No video

Kesho Hiyo - St. Karoli (Official Music Video)

  Рет қаралды 135,442

St. Karoli

St. Karoli

2 жыл бұрын

#StKaroli#Kesho#Hiyo.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital

Пікірлер: 93
@user-fr6ml5pu3h
@user-fr6ml5pu3h 11 ай бұрын
Niseme nini kwenu?mmetia fora kwa uzuri,shukrani za pekee kwa mama kijacho ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wanaosingizia hali kama hiyo wanashindwa kumwimbia mungu,mamakijacho ubarikiwe na atakayekuja awe mwimbaji zaidi yako
@lucykazohera8621
@lucykazohera8621 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa kunifariji kwa wimbo huo nimtazame Mungu so shida nilizonazo amina
@nkambasamson9494
@nkambasamson9494 2 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana 🙏🏼 Mwenyezi MUNGU awabariki na hongereni Sana kwa utume 🙏🏼🙏🏼🙏🏼❤️ I'm very proud to be Catholic 🙏🏼🙏🏼❤️
@juliagosbert9221
@juliagosbert9221 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki utume wenu. Nimeipenda sana
@sizahaule9124
@sizahaule9124 2 жыл бұрын
kazi nzuri mno, step nimezielewa i love catholic songs st karoli you have made it
@bibianagozibert9254
@bibianagozibert9254 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana na awazidishie nimeupenda sana wimbo huu kiukweli nimzur sana na umegusa watu weng sana
@TimotheoYohane-lz1ps
@TimotheoYohane-lz1ps Жыл бұрын
Kazi nzuri sana kaka Deo Mungu awabariki sana sana ninaipenda
@felistermaige1739
@felistermaige1739 Жыл бұрын
Amina,,Waimbaji kweli kesho ipo hata mimi nina Imani kuwa kesho ipo
@user-ee4ub2eg2l
@user-ee4ub2eg2l 6 ай бұрын
Nyimbo Zina tubariki hapa kenya,kazi nzuri
@gracebenedictor5403
@gracebenedictor5403 2 жыл бұрын
Hongeren Kwa utume nimebarikiwa sana na huu wimbo bigp sana
@morriohm213
@morriohm213 2 жыл бұрын
Utunzi safi..uimbaji safi zaidi.. Masterpiece 👏🙏
@telesiaidani2778
@telesiaidani2778 2 жыл бұрын
Asante morrioh m
@gabrielmwita8607
@gabrielmwita8607 2 жыл бұрын
Hongereni sanaaa kwa uwimbaji mzuri
@briankaruku1816
@briankaruku1816 Ай бұрын
Kweli hii inanijenga kiroho keep up
@elizabethsalila2262
@elizabethsalila2262 Жыл бұрын
Mapazuko yapo karibu,ona kuna kucha na Kesho hiyo Mbarikiwe sana hakika napata Amani sana, proudly to be Catholic
@alexsimiyu4191
@alexsimiyu4191 2 жыл бұрын
Kazi tamu St Karol 🔥🔥🔥
@nivardmwageni2171
@nivardmwageni2171 2 жыл бұрын
Shikamoo Deo nkoko! Shikamoo wanakaroli Lwanga Tandale... Mmenibariki vya kutosha.. hongereni sana.
@filiminampagama5959
@filiminampagama5959 2 жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo barikiwa sana wapendwa
@serahkyalo354
@serahkyalo354 Жыл бұрын
Deo Nkoko has always encouraged especially the younger generation, that despite the crisis, bado kuna kesho ambayo itaangaza kuliko leo kwani Mungu yupo. He has always encouraged the souls loosing hope in life, #Mtazame Mungu usitazame shida zako tu. I wish in such songs we could be having a sign interpretor kwa wale walio na shida ya kusikia ndio pia wapate ujumbe huu muhimu wa kutia moyo. Mungu akubariki pamoja na waimbaji wako🙏
