Asant sasa kwahuduma hiinzuri mungu akubariki sasa kaka
@user-xk8bg3bg9xАй бұрын
The song is xoo touching 😭😭😭😭,,lord have mercy upon us ,,,
@ngwearobert127711 ай бұрын
Wimbo huu umeninya kumurudia mungu mpasasa nimeamua kurudi kusali baada ya kuusikiliza kwa makani huu wimbo
@GeophreyMarika-du1zd10 ай бұрын
Tuishi tukijua iko cku itafika hatutakuwepo. Tukeshe tukiomba bila kuchoka tuupate mwisho mwema
@trizafrances43047 ай бұрын
Niko mbali mtumishi nakukumbuka kwa maombi mungu akuonellanie utoke huko jela yetu ni maombi triza ni kiwa mombasa
@daudimichael73387 ай бұрын
Ni kweli wenye haki watapitia mateso, Mungu akutunze gerezani umalize kifungo salama urudi kumtumikia Mungu
@veronicahkovu97856 ай бұрын
Mbona alifungwa
@MlambeshiKushgang3 ай бұрын
Mungu ni mwema na mwaminifu , kama aliweza kuwatoa paulo na sila usk wa manane na kwet ni mwaminifu mungua atakutetetea kama arisema nilikujua toka tumbon mwa mama ako niriktakasa kwaiyo hashindw kamwe
@user-lo1mx1wv2b6 ай бұрын
Bwana akutie nguvu mtumishi wa Mungu, umalize kifungo chako salama, majaribu ni mtaji wa kukomaza Imani, barikiwa mtumishi
@malikialindapeter38826 ай бұрын
From your mouth to the ears of God, amen.. what happened?
@jumagoldeni68816 ай бұрын
Hakika mungu Ni mwema kwetu uishi siku nying Sana na heri dunian ❤❤❤❤❤❤
@carolinebisieri7674 Жыл бұрын
Very good song mbarikiwe ningependa kujua maneno niwe nikiimba aki😊
@elyseeniyonshima6200 Жыл бұрын
Wimbo huu zimeniamkisha kurudi kwa yesu zinanisaidia sana mbarikiwa Mungu akubalikiwe naishi hapa Rwanda kigali
@MwanduJiganga-pf8uu6 ай бұрын
Tunakuombe
@RozinaMwanda4 ай бұрын
Nimejawa nafuraha kwakuachjwa kweli Mungu ainuliwe pia makonda MunguAmkumbuke amina
@donzaky6775 Жыл бұрын
Wimbo huu una upako ndani yaké... Umenibariki Sana.
@mtumishiDanny Жыл бұрын
Upako wa ajabu
@user-si3yr3hr9v8 ай бұрын
Mungu baba mwaminifu sana katika mambo yote atakukumbuka hata huko gerezani mtumishi
@user-fe3op2hd3b6 ай бұрын
Kwa kweli mungu azidi kukupandisha mahali pa juu kila siku maana hii nyimbo imetubariki
@user-jg4im2cd7g9 ай бұрын
Mwakipesile on fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 GOD bless you man of GOD
@isaacchiwinga19158 ай бұрын
Wanadamu hatuna budi kutafakari maisha yetu hapa duniani ili kuufikia ufalme wa mbinguni
@neema5650 Жыл бұрын
My favourite song,,,Nitamjua mwokozi
@ewaterservices4025 ай бұрын
mch zephani peter Makorongo chemba nyimbo hizi zinaujumbe kwetu siku zote
@StevenCharz-zr4dsАй бұрын
Mbarikiwa sana mtumishi Kwa wimbo huu
@user-yb9ff7bt8j7 ай бұрын
najisikia amani nikisikiliza wimbo huu moyoni
@jennipherray7001 Жыл бұрын
Nabarikiwa na huu wimbo Thank you God 🙏
@upendomhewa8202 Жыл бұрын
Yaan Mimi sijui jamani naomba Mimi na ukoo wangu wote tukaingie yerusalamu mji ambao mungu ametuandalia alisema anakwenda kutuandalia makao alipo yeye na sisi tutakua amina
@jackm336411 ай бұрын
Za wee. Nana m Hi bb.
