KESHO YANGU PART 33 | Final Episode 💞 Love Story

  Рет қаралды 161,098

DONTA TV

DONTA TV

18 күн бұрын

#keshoyangu #episode33 #finalepisode

Пікірлер: 1 100
@Dontatv255
@Dontatv255 17 күн бұрын
Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 17 күн бұрын
Sawa tumevumilia kwa hari na Mali lakini mna deni la kutuambia jina la wimbo aise
@josurenjoyo6371
@josurenjoyo6371 17 күн бұрын
🙌🙌
@user-pj4ii7wx7f
@user-pj4ii7wx7f 17 күн бұрын
Sawa kaka kevi lakintupo pamoja mwisho mwema mwazo mwema kwa nyingine ijayo🙏
@aminaabdalla-uo9zq
@aminaabdalla-uo9zq 17 күн бұрын
Penda bure
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 17 күн бұрын
Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda
@hassanmoh6601
@hassanmoh6601 17 күн бұрын
Kama we ni mfuatiliaji wa kesho yangu kuanzia EP 1 mpk finally gonga like kama zote
@PiliShabani-cg6wd
@PiliShabani-cg6wd 13 күн бұрын
Nmeipenda xana
@kipaton001tv
@kipaton001tv Күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@judithpendo9985
@judithpendo9985 17 күн бұрын
Walioanza kesho yangu kwanzo mwsho like zangu apa please love from team strong 🇰🇪🇸🇦🔥🔥💞💞💞💞💕💕💕💕💕💞💞💞💞💕💕💕team nyuki kelvin wapi like zangu ♥️♥️
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz 17 күн бұрын
Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏
@Angelsalum-er3lm
@Angelsalum-er3lm 13 күн бұрын
Nimeipenda hiyo I like it
@exaverymakoye6026
@exaverymakoye6026 13 күн бұрын
😂😂
@tha_lyrics01
@tha_lyrics01 17 күн бұрын
Finally part yenye tumewait Sana Alf pia mm mnipe likes zangu🙏
@IssaJaphe
@IssaJaphe 17 күн бұрын
Dah nimekuwa wa tatu lakn sio mbaya like kwa DONTA TV
@OzanaMtwangi
@OzanaMtwangi 15 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JohnMwiguru
@JohnMwiguru 14 күн бұрын
❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹
@Brother-moses2vs7bi1v
@Brother-moses2vs7bi1v 17 күн бұрын
Hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes all the way from Kenya 🇰🇪 wapy likes zangu NAMI🤣🤣🤣🤣
@user-if7rb1su9j
@user-if7rb1su9j 17 күн бұрын
Yan mim huwa wananiuzi sanaaa tena snaaa
@user-rn3su5tr9p
@user-rn3su5tr9p 17 күн бұрын
Hahaha
@MarianaMwakatoga
@MarianaMwakatoga 16 күн бұрын
Wanaboa sana
@KhamisiMumbo
@KhamisiMumbo 17 күн бұрын
Wana donta move zenu nyingi huwa nazfuatilia lakini maranyingi siwapi like polen ndugu zangu kuanzia sasa tuko pamoja hii move imenigusa
@MwanaiddMasoud-qk4hb
@MwanaiddMasoud-qk4hb 16 күн бұрын
Umekosea ungesema shida Zina likizo kila ckuu sii maumivu wew umesema Kila CK ni maumivu happy lekebisha kirevin
@user-zg7yv2bm6z
@user-zg7yv2bm6z 17 күн бұрын
Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa
@MartinEmmanuel-eh7fu
@MartinEmmanuel-eh7fu 17 күн бұрын
Congratulations to kelvin and his team ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kama umefurahishwa na hii serious gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@janetkithi775
@janetkithi775 16 күн бұрын
Hii movie imekia tamu Sana. Yaan sitaisahau.
