Kiongozi uko vizuri kwmchape ni matapeli na wachonganishi sana
@wazir_prince29 ай бұрын
hujarogwa wewe..
@saigonernest76316 ай бұрын
Afande ubalikiwe sana, halafu hao wanaozomea, baadae ukiwauliza wanakwambia wana dini zao na wanamwamini Mungu, Sasa Mungu na kamchape nani zaidi? Hao makamchape wenyewe asili yao ni wachawi; ni zao LA hao hao wachawi
@FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын
Mkuu uchawi upo maisha hayo sisi tumeshayapitia tumelogewa ndugu zetu sema hawa hawakufata utalatibu wa kisheria
@jumapiliissa483511 ай бұрын
Mkoa wa kigoma ungekua namaendeleo makubwa sana ila wachawi wameroga watuwengi kitambo mpakaleo ndomana tukakimbilia mikoa mikubwa
@iraakasubete828711 ай бұрын
Yaani huku kwetu baada ya Kamchape kupita Kijiji kiko shwari yaani Kiufupi ni watendaji wazuri mno wa Kazi,huwenda huyu kamanda. Na yeye yumo
@amanmalima94011 ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Ukweli wakati nyingine polisi wetu mnakazi kubwa , ila kwa huo utu ulionao utshinda ubarikiwe
@kishimbaigobeko229711 ай бұрын
Km vitabu vitukufu vinautambua uchawi wewe ni nani usiutambue?! Nahis wewe ni mchawi
@uzimameditv814811 ай бұрын
ukiwa na imani na na Mungu katika Jesus hayoyote hayakutishi.
@Masaweruben449 ай бұрын
Kamchape waendelee kufanya kazi wabebe mizigo
@uzianeshon106110 ай бұрын
Waache kigoma wamezd
@jaminusisanga60711 ай бұрын
Mnajitaidi kutoa elimu jeshi la police shida ni ujinga na upumbavu, lakini umeeleweka kamanda hata Kama umetoa elimu kwa watu wagumu
@FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын
Nyie si wapelelezi afande tafuteni maoni yaewatu kuhusu hilo hao walioleta talifa kwenu niwachawi hawataki kuchapwa afande uchawi upo acheni watusaidie tumeteswa mno
@evamethod70319 ай бұрын
Acha wafanye kazi uchawi umezidi kiqoma kwetu Kama sio kizuri acha wawachape waache uchawi
@YorandaBonephas3 ай бұрын
Sasa unatakaje watu waendelee kurogwa mbona kenya wachawi wanapelekwa makamani naanahukumiwa ila huku et uchawi haunaushahidi wakati ushaidi mko mnashudia misukule tiari wengine wamesha katwa ndimi mpaka hapo siyo uchawi?wanainchi wamesha choka nauchawi.
@zilipaerasto32767 ай бұрын
Serikali litazameni hili kwa jicho la tatu jamii zimepoteza imani, imefika hatua hadi taasisi za dini nazo wameliamini why?
