No video

KIMENUKA: HANS RAFAEL vs JEMEDARI SAID/ HII NI BALAA

  Рет қаралды 80,855

Crown Media

Crown Media

Ай бұрын

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 663
@HassaniBakari-qj7ft
@HassaniBakari-qj7ft Ай бұрын
KAMA UNAAMINI HANCY YUPO RIGHT NIPENI LIKE ZANGU 100😂
@joachimligwa5424
@joachimligwa5424 Ай бұрын
Hayuko sawa
@noelkaniki4334
@noelkaniki4334 Ай бұрын
hayuko sawa 100% you can play na double pivot with 4-3-3 jemedari anaiweka simple kabisa pivote inayo angalia chini like a triangle hans anacheka cheka tuuuu,' kuna siku aliingiza chaka watu na inverted full back ana mix na overlaps ma host nao wamekaa kindezi hawaelewiii
@user-xg9ix9ex9h
@user-xg9ix9ex9h Ай бұрын
​@@noelkaniki4334huelewi wewe hansi rafaeli yuko sawa
@joachimligwa5424
@joachimligwa5424 Ай бұрын
@@noelkaniki4334 nikiona hawa ndio wachambuzi hua nasema mimi sijapata nafasi tu Very poor na mbaya zaidi hajui kuhusu tactics na anajiweka anajua
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 Ай бұрын
Nancy ni pundit
@EkkyMedia
@EkkyMedia Ай бұрын
Hans Rafael ni mbishi na jinsi alivyo vizuri kwenye kuji express ila tactically hayuko vizuri. kusema kweli point zake za mifumo zinakasoro nyingi. kwanza number 6,8 ni defined na role za mchezaji na wala si directly na position. mbili kuna aina tofauti za 433 kuna yenye 6 wawili na 8 mmoja, kuna yenye 8 wawili na 6 mmoja, kununa yenye 6,8,10. na ma kocha wengi wana epuka kutumia hizi majina ya formation kwenye huu mpira wakisasa. point nyingine formation ina elezea position ya wachezaji wakiwa hawana mpira na zone wanazotakiwa ku cover especially wakati wa kukaba. in transition shape inaweza kuonekana lakini wakocha wanawapa uhuru wachezaji kuji position namna ambayo italeta zaidi faida kwa team kutegemea game situation. kuna mengi yakusema, nikipata feedback nzuri nitatengeneza video ya kiswahili juu ya formation na roles za wachezaji
@gonesterasto2610
@gonesterasto2610 23 күн бұрын
Umesomeka vyema sana
@saidkasonta3174
@saidkasonta3174 Ай бұрын
Vijana wa sasa wanaelewa mambo kwa haraka, na uwezo wao wakupambanua mambo ni mkubwa tofauti na wazee wa zamani!!
@Kajokashemmela-uu5vh
@Kajokashemmela-uu5vh Ай бұрын
Hans mtupu kabisa Real mad wakati del bisqat walicheza kama anavyosema jemadal Salgado calros heaven w Samuel guty bekam Zidane Raul Di rima Figo kiungo mkabaji ni nani
@Kajokashemmela-uu5vh
@Kajokashemmela-uu5vh Ай бұрын
Mkiwa na mpira hamna chep na ndiyo maana mabeki wana panda mbona Hans hajasema yao kaongezeka kwenye kushambulia?
@EvaristJosiah
@EvaristJosiah Ай бұрын
Mimi ninachoona uyu jemedari na hansi wapangiwe mda tofauti akiwepo mmoja mmoja asiwepo
@user-ee8xb1tl5n
@user-ee8xb1tl5n Ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka san
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Hapana ,ni vizuri wawepo wawili ili jemadari awe exposed live
@hassanmickdady1687
@hassanmickdady1687 Ай бұрын
Kabisa maana hapo mmoja kwanza anaamini kwa simba na mwingine yanga
@josephsanga1709
@josephsanga1709 Ай бұрын
Hansi ❤️❤️ fundi sana
@allyngoda761
@allyngoda761 Ай бұрын
Sababu wewe ni yanga
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 Ай бұрын
Jemedari kakaaa Tanga wiki mbili kwenye mafunzo ya ukocha lakini anazidiwa kwa mbali Sana na Hans Raphael ambae ni mzuri sana kwenye kuelekeza.
@kibwanasenza6904
@kibwanasenza6904 Ай бұрын
Hans nakuona kwa sasa wewe ni bora kuliko wachambuzi wote uchwara
@protasnyoni3801
@protasnyoni3801 Ай бұрын
Chinga ni Shabiki wa Mpira Sio Mchambuzi. Hans yupo Vizuri Chinga Hawezi Kukubali Kwa Sababu ya Sifa yake ya kuwa Shabiki na Sio Mchambuzi.