@emmanuelmunyika2594
@emmanuelmunyika2594 2 жыл бұрын
Hongereni sana Waimbaji. Wimbo huu umenifariji sana. Mungu awabariki sana katika Utume wenu wa uimbaji.
@telesiaidani2778
@telesiaidani2778 2 жыл бұрын
Amina
@millicentakinyi5504
@millicentakinyi5504 2 жыл бұрын
Mungu,awabariki🙋🙋🙋
@MartinDismas-ou5oy
@MartinDismas-ou5oy 9 ай бұрын
Ni kweli kabisa MUNGU yupo tu! Asanteni sana Wanakwaya mnatufariji kweli.❤❤❤😅😅😅❤❤
@innolola5220
@innolola5220 Жыл бұрын
Hii nyimbo inanibariki saana
@mariomtunge5465
@mariomtunge5465 2 жыл бұрын
Daaa wimbo mtamu, ujumbe mtamu, stepu tamu yaani naamini sijaondokea patupu kutazama na kusikiliza wimbo huu..Mungu awabariki kwa kazi hii... msalimuni huyu dada yangu anayerusha mikono kwa bashasha....Kaka unayeshusha kiatu kwa madaha..Mungu akuinue...🤣🤣🤣🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@charleslugemalila1168
@charleslugemalila1168 Жыл бұрын
😮
@jamesgichuhi8070
@jamesgichuhi8070 Жыл бұрын
Usilie mungu yupo
@yosephanambunga9118
@yosephanambunga9118 2 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi mzuri
@susanmuange2298
@susanmuange2298 6 ай бұрын
This song I used to listen on daily some days back and I encouraged me when I had some challenges sooo and today hakika I say mtazame mungu usitazame shida zako
@jubilantrejoice5315
@jubilantrejoice5315 2 жыл бұрын
Good Catholic l wish I was there
@daudiwilliam1971
@daudiwilliam1971 Жыл бұрын
Duuh!! My lovely song always. God bless all who make this hit song.
@MaryBrian-bv3kc
@MaryBrian-bv3kc Жыл бұрын
Asanteni sana waimbaji wenzangu kwa kunijulisha kwamba kesho hipo let's keep evangelising
@deniscosmas5129
@deniscosmas5129 2 жыл бұрын
Hongereni sana kwa uinjilishaji Mungu awabariki sana
@Ellybeny
@Ellybeny 2 жыл бұрын
kinanda na baraka mashibe 🍀
@liliannjeri1420
@liliannjeri1420 Жыл бұрын
Excellent
@williamfulano3010
@williamfulano3010 2 жыл бұрын
Na kesho hiyo!
@clementmarandu2712
@clementmarandu2712 2 жыл бұрын
You're so talented by by letting people know through singing, who God is and what is capable of doing during times of crisis. Hongera !
@jubilantrejoice5315
@jubilantrejoice5315 2 жыл бұрын
May God bless you
@gillejalileni6678
@gillejalileni6678 2 жыл бұрын
Amina mtumishi hakika kesho yetu ipo tu
@mogendithaddeus7042
@mogendithaddeus7042 Жыл бұрын
The beautt of being a catholic is jus but awesome love you soo much guys
@EsterPhilbert-vc3kt
@EsterPhilbert-vc3kt Жыл бұрын
Asante Mungu Kwa kuniweka mkatorki. Mbarkiwe watt wa Mungu kazi mmeifanya, Mungu atukuzwe.
@jacksonvalence7365
@jacksonvalence7365 6 ай бұрын
2024 ni baraka kupitia huu wimbo mbarikiwe sana St karoli lwanga
@juliuswanganga5769
@juliuswanganga5769 7 ай бұрын
Very encouraging song. Be blessed 🙏
@Ellybeny
@Ellybeny 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏 Asnte kwa wimbo mzuri!!
@rosemasaa8410
@rosemasaa8410 8 ай бұрын
I love this song,it has really changed my life for it's really encouraging ❤
