KAMCHAPE 50, WALIOINGIA KIGOMA, KUPAMBANA NA WACHAWI SUGU, WAKAMATWA NA POLISI.

  Рет қаралды 42,331

KADI NEWS24

KADI NEWS24

11 ай бұрын

#kigoma #uchawi

Пікірлер: 61
@user-zh8yk8kb5r
@user-zh8yk8kb5r 11 ай бұрын
Kiongozi uko vizuri kwmchape ni matapeli na wachonganishi sana
@wazir_prince2
@wazir_prince2 9 ай бұрын
hujarogwa wewe..
@saigonernest7631
@saigonernest7631 6 ай бұрын
Afande ubalikiwe sana, halafu hao wanaozomea, baadae ukiwauliza wanakwambia wana dini zao na wanamwamini Mungu, Sasa Mungu na kamchape nani zaidi? Hao makamchape wenyewe asili yao ni wachawi; ni zao LA hao hao wachawi
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 11 ай бұрын
Mkuu uchawi upo maisha hayo sisi tumeshayapitia tumelogewa ndugu zetu sema hawa hawakufata utalatibu wa kisheria
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 11 ай бұрын
Mkoa wa kigoma ungekua namaendeleo makubwa sana ila wachawi wameroga watuwengi kitambo mpakaleo ndomana tukakimbilia mikoa mikubwa
@iraakasubete8287
@iraakasubete8287 11 ай бұрын
Yaani huku kwetu baada ya Kamchape kupita Kijiji kiko shwari yaani Kiufupi ni watendaji wazuri mno wa Kazi,huwenda huyu kamanda. Na yeye yumo
@amanmalima940
@amanmalima940 11 ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@FollowGospelSingers
@FollowGospelSingers 5 ай бұрын
Safi🎉🎉🎉
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 11 ай бұрын
Kamchape siomatapeli sema kisheria uchawi ueleweki kwasababu hauna ushahidi wa vitendo
@fadhilphone2515
@fadhilphone2515 11 ай бұрын
Acheni wafanye kazi uchawi umezidi
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 11 ай бұрын
Ukweli wakati nyingine polisi wetu mnakazi kubwa , ila kwa huo utu ulionao utshinda ubarikiwe
@kishimbaigobeko2297
@kishimbaigobeko2297 11 ай бұрын
Km vitabu vitukufu vinautambua uchawi wewe ni nani usiutambue?! Nahis wewe ni mchawi
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 11 ай бұрын
ukiwa na imani na na Mungu katika Jesus hayoyote hayakutishi.
@Masaweruben44
@Masaweruben44 9 ай бұрын
Kamchape waendelee kufanya kazi wabebe mizigo
@uzianeshon1061
@uzianeshon1061 10 ай бұрын
Waache kigoma wamezd
@jaminusisanga607
@jaminusisanga607 11 ай бұрын
Mnajitaidi kutoa elimu jeshi la police shida ni ujinga na upumbavu, lakini umeeleweka kamanda hata Kama umetoa elimu kwa watu wagumu
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 11 ай бұрын
Nyie si wapelelezi afande tafuteni maoni yaewatu kuhusu hilo hao walioleta talifa kwenu niwachawi hawataki kuchapwa afande uchawi upo acheni watusaidie tumeteswa mno
@evamethod7031
@evamethod7031 9 ай бұрын
Acha wafanye kazi uchawi umezidi kiqoma kwetu Kama sio kizuri acha wawachape waache uchawi
@YorandaBonephas
@YorandaBonephas 3 ай бұрын
Sasa unatakaje watu waendelee kurogwa mbona kenya wachawi wanapelekwa makamani naanahukumiwa ila huku et uchawi haunaushahidi wakati ushaidi mko mnashudia misukule tiari wengine wamesha katwa ndimi mpaka hapo siyo uchawi?wanainchi wamesha choka nauchawi.
@zilipaerasto3276
@zilipaerasto3276 7 ай бұрын
Serikali litazameni hili kwa jicho la tatu jamii zimepoteza imani, imefika hatua hadi taasisi za dini nazo wameliamini why?
@user-xo4hc7hn5z
@user-xo4hc7hn5z 4 ай бұрын
wachape babu au we mwenyew ni mchawi
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 11 ай бұрын
Wewe RPC Mungu akubariki na tunakuombea
@tinkybellah6634
@tinkybellah6634 11 ай бұрын
Au nawewe mchawi
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 10 ай бұрын
Wenda Nawewe Mwanga Wewe Sijui Unatembea Na Iridhi Wewe Unabwabwaja2
@bashkidana9404
@bashkidana9404 9 ай бұрын
Mbona pale wananchi walipouliza maswali hampaonyeshi
@fadhilphone2515
@fadhilphone2515 11 ай бұрын
Af wew Rpc nimpuuzi inatakiwa urogwe kwanza af tuone unabwabwaja vipi tena
@anuwarylyanga6424
@anuwarylyanga6424 10 ай бұрын
Anachale Hadi za ikulu
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 11 ай бұрын
Kamata kabisa kijiji kizima na wote waliotoa fadha na kuwapa kamchape
@evamethod7031
@evamethod7031 9 ай бұрын
Wachawi wanatuludisha Manisha nyuma
@nasramohd9924
@nasramohd9924 11 ай бұрын
Kw hiyo wachawi sio wachonganishi wanatesa watu wachawi
@nasramohd9924
@nasramohd9924 11 ай бұрын
