Jamani sulemani ujafia jela unakuja kuuliwa hivyo kweli nimeumia kwa kweli nimekumbuka alivyotoka jela na kumfata mtoto wake alipomuona mtoto wake alifurahi sana poleni family Mungu ampe pumziko la amani 😭😭😭
@zainabubalama88692 жыл бұрын
Kuna Watu wanaunyama hata Simba anaafadhali. Poleni Sana wafiwa kwakuondokewa na ndugu yetu
@mariamsalim93112 жыл бұрын
Tumekumiss zahir welcome back
@laymashabani8322 жыл бұрын
Dah yaani nimeumia kama ni ndugu yangu vile😭😭😭 binaadamu wabayaaa
@amanisalum1638 Жыл бұрын
Kabla ya kulaumu kuna haja ya kufanya tafakuri ya kina sana.Nyuma ya jambo hili lazima kuna lililojificha.
@mariamsalim93112 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun Allah amsamehe makosa yake
Innalillah wainna ilayh rajiuun Allah amrehem kaka Suleiman nimeumia sana kiukweli japo ilishapita
@eyabdimaha36982 жыл бұрын
Mimi fikira zangu zinaniambia mauwaji yalipangwa juu yake ila Allah anajua zaidi binadamu tumekuwa wanyama sana
@rahimaaaaa56822 жыл бұрын
Atamm nais ivyo😭😭
@umsulaiman74682 жыл бұрын
innalillah waina ileih rajioon 😭 polen sana kwa msiba wa ndugu yetu Suleiman Allah amrehem amsameh makosa yake ampe qaul thabit amjalie janat ferdaus amiin yarab Allah akupeni subra msiba mzito Allah awafarij
@adilmohamed211715 күн бұрын
Msiba wetu mungu atupe subra
@magrethmbuma30452 жыл бұрын
Watu wapole nao wanavitu vyao fulani fulani hiivii.....Pumzika pema Seleman
@animallovers34732 жыл бұрын
Kiukweli hyu kaka ameteseka sana yaan imagine amepelekwa jela mungu kamsaidia katoka watuwanakuja kumuuwa tu jaman mungu ailaze roho yake mahali pema nimeumia sana
@adilmohamed211715 күн бұрын
Zahir kaka pole msiba wetu lkn ww nikikuona hapa najikuta na uzuni tu
@Aida-qh3jq2 ай бұрын
Inalilah wainalilah rajighun poleni sana
@happymchomvu67662 жыл бұрын
Huyo bos wake Akamatwe ukweli utajulikana jaman hzi ni nyakati za mwisho daah😭😭😭😭😭
@mariamnjama39632 жыл бұрын
Haya mauwaji yalipangwa kitambo sana japo dhana c mbaya ,alifungwa miaka yote hyo maskn hakufa ila lazma aliekewa Nia yakuangamizwa maskn,Mungu ailaze roho yake pepon 🙏
@florenceamata57052 жыл бұрын
Dinadamu wa.egeuka kuwa wanyama RIP salemani
@salmalopezsalmalopez5242 жыл бұрын
Inna lilahi wainna ilah rajiuna daah! Allah ampe kauli thabiti nahisi hao watakuwa panya roud tu
@imusultan99182 жыл бұрын
Ww kumbe dia unazojia
@ukhutfatumah11542 жыл бұрын
Innalillah wainnah illah lajoun Binaadam wa Sasa aise kheir ukutane na mnyama mkali polin Lakin sio binaadam WA Sasa wallah 😭😭
@yasodishonest97922 жыл бұрын
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭wapo waliotuma mauwaji hayo wallah siobure
@victormutua40432 жыл бұрын
Tanzania munamambo kweli kila saa kuuana tu Allah awasaidie
@aminaabdalla99492 жыл бұрын
Dah banaee hata unaogopa
@yasodishonest97922 жыл бұрын
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭
@ukhtyrehemaabdy2830 Жыл бұрын
Dah seleman kimekukuta nn tena
@heyumi23402 жыл бұрын
Inalillah wainaillah rajiun
@user-ur6zr7wc8n2 жыл бұрын
Inalilahii wainailahii rajiuniii mungu amlazee Mahala pema peponi
@munirachangawa29282 жыл бұрын
Mhhh mtihani kwa kweli binadamu wabaya.na roho zao mbaya.ubinadamu kazi
@muniraabdulrahman56562 жыл бұрын
Zahiri wewe maisha ya watu unaweka rehan kwa kweli huku kujitangaza kwnye media ni mtihani ukiwa mkweli wa mambo yanayokysibu wewe na maisha yako basi utafatiliwa uuliwe
Aisee toka baba yetu maguful amefariki matukio ya mauwaji yamekisiri jmn mbaka inakela mungu tusaidye jmn hii nchi imefkia pabaya
@sarahmwampulo4401 Жыл бұрын
Mmmm jamani nimeumia Sana
@marryamyusuph16992 жыл бұрын
Inalilah waina ilahi rajiun.