@labaniakyoolabaniakyoo4247 Жыл бұрын
Ee Mungu tusaidie mwisho wetu, usiniache Baba yangu,
@agnesmeleli8894 Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na huu wimbo
@user-mv8wj5eg7g7 ай бұрын
Nakupenda sana huu wimbo baba jaman barikiwa sana
@hosianapanga93436 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni atakuonekania Mc Mbarikiwa.
@getrudenabwayo47545 ай бұрын
If Kuna mtu anasikizanga huu wimbo hati mwisho kama hajamwaga machozi naomba anigawie hiyo roho ngumu, my daughter, dad, auntie cousin brother continue resting in peace
@nitazirwedaniella59037 ай бұрын
Mungu abariki sana numefura kwauwimbo
@given33228 ай бұрын
Ubarikiwee sana songa mbele baba
@AminaIbrahim-sp8cj2 ай бұрын
Mungu akubarik mtumish wa mungu
@user-fr9cp4cv9t7 ай бұрын
Naupenda sana huu wimbo
@user-yb9ff7bt8j7 ай бұрын
mungu wambiguni akubari wimbaji 🙏🙏☝️
@bboylilp93254 ай бұрын
2024🎉❤❤❤
@christinakubanda3955 Жыл бұрын
Kuanzia Leo naokoka
@mtumishiDanny Жыл бұрын
Ameeen maamuzi ya kishujaa hayoooo . Hongera sanaaaaa
@bboylilp93254 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@susanmwangi8748 Жыл бұрын
Naupenda huu wimbo sana.❤
@blessedjanoh8257 Жыл бұрын
I love this songs...I always cry when singing
@Aminaabdi-jh2wjАй бұрын
kasabuti barikiwa
@user-wr8ej7fq9k6 ай бұрын
Thank you for this song
@selemsigala4771 Жыл бұрын
Ameni Ameni Mtumishi.
@CashMunanyi11 ай бұрын
It has a powerful message
@dominiqueharerimana5536 Жыл бұрын
Nawasalimu wateule wote wote kwa Zina la mwokozi wetu Yesu kristo mwe neema ,ndugu zangu hakika tuko katika Vita kwa upande wetu sisi ambae tulichagua kua suja wa wokovu nawatia nguvu musikate tamaa Safari yetu ipo karibu kumalizikana musiogope tuko pamoja .
@mtumishiDanny Жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe sana
@KennedyMukalo10 ай бұрын
Powerful song
@susanmwangi8748 Жыл бұрын
This song melts my heart It's my favorite 💘💘💘
@rebeccakalyasa30567 ай бұрын
Chanzo Cha mm kuokoka bwana hatakuacha
@MariamThomas-bg4rc2 ай бұрын
Asante
@FrankMolle Жыл бұрын
Ameen ❤❤
@laurinechepngeno9 ай бұрын
Amen 🙏
@ericksonnyakundi Жыл бұрын
Nabarikiwa n Huu wimbo
@gamakaaya9841 Жыл бұрын
The best song
@alfredkiplimo6636 Жыл бұрын
So touching song ever ❤❤🔥🔥👏👏
@chakafay117510 ай бұрын
TAFADHALI UNAWEZA WEKA LYRICS
@MlambeshiKushgang3 ай бұрын
Natokea chanika
@adelaidemakhungu584310 ай бұрын
Amen
@MwanduJiganga-pf8uu8 ай бұрын
Ameee
@mathayoraulent2756 Жыл бұрын
Asanti
@nikorausaberi3585 Жыл бұрын
Nakumbuka tukio la huzuni hapo ni la moda mfupi barikiwa mtumishi