@manjolehamisi8167
@manjolehamisi8167 Ай бұрын
Kumbuka Chinga kacheza Mpira tena kwenye kiwango kikubwa so anajua anachoongea
@sadathboutique6253
@sadathboutique6253 Ай бұрын
​@@manjolehamisi8167kacheza lkn ni bonge la mchambuzi mpuuzi na mwenye roho mbaya
@manjolehamisi8167
@manjolehamisi8167 Ай бұрын
@@sadathboutique6253 hapo point ni Uchambuzi hayo ya Roho mbaya siyajui broo
@sadathboutique6253
@sadathboutique6253 Ай бұрын
@@manjolehamisi8167 sasa uwa anachambua nini zaidi ya kujua uwa ni shabiki wa tim gani?anaponda tim inayofanya vizuri anasifia inayoboronga,ki ufupi unamsifia coze na wewe ni shabiki wa iyo tim anayosifia
@BongoCryptos
@BongoCryptos Ай бұрын
​@@manjolehamisi8167 Kiwango kikubwa alisaidia timu yake kuchukua kombe gani?
@charlesayubu6449
@charlesayubu6449 Ай бұрын
Messages nyingi zakupongeza hans husomi. Tunaziona wapenzi wa CROWN
@charlesayubu6449
@charlesayubu6449 Ай бұрын
Kwa bahati mbaya mtaalam Ambangile hawezi kuwa fasi moja na mjinga kama Jemedar Najuwa angekuwa sambamba na Hans
@morningstarartproduction8436
@morningstarartproduction8436 Ай бұрын
Uchambuzi wa Hans nauelewa sana, maana uchambuzi wake wamaana kabisa
@noelkaniki4334
@noelkaniki4334 Ай бұрын
ana google sana na ku krem kama huelewii uwezi juaa na wwe unachotwa tu
@FelinucMalilwa
@FelinucMalilwa Ай бұрын
Jemedariiii tupoo na wewe mpka ufukuzwe uko Jk Tanzania 😂😂😂
@doricehungu5817
@doricehungu5817 Ай бұрын
😂😂😂 kaaah mmemfata mnashinikiza afukuzwa nacheka sana
@hammytototundu9292
@hammytototundu9292 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@imamhussein1104
@imamhussein1104 Ай бұрын
Weee jamaa Fala sana 😂😂
@salimumwenguvu2248
@salimumwenguvu2248 Ай бұрын
😂DAAAH KMMKE
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 Ай бұрын
Uchambuzi wa Hans umenyooka zaidi ya huyu mshabiki wa kolo fc🎉🎉🎉
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 Ай бұрын
Huyu babu bora angebaki efm, huku crown huyu hans atamtoa nishai😂
@khamiskhamis6809
@khamiskhamis6809 Ай бұрын
Uku amekuja kuumbuka
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI Ай бұрын
Astaafu tu jamani 😂😂😂
@SudiFredrickStar
@SudiFredrickStar Ай бұрын
Hansi anasema ukweli hio ni 4231,hio ingine ni 433 diamond shape...
@mlugekarol2688
@mlugekarol2688 Ай бұрын
Hicho ni kitu kimoja. Hawana tofauti. Mid wakiwa watatu hawakai kama visikki. Hao watatu wanabadilika kutokana na kkushambuliia au kujilinda
@mlugekarol2688
@mlugekarol2688 Ай бұрын
Hans anaiongellea Yanga na si mfumo. Hapo ni 433 ndiyo 4231.
@georgeedwardmwakyembe6969
@georgeedwardmwakyembe6969 Ай бұрын
Kuna 433 ambayo ni offensive ambayo ina attacking midfielder na two central midfielders
@WaltorTarimo
@WaltorTarimo Ай бұрын
​@@mlugekarol2688point
@omaryrazalo4302
@omaryrazalo4302 Ай бұрын
Crown Media hapa ni nyumbaniiiiii
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s Ай бұрын
Jemedari unazidiwa na watoto wadogo live hadi unatia aibu....kubali kujifunza ili timu utakayoifundisha ifanye vizuri kama kweli umeshaweza kufauru mitihani maana una rekodi ya kufeli mitihani mara kwa mara
@RoseKipimo
@RoseKipimo Ай бұрын
😂😂😂😂
@JumbeOjaso
@JumbeOjaso Ай бұрын
Siyo kweli Jemedari yuko sahihi Hans anachanganya vitu viwili tofauti. Mfumo huonekana wakati timuhaina mpira
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s Ай бұрын
Siyo kweli labda kama unaongelea wakati mechi haijaanza ambapo pia huwa wanaonesha teams na formations zao lakini mpira ukishaanza kwanza ukiwa sio mzoefu ama huna abc za mpira unaweza usitambue formation ya timu iwe wakati wana mpira au hawana mpira lakini kwa wataalamu au watu wenye abc za mpira wana uwezo wa kujua formation ya timu husika kwa kuangalia namna wachezaji wanavyojipanga mara kwa mara kuucheza mpira yaani kumiliki au kushambulia au wanavyojipanga kuutafuta mpira yaani kukaba. Muda mwingi wa mchezo utaona shape ya timu inakuwa vilevile kulingana na formation na huweza kubadirika kulingana na ama matukio uwanjani ama maelekezo ya kocha. Sasa ukiulizwa ni nini kinachozuia formation ya timu isionekane wakati timu inamiliki mpira utajibu nini??? Mpira hauchezwi gizani hata kama ni usiku. Hakuna uchawi hapo labda kama hujui mpira. @@JumbeOjaso
