Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.co...
Пікірлер: 50
@AsmaMosh-mk8pu6 ай бұрын
Mungu akishakuchaguwa hkuna wakupiga
@elisharaphael86806 ай бұрын
Amini nakuambia wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana , Fanya ibada, jitahidi kujituma, kuwa na subira
@luisojr34806 ай бұрын
Wakati wa Mungu ni Wakati sahihi Hongera kwako Kill Paul
@saidimwanyiro51476 ай бұрын
Maisha yanahitaji ubunifu hongera sana ipo siku utakuwa Bollywood i hope
@Jibambeshow254k6 ай бұрын
Masai anaetambukika kimataifaa bila kupoteza mila n desturi zakimasaii daa kaka umetisha sana😂😂😂
@user-yk8em1bh8g6 ай бұрын
❤❤❤❤MUNGU akufanyie wepec INSHAALLAH
@francomwacha22626 ай бұрын
😮 hv kumbe apa KZfaq ameupiga mwingi ivo.. ckujua kweli
@user-yk8em1bh8g6 ай бұрын
Nmeipenda hyo ❤❤❤
@user-qo8eu1br6f6 ай бұрын
Nampenda sn huyu kijana Mungu azidi kukupandisha
@MrTop-wj7no6 ай бұрын
Wengi wamemponda walipoona ka comment kwenye video ya msani wa NANDY kwamba kaishiwa sijui nini yani vitu kibao leo wameona kama sio levo zao?? Waswahili jifunzeni kuishi maisha yenu
@Lifewith07tv6 ай бұрын
Good
@danielmkama246 ай бұрын
Eeeeh! braza umenisanua sana hapo kwenye subscribe aseee mbn huyo jamaa kaenda speed sana
@HamzaMbasha6 ай бұрын
Aende hivyo hivyo kimya kimya akishaingiza machawa watamfelisha
@hajimlaponi19006 ай бұрын
Wakati wa MUNGU ndio sahihi🙏🙏
@joycekisamo48966 ай бұрын
NA JUHUDI ZAKE. LAZIMA TUFANYE KAZI....La sivyo huo muda haifiki aisee. Tuache kujidanganya na imani zetu. Sasa imagine eti mtu/ kiongozi fulani anaamua tu kubadilisha mila ya mavazi ya Kimasai na kusema hawaruhusu sime na rungu eti sababu ya issue fulani huko Zanzibar! Haiko sawa kabisa; Morani wa Kimasai hawezi kuvaa Kimasai bila hivyo! Kenya 🇰🇪 na Tanzania 🇹🇿 Tunatangaza utalii kwa kuwatumia Wamasai na maringu yao. Ni bora wabadilishe wavae to mashati na suriali 😠 😡
@surusuru19946 ай бұрын
Meena fatiliaga ❤❤❤
@king_maik63756 ай бұрын
Unyama
@sharifahabsi50046 ай бұрын
Mashaallah 😊
@zeelamaokoto0016 ай бұрын
KAKA AJE KWENYE INTERVIEW YAKO KAKA ONGEA NAE ASOGEE MJENGONI HAPO
@mmassyferguson49596 ай бұрын
Kaz nzur sana kill paul binafsi watz wenzangu tupende vya kwetu tuwaunge na kuwapa moyo watz wenzetu wenye vipaji mbal mbal
@faustinaurio37036 ай бұрын
Umenena 🎉
@catherinekiwipa92716 ай бұрын
Kabisa ata yy alisema aliona tz akuna sapot ndio akaamua kugeukia India
@shyfettymtunda46196 ай бұрын
Chase them papers 💵💸
@kwisa48996 ай бұрын
Duh hii nayo ni suprize
@ramiamisanya98736 ай бұрын
Tatizo Radio za bongo zinambania Kill
@irenemboya78996 ай бұрын
Wamasai oweeeeee😅❤
@joycekisamo48966 ай бұрын
Alafu eti someone anaamua tu kubadilisha mila ya mavazi ya Kimasai na kusema hawaruhusu sime na rungu eti sababu ya issue fulani huko Zanzibar! Haiko sawa kabisa; Morani wa Kimasai hawezi kuvaa Kimasai bila hivyo! Ni bora wabadilishe wavae to mashati na suriali 😠
@husseinbushiri99736 ай бұрын
Kuna mzanzibar yupo ivi
@user-qq6mv6vh3e6 ай бұрын
❤❤
@Oman-mh4ex6 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤🎉🎉
@sistertrashid24886 ай бұрын
Mungu akitaka kukupa akuandikii balua
@fortunataangelo55756 ай бұрын
Yaani kibongobongo huyo saiz angekuwa na followers,129k😅😅
@gervaskasala73215 ай бұрын
Huyu ndo raisi wa wamasai duniani kote
@Dorrisshoppnah6 ай бұрын
Si ya kulazimisha😂😂
@OnlyRuky6 ай бұрын
Wawoo congratulations kwake
@user-qo8eu1br6f6 ай бұрын
😍❤️❤️❤️🔥🔥🔥👌💯
@Maxpaul-oi8pw6 ай бұрын
Yupo na sime yake fresh ata hawazi hakuna wa kumkataza
@hudhaimarajab91036 ай бұрын
Wenzake kaz kupiga watu tu Zanzibar😂
@Shakira-Nb6 ай бұрын
😅😂😂😂😂
@sheruajafari16766 ай бұрын
Ongera yake
@roselynealima36186 ай бұрын
😂😂😂what!anapita ata ule wa mvuta bhang?ghai fafa
@hukuUJERUMANI6 ай бұрын
red eyes flani hivi ...🤣🤣🤣
@jesitinakiwale86766 ай бұрын
Tanzanian people don't be selfish
@Sidrasidra6366 ай бұрын
😅ni Lulu kwa wahindi eti😅
@MsAggie56 ай бұрын
Wahindi hapa uk wanamjua kuliko bongo 😂😂😂 wanamkubali sana
@doreenmsafari29456 ай бұрын
@@MsAggie5kweli kabisaa bro
@muzafarsharif94656 ай бұрын
wahindi wa kuuza street food Dubai,,kwani wahindi ni watu wa maana sana????😂😂😂😂
@joycemfuru47526 ай бұрын
wivu pole
@hamisaally9686 ай бұрын
Ndo shida ya waswahili baadhi yenu rohoo mbayaaa 😂😂😂