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj 2 күн бұрын
Hii move imekua tamu sana next
@Kailasjr178
@Kailasjr178 17 күн бұрын
😮Finally hii kituu imetokaa tenaa Likes kwa wale tulioanzaa mwanzo mwishoo😊😊
@StephanoDaud-do5ge
@StephanoDaud-do5ge 17 күн бұрын
Hereeeee😂😂🎉
@mobastian5050
@mobastian5050 17 күн бұрын
Hiyo nyimbo ya kesho yangu mtuwekee KZfaq bhana❤❤🎉
@JaydenNaftal-zz7ew
@JaydenNaftal-zz7ew 16 күн бұрын
Haya
@user-cl8lf1qb6v
@user-cl8lf1qb6v 17 күн бұрын
Hua naliaga kweny movie za kihindi Leo yamenitokea kweny movie ya kibongo kweli hawa jamaa wanatosha 🔥🔥🔥
@AgnesZubedah-zs2xd
@AgnesZubedah-zs2xd 14 күн бұрын
❤sana
@Angelsalum-er3lm
@Angelsalum-er3lm 13 күн бұрын
Hahahahahahaha pole
@Brother-moses2vs7bi1v
@Brother-moses2vs7bi1v 17 күн бұрын
Wangapi tunafurahia kumwona JAFFARY
@AgnesZubedah-zs2xd
@AgnesZubedah-zs2xd 14 күн бұрын
😂😂Mimi hapa
@Almostaphiq
@Almostaphiq 17 күн бұрын
Wakwanza mm like 20 from🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@FemiahJamesMbewepiston
@FemiahJamesMbewepiston 17 күн бұрын
Wakwanza mm like zangu
@aishaabeid8106
@aishaabeid8106 17 күн бұрын
Jmn ndio final tushushe comment zakushato... Mungu aibarik sana Kaz ya mikono yenuuu me nimeipenda sanaa hii mpk nlishawish na rafk zangu waitizame
@MwanaiddMasoud-qk4hb
@MwanaiddMasoud-qk4hb 16 күн бұрын
Maisha Yana likizo kila CKu c maumivu maana unampana na mwisho unatombo sas Kila CK si maumivu kilevin badilisha hapo Zanzibar hapa
@user-xq7fy2pp3y
@user-xq7fy2pp3y 14 күн бұрын
Hongera sana kelvin khan nakuombea kwa Mungu akuongezee akili na uelewa ktk utunzi wa muv nakutumia kila la heri
@FatmakhamisHamad-pj6bm
@FatmakhamisHamad-pj6bm 17 күн бұрын
Wa kwanz Leo kuangalia
@user-lk1dc7pf5v
@user-lk1dc7pf5v 17 күн бұрын
Like zangu jmn wakwanza
@marygorethtemu4959
@marygorethtemu4959 16 күн бұрын
Acha ushamba.. likes zinakusaidia nini wew
@user-ih9nd1yt8s
@user-ih9nd1yt8s 15 күн бұрын
Za nn
@user-yw4wv9wq7q
@user-yw4wv9wq7q 17 күн бұрын
allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AllySaidy-tn4iu
@AllySaidy-tn4iu 17 күн бұрын
Wakwanza movie mzuri sana
@user-tq7gp3ue7g
@user-tq7gp3ue7g 17 күн бұрын
Pia mim nimewahi jamn nawapend nyote mlikua mnasubir kesho yangu km mm❤❤❤ from kenya 🎉🎉
@PIERETV501
@PIERETV501 17 күн бұрын
Nimechelewa leo lakin naombeni like hata 20 kutoka south❤❤
@SelemaniAbdulMadjid
@SelemaniAbdulMadjid 17 күн бұрын
Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri
@user-tw2ut4xi9b
@user-tw2ut4xi9b 16 күн бұрын
Kazi nzuri kweli❤
@user-xy1qn6ib3f
@user-xy1qn6ib3f 17 күн бұрын
Nilikasirika mpka sikufatilia hizo vipindi vingine Nina furaha Leo😚😚
@HappyCorgi-le5lp
@HappyCorgi-le5lp 17 күн бұрын
Am in ,congratulations kelvin and Loveness am very happy listening your creativity..my favorite characters of the year
@RizikiZiki
@RizikiZiki 17 күн бұрын
Jamani jamani njooni kesho yangu imewasili njoooni tuzidi kujifunza kitu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-hm6hy6rr1h
@user-hm6hy6rr1h 17 күн бұрын
Tumefik mway tumefurah tuangalie mwisho wak keshaingia chakike uyu bwan hhhhhh
@user-pq4rv4jm3j
@user-pq4rv4jm3j 17 күн бұрын
Tumelejea 🎉
@RizikiZiki
@RizikiZiki 17 күн бұрын
Asanteni ❤
@josptsaruni-gi5tx
@josptsaruni-gi5tx 17 күн бұрын
Am the first in kenya more likes🎉🎉
@richardelieza1001
@richardelieza1001 17 күн бұрын
Number one naomba like za final
@OmaryGandi
@OmaryGandi 17 күн бұрын
Wakwanza jamani anzeni apa in 🇿🇦 😢😢😢😢
@user-te6qu3fx9z
@user-te6qu3fx9z 17 күн бұрын
Hongereni watunzi mahiri. Movie yenu nzuri sana na mafunzo pia. Twaomba nyengine nzuri zaidi.