@abubakarjuma443
@abubakarjuma443 Ай бұрын
Hawa watu wote wanaenda kariakoo lkn njia gani anapita kufika kariakoo utajua mwenyewe
@JuhudiJotham
@JuhudiJotham Ай бұрын
Nakuelewa Hans asante,
@hassankunjayo626
@hassankunjayo626 Ай бұрын
Uchambuzi wa hans nimeuelewa sana
@ananiamwatebela3159
@ananiamwatebela3159 Ай бұрын
Tatzo jemedati mbishi balaa huyo mzee
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
@@ananiamwatebela3159 ao hawampend uyo dogo ... Kila atakachofaya wanatengenez mazingira ionekane anapotosha 🤣🤣🤣
@albertisrael5879
@albertisrael5879 Ай бұрын
Kwa nn hyo isiwe 4 1 2 3
@allyngoda761
@allyngoda761 Ай бұрын
Kwakua ni yanga mwenzako
@amina-we6vo
@amina-we6vo Ай бұрын
Hans achambui Ila anatumia mfumo jinsi Yanga inavyocheza
@jamesmassimo9326
@jamesmassimo9326 Ай бұрын
Sidhani km Jemedari ni mchambuzi… anaongea km shabiki tu. Mimi km mtazamaji au shabiki sipati nachokihitaji kwake. Bro ajitahidi kuboresha huduma yake👏
@mahamudmbukuchu5946
@mahamudmbukuchu5946 Ай бұрын
Ni kweli mkuu
@jassontv5366
@jassontv5366 Ай бұрын
Kazumari hata lugha ya mpira in professional hana hata yaa kama anafanya fasihi simulizi
@LucasDando-ru8lg
@LucasDando-ru8lg Ай бұрын
Moja ya tatizo ni kushindana kwenye kipindi Yani ni vyema kila mtu atoe maoni yake watu wasikilize sio kushindana ila wamenikumnusha mbali nimewahi kufanya kipindi na mtu wa aina Yao kila kitu anatanga kupinga maoni ya mwingine uchambuzi ni kutoa maoni tu sio kushindana
@user-rs1me3tp2m
@user-rs1me3tp2m Ай бұрын
Ili mmoja atuongopee
@user-eq5gd7oq4y
@user-eq5gd7oq4y Ай бұрын
Uchambuzi waa jemedali mi sijekuelewa, mi nimeiona jemedali anakusanya kusanya kete, Kama mtu aliyefungwa supa drafti
@gidionsheiza
@gidionsheiza Ай бұрын
Hancy yuko vizuri. Nimemuelewa zaidi "mchambuzi" kuliko "mwalimu". Nadhani "mwalimu" akaongeze ujuzi zaidi mahali
@hajirama4270
@hajirama4270 Ай бұрын
wote hamna kitu hao cjui wanasoma nn asa 4:3:3 zipo za aina mbili deffensive na attakking, defensive unacheza na two defensive mildfild one attaking na attaking unacheza na one deffensive mildfild na two defensive mildfild .
@keystonetv7357
@keystonetv7357 16 күн бұрын
upo sahihi sana hansi mbishani sana ananiuz kumshusha jemedar
@fortunatusyuli4421
@fortunatusyuli4421 Ай бұрын
Hans amekariri,Jemedari anaelewa kile anaongea ndo maana maswali yake hayajibiki kirahisi.
@raymondedson2488
@raymondedson2488 Ай бұрын
Babacar alikua anatumika kama cdm lakini kiuhalisia babacar ni box to box
@allyfuad
@allyfuad Ай бұрын
Hans yuko sawa sana
@EnockSalapion
@EnockSalapion Ай бұрын
Jemedari kuna point namuelewa kwa sababu sasa hivi pamoja na mifumo unakuta wachezaji wanachukua majukumu tofauti tofauti uwanjani, especially watu wa katikati na wing backs. Mfano, unaweza kuta namba sita anapanda sana lkn akipanda kuna mtu anamreplace, au ukikuta Barça au Spain inacheza kati unaweza usijue mfumo wao kiwepesi kwa sababu ya rotations zao kwa ajili ya kutafuta space. Lkn pia kwenye kushambulia nikichukua mfano wa shabalala; Jamaa wakati mwingine amekuwa akiingia ndani kama namba kumi then chini anabaki kiungo wa kumsaidia kuziba pengo langu au namba kumi na moja apande zaidi aongeze namba na kutanua uwanja zaidi au arudi nyuma kidogo kureplace shabalala. Mimi naamini wakati team haina mpira ndio vyepesi kuzungumzia mfumo. Wakati mwingine huwezi zungumzia mfumo au shape wakati wa counter attack, ni tu namba ya watu itakayoweza kukimbia mbele kwa ufanisi wa kufunga its a win out of the shape. Nafikiri modern football kwa sasa ni zaidi ya hizo shape, ndio maana sasa hivi makocha wengi sasa hivi wanapenda wachezaji ambao ni dynamic na sio static.