@binthkhamisi10972 жыл бұрын
Pole sna...mybe hao ni wale panya rod...
@aishaissa25122 жыл бұрын
Poleni wafiwa Allah awape subra kwenye kipindi kigumu 🤲
@Rose-ue2ho2 жыл бұрын
Sasa vipi simu yake umepatikana kama walikusudia kuiba? Wamemuuwa mwenye boda boda kwasababu asije kusema wakakamatwa au kakataa kumuacha walikuwa wanapambana wote.
@ridhwanfaki97382 жыл бұрын
Inasikitisha sana binaadam tumekosa Imani kwa wenzetu
@nemajaquecene91672 жыл бұрын
Innalilah wainahilllah rajuun
@munakhamis9822 жыл бұрын
😭😭😭Sele wa Maxmum mung akupe kaul thabit hii ni fumbo mung ndio unajua kun nn kat yake
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
Pumzika kwa aman mpenzi wetu😭😭 mbele yako nyuma yetu🤗🤗😭😭
@OmanOman-sb9oz2 жыл бұрын
Jamani kapitia magumu katika dunia
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
@@OmanOman-sb9oz sana😭😭😭😭😭😭😭
@latifairakoze42562 жыл бұрын
innalilah wa inna ilah rajiun
@luckydubebello11312 жыл бұрын
Zahir welcm we missed u,this is very sad 😥 😢
@maximumtvonline2 жыл бұрын
Am back
@felisterandrew8741 Жыл бұрын
Jaman mh
@mamawawili40692 жыл бұрын
Sijui mapany rod seleman pumzik kma aman kak umeniumiza kwakwel😭😭😭😭😭 kak suleiman nafs yak itawalaan hawa viumb waliokufanyia iki kit
@mariamkitwana61482 жыл бұрын
allah amrehem selemani
@khadjaiddlis2832 жыл бұрын
Innalillah wainnairaihy rajiunn
@abdijibarmaalim31732 жыл бұрын
Its painful saana sorry for the family...that's well planned within family revenge ndio maana they also kill mwenye bodaboda with no evidence...waah better awe kwa jella very sad
@zuweinaalhabsya87732 жыл бұрын
انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته يارب
@samiamamy10112 жыл бұрын
😭😭😭Dah ngumu kuamini pumzika kwa amani sele wetu😭😭😭🙏
Suleiman kumbe ana ndugu zake jamani na alisemaga hana ndugu dar.
@SamsungGalaxy-kx2zj2 жыл бұрын
Ukweli wa kifo cha sullema wafatishe simu yake itakuwa ni katika wanawake walio kuwa wanawasiliana nae kwa kutaka kuolewa hakuna wengine
@mwanamisakulembwa11472 жыл бұрын
Inalillah wainaillahi rajiun 😭😭😭 R.i.p
@ismailmatari9162 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajighuna..dah selemani story yake nimeanza kuifuatilil leo. Kufungwa kutoka jela hadi kumpata mwanae. Siku hii hii nafungua clip nyingine nakuta ameuawa. Dah...! Nimeumia sana😭😭😭😭 mungu amlaze mahali pema maan yate yaliyomkuta yeye ndia alimuandikia hivo. Mbele yake nyuma yetu tumtegemee mungu kwa kili mitihani inayotupata. Pole mama sela pole ndugu wa sele pole wanakigoma pole watanzanie wote kwa ujumla😭😭
@hawamkamba50 Жыл бұрын
😳😳😳 mtumeeee!!! Uyu kaka kafariki maskini niliwahi kuonana nae alichangamka mno nikawa najiuliza nimemuona wapi akasema kama unafuatilia maxmum tv basi ndo mimi duhhhh!