@valentineonyoni9065
@valentineonyoni9065 17 күн бұрын
40:35 Wow 😊. Thanks guys for your update 🎉. Tulikuwa tumengoja sana. Representing Mombasa Kenya❤. Kwanzia episode 1 mpaka episode 33.❤🎉🎉🎉 Congrats guys 😘💕💕😘
@stephenrobert7899
@stephenrobert7899 17 күн бұрын
Wakwanza leo
@TeddyAmos-go9qq
@TeddyAmos-go9qq 17 күн бұрын
Hii movie inamafunzo sana ukiifuatilia vizuri utajua namna nzuri ya kuishi maisha yoyote yale
@malickberry4563
@malickberry4563 17 күн бұрын
Number 1 🔥
@MaulidAmri-zt2gv
@MaulidAmri-zt2gv 17 күн бұрын
Sijachelewa jamani naombeni like zangu from tabora tz❤❤❤❤
@Norah-dee
@Norah-dee 17 күн бұрын
Wakwanza from oman naomba like hata kumi guys kwa kaz nzuri ya donta tv 🎉🎉wanaotaka nyimbo ya kesho yangu iachiwe tujuaje hapa guys 🎉
@Heiskmb
@Heiskmb 17 күн бұрын
Tulio hanza kufuatilia ep 1 mpaka final weka like hapa 🎉🎉🎉
@MussaHaule-tn3xw
@MussaHaule-tn3xw 17 күн бұрын
Waooooo Kelvin wangapi tuna mkubali kelv gonga like hapa😂😂😂😂
@user-po4jx2dl9x
@user-po4jx2dl9x 17 күн бұрын
Bravo kwa wenye tumemaliza tamthilia kuanzia mwanzo hadi tamati❤
@HamisErnest
@HamisErnest 17 күн бұрын
Kaz nzur San police kama nyie ndo mnataikiwa vp nimekuwa wa kwanza like mbili tu
@user-gm6sc8qu7e
@user-gm6sc8qu7e 17 күн бұрын
Wakwaza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya
@vonpizzoychapuu6
@vonpizzoychapuu6 17 күн бұрын
Jamni coment taratibu kunamtu kanikanyaga huku nyuma Yani nimetoka kotee na faino episode ata like ndugu zangu hamna LEO ZAMU YANGU♥️💙
@KomboSaid-fz2ky
@KomboSaid-fz2ky 17 күн бұрын
Team donta tugonge like
@puritynzilaniofficial
@puritynzilaniofficial 17 күн бұрын
Wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mpo ndani ya nyumba 💕💞💕💞
@Collokenya
@Collokenya 17 күн бұрын
Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏
@avekikibombo6559
@avekikibombo6559 17 күн бұрын
kesho ysngu
@user-ly5pg4ot1s
@user-ly5pg4ot1s 17 күн бұрын
Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI
@mishikesi7882
@mishikesi7882 17 күн бұрын
Am the first naomba like waugwana❤
@user-ok5qg1ig6x
@user-ok5qg1ig6x 17 күн бұрын
Mashallah nawakubali san wanangu like ata tano tu jamn❤❤❤🎉🎉🎉
@user-zc8bk5tu4i
@user-zc8bk5tu4i 17 күн бұрын
😂😂wakwanzaaa kabisaaa
@user-ew5ur2nj4d
@user-ew5ur2nj4d 16 күн бұрын
Kazi Bomba kabisa. Barikiwa sana Kevin. Nampenda sana Vicky.