@bkkomesho9272
@bkkomesho9272 Ай бұрын
Upo sawa
@jemaarsen6996
@jemaarsen6996 Ай бұрын
Mimi sijaona point hapo unacho paswa kujua ni kua mfumo hubadilika lazima uwe na mifumo Mili ili kuweza kubalance mechi mifumo wa kwanza ni pale unapo kuwa na mpira upande wako lkn pia ukiwa unashambuliwa lazima ubadili mifumo ili ukusaidie kupunguza au kuzui mashambuli hapo ndio utaona hata wacheza mara nyinnafasi zao hubadili lkn watakapo bahatika kurudisha mpira upande wao wanaendelea na mfumo wao wa kwanza na kila mtu anarudi kwenye nafasi yake
@jonijoo23
@jonijoo23 Ай бұрын
Huyu jemedari ni usajili mbovu sana hapa crown,much know halafu hajui vingi+uzamani mwingi
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 Ай бұрын
Jemedari is the best
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 Ай бұрын
Mpira hauchezwi unavyoongwwa ubaoni
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 Ай бұрын
Double Pivot ipoje?
@keystonetv7357
@keystonetv7357 16 күн бұрын
huyo hansi ndo jau jau wengi wetu hatujui hzo formation
@jonijoo23
@jonijoo23 16 күн бұрын
@@keystonetv7357 hans ni jau ila sio kwa aliyoyaeleza hapa,huyo jemedari ndomaana kila mwaka anafeli mitihani TFF,much know halafu kichwani ni empty box..mfumo wa timu unakua applied during offensive tu wakat wa kuzuia wanakua na shape nyingine kabsa sasa yeye anasema 4-3-3 inaonekana wakat wa kuzuia🚮 ko yanga wanavozuia maxi anavyorud mpka kwa kibabage au yao ni 4-3-3 gani iyo?
@SalumuKorofi-hl9os
@SalumuKorofi-hl9os Ай бұрын
Crown wamechemka kwahuyu mzee jemedari usajir mbovu sana.
@keystonetv7357
@keystonetv7357 16 күн бұрын
hata hakosei kaka yupo sahihi sana sema hans nu mbishani
@shithyomar3828
@shithyomar3828 Ай бұрын
Jemedari hawezi kukubali kwasababu anamuona hans dogo na yeye ni father lakini soka haiendi hivo yeye akubali soka na mifumo hbadilika kutokana mechi husika finish big up hans unaonesha ulomavu siyo chinga akimaliza hans anaanza kwa kucheka hii ni dharahu badilika
@anniebenoh9837
@anniebenoh9837 Ай бұрын
Perfect HANS RAFAEL🎉🎉🎉🎉 Jamaa anajua sana. Hata ambae hajui kabisa mpira akimsiliza Hans anaelewa 100%
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 23 күн бұрын
Tumewapata wataalam wanaoujuwa mpira! Crown is the best❤❤❤
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Ай бұрын
Hans yuko right ---- Hicho anachokisema JEMEDARI,kupora mpira na kukimbia nao na kufunga,hiyo ni moment tu,lakini timu lazima iwe na mfumo inapojenga shamnulizi,na kisha lazima iwe na mfumo,inapokuwa imepoteza mpira kwa ajili ya kujilinda -- " Huyo Jemedari akipewa timu,ataishusha daraja "
@petersamwelm7279
@petersamwelm7279 Ай бұрын
Yaani hapo Tatizo ni Moja…. DOGO KAMEZA FORMATION KAMA ZILIVYO NA KAKUTANA NA KAKA KISHOKA AMBAYE ANAAMINI ANAISHI YEYE NI ROLE MODEL WA SOCCER NCHINI
@AdrianAdrea-by8pn
@AdrianAdrea-by8pn Ай бұрын
Jemedar ulizoea kuwadanganta walee umekamatika
@user-gh8bi5lc4n
@user-gh8bi5lc4n Ай бұрын
Kwel kabisa
@gabrielmponji4598
@gabrielmponji4598 Ай бұрын
Hansi yuko vizuri sana kwenye uchambuzi , huyo Jemedali hapana kwa kweli sijui anachambua nini.
