Tanzania inachosha,kila kesi upelelezi haujakamilika,ila ukimtukana kiongozi upelelezi unakamilika hapo hapo
@kebbymody56062 жыл бұрын
Sijui upelelezi gani wakati wamesema mtuhumiwa alionyesha ushirikiano minachoka
@prettyh75092 жыл бұрын
😭😭shukuru Mungu Kwa ulichokikosa Kwan wanawake msiozaa au mliozaa watoto WA jinsia moja ,mshukuru msihangaike eti nipate WA kiume au wakike, Mungu hutupa anachoona ni Bora kwetu, ndug zangu Hadi wa dam wamenichunia bila sababu nilkuw naumia baadae kuona habar hiz nimefarika kwamba usinganganie undugu wala urafiki binadam utu umeisha kabisa tunathamini Sana Mali kuliko utu 😭😭 Mungu tusamehe
@magrethjulius7402 жыл бұрын
Hata mm pia sio ww ndugu ni lawama sana
@agriparose39422 жыл бұрын
Huyu mimi kabisa
@agriparose39422 жыл бұрын
Naishi duniani kama uyoga si ndugu wooote mpaka pacha angu wamenichunia Bora watu baki wallah niliyokutendewa na kuongelewa ba watu wa ndani ni msiba zaidi ya huyo aliemuua mama ake
@ameenaameena12242 жыл бұрын
@@agriparose3942 pole
@beatricekamenge70002 жыл бұрын
@@agriparose3942 pole Sana
@agnellapius81422 жыл бұрын
Sasa havi dunia inaenda mwisho tunaowazaa wanatuuwa tumuamini nani eeh mungu wangu tusamehe waja wako😭😭
@teychriss32482 жыл бұрын
Jamani! Sasa upelelezi gani Tena wakati katoa ushirikiano!! Hii upelelezi haujakamilika mwishoe jiiii!! Imeisha hiyo!!
@angelageofrey97562 жыл бұрын
Daa 😭
@myunaniniahmad64632 жыл бұрын
Mie nashangaa huo upelelezi, nahisi kiasi cha rushwa walicho taka hakijakamilika. Hiyo ndo tz.
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Muda mwingine unaweza kuwa mgumba lakini kumbe umeepushwa na majanga makubwa zaidi ya kukosa mtoto ,tupende kumshukuru mungu kwa yotee ndugu zangu kwani yeye anajua kila kitu kuhusu sisi waja wake.
@ummiali80842 жыл бұрын
Kweli kabsaa
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
ummi asante my
@ummiali80842 жыл бұрын
@@BIGBOSS-hl3bu karbu
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
@ummi Ali ,Na wewe karibu
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Ummi naona hujalala upo kwenye ibada my na ramadhani hii mashallah
@ashuuuaisha91222 жыл бұрын
Ivi ndio huyo anetizana camera kwa ujeuri. Pumbavu sana. Huko gerezani wamfumuwe marinda yote mpumbavu mkubwa huyu
@elizabethbusigara45682 жыл бұрын
😂😂😂
@kambugarakim48402 жыл бұрын
Mmmmmh ashuuuuu
@myunaniniahmad64632 жыл бұрын
😎😎😎kweli umevurugwa my.
@ahz69072 жыл бұрын
kweli aisee
@zebrongondwe2 жыл бұрын
Mtoto akifika umri flani anatakiwaa atoke hapo nyumbani akapambane na maisha,ss unakuta mzaz anajifanya kumpenda sana ndo madhara yake km ya moshii pia kwa yule dada
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Tunaweza kumlaumu mtoto bure kumbe inawezekana mzazi kuna vitu alivifanya kwa wengine yaani dhulma ,na dhulma huwa inarudi kwako kwa njia nyingi sana ,Mtoto kwenda mbali na wewe sio tatizo ,tatizo nikuwa umemuuandaa vip huyo mtoto kimaadili ?na jambo jingine baya zaidi unakuta mtoto anajihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya kwahiyo ni kazi bure kama anania mbaya atakuja tu kwako hata kama upo mbali ,na labda kapewa na mtaji mara kadhaa kashaa kula woteee.
@aminaomary55672 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri una projo katika kazi zako ongera sana.