@UkhtyShemsa
@UkhtyShemsa 17 күн бұрын
Ni nzurii sana tunawashukuru kwa kutuletea tamthilia nzuri kama hii tunawaomba mtuletee nyingine nzuri. Zaidi ya hii ❤❤❤
@TBrownMusic-uw2ut
@TBrownMusic-uw2ut 17 күн бұрын
Donta family yang
@samsonlazaro2590
@samsonlazaro2590 17 күн бұрын
Wakwanz nipeni likes jmn ya mwisho hii
@user-pq4rv4jm3j
@user-pq4rv4jm3j 17 күн бұрын
Tulikuw pamoja mbk mwisho good work🎉❤
@BeatriceMukakabanda
@BeatriceMukakabanda 17 күн бұрын
Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri , muendelee kutuelimisha
@user-nn3mo1kg4q
@user-nn3mo1kg4q 17 күн бұрын
Wa kwanza leo nipeni like zangu😢😢😢,,,halafu hongereni kwa kazi safi❤❤❤❤❤❤
@EsdrasKambale
@EsdrasKambale 17 күн бұрын
Mi wakwanza,like zangu badii
@user-rl4ii9xj5n
@user-rl4ii9xj5n 17 күн бұрын
Much love from DRC 🇨🇩🇿🇦🇨🇩🇨🇩 yanamengi yakujifunza kwaiy story ❤
@clariszawadi2010
@clariszawadi2010 17 күн бұрын
Kesho yangu umekua series nzuri sana na ina mafunzo mazuri acha Mungu aendelee kuwapa uwezo mkubwa
@SPORAJACKSONMWINUKA
@SPORAJACKSONMWINUKA 17 күн бұрын
Wa kwaza jaman like
@furahakenga6619
@furahakenga6619 17 күн бұрын
Asanten Sana kwa kazi nzur sana kwakwel hii movi imenifunza kitu Asanten Sana Team Kelvin ❤❤❤🇰🇪
@user-tx7je4wp9d
@user-tx7je4wp9d 17 күн бұрын
Waoooo raha sn wana donta TV hongereni jamani nawapend niko Burundi 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
@AmosMbiko
@AmosMbiko 17 күн бұрын
Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@aymyalsadyaymyalsady884
@aymyalsadyaymyalsady884 17 күн бұрын
Na mimi swali izi like ua mtu yuwalipwa na mimi nipewe like piya nilipwe kidogo mahana mimi nafyatilia donta tv😂
@Phoebenafula
@Phoebenafula 17 күн бұрын
Wimbo wa keshooo mtuangushie basi ndo tuzidi kufurahia zaidi,Nawapenda sana nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MahadMfiyome
@MahadMfiyome 16 күн бұрын
Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾
@JustinBonaneharerimana-zg1td
@JustinBonaneharerimana-zg1td 17 күн бұрын
nimefurai sana tena sana kwa movie hii ambao munamafunzo mengi sana mungu azidi kukubariki sana Kelvin akuongeze maisha marefu 🙏🙏
@aishaabeid8106
@aishaabeid8106 17 күн бұрын
Namkubali sana brother Nyuki❤❤
@avekikibombo6559
@avekikibombo6559 17 күн бұрын
mpaka leo nafurahi kufuatilia hii series mpaka mwisho
@MarkoLaandare
@MarkoLaandare 17 күн бұрын
Wakwanza leo❤❤❤
@sikunzallah4843
@sikunzallah4843 17 күн бұрын
Congrats hii ilkua kali sana,,,leteni nyngne
@user-zc8bk5tu4i
@user-zc8bk5tu4i 17 күн бұрын
Nilitaman iendelee sana daah
@user-gz1ke3tl8l
@user-gz1ke3tl8l 17 күн бұрын
nilijua tuu ilivyochelewa n final
@user-td6tc4jo1h
@user-td6tc4jo1h 17 күн бұрын
Nimefurah Leo mmemaliza kesho yangu nilikuwa naisubr Kwa hamu shukran donta tv🙏nawapenda Sana🥰🥰😘😘😘
@sikujuakigwada3146
@sikujuakigwada3146 17 күн бұрын
Wahoooooooooo kazi nzur sana,endeleeni kutupa vitu vizur,kelvin bigup🎉🎉🎉
@princekillian3640
@princekillian3640 17 күн бұрын
Much love from kenya 🇰🇪 ❤️
@godnhohenry7779
@godnhohenry7779 17 күн бұрын
Wakwanza dadeq like jamaniii 🎉🎉
@kokenye9003
@kokenye9003 17 күн бұрын
Yakwaza kabisa waja mm niwashukuru sana ogereni sana movie safi sana waaah nani aliogopa kaa mm nirifikilia kizeja atauliwa mle ndani lakini poa sana 🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SmilingBreadLoaf-pi8sb
@SmilingBreadLoaf-pi8sb 17 күн бұрын
Kz njema
