Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️
@rodgersmwagu23917 күн бұрын
Sawa tumevumilia kwa hari na Mali lakini mna deni la kutuambia jina la wimbo aise
@josurenjoyo637117 күн бұрын
🙌🙌
@user-pj4ii7wx7f17 күн бұрын
Sawa kaka kevi lakintupo pamoja mwisho mwema mwazo mwema kwa nyingine ijayo🙏
@aminaabdalla-uo9zq17 күн бұрын
Penda bure
@rodgersmwagu23917 күн бұрын
Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda
@hassanmoh660117 күн бұрын
Kama we ni mfuatiliaji wa kesho yangu kuanzia EP 1 mpk finally gonga like kama zote
@PiliShabani-cg6wd13 күн бұрын
Nmeipenda xana
@kipaton001tvКүн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@judithpendo998517 күн бұрын
Walioanza kesho yangu kwanzo mwsho like zangu apa please love from team strong 🇰🇪🇸🇦🔥🔥💞💞💞💞💕💕💕💕💕💞💞💞💞💕💕💕team nyuki kelvin wapi like zangu ♥️♥️
@TabiaMwaisumo-ss7pz17 күн бұрын
Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏
@Angelsalum-er3lm13 күн бұрын
Nimeipenda hiyo I like it
@exaverymakoye602613 күн бұрын
😂😂
@tha_lyrics0117 күн бұрын
Finally part yenye tumewait Sana Alf pia mm mnipe likes zangu🙏
@IssaJaphe17 күн бұрын
Dah nimekuwa wa tatu lakn sio mbaya like kwa DONTA TV
@OzanaMtwangi15 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JohnMwiguru14 күн бұрын
❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹
@Brother-moses2vs7bi1v17 күн бұрын
Hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes all the way from Kenya 🇰🇪 wapy likes zangu NAMI🤣🤣🤣🤣
@user-if7rb1su9j17 күн бұрын
Yan mim huwa wananiuzi sanaaa tena snaaa
@user-rn3su5tr9p17 күн бұрын
Hahaha
@MarianaMwakatoga16 күн бұрын
Wanaboa sana
@KhamisiMumbo17 күн бұрын
Wana donta move zenu nyingi huwa nazfuatilia lakini maranyingi siwapi like polen ndugu zangu kuanzia sasa tuko pamoja hii move imenigusa
@MwanaiddMasoud-qk4hb16 күн бұрын
Umekosea ungesema shida Zina likizo kila ckuu sii maumivu wew umesema Kila CK ni maumivu happy lekebisha kirevin
@user-zg7yv2bm6z17 күн бұрын
Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa
@MartinEmmanuel-eh7fu17 күн бұрын
Congratulations to kelvin and his team ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kama umefurahishwa na hii serious gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@janetkithi77516 күн бұрын
Hii movie imekia tamu Sana. Yaan sitaisahau.