@khadijajuma71422 жыл бұрын
Afu anatembea kwa kuvimba na kujinenepea juuu hili hata bado halijutii kumuua mama yake . Ulaaniwe
@unknownsasha83832 жыл бұрын
Ata wasipomfunga mauti nihalali yake waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heli duniani
@mamaahmad86152 жыл бұрын
Linyongwe tu sheetani mkubwa unamuuwa mama yako miezi tisa tumboni kakuzaa kakulea katafuta mali zake kwa jasho lake ww ibilisi mkubwa unamuuwa daaaaah unyongwe na unalaana ww kaka 😭😭😭
@magejuliani52932 жыл бұрын
Kha kijana huyu angekumbuka hata moja tu alilofanya Mama yake ya kumfungia ndani ya tumbo lake miezi tisa asingefanya mauaji hata km aliudhika
@graceezra71052 жыл бұрын
Keshakosa mama keshakosa mali baas tu ngoja wakampe mali gerezani
@samweliandrea78022 жыл бұрын
Daaa mungu nisaidie mm kijana
@khadijajuma38872 жыл бұрын
Subhanallah innalilah wainnailayh rajiuun
@zuwenasalim27942 жыл бұрын
Lilivyo baunsa sasa mwenye kamera kuwa makin akikukaba huchomoi na nimtoto mdg tu Mungu atusaidie na vzaz vyetu jmn ,hakuna alichokuwa anakosa kwa mama yake sasa kamuuwa nn amepata uwiiii😭😭😭😭
@saidhassan77792 жыл бұрын
Naona Kila siku story ,muna haribu Mafuta tuu ya serekali kwa kwl
@sukariyao65372 жыл бұрын
Na wao maaskari awana kazi za kufanya 😂😂😂 si walimalize tuuh nalo 😏
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
Kwakweli kuzaa siyo kupata. Pumzika mwanamke mwenzangu, mwendo umeumaliza. Mwenyezi Mungu akuepushe na adhabu zake.
@Fundi123452 жыл бұрын
Mbona munasema alimuua manake na kutupa choon so mutataka ushahidi upi kenge nyie mbona watu hamukuwagi kiakili kuna nini tz hiyo ni nafa ya wapelelezi kula pesa hakuna upelelezi hapo!
@maryjonh3112 жыл бұрын
Hii ndo tanzania bhana upelelezi aujakamilika nachokaga
@janethmwanda3572 жыл бұрын
Yaan mom unamuua nyie watu wanatafuta mom jmn khaa
@hassanfarouq9222 жыл бұрын
HV MTU KESHAUA KILAA SIKU POLISI KUFANYA NN SI AULIWE NA YY
@neemazee18642 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jescajulius80232 жыл бұрын
Sheria inakataza kuua
@lucynelsonmungure17192 жыл бұрын
Unajua kuleta habari za maana Sana.. Unaga mambo ya udaku na umbea umbea unatuelimisha sana
@lifhonlee34272 жыл бұрын
Upelelez upi tena.acheni ushezi.malizaneni na case kama hizi mara moja do iwe fuzo kwa wegn.
@janemhango58842 жыл бұрын
Huyu ndo nilimuona mjinga maana watoto ni wawili yeye ndo wakwanza ndo angefaidika mengine naona ni bange
@yustinamartiny32242 жыл бұрын
Nyie Ayo tv mbona habarii nyingi za Arusha kwan morogoro huwa hamfatilii
@aminaomaryaliy32262 жыл бұрын
Uzazi tunaulilia lakin nikiona hivi sitaman yani watoto tunawaogopa wanaume tunawaogopa yani hamna Amani kabisa subuhannallah
@janemhango58842 жыл бұрын
Mtoto unamzaa ndo anaekuuwa 😭😭😭
@rashdiyange77582 жыл бұрын
sema tu shelia yabongo lusu kuuwa ngekuwa mimi ningekuwa mm shamuwa uyo NAMPELEKA makamani kufnaya mn shez uyo
@petronelakiozya57852 жыл бұрын
Kaka unatangaza vizuri sana
@safiayussuf9308 Жыл бұрын
Kuzaa sikupata. Una muwa mamayko aliye kuzaa kwa tabuu😭mm naliya mpaka leo kumkosa mamayangu huyo tena ktk duniya hii. Allaha awarehemu wazee wetu Ameen
@rosehillary87422 жыл бұрын
Kijana ni mnyama maana jasiri na hana Woga. Aisee hapana
@verdianabanabi22052 жыл бұрын
Na yeye tupa chooni aone kama ni patamu.
@marthagabriel34172 жыл бұрын
Hana baba?hawa watt wakulea mwenyewe mwenyewe huenda ni tatizo
@tumainimwakyaka27752 жыл бұрын
Dunia imeisha
@irenenyauhule60172 жыл бұрын
Kweli kikulacho kinguoni mtoto namzaa mwenyewe Tena anakua adui! Mh
@sarahjohntindwa99992 жыл бұрын
Sasa upelelezi wa nn?kwani si ameua mwenyewe na amekubali sasa wanapeleleza nn?yaani hii serkali kipengele hicho mm nakuwaga sielewi kabisaaaaaaaaaaaaa
@njuka35152 жыл бұрын
Kumbe alikubali?