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 17 күн бұрын
Kiukwl hii movie n nzr na inamafunzo mengi sana, au bas
@EvelineMungele-sr5tw
@EvelineMungele-sr5tw 17 күн бұрын
James Leo anayakanyaga yaan anajitumbukiza mwenyewe kwenye mudomo ya Simba,,, hongera kwako mwanasheria upo vzr mnoo❤️❤️❤️
@methodnkundumukiza6367
@methodnkundumukiza6367 17 күн бұрын
Asanteni sna waigizaji wazuri twawapenda sna mno.i'm from 🇧🇮
@MathewSupeet-nn1by
@MathewSupeet-nn1by 16 күн бұрын
Kesho yangu ni film nzuri sana imenifundisha mengi sana 🙏🙏🙏 naamini mtatoa nzuri zaidi
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 17 күн бұрын
Jaman kwnn nyuki anahasira na kunambi,,,
@user-dj3fz6bz7s
@user-dj3fz6bz7s 17 күн бұрын
Mmechelewesha sana bwana
@neemakarisa6117
@neemakarisa6117 17 күн бұрын
Wow❤❤❤kesho yangu....Mungu awabariki sana nyote mlioshiriki❤❤❤
@user-co5ed6xr5c
@user-co5ed6xr5c 16 күн бұрын
Walioanza kesho yangu adi mwisho gonga like hapa tumejifunza kitu kikubwa sana congratulations 🎊 🎉🎉 Kelvin and your time ❤❤❤
@eliasisack7351
@eliasisack7351 17 күн бұрын
Jamn wa pili like zangu ❤❤❤
@user-ox1rt3lc6e
@user-ox1rt3lc6e 17 күн бұрын
Namba 28
@NdayisabaJeanClaude-mp8gg
@NdayisabaJeanClaude-mp8gg 15 күн бұрын
Kevin tunagupenda sana kabis hongera na Rwanda huku tugufatilia San hongera San sarimia nyuki
@user-er3cb9mb9m
@user-er3cb9mb9m 6 күн бұрын
Much love from Kenya guys like back wapi like za Kevin na nyuki ❤❤❤❤ nimejifunza Sana ❤
@aminahissaa5551
@aminahissaa5551 16 күн бұрын
Hii movie nzuri sana inamafunzo Sana mpk na mm nimelia kwakwel dunia hii
@user-jv8xd6kg7z
@user-jv8xd6kg7z 17 күн бұрын
Mas força aí irmão kelvy gostou muito dos teus episódios
@BarakaChacha-xo7gw
@BarakaChacha-xo7gw 17 күн бұрын
Bonge LA season km umeguswa gong 👍
@emiliapasco
@emiliapasco 16 күн бұрын
nzuri sana wema ni akiba
@HalimaMasudi-kn1gf
@HalimaMasudi-kn1gf 17 күн бұрын
Nimejifunza pia mimi kaka shukran Allah akupe uwezo wakufikiria na kubuni zaidi inshallah❤love from kenya
@user-ml8id4po2n
@user-ml8id4po2n 17 күн бұрын
Wakwanza leo wap like zangu 😅
@Yahyaali-dg8eu
@Yahyaali-dg8eu 17 күн бұрын
❤❤wa kwaza leo
@SHAURI_JR
@SHAURI_JR 10 күн бұрын
Watubaada yaku jifunza kutoa ushauri kushukuru kwa darasa nzuri kazi nikuonba like😂 ziwapeleke wapi
@RehemaMataka-vf1oh
@RehemaMataka-vf1oh 16 күн бұрын
Good job from the beginning till the end all the best on the upcoming works i love you so much all donta tv members ❤❤❤❤❤❤❤❤
Dynamic #gadgets for math genius! #maths
00:29
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 18 МЛН
Be kind🤝
00:22
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 20 МЛН
Joven bailarín noquea a ladrón de un golpe #nmas #shorts
00:17
1🥺🎉 #thankyou
00:29
はじめしゃちょー(hajime)
Рет қаралды 77 МЛН
KIJANA MUUZA MAJI | EPISODE 01 | 💞 Love Story
32:22
DONTA TV
Рет қаралды 1 МЛН
KESHO YANGU EP NO 2 🌙
10:26
NDAUKATV
Рет қаралды 1,3 М.
KIAPO
28:39
CHIDY CLASSIC TZ
Рет қаралды 66 М.
LOVE BITE  《01》
31:27
Boncena got Talent
Рет қаралды 389 М.
UTACHEKA NDARO NA STEVE KIMEUMANA
9:58
Ndaro Tz
Рет қаралды 358 М.
KESHO YANGU PART 34 💞 Love Story DONTA TV
3:38
Mapenzi Brand
Рет қаралды 12 М.
MAMA YANGU KICHAA (SEASON 2 EP 1)
13:26
Steve Mweusi
Рет қаралды 150 М.
路飞的心都被小女孩融化了#海贼王  #路飞
0:32
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 18 МЛН
狼来了的故事你们听过吗?#天使 #小丑 #超人不会飞
0:42
超人不会飞
Рет қаралды 58 МЛН
Художник троллит заказчиков 😂
0:32