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj2 күн бұрын
Hii move imekua tamu sana next
@Kailasjr17817 күн бұрын
😮Finally hii kituu imetokaa tenaa Likes kwa wale tulioanzaa mwanzo mwishoo😊😊
@StephanoDaud-do5ge17 күн бұрын
Hereeeee😂😂🎉
@mobastian505017 күн бұрын
Hiyo nyimbo ya kesho yangu mtuwekee KZfaq bhana❤❤🎉
@JaydenNaftal-zz7ew16 күн бұрын
Haya
@user-cl8lf1qb6v17 күн бұрын
Hua naliaga kweny movie za kihindi Leo yamenitokea kweny movie ya kibongo kweli hawa jamaa wanatosha 🔥🔥🔥
@AgnesZubedah-zs2xd14 күн бұрын
❤sana
@Angelsalum-er3lm13 күн бұрын
Hahahahahahaha pole
@Brother-moses2vs7bi1v17 күн бұрын
Wangapi tunafurahia kumwona JAFFARY
@AgnesZubedah-zs2xd14 күн бұрын
😂😂Mimi hapa
@Almostaphiq17 күн бұрын
Wakwanza mm like 20 from🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@FemiahJamesMbewepiston17 күн бұрын
Wakwanza mm like zangu
@aishaabeid810617 күн бұрын
Jmn ndio final tushushe comment zakushato... Mungu aibarik sana Kaz ya mikono yenuuu me nimeipenda sanaa hii mpk nlishawish na rafk zangu waitizame
@MwanaiddMasoud-qk4hb16 күн бұрын
Maisha Yana likizo kila CKu c maumivu maana unampana na mwisho unatombo sas Kila CK si maumivu kilevin badilisha hapo Zanzibar hapa
@user-xq7fy2pp3y14 күн бұрын
Hongera sana kelvin khan nakuombea kwa Mungu akuongezee akili na uelewa ktk utunzi wa muv nakutumia kila la heri
@FatmakhamisHamad-pj6bm17 күн бұрын
Wa kwanz Leo kuangalia
@user-lk1dc7pf5v17 күн бұрын
Like zangu jmn wakwanza
@marygorethtemu495916 күн бұрын
Acha ushamba.. likes zinakusaidia nini wew
@user-ih9nd1yt8s15 күн бұрын
Za nn
@user-yw4wv9wq7q17 күн бұрын
allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AllySaidy-tn4iu17 күн бұрын
Wakwanza movie mzuri sana
@user-tq7gp3ue7g17 күн бұрын
Pia mim nimewahi jamn nawapend nyote mlikua mnasubir kesho yangu km mm❤❤❤ from kenya 🎉🎉
@PIERETV50117 күн бұрын
Nimechelewa leo lakin naombeni like hata 20 kutoka south❤❤
@SelemaniAbdulMadjid17 күн бұрын
Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri
@user-tw2ut4xi9b16 күн бұрын
Kazi nzuri kweli❤
@user-xy1qn6ib3f17 күн бұрын
Nilikasirika mpka sikufatilia hizo vipindi vingine Nina furaha Leo😚😚
@HappyCorgi-le5lp17 күн бұрын
Am in ,congratulations kelvin and Loveness am very happy listening your creativity..my favorite characters of the year
Hongereni watunzi mahiri. Movie yenu nzuri sana na mafunzo pia. Twaomba nyengine nzuri zaidi.
@valentineonyoni906517 күн бұрын
40:35 Wow 😊. Thanks guys for your update 🎉. Tulikuwa tumengoja sana. Representing Mombasa Kenya❤. Kwanzia episode 1 mpaka episode 33.❤🎉🎉🎉 Congrats guys 😘💕💕😘
@stephenrobert789917 күн бұрын
Wakwanza leo
@TeddyAmos-go9qq17 күн бұрын
Hii movie inamafunzo sana ukiifuatilia vizuri utajua namna nzuri ya kuishi maisha yoyote yale
@malickberry456317 күн бұрын
Number 1 🔥
@MaulidAmri-zt2gv17 күн бұрын
Sijachelewa jamani naombeni like zangu from tabora tz❤❤❤❤
@Norah-dee17 күн бұрын
Wakwanza from oman naomba like hata kumi guys kwa kaz nzuri ya donta tv 🎉🎉wanaotaka nyimbo ya kesho yangu iachiwe tujuaje hapa guys 🎉
@Heiskmb17 күн бұрын
Tulio hanza kufuatilia ep 1 mpaka final weka like hapa 🎉🎉🎉
@MussaHaule-tn3xw17 күн бұрын
Waooooo Kelvin wangapi tuna mkubali kelv gonga like hapa😂😂😂😂
@user-po4jx2dl9x17 күн бұрын
Bravo kwa wenye tumemaliza tamthilia kuanzia mwanzo hadi tamati❤
@HamisErnest17 күн бұрын
Kaz nzur San police kama nyie ndo mnataikiwa vp nimekuwa wa kwanza like mbili tu
@user-gm6sc8qu7e17 күн бұрын
Wakwaza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya
@vonpizzoychapuu617 күн бұрын
Jamni coment taratibu kunamtu kanikanyaga huku nyuma Yani nimetoka kotee na faino episode ata like ndugu zangu hamna LEO ZAMU YANGU♥️💙
@KomboSaid-fz2ky17 күн бұрын
Team donta tugonge like
@puritynzilaniofficial17 күн бұрын
Wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mpo ndani ya nyumba 💕💞💕💞
@Collokenya17 күн бұрын
Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏
@avekikibombo655917 күн бұрын
kesho ysngu
@user-ly5pg4ot1s17 күн бұрын
Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI
@mishikesi788217 күн бұрын
Am the first naomba like waugwana❤
@user-ok5qg1ig6x17 күн бұрын
Mashallah nawakubali san wanangu like ata tano tu jamn❤❤❤🎉🎉🎉
@user-zc8bk5tu4i17 күн бұрын
😂😂wakwanzaaa kabisaaa
@user-ew5ur2nj4d16 күн бұрын
Kazi Bomba kabisa. Barikiwa sana Kevin. Nampenda sana Vicky.
