Рет қаралды 5,819
Huku serikali ikiendelea kulaumiwa kwa kuwateka nyara waliokuwa waandamanaji wa kukashifu uongozi wa nchi, familia tofauti kutoka kaunti ya isiolo zimejitokeza kushutumu kitendo cha kutekwa nyara kwa vijana watano siku ya jumamosi wiki iliyopita na watu wanaoaminika kuwa maafisa wa polisi.wawili kati yao waliachiliwa katika barabara ya isiolo kuelekea nanyuki.