@hassankunjayo626
@hassankunjayo626 Ай бұрын
Tatizo mmakonde mjanja ataki kukubali kushindwa kisa kocha
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
😂😂😂 we unajua ukweli ulivyooo
@petermwacha9909
@petermwacha9909 Ай бұрын
Lakini kitaalamu anaonekana anajua kabisa kwa anavyojieleza
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
@@petermwacha9909 ana tengeneza mazingira. Ili Uone hivyo ...
@user-ct3kz3rq1q
@user-ct3kz3rq1q Ай бұрын
Radio crown ina vyombo vipya safi sauti ipo sawa kabisa
@user-ct3kz3rq1q
@user-ct3kz3rq1q Ай бұрын
Crown Tv
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 Ай бұрын
Huyu dogo yuko vizuri sana, ila ni lazima akubali kukua, hata kama una uhakika point yako iko sawa, ni lazima ukubali kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama maoni yao ni tofauti na yakwako, toa nafasi ya maoni ya watu wengine kusikilizwa, na pia ajifunze kukubali kuto kukubaliana, thats how it works. Halafu mwisho wa siku siyo kwamba hizi timu zina endeshwaga na maoni ya hawa wachambuzi wa kwenye media, timu zinaendeshwa na falsafa zao kiufundi walizo jiwekea, pia na tamaduni na desturi zao za nje ya uwanja.
@edwardpeter5163
@edwardpeter5163 Ай бұрын
Yaaani nilichoona hapo kuna Kuonyeshana u mwamba kati ya JEMEDARI na HANS 😂😂😂 na kuna shida hapa kabisaaa mmoja apndoke
@MjMohammed-nt6fq
@MjMohammed-nt6fq Ай бұрын
Yaan mmemleta huyu nyau kazi mnayo hapo yaan anataman abaki peke yake studio kila kitu anajua yey😂😂😂😂😂
@erickganira6324
@erickganira6324 Ай бұрын
433...wakabaji wanne viungo wawtatu apo kiungo mmoja wakubaki wawili washambuliaji japo na majukumu tofouti mmoja creator mwengine box to box aidha kuzuia counter ama kujenga counter ...mbele winger wawili na striker mmoja ....cha msingi triangle huangalia chini ama juu kulingana na matukiu
@WaltorTarimo
@WaltorTarimo Ай бұрын
Bahati mby sana alieongea point ndo anaonekana kaongea utumbo me coach na npo uk naendlea na masomo namawazo yangu kwenye jambo lenu. Modern football imebdlisha idea ya mfumo na namna tmu znavyocheza kila kocha ana idea ya namna anayotak wachezaj wachez kweny mfumo flan tuangalie how city play taften game ambzo rodri ajacheza utaelew how they play kweny 433. Nachopinga nikusema 2mid lazm wawe juu na ndo ni attacking izo ni idea za mda now days 433 mid wanafany rotation ya nafas inaamaana sio lazm 2mid wakiwa chni mfumo ndo umebdlika haipo ivo 433 inawez kuwa na triangle za viungo kwa namna zozote
@chatnami
@chatnami Ай бұрын
Jemedari amecheza, amefundisha na ni practical oriented. Hans ni mtu wa nadharia. Kwa waliocheza mpira wanaelewa. Tunahitaji akina Jemedary wengi sana.
@NaseebLugusha
@NaseebLugusha Ай бұрын
kaka unajua boli maana hapo anachoshindwa kuelewa Hans ni kuwa anaongea na kocha wa mpira ambae kaucheza mpira pia
@bkkomesho9272
@bkkomesho9272 Ай бұрын
Chuki tuache kwa jemedari, yuko sahihi, ila simaanishi hans ni mbaya
@WazirJunior72-qm3vx
@WazirJunior72-qm3vx Ай бұрын
Jemedari yupo sahihi sana na Hansi anahitaji sana elimu ya coaching hili ajue anachokizungumza 4_3_3 unaweza kucheza na viungo wawil chin na pia unaweza kucheza kiungo mmoja chin na hii inategemea na aproaching ya mwalimu kweny mchezo husika ila kwa nlichokiona kwa hans anahitaji san elimu ya coaching mchambuzi kama yeye anashindwaje kuelewa mifumo midogo kma iyo?? Mpira wa sasaiv hakuna nmba sita mmoja ila kuna kiungo mmoja chin na viungo wawil juu au viungo wawil chin na kiungo mmoja juu iyo yote unaipata kweny mfumo wa 4_3_3 Jemedari yupo sahihi sana achozungumza ila hansi analeta san ujuwaji badala ya elimu kuhus kuonekana kwa mfumo, mfumo unaonekana tim ikiwa haina mpira kama Jemedari anavosema tim ikiw haina mpira inarud kwenye shep yake ya kuzuia kma ni 4_3_3 basi unayona iyo shape na kma tofaut na iyo pia utayona iyo shape husika tim ikiwa na mpira apo inahitaj kushambulia kwa haraka kumbuka apa hakuhitaj shape coz tunashambulia kwa haraka zaid pind tu tumeupata mpira Shukran san Jemedar upo sahih bro na haya mambo nlifundishwa wakat nachez accadem ya Azam u17 & u20
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s Ай бұрын
Eti mfumo unaoneka timu ikiwa haina mpira😅😅😅. Yaani ukiwa kocha utashusha timu daraja.Mfumo wa timu unaonekana wakati timu inaposses na inapokuwa imepoteza mpira full stop.
