphoro7744
@shukranionesphoro7744 Ай бұрын
Good language from chemalon
@BakariHamisi-ke6zv
@BakariHamisi-ke6zv Ай бұрын
safi Sana Yani mwaka huu tuta wapima umri mana tizi limekolea
@emmanueldaudi3797
@emmanueldaudi3797 Ай бұрын
Jidanganye
@godfreymbevi2879
@godfreymbevi2879 Ай бұрын
I congratulate Che Malone Fondoh for your brilliant briefing regarding the training going on in EGYPT for Simba sports club. But my question is that, your club will be playing in pitches with a lot of challenges, for more than two seasons you have been going to the same location without bringing the new chapter in our premier league. So what new results the fans should expect from you with the same training ground, same weather and ambition?
@essaumabala6277
@essaumabala6277 Ай бұрын
your question is so brilliant
@SamsonSaruni-s3g
@SamsonSaruni-s3g Ай бұрын
🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@soniimedia2440
@soniimedia2440 Ай бұрын
Simba nguvu mojaaa😮
@nbwchannel4997
@nbwchannel4997 Ай бұрын
Dah!! Utopoloo wachawii
@elbarrey3305
@elbarrey3305 Ай бұрын
Huyu kapombe na zimbwe basi tena inatosha🙏🙏🙏
@flova7022
@flova7022 Ай бұрын
You know nothing ..
@OmarmakameHaji
@OmarmakameHaji Ай бұрын
Basi ww
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u Ай бұрын
Kila laher yakambi hapo misri muwe naafya njema wote kwaujumla tunawapenda
@Tobejr
@Tobejr Ай бұрын
Nguvu moyaaaa💪💪
@alexlipili9343
@alexlipili9343 Ай бұрын
Kikubwa Dua tuuu Yani,,
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp Ай бұрын
Simba nguvumoja
@salehsultan8887
@salehsultan8887 Ай бұрын
My Team
@CikeTanzania
@CikeTanzania Ай бұрын
Zetu dua tuu.
@CleophaceLisakafu
@CleophaceLisakafu Ай бұрын
Nguvu moja viva lunyasi
@brunoh_bx
@brunoh_bx Ай бұрын
Utopolo wametulia wanasubiri kuwaroga tu😂😂
@joviniproches8238
@joviniproches8238 Ай бұрын
😅😅😅
@baracknyerembe2192
@baracknyerembe2192 Ай бұрын
😂😂😂
@KijaJohn
@KijaJohn Ай бұрын
😂
@laurentwilson-db4ir
@laurentwilson-db4ir Ай бұрын
Msimu ujao uto nawaloga pia wandelee na upuuzi wanaume wanafanya Kazi wao Kazi kuloga
@lutiak7618
@lutiak7618 Ай бұрын
Kwa kweli wamejichimbia wanawanga mwaka huu kila mtu na lmani yake
@NdayishimiyeDjuma-is8gg
@NdayishimiyeDjuma-is8gg Ай бұрын
Chemalone deserve to be a Captain
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
I second this
@BigDreamsWorldwide
@BigDreamsWorldwide Ай бұрын
KOCHA NI FADLU SIO DADLU
@OmaryJafary-vu6en
@OmaryJafary-vu6en Ай бұрын
❤❤
@barakaonlinetv1318
@barakaonlinetv1318 Ай бұрын
Mwamedy shabalala usije mpiga mbao yule mbadala wako bhana tunataka msaidiane mtupe raha,usije mvunja mguu km boko alivyomfanyia kramo,plz plz,tunaumia mashabiki
@HalmaAlly-up9pq
@HalmaAlly-up9pq Ай бұрын
Dua nyingi
@JohnEugeni-f8m
@JohnEugeni-f8m Ай бұрын
Tuandae timu Ila tusisahau utopolo Wanga huwa wanawafunga wachezaji Hilo tulifanyie kaz
@AminaRashid-wl8fe
@AminaRashid-wl8fe Ай бұрын
Simuoni mkandaji
@longlive_k10
@longlive_k10 Ай бұрын
Che Malone kama amesifia basi naamini kweli wanapikwa ,... jamaa haongei uongo hana siasa
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Ай бұрын
Utopolo michawi ,mfano kramo katupiwa majini hata mechi moja hajacheza
@SaidThomas-x3q
@SaidThomas-x3q Ай бұрын
Utopolo hatari nikua makini
@LucianaWilson-z2i
@LucianaWilson-z2i Ай бұрын
Nguvu moja
@MarcoMasabo-nd2wp
@MarcoMasabo-nd2wp Ай бұрын
Malone suppose to be a captain
@Jastus100
@Jastus100 Ай бұрын
Na tshabalala?