@UkhtyShemsa17 күн бұрын
Ni nzurii sana tunawashukuru kwa kutuletea tamthilia nzuri kama hii tunawaomba mtuletee nyingine nzuri. Zaidi ya hii ❤❤❤
@TBrownMusic-uw2ut17 күн бұрын
Donta family yang
@samsonlazaro259017 күн бұрын
Wakwanz nipeni likes jmn ya mwisho hii
@user-pq4rv4jm3j17 күн бұрын
Tulikuw pamoja mbk mwisho good work🎉❤
@BeatriceMukakabanda17 күн бұрын
Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri , muendelee kutuelimisha
@user-nn3mo1kg4q17 күн бұрын
Wa kwanza leo nipeni like zangu😢😢😢,,,halafu hongereni kwa kazi safi❤❤❤❤❤❤
@EsdrasKambale17 күн бұрын
Mi wakwanza,like zangu badii
@user-rl4ii9xj5n17 күн бұрын
Much love from DRC 🇨🇩🇿🇦🇨🇩🇨🇩 yanamengi yakujifunza kwaiy story ❤
@clariszawadi201017 күн бұрын
Kesho yangu umekua series nzuri sana na ina mafunzo mazuri acha Mungu aendelee kuwapa uwezo mkubwa
@SPORAJACKSONMWINUKA17 күн бұрын
Wa kwaza jaman like
@furahakenga661917 күн бұрын
Asanten Sana kwa kazi nzur sana kwakwel hii movi imenifunza kitu Asanten Sana Team Kelvin ❤❤❤🇰🇪
@user-tx7je4wp9d17 күн бұрын
Waoooo raha sn wana donta TV hongereni jamani nawapend niko Burundi 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
@AmosMbiko17 күн бұрын
Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@aymyalsadyaymyalsady88417 күн бұрын
Na mimi swali izi like ua mtu yuwalipwa na mimi nipewe like piya nilipwe kidogo mahana mimi nafyatilia donta tv😂
@Phoebenafula17 күн бұрын
Wimbo wa keshooo mtuangushie basi ndo tuzidi kufurahia zaidi,Nawapenda sana nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MahadMfiyome16 күн бұрын
Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾
@JustinBonaneharerimana-zg1td17 күн бұрын
nimefurai sana tena sana kwa movie hii ambao munamafunzo mengi sana mungu azidi kukubariki sana Kelvin akuongeze maisha marefu 🙏🙏
@aishaabeid810617 күн бұрын
Namkubali sana brother Nyuki❤❤
@avekikibombo655917 күн бұрын
mpaka leo nafurahi kufuatilia hii series mpaka mwisho
@MarkoLaandare17 күн бұрын
Wakwanza leo❤❤❤
@sikunzallah484317 күн бұрын
Congrats hii ilkua kali sana,,,leteni nyngne
@user-zc8bk5tu4i17 күн бұрын
Nilitaman iendelee sana daah
@user-gz1ke3tl8l17 күн бұрын
nilijua tuu ilivyochelewa n final
@user-td6tc4jo1h17 күн бұрын
Nimefurah Leo mmemaliza kesho yangu nilikuwa naisubr Kwa hamu shukran donta tv🙏nawapenda Sana🥰🥰😘😘😘
@sikujuakigwada314617 күн бұрын
Wahoooooooooo kazi nzur sana,endeleeni kutupa vitu vizur,kelvin bigup🎉🎉🎉
