Kila Muhadhiri Amekua Mganga /Kisa kilichonitokea Kwenye Ndege South Africa/ Sheikh Hilali Kipoozeo

  Рет қаралды 104,438

DARSA TV

2 жыл бұрын

Kila Muhadhiri Amekua Mganga / Kisa kilichonitokea Kwenye Ndege South Africa / Sheikh Hilali Shaweji Kipoozeo
Mashaa ALLAH Sheikh Hilali Kipoozeo akieleza kwa uzuri na ubora wa hali ya juu kabisa juu Ya Umuhimu Kuwasomesha watoto Elimu ya Dini tizama video zetu mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE:kzfaq.info/get/bejne/a7-JnK-AypvZo6M.html​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: darsatv​
► LIKE DARSA TV on Facebook: DARSATV/​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks

Пікірлер: 102
@jumannemrisho3517
@jumannemrisho3517 2 жыл бұрын
Kweli nawafaham wahadhir kama watatu apo kabla hawajawa wahadhir hawakuwa waganga sasa hivi wote waganga
@noshadmadini5768
@noshadmadini5768 2 жыл бұрын
Kibaya zaidi wwnatumia channel za misikiti kutangaza uganga wao
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 2 жыл бұрын
@@noshadmadini5768 Miongoni mwa dalili na ishara za Kiama/mwisho wa dunia umekaribia; baadhi ya Wengi wao hao Waganga ni Matapeli tu.
@kukubanga6158
@kukubanga6158 2 жыл бұрын
Äåä
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Ndio mattzo ya kutokusoma masomo ya duniani pia. Wenzetu waisilam wa nchi nyenginezo utawakuta wanasoma skuli na wengine wanafikia mpka udaktari na dini ya kiisilam wanasoma pia sana. Kwahio wanafanya kazi na huku wanatoa daawa. Lkn unakuta Tnz masheikh wengi hawasomi masomo ya skuli. Na wanataka kula na maisha ya kujitanaffas wake wawili+ watafanya nn??? Ndio mwisho wanaingia ktk utapeli, uganga, kusomea watu, kuuza madawa pengine wanajua haswa km hayafanyi kazi, lkn watafanya nn??
@IBRAHIMABDUonlineTV
@IBRAHIMABDUonlineTV 2 жыл бұрын
Sasa kweni uganga ni haramu Ndugu zangu??
@halyberryrahmeyadams3335
@halyberryrahmeyadams3335 2 жыл бұрын
mashallah shekhe kipozeo Allah akubariki sana kwa mawaidha zako nakupenda na namwomba Allah akulipe mema duniani na akhera....amiin
@sadickgrace9
@sadickgrace9 2 жыл бұрын
Ijumaa na sikia unakuja mbande sheikh karb sana Sheikh inshallah
@mursalmrisho1538
@mursalmrisho1538 2 жыл бұрын
Shukran sana sheikh wetu
@mutomubaya
@mutomubaya 2 жыл бұрын
Shukran Sheikh kwa kutuelimisha mengi kwa mda mchache. Allah akuongoze njia ya salama. Umeeleza umuhimu wa kusoma elimu zote mbili. Tujiulizeni sisi Waislamu wa Afrika mashariki je tangu imeteremshwa Qur'an hadi sasa, zaidi ya miaka 1400, kwa nini wengi wetu hawaelewi umuhimu wa jambo hilo....? Tuweni wakweli. Tazama utaona baadhi ya viongozi ndio wanadhoofisha uwezekano wa vijana kusoma kwa kuwa wanaandaa masomo kwa watoto pekee. Wakifikia kuitwa vijana masomo ya Dini yanakatishwa
@sumisumi8181
@sumisumi8181 2 жыл бұрын
Sheikh wetu Allah akulipe kheri zake na akuifadhi in shaa Allah
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Allah akulinde kwa kila sekunde 🤲🙏
@wenge4x423
@wenge4x423 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu amjaalie awe katika waja wema huyu Sheikh
@adijarashidi1426
@adijarashidi1426 2 жыл бұрын
AAmin yaarab nasi piya Allah atupe mwisho mwema in sha Allah yaarab 🤲
@omaryteddy535
@omaryteddy535 Жыл бұрын
Mashaallah
@mohakelly4195
@mohakelly4195 9 ай бұрын
One year still watching Allah akuzidishie elimu maana unatuelimisha sana sheikh wangu nakupenda sana kwa ajili ya Allah naitwa Mohamed kutoka Nairobi.