@sezarymasansa
@sezarymasansa Ай бұрын
shida ya huyu jmd ni kujiona anajua sana na ufadha ,hans yuko light sana huyo mchizi amekuja kuhalibu kipind kbsaa
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Ай бұрын
Hans yupo sahihi, ila Jemedari anajifanya kujua kumbe ni mbwembwe tu
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 Ай бұрын
Jemedari anaongelea majukum kitu ambacho ni sahihi kbsaa viuongo wanasifa tofauti kabisa
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 Ай бұрын
Hance Yuko sahihi
@georgeedwardmwakyembe6969
@georgeedwardmwakyembe6969 Ай бұрын
433 inategemea unataka icheze vipi ipo triangle ya unayoangalia juu na inayoangalia chini lakini 433 mama ni ina kiungo mkabaji na Central midfielders wawili inategemea unataka mfumo ucheze vipi. Hata 433 ina box to box
@gospelman3720
@gospelman3720 Ай бұрын
Kuna 433 Attacking na 433 defending. Jemedari yuko sahihi.
@chinaaudax6459
@chinaaudax6459 Ай бұрын
kiukweli jemedali ajui mpira labda akaifundieshe makolo
@mgallason...5686
@mgallason...5686 Ай бұрын
Hii ndio maaana makocha wengi wa Tanzania akiwemo jemedari huwa wanafeli na hawataki kujifunza Kwa kujifungia ndani ya box. Hatutakujakupata makocha wa kufundisha nje kama wanakariri bila kujiongeza kuelewa na kuwa wabunifu.
@erickpaschal1639
@erickpaschal1639 Ай бұрын
Hans kwenye 4-3-3 hapo upande viungo mimi nimeungana na Jemadari kwenye io 3 ya kati triangle inaweza kuelekea juu na inaweza kuelekea chini inategemea na nini kocha anahitaji kwenye game husika.
@Malepotinhompalala
@Malepotinhompalala Ай бұрын
Hancy Yuko vizuri kwenye mmuchaambuzi
@johansenbashange2628
@johansenbashange2628 Ай бұрын
Hans anajua lakini alipoulizwa "tunauonaje mfumo kwenye tukio la Kona" aliyumba kidogo Formation Zina structure zinabadilika kwenye Kila tukio Sio lazima ubadili formation
@hodaneymujib6621
@hodaneymujib6621 Ай бұрын
Mbona mnatuchanganya kama hamna uhakika muende darasani kwnz
@mahamudmbukuchu5946
@mahamudmbukuchu5946 Ай бұрын
Hansi wewe unajua mpira Unaeleza fact hasa za mpira, lakini huyo mwingine sijui Jemedari hamna kitu kabisa hapo Anataka kuaminisha watazamaji kitu ambacho akili yake yeye tu anahisi na si uhalisia wa mpira Hongera sana Hansi Rafael
@nizobeatz90
@nizobeatz90 Ай бұрын
Mbna akiongea jemidari amuoneshi ubAO ILA JEMEDARI NMEMUELEWA
@allyngoda761
@allyngoda761 Ай бұрын
Nimeangalia Comments kuna usimba na uyanga Simba kwa jemedari Yanga kwa Hans kwahiyo mjadala Always hauwezi kufika mwisho
@OmyJr-hw2nk
@OmyJr-hw2nk Ай бұрын
Wote wako right sema jemedali ni bright afu hans ni average so lazima hans atumie nguvu kubwa
@mrbasit4718
@mrbasit4718 Ай бұрын
Hans kuwa makini unaenda kupotea mana ulionao watataka kuzuwia uwezo wa upeo wako. Kuwa makini fanya maamuzi mapema sana
@husseinmbunji8847
@husseinmbunji8847 Ай бұрын
Kabisa
@frankkikambako9281
@frankkikambako9281 Ай бұрын
Kabisa si watu sahihi kwake awe makini sana
@salumuseif3324
@salumuseif3324 Ай бұрын
Ma mdogo kutoka planet fm umekuja crown hongera sana
@elishacharlesjr3611
@elishacharlesjr3611 Ай бұрын
Sema wangemchukua na Salum mapande bna
@salumuseif3324
@salumuseif3324 Ай бұрын
@@elishacharlesjr3611 hayuko pale sijui yuko wap
@cardoalbert1366
@cardoalbert1366 Ай бұрын
Hans ndio kanyoosha ww jemedari hadi mimi nakushinda uchambuzi 4.3.3 ni kiungo mkabaji mmoja na viungo wa shambuliaji wawili acha ukenge 😂
@deodatuskalekona5911
@deodatuskalekona5911 Ай бұрын
Yanga wamecheza na Aucho na Bangala Azizi mbele Yao wote Bangala na Aucho walifanya majukum sawa Kwa wakat tofaut
@user-zw9oj6ej9v
@user-zw9oj6ej9v Ай бұрын
Hapana Aucho alifanya majukum ya kiungo kama box to box na bangala alikuwa mzuiaji hakuwa anasogea juu.
