No video

Kili Paul atua Dubai wafanyabiashara kibao wamvuta awatangazie, kufanya Meet and Greet!

  Рет қаралды 18,748

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...

Пікірлер: 50
@AsmaMosh-mk8pu
@AsmaMosh-mk8pu 6 ай бұрын
Mungu akishakuchaguwa hkuna wakupiga
@elisharaphael8680
@elisharaphael8680 6 ай бұрын
Amini nakuambia wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana , Fanya ibada, jitahidi kujituma, kuwa na subira
@luisojr3480
@luisojr3480 6 ай бұрын
Wakati wa Mungu ni Wakati sahihi Hongera kwako Kill Paul
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 6 ай бұрын
Maisha yanahitaji ubunifu hongera sana ipo siku utakuwa Bollywood i hope
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 6 ай бұрын
Masai anaetambukika kimataifaa bila kupoteza mila n desturi zakimasaii daa kaka umetisha sana😂😂😂
@user-yk8em1bh8g
@user-yk8em1bh8g 6 ай бұрын
❤❤❤❤MUNGU akufanyie wepec INSHAALLAH
@francomwacha2262
@francomwacha2262 6 ай бұрын
😮 hv kumbe apa KZfaq ameupiga mwingi ivo.. ckujua kweli
@user-yk8em1bh8g
@user-yk8em1bh8g 6 ай бұрын
Nmeipenda hyo ❤❤❤
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f 6 ай бұрын
Nampenda sn huyu kijana Mungu azidi kukupandisha
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 6 ай бұрын
Wengi wamemponda walipoona ka comment kwenye video ya msani wa NANDY kwamba kaishiwa sijui nini yani vitu kibao leo wameona kama sio levo zao?? Waswahili jifunzeni kuishi maisha yenu
@Lifewith07tv
@Lifewith07tv 6 ай бұрын
Good
@danielmkama24
@danielmkama24 6 ай бұрын
Eeeeh! braza umenisanua sana hapo kwenye subscribe aseee mbn huyo jamaa kaenda speed sana
@HamzaMbasha
@HamzaMbasha 6 ай бұрын
Aende hivyo hivyo kimya kimya akishaingiza machawa watamfelisha
@hajimlaponi1900
@hajimlaponi1900 6 ай бұрын
Wakati wa MUNGU ndio sahihi🙏🙏
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 6 ай бұрын
NA JUHUDI ZAKE. LAZIMA TUFANYE KAZI....La sivyo huo muda haifiki aisee. Tuache kujidanganya na imani zetu. Sasa imagine eti mtu/ kiongozi fulani anaamua tu kubadilisha mila ya mavazi ya Kimasai na kusema hawaruhusu sime na rungu eti sababu ya issue fulani huko Zanzibar! Haiko sawa kabisa; Morani wa Kimasai hawezi kuvaa Kimasai bila hivyo! Kenya 🇰🇪 na Tanzania 🇹🇿 Tunatangaza utalii kwa kuwatumia Wamasai na maringu yao. Ni bora wabadilishe wavae to mashati na suriali 😠 😡
@surusuru1994
@surusuru1994 6 ай бұрын
Meena fatiliaga ❤❤❤
@king_maik6375
@king_maik6375 6 ай бұрын
Unyama
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 6 ай бұрын
Mashaallah 😊
@zeelamaokoto001
@zeelamaokoto001 6 ай бұрын
KAKA AJE KWENYE INTERVIEW YAKO KAKA ONGEA NAE ASOGEE MJENGONI HAPO
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 6 ай бұрын
Kaz nzur sana kill paul binafsi watz wenzangu tupende vya kwetu tuwaunge na kuwapa moyo watz wenzetu wenye vipaji mbal mbal
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 6 ай бұрын
Umenena 🎉
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 6 ай бұрын
Kabisa ata yy alisema aliona tz akuna sapot ndio akaamua kugeukia India
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 6 ай бұрын
Chase them papers 💵💸
@kwisa4899
@kwisa4899 6 ай бұрын
Duh hii nayo ni suprize
@ramiamisanya9873
@ramiamisanya9873 6 ай бұрын
Tatizo Radio za bongo zinambania Kill
@irenemboya7899
@irenemboya7899 6 ай бұрын
Wamasai oweeeeee😅❤
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 6 ай бұрын
Alafu eti someone anaamua tu kubadilisha mila ya mavazi ya Kimasai na kusema hawaruhusu sime na rungu eti sababu ya issue fulani huko Zanzibar! Haiko sawa kabisa; Morani wa Kimasai hawezi kuvaa Kimasai bila hivyo! Ni bora wabadilishe wavae to mashati na suriali 😠
@husseinbushiri9973
@husseinbushiri9973 6 ай бұрын
Kuna mzanzibar yupo ivi
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 6 ай бұрын
❤❤
@Oman-mh4ex
@Oman-mh4ex 6 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤🎉🎉
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 6 ай бұрын
Mungu akitaka kukupa akuandikii balua
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 6 ай бұрын
Yaani kibongobongo huyo saiz angekuwa na followers,129k😅😅
@gervaskasala7321
@gervaskasala7321 5 ай бұрын
Huyu ndo raisi wa wamasai duniani kote
@Dorrisshoppnah
@Dorrisshoppnah 6 ай бұрын
Si ya kulazimisha😂😂
@OnlyRuky
@OnlyRuky 6 ай бұрын
Wawoo congratulations kwake
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f 6 ай бұрын
😍❤️❤️❤️🔥🔥🔥👌💯
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 6 ай бұрын
Yupo na sime yake fresh ata hawazi hakuna wa kumkataza
@hudhaimarajab9103
@hudhaimarajab9103 6 ай бұрын
Wenzake kaz kupiga watu tu Zanzibar😂
@Shakira-Nb
@Shakira-Nb 6 ай бұрын
😅😂😂😂😂
@sheruajafari1676
@sheruajafari1676 6 ай бұрын
Ongera yake
@roselynealima3618
@roselynealima3618 6 ай бұрын
😂😂😂what!anapita ata ule wa mvuta bhang?ghai fafa
@hukuUJERUMANI
@hukuUJERUMANI 6 ай бұрын
red eyes flani hivi ...🤣🤣🤣
@jesitinakiwale8676
@jesitinakiwale8676 6 ай бұрын
Tanzanian people don't be selfish
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 6 ай бұрын
😅ni Lulu kwa wahindi eti😅
@MsAggie5
@MsAggie5 6 ай бұрын
Wahindi hapa uk wanamjua kuliko bongo 😂😂😂 wanamkubali sana
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 6 ай бұрын
​@@MsAggie5kweli kabisaa bro
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 6 ай бұрын
wahindi wa kuuza street food Dubai,,kwani wahindi ni watu wa maana sana????😂😂😂😂
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 6 ай бұрын
wivu pole
@hamisaally968
@hamisaally968 6 ай бұрын
Ndo shida ya waswahili baadhi yenu rohoo mbayaaa 😂😂😂
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 21 МЛН
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 5 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 26 МЛН
UTAPENDA MAPOKEZI YA MTOTO WA  HAMISA NYUMBANI KWA DIAMONDPLATNUMZ
9:10
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 21 МЛН