@abcmnbb2610
@abcmnbb2610 2 жыл бұрын
Mashaallah tabarakaallah
@AbuuhKibeku
@AbuuhKibeku 4 ай бұрын
Nakupenda sansa kwaajili ya allah
@fathmaoman1186
@fathmaoman1186 2 жыл бұрын
Ma Shaa Allah. Allah atujaalie tuwe wenye kuitafuta elim
@nooroman2535
@nooroman2535 2 жыл бұрын
MashaAllah shelkh yetu Mungu hakuifadhi
@fatomhalogandy4045
@fatomhalogandy4045 2 жыл бұрын
Ameen
@hamzaforogo
@hamzaforogo 2 жыл бұрын
Maashaallah
@husseinkazungu5101
@husseinkazungu5101 2 жыл бұрын
MashaAllah shukran sheikh
@mariammsemakweli7904
@mariammsemakweli7904 2 жыл бұрын
Kweli shelkh watu kabisa kwakupenda coz you talk reality shukran 🙏👍👌❤️🙏🙏
@mussamtupa
@mussamtupa 2 жыл бұрын
Mashallah Ila nimecheka mpaka michozi Wallah Mungu akuhifazi
@faridaikussi
@faridaikussi 9 ай бұрын
Subhaanallah alafu yeye kimya
@ahmadzubeir2605
@ahmadzubeir2605 2 жыл бұрын
Subhaanallaah!! Subhaanallaah! Kila Muhaadhir mganga siku hizi!hizi!
@zakariaathman9019
@zakariaathman9019 2 жыл бұрын
Ndio maaja hayo
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Allahu mma.swalli wasallim wabarik alayhi Yaani sheykh nukta ni muhimu sana
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 2 жыл бұрын
Shukrani shekh wetu
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 жыл бұрын
Chombo cha Yesu kwa muda usio julikana
@thulaniduku3218
@thulaniduku3218 2 жыл бұрын
Kweli Sheikh wetu
@aminaabood2898
@aminaabood2898 2 жыл бұрын
Alafu anakuwa msilam Jina.. Na ni wengi hatujasoma dini... Shida ipo hapo.. Wallah Allah atupe mwisho mwema... Watu wapo tayar kuslim kuingia dini nyingine... Hawajui faida uwislam... Leo angejua nin maaana Qurain
@engyusuph256
@engyusuph256 2 жыл бұрын
Assallam Alyekum warahmatulah wabarakatuh, MashaAllah darasa zinatufikia, alhamdullilah. "Ombi langu hizo ala za muziki wakati wa kufunguka chaneli hii zisingekuwepo"
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Allahu akbar
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Amiin
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Profesa kipoozeo!!!
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Mashaallah
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 10 ай бұрын
Jazzak Allah kheri.
@husseinkhalfan9467
@husseinkhalfan9467 2 жыл бұрын
ما شاء الله
@nooroman2535
@nooroman2535 2 жыл бұрын
Inshaallah lnshaallah shukrani kwa ujumbe mzuri Mungu hakulipe kwa ukumbusho
@fatmasuleimankassim
@fatmasuleimankassim 2 ай бұрын
@mhgwataragaragesudan1478
@mhgwataragaragesudan1478 2 жыл бұрын
Ukweli sheikh unasema haki
@kapondamsita476
@kapondamsita476 2 жыл бұрын
Mashallah shekhe wetu
@wenge4x423
@wenge4x423 2 жыл бұрын
Sisi Waislamu tupo radhi na wewe duniani na akhera Sheik kipozeo
@suleimanngare6707
@suleimanngare6707 2 жыл бұрын
Masha Allah 🇰🇪🇰🇪🤝
@BilalAdam-vj1ru
@BilalAdam-vj1ru Жыл бұрын
Mawaidha nzuri sana
@MariaSengo-cn5bx
@MariaSengo-cn5bx 7 ай бұрын
leo nimekupata Shehe wangu
@wenge4x423
@wenge4x423 2 жыл бұрын
Mimi nina miaka 30 najifunza tokea kwake mpaka leo hii
@shanimpenike7568
@shanimpenike7568 2 жыл бұрын
صحيح شيخ
@balkissmuhammadbalkiss2634
@balkissmuhammadbalkiss2634 Жыл бұрын
Allah akbar
@saadaabdallah7473
@saadaabdallah7473 2 жыл бұрын
MashaAllah
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 2 жыл бұрын
Mungu katika ukristo. ni mmoja. aliyejifunua kwetu katika namna kuu tatu. labda niwape mfano wa jinni ndio mtaelewa maana mnaishi nayo jinni linaweza kukutokea. na sura ya kike hilo hilo likakutokea kwa sura ya mtoto wakati mwingine kwa sura ya mzee. haina maana ni majini matatu Mungu wetu anauwezo wote na amejifunua au kujidhihirisha kwetu kwa namna nyingi ila kuu ni tatu
@suleymanabdulrahman2415
@suleymanabdulrahman2415 2 жыл бұрын
Usipanic kuwa mpole.Amka tafuta ukweli ujue njia na dini ya haki ni ipi.Ila usitumie nguvu bali muombe Mungu kwanza akuoneshe njia sahihi na ya haki wakati unaendelea kusoma na kudadisi.Utaujua tu ukweli,mbona kila kitu kipo wazi... Tatizo mmekuwa minded set kutoka kwa viongozi wenu wa dini...
