JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 113
@BarakaChristopher-dv4wfАй бұрын
Alikuwa. Mwizi wazee wamemgundua mapema wazee ongereni sana wazee
@BarakaChristopher-dv4wfАй бұрын
Yaani wazee wako vizuri sana tena mnashindwa kuongea mambo yenu mnabaki kufatilia wachezaji wa simba tu wazee wamepiga panapo uma thank you hersi said tafuta usajili 😅😃😀😃
@kefangendwa3336Ай бұрын
😂😂😂😂 thank you ya engineer hers 😂😂🎉🎉🎉
@ShekhMufyd-mn9znАй бұрын
Kwahio unataka useme eng hers kapewa thank u na wazee 😀😀😀😀😀😀😀😀
@muhamedjaffar5653Ай бұрын
Big thank you.wezi wakubwa
@Swahilimovie-h5pАй бұрын
Ni hatariiii na huyo engineer😅😅😅😅😅😂🎉❤
@AnciscoKayomboАй бұрын
Kumbe uto bhana 😂😂😂😂
@kashangakuroka997Ай бұрын
😂😂Yanga mnapenda kufuatilia Kambi ya Simba lakini kesi za wazee wenu aaaah🐸🐸🐸
@essaumapunda5766Ай бұрын
Nssf kitanzini
@salimmalaka256Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kITANZI MASHUZI PWIIIIII PWIIIIII 😂😂😂 NA BADO
@michaelmwikalo971Ай бұрын
Ubaya Ubwela ndio inaanzia hapo 😂
@salimmalaka256Ай бұрын
NA WEWE KAZI YA ALI KOMO UPEWE WEWE 😂😂😂 KWANI WEWE JUMA UNAPEWA MSHAHARA????
@NeemaAntony-b8q7 күн бұрын
Sisi Simba tunamuamini Mungu tu ndio msaada wetu
@user-bc2wd1sq3kАй бұрын
Sikia hayo maswali mabayo hayana maana kama alikua anaendelea kukusanya upelelezi baada ya upelelezi kukamilisha ndio kaenda mahakamani na kashinda kesi
@AbusamiyaMpangachumaАй бұрын
Kisugu uko njema sanaa pasuka tu usiogope hao wazee wametumwa kutuvuruga Kwa karne hii wameshindwa na watalegea
@salimmalaka256Ай бұрын
YULE MOMO WA ZANDAAAAAANI KWANI ANASEMAJE??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂UBAYA UBWELA
@wetemjini8818Ай бұрын
Wazee oyeee
@salimmalaka256Ай бұрын
ALBADIRI ISHAANZA KAZI YAKE WANGA WACHAWI WAKUBWA NYIE 😂😂😂😂😂😂 NA BADO MACHOGOOOOOOOOO
@evansdecaprio8196Ай бұрын
Katiba jamani
@YOSHUAMWAMPETAАй бұрын
KWELI KISUGU ANAFAA KUWA MSEMAJI WA SIMBA .
@JumbeKajembeАй бұрын
Mtalijua jiji
@user-yh3dv2bl7uАй бұрын
Kisugu pamoja sana
@salimmalaka256Ай бұрын
MWANDISHI NENDA KWENYE MKUTANO WA MACHOGO WAKITIANA BAKORA RECODI UTULETEE 😂😂😂😂😂😂 NG'OMBE WA MAZIWA OYEEEEEE 😂😂😂😂😂
@judithtitomalyeta4000Ай бұрын
Na ww ndio muhusika mkuu jinga mkubwa
@user-cc4jk1ll5vАй бұрын
Ubaya ubwela
@SinemaZaChinaАй бұрын
figisungu zimeanza
@mdemualphonce1559Ай бұрын
Mahakama iheshimiwe
@salimmalaka256Ай бұрын
BABRA WA SIMBA KAITWA CAF NA NDIE ALIEMPIGIA DEBE HUYO HERIS WENO HAMNA LOLOTE MATOPOLO MACHOGO FC MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂😂
@emmanueltango2179Ай бұрын
Hao vijana watuachie timu yetu wazee yaani ata mzee pili walimuaxha na gari
@briankatani6770Ай бұрын
Mahakama kuu ni chombo cha juu ktk sheria.Hao viongozi watoke wakabidhi ofisi
@MumewanguАй бұрын
Uto walikurupuka wanapenda kuiga manake baada ya simba kumtangaza mo awe rais wa heshima na wao wakaiga
@sakinasakina1286Ай бұрын
mishabiki ya yanga ni mimbumbu hayaelewi ha kiswahili
@hajingangila1558Ай бұрын
Sasa wewe mbona hauongelei Yanga yako mpaka hapo bado Simba mbovu Shabalala mala Kapombe sema sisi siyo people tutakutana.🎉
@SaimonAnton-rj3vtАй бұрын
Hiyo kofia ya mzee unatsha ni noma
@user-ff1it9og8yАй бұрын
Wazee wa Yanga wamesahaurika sana na ndo walezi vijana wanawabeza wazee wao hapi utulivu haupo tena Mzee Juma Magoma komaa mchuzi wa moto moto Eng hapo alipofanya inatoshaaa
@chiefnumborecords4819Ай бұрын
KISUGU UNACHOPIGIA KELELE TUTAKIONA TAREHE NANE KWANZA WEWE NI POROJO TU UNALUPWA NA VIONGOZI WA SIMBA KUSIFIA UJINGA WA VINGOZI WAO IVYO WEWE UJUI MPIRA ILA KIPAJI CHAKO NI KUPIGA KELELE TUU UJUI MPIRA UJUI MPIRA NARUDIA TENA UJUI MPIRA WENGE NI NYINGI SANA
@HassibuMvungiАй бұрын
Kila tatizo la yanga wanayanga wanakuambia limetoka simba huu niupungufu wa mawazo wabadilike
@user-bn6iz2ve1nАй бұрын
Leo ndo nimengundua baadhi ya watazania ni watyu wa hovyo kabisa
@TibaKamnaАй бұрын
Mm niko pamoja na wazee mpaka kieleweke litang'oka jitu😂😂