@user-xo4hc7hn5z4 ай бұрын
wachape babu au we mwenyew ni mchawi
@uzimameditv814811 ай бұрын
Wewe RPC Mungu akubariki na tunakuombea
@tinkybellah663411 ай бұрын
Au nawewe mchawi
@awadhrajabu140310 ай бұрын
Wenda Nawewe Mwanga Wewe Sijui Unatembea Na Iridhi Wewe Unabwabwaja2
@bashkidana94049 ай бұрын
Mbona pale wananchi walipouliza maswali hampaonyeshi
@fadhilphone251511 ай бұрын
Af wew Rpc nimpuuzi inatakiwa urogwe kwanza af tuone unabwabwaja vipi tena
@anuwarylyanga642410 ай бұрын
Anachale Hadi za ikulu
@elispiuselias133911 ай бұрын
Kamata kabisa kijiji kizima na wote waliotoa fadha na kuwapa kamchape
@evamethod70319 ай бұрын
Wachawi wanatuludisha Manisha nyuma
@nasramohd992411 ай бұрын
Kw hiyo wachawi sio wachonganishi wanatesa watu wachawi
@nasramohd992411 ай бұрын
Wasichukuwe pesa za watu tu iyo ni zulma ila mim nahisi weulizwe wananchi ikiwa wanarizk na huduma zao basi waachwie wafate sheria tu kw sababu uchawi upo ila njia sirikali haamin uchawi Kenya wenzetu wanaamin na unapelekw mahakamn
@HusseinGabu-wr3xh11 ай бұрын
Waacheni kamchape wafanye kazi wachawi ni adui wa maendeleo
@gibsonjosephat635211 ай бұрын
Hao ni matapeli mzee. Mimi niliwaambia wafanye usiku wa manane walikataa
@HusseinGabu-wr3xh11 ай бұрын
@@gibsonjosephat6352 inaonekana hata wewe pia ni mchawi mi wachawi wameniaharibia maisha Bora wachapwe ingekuwa ni utapeli wachawi wasingekua wanaenda kujisalimisha wenyewe
@shammhagama252711 ай бұрын
Safi sana jeshi la police, naunga mkono hiyo kamata kamata ya waganga wa kienyeji na Mungu awaongoze big up
@eliudezekiel861511 ай бұрын
Huyo kamanda atakuwa mchawi hata Sula yake inaonyeonyeshaaaa pia Mwenyeiwee ni mchawiii
@AbrahBuraheze10 ай бұрын
uchawi upo watu wariga sna sna tena sna
@JumaCosmas-cb2vt10 ай бұрын
Uganga unashelia wewe kuma acha mambo yaajabu mpuuzi wewe
@saidrakwe872710 ай бұрын
Subir waondoke na Wew
@saadomar248011 ай бұрын
Utapeli uchonganishi kabbisa, Tena hao wakamatwe wafungwe MAISHA pumbavu hao washirikina wakubwa.
@vitusjackson135411 ай бұрын
Wewe unauchawi ndio maana unapongeza
@anuwarylyanga642410 ай бұрын
Mzigo umeendaa au
@evamethod70319 ай бұрын
Wanqeanza na nyie kwanza
@mustaphawelder702211 ай бұрын
Hao police wasitudanganye kwan hao hao tunawakuta kwa waganga, tena nilishawaona kwa babu yangu sio china ya watu 10
@elispiuselias133911 ай бұрын
Vitu visivyo na ushahidi kabsa anayewaza hvyo ni sawa na mtu anayeogopa kivuli chake mwenyewe ni iman kam ya mafuta
@tinkybellah663411 ай бұрын
Wewe rpc uko hapo kwaajili yaserikali, naserikali haiutambui uchawi wewe unasemaje kuhusu uchawi upo? Naumejuaje kama nimatapeli Kama vipi wapeni vibali nausimamizi wakiwa nimatapeli swekeni ndani
@mustaphawelder702211 ай бұрын
Swala la bandari hamuongei ila kwa maswaala yasiyowahusu ndio mnajua kuzungumzia
@user-ym5ko9ov2o10 ай бұрын
Usiache mchaw akaishi
@user-hm2ru1sq5e10 ай бұрын
Hawa wanaongea ivi kwakua niwachawi nao acha wachape wawaweke hazalani
@silvesterfesto245711 ай бұрын
Elimu itolewe kwa jamii kamchape hao ndo wachawi
@elispiuselias133911 ай бұрын
Wachane kabsa
@khalidharuna745211 ай бұрын
Polisi usidanganye watu uchawi upo na kamche wachen wafanye kazi yako unakata wasichape nawewe nimchawi kwaunavyo ongea uchawi upo wanatesa watu sana
@gibsonjosephat635211 ай бұрын
Hao kamchape kama wanautalamu kwanini wasiwashughurikie usiku wa manane?
Zoezi letu liko pale pale nyie serikali bwabwajeni tu
@veronicapesambili10 ай бұрын
Rafudhi tu imeonekana wewe tena ni mwenyekiti wao mpaka wakuie mama na kizazi ndo ujue nimeketeka sana ningekuwa kalibu ningekuwa kalibu sjui ningekamata Nini