@jumanzai8623
@jumanzai8623 2 жыл бұрын
Mungu hafanani na chochote hageukigeuki Kama jini usemavyo
@abdulrahmanmussa4479
@abdulrahmanmussa4479 2 жыл бұрын
Sheikh langu bana mashaallah haha
@mariammsemakweli7904
@mariammsemakweli7904 2 жыл бұрын
Kwetu Kenya shule za ndini hamna napenda sana mwanangu asome shelkh nitapate vipi shule naomba tafadhali
@fauziaabdillahi7895
@fauziaabdillahi7895 2 жыл бұрын
Zipo mbona ila bei
@abdulhakimhasan7673
@abdulhakimhasan7673 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mema mazuri hapa duniani , Ameen
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Hayo maneno yenu yakuhimizana wake wengi japo kua uwezo hamna ndio yanayokupelekeni kwenye uganga na kutapeli watu.
@mombamo5
@mombamo5 2 жыл бұрын
Maashaallah 🤣🤣🙏
@ahmadzubeir2605
@ahmadzubeir2605 2 жыл бұрын
Huyu Sheikh Hilaal anachekesha Wallaahi
@sheikhfirdaus9857
@sheikhfirdaus9857 2 жыл бұрын
Mashaallah kajibu vizuli uganga sio halam
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 2 жыл бұрын
Sheikh kiboko!
@westonmbuba6421
@westonmbuba6421 2 жыл бұрын
Umechemka kuigilia imani usiyoijua.
@abdulhakimhasan7673
@abdulhakimhasan7673 2 жыл бұрын
chemka uingilie ujue imani ya uisilamu na zenginezo .
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 2 жыл бұрын
Nyinyi ndo mnachemka mnaosema yesu Mungu
@leahbaatjes4215
@leahbaatjes4215 2 жыл бұрын
Yeye mwenyewe south Africa alikwenda kuwasomea dua wauza madawa ya kulevya
@mahamudaideed6922
@mahamudaideed6922 2 жыл бұрын
Dua anasomewa yeyote haijalishi anachofanya kila mtu na amali
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Hata YESU Aliiomba Dua SOMA BIBILIA
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 ай бұрын
Ila mliambiwa mkihitilafiana kati jambo lolote muwaulize watu wa kitabu maana ndiyo waliowatangulia. mmehitilafiana kwenye hilo la mwana wa Mungu na utatu mtakatifu, tuulizeni tuwafundishe. Ila nyie kinachowafaa na hilo la kila muhadhiri kuwa mganga wa kienyeji.
@SJProductions1
@SJProductions1 2 жыл бұрын
Magomeni mapipa shabab
@seiflugendo5043
@seiflugendo5043 2 жыл бұрын
Niukweli mtupu
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 2 жыл бұрын
Kipozeo unachanyikiwa wewe Tu sisitunamini Mwenyezi Mungu ni mmoja tu. Mnasema Allah hana mfano vipi hadithi zinasema anaugoko ana mikono anaitwa Baba
@selemanyahya1225
@selemanyahya1225 2 жыл бұрын
Hadithi nyingi haziko sawa lakn Qur'an imekamilika haina shaka
@al-answardaawakenya732
@al-answardaawakenya732 2 жыл бұрын
Kweli elimu ni jambo la muhimu sana hivi leo ukisikia serikali ina mkono mrefu umeshawahi kuona mkono wa serikali? Mbona huwezi shika akili mkononi na ilihali ipo kichwani?
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Kuna HADITHI zilizo Sahihi na Nyingine za UONGO
@abdulhakimhasan7673
@abdulhakimhasan7673 2 жыл бұрын
Ni kawaida , wakristo wote duniani , kwa kuwa wame zaliwa ndani ya ukristo , wanakosa haja ya kusoma uisilamu , tena kukatazwa na kutohimizwa kwa uwoga. Yaani makosa ya ukristo na aibu zake , hawazijui. Tofauti ya kuwa waislamu kwa wingi , wanasoma ukristo na kulinganisha hiyo dini , ukweli ina bainika.