@princekillian364017 күн бұрын
Much love from kenya 🇰🇪 ❤️
@godnhohenry777917 күн бұрын
Wakwanza dadeq like jamaniii 🎉🎉
@kokenye900317 күн бұрын
Yakwaza kabisa waja mm niwashukuru sana ogereni sana movie safi sana waaah nani aliogopa kaa mm nirifikilia kizeja atauliwa mle ndani lakini poa sana 🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SmilingBreadLoaf-pi8sb17 күн бұрын
Kz njema
@JullianaEmmanuel-tm5xg17 күн бұрын
Kiukwl hii movie n nzr na inamafunzo mengi sana, au bas
@EvelineMungele-sr5tw17 күн бұрын
James Leo anayakanyaga yaan anajitumbukiza mwenyewe kwenye mudomo ya Simba,,, hongera kwako mwanasheria upo vzr mnoo❤️❤️❤️
@methodnkundumukiza636717 күн бұрын
Asanteni sna waigizaji wazuri twawapenda sna mno.i'm from 🇧🇮
@MathewSupeet-nn1by16 күн бұрын
Kesho yangu ni film nzuri sana imenifundisha mengi sana 🙏🙏🙏 naamini mtatoa nzuri zaidi
@JullianaEmmanuel-tm5xg17 күн бұрын
Jaman kwnn nyuki anahasira na kunambi,,,
@user-dj3fz6bz7s17 күн бұрын
Mmechelewesha sana bwana
@neemakarisa611717 күн бұрын
Wow❤❤❤kesho yangu....Mungu awabariki sana nyote mlioshiriki❤❤❤
@user-co5ed6xr5c16 күн бұрын
Walioanza kesho yangu adi mwisho gonga like hapa tumejifunza kitu kikubwa sana congratulations 🎊 🎉🎉 Kelvin and your time ❤❤❤
@eliasisack735117 күн бұрын
Jamn wa pili like zangu ❤❤❤
@user-ox1rt3lc6e17 күн бұрын
Namba 28
@NdayisabaJeanClaude-mp8gg15 күн бұрын
Kevin tunagupenda sana kabis hongera na Rwanda huku tugufatilia San hongera San sarimia nyuki
@user-er3cb9mb9m6 күн бұрын
Much love from Kenya guys like back wapi like za Kevin na nyuki ❤❤❤❤ nimejifunza Sana ❤
@aminahissaa555116 күн бұрын
Hii movie nzuri sana inamafunzo Sana mpk na mm nimelia kwakwel dunia hii
@user-jv8xd6kg7z17 күн бұрын
Mas força aí irmão kelvy gostou muito dos teus episódios
@BarakaChacha-xo7gw17 күн бұрын
Bonge LA season km umeguswa gong 👍
@emiliapasco16 күн бұрын
nzuri sana wema ni akiba
@HalimaMasudi-kn1gf17 күн бұрын
Nimejifunza pia mimi kaka shukran Allah akupe uwezo wakufikiria na kubuni zaidi inshallah❤love from kenya
@user-ml8id4po2n17 күн бұрын
Wakwanza leo wap like zangu 😅
@Yahyaali-dg8eu17 күн бұрын
❤❤wa kwaza leo
@SHAURI_JR10 күн бұрын
Watubaada yaku jifunza kutoa ushauri kushukuru kwa darasa nzuri kazi nikuonba like😂 ziwapeleke wapi
@RehemaMataka-vf1oh16 күн бұрын
Good job from the beginning till the end all the best on the upcoming works i love you so much all donta tv members ❤❤❤❤❤❤❤❤