@angle36006 ай бұрын
😢😢😢😢
@zwinaalhabsi6642 жыл бұрын
Inasikitisha kwa kweli
@amisamussa44332 жыл бұрын
Duuh inaumaaaa jamani kaka wawatu jamani miaka20 jela leo kifoni pumzika kwa amani sele
@Inzaghi8092 жыл бұрын
Nazani aliwuwawa nawa police kwaju alikuwa anataka kusema mambo anapatikana jela
@fauziatumbo8221 Жыл бұрын
Hyo mume aliyeoa mwanamke aliyezaa n Suleiman ndo alipanga huo unyama
@felisteredward8922 Жыл бұрын
😢😢 looh jaman mbona km mtu analipa kisas iv
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Zahir ulikua wapi jamani tumekumiss sana kaka
@maximumtvonline2 жыл бұрын
Nimerudi
@salamanauthar4802 жыл бұрын
@HAMIDA RASHIDI iddi gani kipenzi huyo dereva bodaboda au?
@salhamohamed92402 жыл бұрын
Mie nahisi walio wakata mapanga itakuwa ni watu wanao wafahamu na ndio mana wame muuwa na bodaboda kuondoa ushahidi
@rosenaheka51372 жыл бұрын
Maximum tv tunawapenda. Ila mtangazo yatawaharibia. R.i.p Seleman
@maximumtvonline2 жыл бұрын
Tunasubiri yatuharibie..
@rosenaheka51372 жыл бұрын
Kuanzia Leo hutaona nikiangalia Chanel yenu. Nikiangalia mnivunje mguu
@minakhamiskhamisi61932 жыл бұрын
@@rosenaheka5137 unamaanish nin kusema hivo ach kutisha wezie bwana ww km hutaangalia wengn tutatizam
@rosenaheka51372 жыл бұрын
@@minakhamiskhamisi6193 mm matangazo yananikera . Ila maximum tv wakocvizuri tuu. Co kwamba nawatisha. Ww angalia tuu
@siasia54692 жыл бұрын
@@rosenaheka5137 ndugu hayo matangazo ndio yanayo walipa wenzio kwaio ni vizuri kuyatazama mpk mwisho
@mwanaherhussani7425 Жыл бұрын
😢😢😢
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Maybe ni panya road Bado wapo
@luludisniper24362 жыл бұрын
Yani siamini naumia Sana Kwa kweli
@jojikeneth90242 жыл бұрын
Duuuu! Hii hatari sana
@malkavoice25702 жыл бұрын
Samia naye aangalie wa kuwasamehe wengine ni vibaka kweli ukiwatazama usoni sivyo walivyo rohoni. Huyu sele inaonekana kabisa alishindikana hadi gerezani
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Kushtumu ni dhambi. Jela ukiwa umeregea utakufa kwa njaa. Kuna shughuli za ushoga ukiregea unageuzwa. Kwa hiyo uhalisia wa maisha ya jela inabidi uwe smart.
@SihabaAbdallah-li6dx3 ай бұрын
Yani niksi zimeaza kwakina uyo mwanamke walomtia NDANI
@user-vn2ni9vm4b2 жыл бұрын
inawezekana ndo hao panya rodi
@roselambert67002 жыл бұрын
Dunia hii ina watu wakatili sana
@charitylulu88722 жыл бұрын
Inalilah wainailahi lajiun
@aminaabdalla99492 жыл бұрын
Wanafanana poleni hatasisitunahuzuni pia tulimzoea kupitia MXimu.
@teddymwageni17632 жыл бұрын
Inamaana aliyewaua wanamfahamu ndo maana bodaboda kauawa pia kupoteza ushahida
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mtihani mtu kumuwa
@aminaabdalla99492 жыл бұрын
Hapo ikokitu sibure
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Kuanzia leo natoa password kwenye cm yangu nimejifunza jambo moja hapa 😭😭😭😭
@zeddydaqueensy46122 жыл бұрын
Kweli kabisa maana hatujui mambo yanayokuja mbeleni
@mwanaherhussani7425 Жыл бұрын
😢😢😢
@rahma61892 жыл бұрын
R l p Selemani
@ifgodsayyes.nobodycansayno17962 жыл бұрын
MIMI PIA SIAMINI DAH SO SAD 😭😭😭😭😭 KWA NINI UUWE MWENZAKO NAUTA KUFA REST IN PEACE.
@salamaseif41832 жыл бұрын
DUu hii dunia
@hadijahadija46992 жыл бұрын
Pumzika.kwa.amani.sele.wetu.
@yasodishonest97922 жыл бұрын
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭wapo waliotuma mauwaji hayo wallah siobure