@leahbaatjes4215
@leahbaatjes4215 2 жыл бұрын
Kweli ushamba kazi sana ivi ndege kutingishika ni hatari ni khatari boti kutingishika? ?? Kwenye maji? ? Kazi sana
@andrewngondoe1273
@andrewngondoe1273 2 жыл бұрын
Mjinga huyo,labda ilikuwa mara yake ya kwanza kukatiza kwenye mawingu mazito na ilipo yapita lazima ndege itulie,yeye anaonaa kuchezea ushanga wake mkononi ndio amezima huo mtingishiko!kumbe ni kutokujua tu.
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
MBONA MATUSI??? Kama Ni Ushamba Au Ujinga , Kama Nyinyi Mlishawahi Kupanda Ndege Sawa Lakini IUnaweza Kupanda Ndege Hata Mara kumi na Zaidi Lakini isitikisike Ila Juu ya Uzoefu wako Siku Ikitokea imetikisika Lazima Urashtuka na Kupata Uoga Hakuna Cha Mzungu wala Muhindi wala Mwarabu Utasikia WOTE SUNHANAHLLAH Au YESUU Au JESUS CHRIST 😀😀😀 Chezea Kupiga Futa Angani wewe 😂😂😂 Mama Angu Baba Mzazi WOTE wanatajwa Ukiona Mtu Anakejeli Huyo hajapiga tuta Angani
@abdulhakimhasan7673
@abdulhakimhasan7673 2 жыл бұрын
Ushamba ni wako. Hapo katika hatari ya kuporomoka na kufa , ndio muislamu ana tambulika. Sheikhe msomi .
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 Ай бұрын
Boti kwenye maji nikawaida pia Bahar ikichafuka watu wanapiga kelele wanaogopa hujawahi KUONA?? Na Ndege angani ndio sehem yake yakwenda safari ila mawingu yakiwa MENGI ndege inatingishika Sasa Ukiwa Angani na Baharini ni vitu viwili tofaut
@eliudnguge9013
@eliudnguge9013 2 жыл бұрын
hakuna mkristo anae amini kuwa mungu ni watatu ,kama hamuelewi jambo msiseme uongo
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
So Ndio nyie Mnaosemaga UTATU Au TRINITY ??? Leo Unakana ??? MUNGU BABA MUNGU MWANA NA MUNGU ROHOMTAKATIFU ???
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5 : 7 Kwa Maana Wako wa TATU Washuhudiao ( MBINGUNI , BABA , Na NENO , Na ROHO MTAKATIFU , Na WATATU Hawa ni UMOJA , 😂😂😂😂😂😂😂 Innalillahi Wainnaillahi Rajiun HALAFU Unakataa Wakati MAANDIKO hujui 😃😃😃POLE WAISLAMU huwa Hawaharamishi Wakiongea Jambo jua Lina USHAHIDI Wa ANDIKA 😂😂😂
@abdulhakimhasan7673
@abdulhakimhasan7673 2 жыл бұрын
Ndugu Eliud Nguge , yaani ukristo unaujua kivyako na wanadamu wengine wakose kufahamu maandiko ?
@sheikhfirdaus9857
@sheikhfirdaus9857 2 жыл бұрын
xawa kwani unganga halam
@swaumswalehsaidy9322
@swaumswalehsaidy9322 2 жыл бұрын
Video nyinginer hii hapa, Bonyeza hapa 👇 kzfaq.info/get/bejne/p6pgnLl5qLuXlpc.html
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 6 ай бұрын
Uwongo uliopitiliza
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 6 ай бұрын
Acha unafiki huo
@sharifasharif3978
@sharifasharif3978 2 жыл бұрын
Hapo kwenye unganga sasa mnanikumbusha mganga wa diva🤣🤣🤣🤣🤣
@DarsaTV.
@DarsaTV. 2 жыл бұрын
Hahaha kweli kabisa mtu anajiita shekhe na mwenendo wake ndo ule mhh mtihani tumuombe allah atuongoze
@joezeno8
@joezeno8 Жыл бұрын
Mganga wa Diva achukuliwe hatuwa 😂😂😂😂😂
@fabriceira8888
@fabriceira8888 2 жыл бұрын
Mashaallah
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 105 МЛН
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 156 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 94 МЛН
Парень со странностями помог мальчику 🥺 #фильмы #сериалы
1:00
DixyFilms - Фильмы и сериалы
Рет қаралды 4,5 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
0:25
Watch Me
Рет қаралды 46 МЛН
Найди Влада на стадионе
0:26
ЛогикЛаб
Рет қаралды 1,6 МЛН
Люди были шокированы от увиденного 🤯
0:29
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 3,1 МЛН
Magician turns his Hair into Animal 😳
0:37
Xavier Mortimer
Рет қаралды 19 МЛН
Ахахах 👅
0:44
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 1,1 МЛН