@IdrisaKwepu
@IdrisaKwepu Ай бұрын
Hans anasem ukweli kabisa ni fundi sana uyu jamaa
@Officalshakespeare
@Officalshakespeare Ай бұрын
hansii uko vzurii sana💯
@ayubhumakuya8466
@ayubhumakuya8466 Ай бұрын
Huyu jemedal hajui mpira
@stuartikonko1941
@stuartikonko1941 Ай бұрын
Hans anachokosea ni kuweka hizo number modern football hakuna mambo ya namba 6 Wala namba 8 mpira cku izi hauna mambo ya namba cjui 10
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 Ай бұрын
Huyu jemedari kalazimishwa leo kuchambua mpira na sio timu alipo kuwepo kule alikua anachambua timu ... Hakubali kushindwa huyo ....😅
@NaseebLugusha
@NaseebLugusha Ай бұрын
mfumo mara zote unaonekana wakati wakuzuia muda ule mnaweka mistari ya ulinzi ndo maana nawaambia Hans anachambua mpira ila Jemedari anafundisha mpira ndo maana hamumuelewi Jemedari
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 Ай бұрын
Ukimtoa ambangile anayefuatia ni Hans lafael mwombek 🔥🔥
@MethodKilowa-r2i
@MethodKilowa-r2i Ай бұрын
Naitwa METHOD, Kwa kweli hans ni mchambuzi wa mpira unajua sana kaka, huyo jemedar hajui mpira, kazi ya uchambuzi hajui labda akafundishe ndondo huko, mpira ni mfumo na upo kwenye vitabu, timu zinazuia kwa mifumo na zinashambulia kwa mifumo.
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 Ай бұрын
Hans anaeleweka Jemedar n janja janja ana akti anajua sana huku mitihan anaferi ovyo ovyo kwaiy n muongo muongo😅
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
😂😂😂😂 kwaiyo alipata 0 %
@Fahadlikote-tq5gh
@Fahadlikote-tq5gh 20 күн бұрын
Hapo wameshindwa kuelewana tu ila Kwa upande mmoja jemedari yupo sahihi na hans yupo sahihi 4-3-3 inaweza kuwa na viungo wawili wakabaji na mmoja mshambuliaji au viungo wawili washambuliaji na kiungo mmoja mkabaji tofaut ya 4-3-3 na 4-2-3-1 ni kwenye side players kwenye 4-3-3 kuna wingers(LW na RW) while kwenye 4-2-3-1 kuna either Center attacking midfielders wote au kuna kuwa na left midfielder na right midfielder with a CAM kwenye Ile 3
@TimFilms255
@TimFilms255 Ай бұрын
433 zipo za aina Nyingi Sio Tu Hiyo pembe Tatu inyo angalia chini au Angalia Juu Pia kuna 433 iliyo FLAT kabisa Viungo wote wanakaa Kwenye Msitari mmoja so HANS aache Kukalili Aseee Sema Hans anafanya vitu kwa kukaili na sio kwa weredi
@GazahBoy
@GazahBoy Ай бұрын
Crown walichokosea ni kumleta jemedar
@Igauf3
@Igauf3 Ай бұрын
Fellas bring the blackboard on the show.
@chatnami
@chatnami Ай бұрын
The 4-2-3-1 is a commonly used formation with a back four, five midfielders, and a center forward. The advantage of this formation lies in its flexibility: it can easily be changed into a 4-4-2 or a 4-3-3. In addition, defensive stability and offensive firepower are balanced well.
@FrankSylvester-eo7zf
@FrankSylvester-eo7zf Ай бұрын
Hans bado mchanga sana kwenye formation
@AlainShogonya
@AlainShogonya Ай бұрын
Wawekewe touch screens kwa meza hawa, ndo wahanze kupanga hizo formation zao 😂
@user-mc7du2pe4d
@user-mc7du2pe4d Ай бұрын
Mkichukulia Simba na uyanga hamtomuelewa jemedari said sawa tufanye yupo Simba lakini hua anabalance tofauti nahuyo hansi yeye nikusifia tu yanga biala kujali Aya haya hana jemedali yupo sahihi
@dietrichoswald34
@dietrichoswald34 22 күн бұрын
Jemedari umezidiwa madini. Scouting haisajili na mindset ya mifumo, inasajili kwa namba. Namba1 - 11. Na kila mchezaji anachaguliwa kulingana na ubora wake ktk namba husika. Na mchezaji akimudu zaidi ya namba moja hiyo ni added advantage. Mambo ya mifumo kocha anawaanda kulingana mpinzani husika.
