Naipenda shamba lako. Napanda huku Homabay, Upande wa Nyanza, Kenya. Hongera ndugu.
@mohdkhamis65812 жыл бұрын
Safi sana mm napenda sana kilimo cha mbogamboga jee mimi nipo sehemu ya mchanga mweupe zinaweza kuota na kufanya vizuri kama hivo na nitumie mbinu gani
@kanankirannko6174Ай бұрын
Mimi niliwahi kulima kama hii hiyo hela atapata manake atachuma muda mrefu sana zaidi ya miezi 4 utunzaji tu na soko liwe wastani
@DoriiShayo2 ай бұрын
Naitwa samata nakaa muyuni A naomba namba zenu samahan lakin
@veraniinnocent76243 жыл бұрын
Umeona bloosam end root, kuoza nyanya "chini kuoza kwa rangi nyeusi"
@user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын
Hongera saana Nami naomba no yako tafadhari
@halimaabubakar67023 ай бұрын
Bado information sio enough unatakiwa useme clear heka ngapi ? Umepanda miche mingapi kila mche unatoa kg ngapi za nyaya na soko likoje umeongea lkn sio professional
@DoriiShayo2 ай бұрын
Ndugu nauza ivi kunakitonge cha mbolea?
@karumekanisius81443 жыл бұрын
Hello wadau naombeni kufaham zaidi kuhusiana na mbolea aina ya yara vera, na je, inafaa pia kutumika kwenye zao la nyanya.
@tomatozanzibarcompanylimit70063 жыл бұрын
Inafaaa kabisa
@elizabethlweya5011 Жыл бұрын
Asante Sana mungu akubaki endelea naiokazi
@salmamjengera25123 жыл бұрын
Naomba unitajie dawa znazotumika nahitaji kujifunza Niko dar
@user-ep5fu9do9h3 ай бұрын
Naomba kukuliza vp mtu akihitaji msaada wa kupata maeneo ya kulima afanye nn ili apate
@user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын
Hiyo mbegu ni Aina gani?tupe faida tujifunze
@alifakimati96143 жыл бұрын
Dunga au bambi hapo karibu na kambi ya jku.
@rozinamollel19903 жыл бұрын
hongera sana
@ahmedsharif22593 жыл бұрын
Kazi nnzuri sana allah atawalipa
@mfaumemkoma-ey2jd5 ай бұрын
Samba zuli lime nivutia sana hongela kwa usimamizi mzuli
@fatmasaid58644 жыл бұрын
Allah awabariki
@yudaaraphati96733 жыл бұрын
Hekari1 unaweza kupata kreti ngapi boss
@josephinemtikila3066 Жыл бұрын
Naomba kujua majina ya dawa inayotumika kupiga mwanzo hadi mwisho.
@felixmpwaga12623 ай бұрын
Naombakujua vipimo cya upandaji
@hakizimanaaudace80023 жыл бұрын
Mimi nataka kuuriza dawa za ukungu bora zaidi.
@salmamjengera25123 жыл бұрын
Nimependa Sana hongera mbegu gani hiyo
@tomatozanzibarcompanylimit70063 жыл бұрын
Spaina plas
@VEVO-africa2 жыл бұрын
Inapatika wapi na inauzwaje
@williamodongo9570 Жыл бұрын
Anti bacterial wilt hiyo mbegu?
@rashidmaina21662 жыл бұрын
Hii high brid nlilaza uvuge au Kuna mbini higine
@godsfavour5665 Жыл бұрын
Wow ni safi sana hadi nikafikiria ni kwa green house 💞💞keep it up
@muniali55303 жыл бұрын
Jee niulie heka moja hutoa tenga ngapi za tungule
@samweljosephaudktmboje30622 жыл бұрын
kaka hizo mbegu aina ya kipato iko sawa na nyanya maji
@erastombise39303 жыл бұрын
Dawa za ukungu unatumia dawa gani
@christommhagama65492 жыл бұрын
Ekari moja unaweza kuvana kiasi gani kwa mchumo moja
@hosianaminja70344 ай бұрын
Huu mtindo mliotumia sijaelewa.
@ericklucas71962 жыл бұрын
Mbona matunda machache njoo uone huku mby utaona inavyozaa
@duniandwelle2072 жыл бұрын
Asante kwakuhamasisha
@user-ry9jt7fv1z Жыл бұрын
Nina swali hekali moja inamashina mangapi na inatoa nndoo ngap
@peteralbert56363 жыл бұрын
Hiyo mbegu inapatikanaje?
@mwalimuwakujitolea20303 жыл бұрын
Mnatoa elimu nzuri. But jitahidini kuchukua video vizuri. Video inayumba sana
@tomatozanzibarcompanylimit70063 жыл бұрын
Sawa Asante
@VEVO-africa2 жыл бұрын
Samahan je tunawapataje wateja wa uhakika
@castormarwa20182 жыл бұрын
rusha namba as simu
@user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын
Jibuni coment jamani
@morganmgovano38162 жыл бұрын
Najifunza sana
@rashidiselemani1516 Жыл бұрын
Ulilima mwezi wa ngapi?
@selemanfrancis49403 жыл бұрын
Shamba la ekari kumi nalimuduje hadi kuvuna,,?
@fatmasaid58644 жыл бұрын
Maharage hamlimi
@anicentdeo97612 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yenu
@ramadhanmoshi10382 жыл бұрын
Naomba namba yako nijifunze kitu toka kwako
@mwitamgesi66252 жыл бұрын
Kwanini IMRA F1 hupukutisha maua Sana?
@kavuyunzota41472 жыл бұрын
Mmetumia mbolea gani ya kukuzia?
@othmanali94603 жыл бұрын
Nisaidie namba zako bro nikutafute.nahitaji uzoefu wako mkuu
@denissamwel89782 жыл бұрын
Mbegu gani
@salmamjengera25123 жыл бұрын
Aina ya mbolea
@mhogomchungu71684 жыл бұрын
unalima maeneo ya wapi zanzibar ?
@tomatozanzibarcompanylimit70063 жыл бұрын
Fuoni
@davidedison44503 жыл бұрын
Zanzibar wanajua kulima
@jumaabrahman11692 жыл бұрын
@@davidedison4450 dawa gani na mbolea gani naweza kutumia katika kilimo Cha nyanya
@sadikililai18463 жыл бұрын
Ni aina gani iyo mbegu
@tomatozanzibarcompanylimit70063 жыл бұрын
Malkia
@salmamjengera25123 жыл бұрын
Katka ukuaji
@dominickissack25363 жыл бұрын
Hamujibu koment za wateja
@simonsoka53923 жыл бұрын
Unatumia mbinu gani kumwagilia
@tomatozanzibarcompanylimit70063 жыл бұрын
Natumia malkia AF 1 namwagilia kawaida
@simonsoka53923 жыл бұрын
@@tomatozanzibarcompanylimit7006 kawaida yaan bila mashine kwa kutumia ndoo