@nanjiTv
@nanjiTv Ай бұрын
Sureee ,
@jeofreymsomba7200
@jeofreymsomba7200 Ай бұрын
Wanganga wapo avic😅😅😅
@user-vw2ux5sh4x
@user-vw2ux5sh4x Ай бұрын
Malon huna baya kabisa
@MusaHamis-oz2rg
@MusaHamis-oz2rg Ай бұрын
Mbona matola tena
@edgarcruzee5223
@edgarcruzee5223 Ай бұрын
Matora atufao anatenga wachezaji na mra Rushwa ajui chochote ni fitina tu
@eliashagai7920
@eliashagai7920 Ай бұрын
Plz Kam Simba unaona vipi hama ,Kipindi hiki sio Cha kulaumiana au kumnyoshea kidole mtu,Matola ni mzalendo Sana kaa nae karibu au uliza wachezaji wakwambie
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv Ай бұрын
Hii ni kweli kabisa Matola hafai Huwa anachukua rushwa hasa Kwa wachezaji wazawa hii ni taarifa kutoka Kwa mchezaji aliye kuwa anachezea Simba Simba ilikula Tano nayeye alikuwepo
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba Ай бұрын
Hakuna timu inayo Ogopewa kwa uchawi barani afrika kama kolo fc ukitaka kuthibitisha hili waulize Olando ya south afrika.
@hastatz
@hastatz Ай бұрын
Sawa
@gwakisamwaseje7849
@gwakisamwaseje7849 Ай бұрын
Mpira ni science na sio uchawi kaka
@Gisakijamaduda
@Gisakijamaduda Ай бұрын
Ngogwe fc hamjui manara alimaanisha wajomba zake kwa kizaramo,lakini utopwax wanafikiri ni jina baya!!!!!! hamna akili kabisaaaaaaaaaaa utopwax weeeeeeee
@eliashagai7920
@eliashagai7920 Ай бұрын
Na wewe mchawi
@storytime1204
@storytime1204 Ай бұрын
Ndio maana na nyie mnanyeshwa supu za vibudu😂😂😂
@AlifaHamis
@AlifaHamis Ай бұрын
Mbona kibu haonekani au Asha Anza kuji sikia na yeye
@samwelnyaulasmaiko9968
@samwelnyaulasmaiko9968 Ай бұрын
Aondoke Hana msaada yule anakimbia tu kama ngiri
@frankmalema5350
@frankmalema5350 Ай бұрын
Mafaniko yajayo utasikia wenzenu walikuwa wanafanya zoezi misri nyie mlikuwa wapi naiona simba inabeba shirikisho
@muuh_barber8578
@muuh_barber8578 Ай бұрын
Isra mwenda na Kibu vipi ?
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig Ай бұрын
Ubaya ubwela utopolo kwisha abli yao
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 Ай бұрын
Misimu huuu tusirogane bori litembeeeee
@StafordNoery
@StafordNoery Ай бұрын
😅😅😅
@jumaali9243
@jumaali9243 Ай бұрын
Mara hii wazee wameamka ubaya ubwela
@user-wh5zz5dk2g
@user-wh5zz5dk2g Ай бұрын
Uto tunaomba msiwaloge mwaka huu jamn
@user-in4kg3kj8x
@user-in4kg3kj8x Ай бұрын
Zimbwe hajui kuongea bhn 😅😅
@user-ys4zk3hx4f
@user-ys4zk3hx4f Ай бұрын
Kibu sinuon😂
@officialdana5114
@officialdana5114 Ай бұрын
Onana simuoni
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk Ай бұрын
Onana thank you😅
@Regina-hb5mi
@Regina-hb5mi Ай бұрын
Viongoz mlitudanganya eti kibu Alienda misili
@user-ti3bi2ip8s
@user-ti3bi2ip8s Ай бұрын
Acheni wivu mtabaki hahapa mkawasidiewavuvi kuvua samaki feli,chula wakijani nyie
@Regina-hb5mi
@Regina-hb5mi Ай бұрын
Kibu yuwap
@phaustinemrema2293
@phaustinemrema2293 Ай бұрын
Sauti haina
@Richardjulius-g3y
@Richardjulius-g3y Ай бұрын
Simba Nguvu 1
@maulidkamundi1700
@maulidkamundi1700 Ай бұрын
Acheni uboya msije mkatoa siri za kambi kwa bosi wenu.
@juniorjunior6639
@juniorjunior6639 Ай бұрын
Nguvu moja
CHEKESHA: FUNDI CHEREANI | NAPIMA T TATU
9:10
CHEKESHA TV
Рет қаралды 80 М.
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 22 МЛН
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 10 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 10 МЛН
KISS MY PAIN 1:IRENE UWOYA /HEMED PHD
53:23
Halisi tv
Рет қаралды 915 М.
SIMU YA TAJIRI 'MO' DEWJI KMC COMPLEX
2:19
Sportvia Media
Рет қаралды 521
MSHIKEMSHIKE  - AZAM TV 28/08/2024
27:53
Azam TV
Рет қаралды 8 М.
Kocha Simba amshangaza kiungo Awesu Awesu
3:22
Azam TV
Рет қаралды 84 М.
0% Sportsmanship but it gets increasingly more disrespectful
12:27
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 22 МЛН