@muhammadseif5009
@muhammadseif5009 22 күн бұрын
Dogo uko vizuri na unaeleweka vizuri sana
@user-hs3pm1ne2h
@user-hs3pm1ne2h Ай бұрын
Jemedari hamnaa kituu unachujuwaa unatakaa kudanganayaa watuuu
@pinomjata678
@pinomjata678 Ай бұрын
Mifumo ni kwenye set up ya timu lakini execution mifumo huwa inabadilika mfano Man City na Liverpool mpira wanacheza 4-3-3 lakini wana execute tofauti. City wanatumia sana little triangles kuwachosha wapinzani na kunakuwa na exchanges ya positions kati ya wachezaji. Liverpool under Klopp front players wana counter press, full backs na wingers wanatanua uwanja overload wide areas na watumia sana crosses, pia force 9 ana-drop deep ku-open up spaces kwa wachezaji wengine.
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 Ай бұрын
Wrown ni nyumbani na E.fm ni redio ya kupata burudani zote ila huko mwingine ni machawa tyu
@alexanderfute4559
@alexanderfute4559 Ай бұрын
Kazi kweli kweli
@benoitniyukuri2105
@benoitniyukuri2105 Ай бұрын
Habari za hapo studio mimi naitwa Benoit Niyukuri natoka Marekani Iowa mi ni mchezaji kiungo number 6 nacheza Iowa champions league division 1 tunacheza viungo 2 wakabaji ahsante xana kwa kunipa somo! Kuhusu build up and intercept passes! Na tackle
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Ай бұрын
Atujakuuliz unaish wap, Wala atutaki kujua unapoishi, kikubwa toa maoni
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Ай бұрын
​@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k😂😂Duuh kazi ipo
@GilbertMushi-fz7ut
@GilbertMushi-fz7ut Ай бұрын
@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9kacha chuki kama uko makongo😂
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Ай бұрын
@@GilbertMushi-fz7ut nipo Dubai's lakini siwez kucomment lakunionyesh hadi maali ninapoishi huo ni ushamba
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Ай бұрын
@@jaffjeff6912 ukwel wasema
@maulidnjokamtaly5184
@maulidnjokamtaly5184 Ай бұрын
Jemedal hamna anacho jua Zaid ya ushabik ndo unampa shida bwege uyooo
@remidiuswilliam7494
@remidiuswilliam7494 Ай бұрын
Jemedari hajui ahaaaaa Hansi nimekuelewaaaaaaaa❤❤❤❤
@user-lx7lb7sn8k
@user-lx7lb7sn8k Ай бұрын
Yaap ❤
@ndelechetv3362
@ndelechetv3362 Ай бұрын
jemedari yuko sahihi kuna attacking , holding kwenye 4-3-3 lazma itofautiane namna ya matumizi
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 Ай бұрын
Jemedari ni much know
@mgallason...5686
@mgallason...5686 Ай бұрын
Jemedari akimaliza hiyo Leseni A Nataka nije kumuona akifundisha nchi za watu la sivyo atabaki kuwa ni kiburi na hataki kujifunza. Mi namuelewa zaidi hans kuliko jemedali naona anapigwa upper Cut za kutosha.
@user-qh3lb6lp2w
@user-qh3lb6lp2w 19 күн бұрын
Hans yupo sahihi sana sana, uyo mzee akapumzike muongo muongo anapotosha wasikilizaji tu
@jimmydizonga1335
@jimmydizonga1335 Ай бұрын
Crown, nawaomba msajilin Mwamnyan wa u fm,ili kipindi kiwe namba moja apo tanzania ila mkitegemea Hans ndo awe mchambuz mtafel anajitaidi ila anaendekeza uchawa na Jemedari ni wachambuz mzuri ila mashabiki wa yanga hawana iman nae kwaiyo inatakiwa mpate Mwamnyan ili tuamishe kijiji chote cha wasafi maana uyo nizaid ya Ambangile
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
😂😂😂😂 jemedariiii hamana tusemee ukwelii
@user-gp1rj2hp2u
@user-gp1rj2hp2u Ай бұрын
Anachoongea jemedari kimpira yupo sahihi sana
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 16 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 63 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 36 МЛН
Balaa; Jemedari Said Alivyokaribishwa Studio kwa Mara Ya Kwanza
11:11
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 16 МЛН