@azizamihungo96592 жыл бұрын
Mi kiukwel niwe na mawazo tofauti nahic Kama sio yeye alioua Kuna Siri nyuma ya pazia
@sabatosabibi8791 Жыл бұрын
Hatari mtoto anaua mama mzazi pesa ibris kweli hapa bongo dingi wanaomba afariki ili walidhi mali
@saidachraf34452 жыл бұрын
Subhanallah
@ellyitete9382 жыл бұрын
Amenenepaje huko mahabusu
@fatytz5852 жыл бұрын
Na yeye afe tu
@victerkanje16972 жыл бұрын
Yaan hii issue nilikuwa naisubiri kwl yaan.
@glorychristopher72832 жыл бұрын
Ila sithani kama ni yeye asingesema ila kama angefanya angetoroka KwA hyo kuweni makini
@peteryukunda92392 жыл бұрын
Ndo hivyo majitu yamezoea umalaya,kazi hayataki,wanaume wanakula kuondoka,bora mtu ujitahidi kufanya kazi.
@elvisoscar99122 жыл бұрын
Tanzania kweli ushamba mzingo Yan kijana ananyanyua vyuma alafu anatembea kwa malingo ngoja afike jera aokote sabuni na ku aegemee ukuta wa gereza 😂😂tuone Kama atatembea ivo
@mariammkwabi71012 жыл бұрын
😂😂
@selemankishema57802 жыл бұрын
Unapoona mtu anakosa mtoto usimcheke shukuru mungu kisha omba mungu akuongozee watoto wako laiti kama ni kweli basi kama angeulizwa na mungu tunakupa mtoto lakini ndie atakaekuja kukuua je? Unadhani angekubali? Napia tusisahau mara nyingine unavuna unachopanda.
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Alikuwa ananyanyua vyuma kwajili yakukipanga kumuua mama yke.
@zakhianzuki93482 жыл бұрын
Mmh,uyu atakua kamuuwa kweli mama yake sasa amepata nini zaidi ya kuishia jela.
@sadanahimana71932 жыл бұрын
zama za kiama hizo zikikurubia panajitokeza mengi Allahu taupe mwisho mwema wallah
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Subhannallah, Gentlemen, unamuua Mamako, mimi nalia kila siku kwa kumkosa Mamaangu 😢
@reginabeno19042 жыл бұрын
Atakua alilogelezewa jaman nguvu za Giza sio nzuri atakua alimuua bila kujijua kwaakili za kawaida mtu hawezi kumuua mzazi wake
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Gentlemen tena🙄
@basilisamsaka84692 жыл бұрын
Jamn!
@asha.mwambamwamba17742 жыл бұрын
Kesi zaivo ziharakishwe
@verombwambo46832 жыл бұрын
Upekelezi Gani Tena wakati muhusika alishakiri
@mercycharlesmsiagi17562 жыл бұрын
Kikubwa n kuwa ombea watt wetu n kuwalea ktk misingi ya MUNGU ivyo mi nacho amini MUNGU ajaumba mtu muuwaji wal mwenye tabia mby wazazi tume ji sahau kuombea uzao wetu mpk w2 mn fikia atua y kukufuru ety un juta kuzaa mh
@salmahabibu39942 жыл бұрын
Mimi siamini kwamba kweli paric alimuua mamaake apana.
@evelinemsaki20572 жыл бұрын
Ayoo jitathimi I uanakwenda kupoteza wafanyakazi wako watakupoteza hatukuelewi taarifa za vipande
@jacquelinosmond2212 жыл бұрын
Sasa kama kesi ndo imetajwa na kuairishwa ulitaka Ayo tv waongezee maneno yao kukurizisha? Yeye katoa kile kilichotokea, ulitaka aongeze nini, kama unacho hicho kilichobaki jiongezee acha lawama
@salumkilongoji59122 жыл бұрын
Jaman kwani sikuzion ukojela wafilaji wametolewa.? Kama wap si wamfile huyu jamaa..
@salumkilongoji59122 жыл бұрын
Kesi ya amza pale ambassador..mliipatiamajibu fast mkaendakupiga familia yake vibay sana. Ilakesii unajifany upelelezi haujakamilika...tena siajabu kikaiingilia kati hadi kilekijamaa cha hakizabinaadam.acheni mamboyenu.. miniliwapenda sana ware wanakijiji waliomchinja yule muuwaji..ivyondio lilipaswa ifanyike kwahuyujamaa hapa...
@fatmamamlo78822 жыл бұрын
Mbon kanenep inamaana wanampa kula nyingi eee siwangemnyonga naeakatupwa mtaloni uchunguzi wa nini sasa Tz inafuga mijitu ya ovyo sana
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Subhana'Allah nini jamani si binadam tume kumbwa na nini lakini!