@yovinampale4873
@yovinampale4873 Жыл бұрын
Ni kweli Mungu ni kila kitu. Hongereni sana. Mmeimba vizuri sana, na ujumbe nzuri. Hatupaswi kukata tamaa.
@maryngila838
@maryngila838 2 жыл бұрын
Kweli kesho ipo,,,,be blessed my dear brother and sisters.
@isackrenatus3167
@isackrenatus3167 Жыл бұрын
Hili goma Lina upekee wake waimbaji safi, utunzi ndo usipime Balikiwa sanaa
@AmosiDeogratius
@AmosiDeogratius 2 жыл бұрын
Mambo matamu yanazidi kuja yaan chuma juu chuma🥰hongeren sana kwa vocal nzuri tuzidi kufundisha jamii kupitia uinjilishaji
@yolenimocheng8745
@yolenimocheng8745 2 жыл бұрын
Hiii ndo ilikua ya kubeba albam Bt zote kali sanaaaaaa hongeren wana KLC na wote wslioshirik
@celinejoseph2993
@celinejoseph2993 2 жыл бұрын
Huu wimbo unanibariki sana
@veronicaholisah7188
@veronicaholisah7188 Жыл бұрын
See the moves ❤️
@jovinusjulius9840
@jovinusjulius9840 2 жыл бұрын
Kama mm ndo ningekuwa muamuzi wa wimbo wa kubeba Album yenu..Basi huu ungepita.aahah..anyway hongereni sana ndg zangu
@josephgitimu3650
@josephgitimu3650 2 жыл бұрын
This song has really changed my way of thinking about tomorrow and daily problems
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 2 жыл бұрын
Niliusubiri huu kwa Hamu sana.kesho ipo ipo tuuuu
@stevemsola437
@stevemsola437 2 жыл бұрын
Kazi nzur jaman hongereni Sana
@octavinaalphonce6898
@octavinaalphonce6898 Жыл бұрын
Mko vizuri hamchoshi kuwasikiliza
@jenipherkyando4822
@jenipherkyando4822 2 жыл бұрын
Mmenitia moyo saaana asante kwa utume
@jacksonaron9295
@jacksonaron9295 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana barikiweni
@msomisikalenyula5337
@msomisikalenyula5337 2 жыл бұрын
wimbo mzuri na ujumbe wa faraja. Hongereni sana
@henrynyaga1989
@henrynyaga1989 Жыл бұрын
Very encouraging songs may God have mercy on us this year 2023
@olicej7837
@olicej7837 2 жыл бұрын
🧘‍♀️😘Proud with catholic song❤️❤️❤️❤️blessed☂️ 🔥🔥🔥🔥
@mercykamau3146
@mercykamau3146 2 жыл бұрын
Great work
@annamasoud1875
@annamasoud1875 2 жыл бұрын
Nimewapenda bureeee
@victorodehe6160
@victorodehe6160 2 жыл бұрын
Kesho yaja kweli
@p.kmelodiez7071
@p.kmelodiez7071 2 жыл бұрын
Wonderful, blessings
@veronicakazonde3204
@veronicakazonde3204 2 жыл бұрын
Kweli kesho ipo.
@noelinambatha8941
@noelinambatha8941 Жыл бұрын
Amazing I just love your music very informative and touching transforming lived ❤
@erickntimba6543
@erickntimba6543 9 ай бұрын
Hongeren sana kwa kulitangaza injiri kwa njia ya wimbo huu ubarikiwe sana.
@floineskimbali2637
@floineskimbali2637 2 жыл бұрын
Kwa sasa hii ndio albam bora kwangu wananifanya namaliza bando
@telesiaidani2778
@telesiaidani2778 2 жыл бұрын
Jamaniubarikiwe dada angu
@telesiaidani2778
@telesiaidani2778 2 жыл бұрын
Nitumienooyako
@theresiajoseph1943
@theresiajoseph1943 2 жыл бұрын
Yaan nyimbo zeo zote za album ninazo isipokuwa mbili zimebak nasubir kwa hamu sanaaa 🥰
@theresiajoseph1943
@theresiajoseph1943 2 жыл бұрын
Jamani hongerenii sana wimbo mzuriii sanaa🔥🔥