Wasichukuwe pesa za watu tu iyo ni zulma ila mim nahisi weulizwe wananchi ikiwa wanarizk na huduma zao basi waachwie wafate sheria tu kw sababu uchawi upo ila njia sirikali haamin uchawi Kenya wenzetu wanaamin na unapelekw mahakamn
@HusseinGabu-wr3xh
@HusseinGabu-wr3xh 11 ай бұрын
Waacheni kamchape wafanye kazi wachawi ni adui wa maendeleo
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 11 ай бұрын
Hao ni matapeli mzee. Mimi niliwaambia wafanye usiku wa manane walikataa
@HusseinGabu-wr3xh
@HusseinGabu-wr3xh 11 ай бұрын
@@gibsonjosephat6352 inaonekana hata wewe pia ni mchawi mi wachawi wameniaharibia maisha Bora wachapwe ingekuwa ni utapeli wachawi wasingekua wanaenda kujisalimisha wenyewe
@shammhagama2527
@shammhagama2527 11 ай бұрын
Safi sana jeshi la police, naunga mkono hiyo kamata kamata ya waganga wa kienyeji na Mungu awaongoze big up
@eliudezekiel8615
@eliudezekiel8615 11 ай бұрын
Huyo kamanda atakuwa mchawi hata Sula yake inaonyeonyeshaaaa pia Mwenyeiwee ni mchawiii
@AbrahBuraheze
@AbrahBuraheze 10 ай бұрын
uchawi upo watu wariga sna sna tena sna
@JumaCosmas-cb2vt
@JumaCosmas-cb2vt 10 ай бұрын
Uganga unashelia wewe kuma acha mambo yaajabu mpuuzi wewe
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 10 ай бұрын
Subir waondoke na Wew
@saadomar2480
@saadomar2480 11 ай бұрын
Utapeli uchonganishi kabbisa, Tena hao wakamatwe wafungwe MAISHA pumbavu hao washirikina wakubwa.
@vitusjackson1354
@vitusjackson1354 11 ай бұрын
Wewe unauchawi ndio maana unapongeza
@anuwarylyanga6424
@anuwarylyanga6424 10 ай бұрын
Mzigo umeendaa au
@evamethod7031
@evamethod7031 9 ай бұрын
Wanqeanza na nyie kwanza
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 11 ай бұрын
Hao police wasitudanganye kwan hao hao tunawakuta kwa waganga, tena nilishawaona kwa babu yangu sio china ya watu 10
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 11 ай бұрын
Vitu visivyo na ushahidi kabsa anayewaza hvyo ni sawa na mtu anayeogopa kivuli chake mwenyewe ni iman kam ya mafuta
@tinkybellah6634
@tinkybellah6634 11 ай бұрын
Wewe rpc uko hapo kwaajili yaserikali, naserikali haiutambui uchawi wewe unasemaje kuhusu uchawi upo? Naumejuaje kama nimatapeli Kama vipi wapeni vibali nausimamizi wakiwa nimatapeli swekeni ndani
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 11 ай бұрын
Swala la bandari hamuongei ila kwa maswaala yasiyowahusu ndio mnajua kuzungumzia
@user-ym5ko9ov2o
@user-ym5ko9ov2o 10 ай бұрын
Usiache mchaw akaishi
@user-hm2ru1sq5e
@user-hm2ru1sq5e 10 ай бұрын
Hawa wanaongea ivi kwakua niwachawi nao acha wachape wawaweke hazalani
@silvesterfesto2457
@silvesterfesto2457 11 ай бұрын
Elimu itolewe kwa jamii kamchape hao ndo wachawi
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 11 ай бұрын
Wachane kabsa
@khalidharuna7452
@khalidharuna7452 11 ай бұрын
Polisi usidanganye watu uchawi upo na kamche wachen wafanye kazi yako unakata wasichape nawewe nimchawi kwaunavyo ongea uchawi upo wanatesa watu sana
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 11 ай бұрын
Hao kamchape kama wanautalamu kwanini wasiwashughurikie usiku wa manane?
@ligobethgwakula8314
@ligobethgwakula8314 9 ай бұрын
hujawahi kulogwa wewe kwani wakicha wewe unapatann
@yawepetro2049
@yawepetro2049 11 ай бұрын
Atamaandiko yanasema wachawi wapo
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 11 ай бұрын
Kamchapee 😂😂😂😂
@fadhilphone2515
@fadhilphone2515 11 ай бұрын
Zoezi letu liko pale pale nyie serikali bwabwajeni tu
@veronicapesambili
@veronicapesambili 10 ай бұрын
Rafudhi tu imeonekana wewe tena ni mwenyekiti wao mpaka wakuie mama na kizazi ndo ujue nimeketeka sana ningekuwa kalibu ningekuwa kalibu sjui ningekamata Nini
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 22 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 17 МЛН
WAGANGA 10 WA JADI WATUA KIGOMA KUPAMBANA NA UCHAWI SUGU
12:28
Kadi News24
Рет қаралды 220 М.
"WALIOOMBA KUINGIA JESHI WAKUTWA WAJAWAZITO" RC KIGOMA
5:11
Millard Ayo
Рет қаралды 122 М.
Rejected total Orphan with family living alone in the forest
18:22
Bosongo Vibes
Рет қаралды 1,3 М.
Uzuri wa Kigoma - Mwisho wa Reli, @ Drone Footage - TANZANIA.
3:07
#LIVE: MAKONDA ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA KASULU MJINI
1:42:17
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 22 МЛН