@kadigatanzaniya47922 жыл бұрын
Linazidi kunenepa tuu hilo uwaji siyo tuhuma kamuwaaa ndiyo
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Jamaa baunsa kavimba hatali
@salamaseif41832 жыл бұрын
Inalilah lahaajuni
@myunaniniahmad64632 жыл бұрын
Hivi ni upelelezi gani unao fanywaga na ikiwa kilakitu kilikua wazi?
@Zaikadena2 жыл бұрын
Mi siamin mtu amuue mama yake kwel afu ni mtoto wa kiume hua inakuaga kipenz cha mama
@aminaomary55672 жыл бұрын
ITV AYO WOTE MUKO VIZURI JAMAN ONGERENI SANA.
@vesitinarevocatus73332 жыл бұрын
Hivi huu upelelezi huwa niwaaje haliyakuwa amekiri kufanya tukio
@beatussagalani13972 жыл бұрын
Kakuzaa, kakulea kwa shida, kakusomesha kakupa hela ya matumizi, mtaji kajitafutia mwenyewe ili akulee, wewe unakuja kumuua kirahisisahisi ivo at!
@samwelijoab34252 жыл бұрын
Anyongwee tuu kifungo chamaisha hakimfai kabisa
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Uyu ni mbwa.sasa amepata faida gani.
@mariasixmund79642 жыл бұрын
Mbna anaangalia kwa jeuri hivo
@leticiamapunda33242 жыл бұрын
Analahana kuzaa siyo kupata yaduniani yanatisha
@magrethmollel10782 жыл бұрын
Yu mkini saa hizi anajuta Mungu amsamehe
@mohamedmanjanjagara6452 жыл бұрын
Pamojaaaa
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
Kwa hiyo kakutwa na hatia mpaka kufikishwa mahakamani? Nch za kiarabu sasa hv kasha nyongwa tu
@najmaulaya88192 жыл бұрын
Sana tu
@joycedamiano50342 жыл бұрын
Mm kwaushauri wangu munge muua nayeye mumutupe kwenye shimo lachoo
@rinaldaoman78922 жыл бұрын
Tutaifatilia hii kesi hadi tujue mbivu na mbichi. Haiwezekani MUWE mnastilii majambazi ya namna hii
@ashurahaji91152 жыл бұрын
Kama amemuua aliyemzaa askari jiangalieni atawang'ata meno
@glorychristopher72832 жыл бұрын
Poiisi fanyen kazi
@abubakarikisuju802 жыл бұрын
Hadija kopa hajakosea kwamba kuna kuzaa na kunya")
@rinaldaoman78922 жыл бұрын
Hee BAADA ya kukupigia keleke Mlikuwa mmefucha wapi. Hatujawaelewa.
@neema_mollel2 жыл бұрын
Daah
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Daaaa😭😭😭
@juliuspantaleo60682 жыл бұрын
Huwezi kumuua mzazi kisa Mali duh
@tuntufyemwakalukwa90812 жыл бұрын
Alafu inaonesha lina jeuri kwan askari habu liueni na nyie
@ashurahaji91152 жыл бұрын
Sasa Kuna raha gani happy mama umemkosa na kesi ndio hiyo Sasa huyu anaweza kumuua hata ndugu yake
@mwanaally32362 жыл бұрын
Kuzaa si kupata
@ENEAHTV2 жыл бұрын
Huyu ndiye MTU wa kwanza kugundua na kupost video KZfaq 👇👇👇 m.kzfaq.info/get/bejne/i8eFeM5yltetiqc.html
@limymasele212 жыл бұрын
Upelelezi wa nini mnataka kumwachia huru?
@sheriibrahim67532 жыл бұрын
Mnaperereza Nini jaman mbona mnajaza makatas tuu toe hukumu
@renatusmisigaro63322 жыл бұрын
Yan lilibeba vyuma kuja kuua mama!!
@fabianndimanya20552 жыл бұрын
Nilijua tu itakuwa Arusha au Moshi😭😭😭😭
@amyreenahmad14042 жыл бұрын
kesi ya mapolisi mtwara kimya
@neemasazia-vg9sh Жыл бұрын
Kuzaa kutoa malazi tuu maana!!
@jamesminja32732 жыл бұрын
haya ndio matokeo ya kucheza game ukiwa na miaka zaidi ya 25 nyumbani kwa wazazi huku wanakuchekea chekea
@moonaamli68352 жыл бұрын
Sasa upelelezi wa nn ? Na maiti mmeikuta na muuaji ndio huyo?
@aminaamiri76842 жыл бұрын
Hyuu na wa mosh yule win waoanee maan wote maezrael watoa roho