@holyfamilymedia1325
@holyfamilymedia1325 2 жыл бұрын
Very very nice
@reginaldjoseph6451
@reginaldjoseph6451 2 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana nafarijika
@adolfinaandrea5234
@adolfinaandrea5234 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na nyimbo zenu katika nchi ugenini najua faraja ni Yesu tu
@theresiajoseph1943
@theresiajoseph1943 2 жыл бұрын
Wow naisubria
@josephgitimu3650
@josephgitimu3650 2 жыл бұрын
The beauty of Catholic church . I love this song.
@annamasoud1875
@annamasoud1875 2 жыл бұрын
Nimedanload audio nimeshindwa mnisaidie kuipata aundio
@augustinotanda6349
@augustinotanda6349 2 жыл бұрын
Pamoja timu yangu
@holyfamilymedia1325
@holyfamilymedia1325 2 жыл бұрын
Very jice
@thomasackley733
@thomasackley733 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@mkapakalikene9042
@mkapakalikene9042 2 жыл бұрын
Hii Ni nzuri Sana hongereni Sana♥️
@telesiaidani2778
@telesiaidani2778 2 жыл бұрын
Amina mkapa
@paulhermany7948
@paulhermany7948 2 жыл бұрын
Anyway, labda uzuri wa melody na mpangilio mzima wa muziki, lakini hakuna ambaye ameiona kesho so unaposema kuwa "Kesho ipo tu" sijui ilimaanisha nini. Binafsi nipo kinyume.
@mkapakalikene9042
@mkapakalikene9042 2 жыл бұрын
@@paulhermany7948 wanamanisha kesho Ni ya natumaini. Na usikate tamaa kwa kile kitu kibaya kilichokukuta Leo
@telesiaidani2778
@telesiaidani2778 2 жыл бұрын
@@paulhermany7948 Asante p
@richardboniphace1305
@richardboniphace1305 2 жыл бұрын
@@paulhermany7948 anayeijua kesho ya kila mmoja wetu ni Mwenyezi Mungu hivyo yeye anajua kesho kutakucha vipi. Kunaweza kucha ukiwa hai ama usiwe hai,kunaweza kucha shida zako za leo zimekwisha au bado zikaendelea. Watu wengi tunateseka kwa kuiwaza kesho kutokana na magumu tunayopitia tunasahau kuwa Mungu ndiye anayejua hatma yetu. Hivyo waimbaji wanatukumbusha kumtegemea Mungu kwa kila jambo maana ndiye anayejua hatma yetu.
@yusta7778
@yusta7778 2 жыл бұрын
Saf
@janemsea106
@janemsea106 2 жыл бұрын
Nimeipenda kweli mtazame Mungu tuhongereni sanaaaàa
@killymayebo3704
@killymayebo3704 2 жыл бұрын
Nilikuwa naisubilia hiyo
Hekima Ya Mungu - St.Karoli Choir (Official Music Video)
7:30
St. Karoli
Рет қаралды 215 М.
NDIHOYAGA NGOMA NI GIKUYU NYENDETE!!
1:07:41
NJERI WA MUIGAI OFFICIAL
Рет қаралды 6 М.
Wakati Wa Mungu - St.Karoli Choir (Official Music Video)
6:22
St. Karoli
Рет қаралды 210 М.
IPO TU...SAM MAGIMA FAMILY & FRIENDS .... BY DEO NKOKO
8:26
Holy Family media
Рет қаралды 226 М.
St. Karoli - Yupo Mungu (Official Video)
7:45
St. Karoli
Рет қаралды 168 М.
Mt. Kizito Makuburi - Maneno Tu (Official Music Video)
7:48
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 703 М.
St. Karoli - Kimya (Official Video)
6:23
St. Karoli
Рет қаралды 103 М.
Holy Trinity Studio - Nikushukuruje Bwana ( Official Music Video )
8:12
HOLY TRINITY STUDIOS
Рет қаралды 1,4 МЛН
NEEMA YA MUNGU By: Emma FD. Nicholaus, Kwaya ya Mt. Karoli Lwanga,Muganza (Official FHD Video)
8:50