No video

KISUGU AKINUKISHA ENG.HERSI SAID KUUBWAGA URAIS | JUMA MWAMBA ASHIKWA NA UKAKASI SAKATA LA WAZEE !!!

  Рет қаралды 49,444

wispoti tv

wispoti tv

Күн бұрын

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 113
@BarakaChristopher-dv4wf
@BarakaChristopher-dv4wf Ай бұрын
Alikuwa. Mwizi wazee wamemgundua mapema wazee ongereni sana wazee
@BarakaChristopher-dv4wf
@BarakaChristopher-dv4wf Ай бұрын
Yaani wazee wako vizuri sana tena mnashindwa kuongea mambo yenu mnabaki kufatilia wachezaji wa simba tu wazee wamepiga panapo uma thank you hersi said tafuta usajili 😅😃😀😃
@kefangendwa3336
@kefangendwa3336 Ай бұрын
😂😂😂😂 thank you ya engineer hers 😂😂🎉🎉🎉
@ShekhMufyd-mn9zn
@ShekhMufyd-mn9zn Ай бұрын
Kwahio unataka useme eng hers kapewa thank u na wazee 😀😀😀😀😀😀😀😀
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 Ай бұрын
Big thank you.wezi wakubwa
@Swahilimovie-h5p
@Swahilimovie-h5p Ай бұрын
Ni hatariiii na huyo engineer😅😅😅😅😅😂🎉❤
@AnciscoKayombo
@AnciscoKayombo Ай бұрын
Kumbe uto bhana 😂😂😂😂
@kashangakuroka997
@kashangakuroka997 Ай бұрын
😂😂Yanga mnapenda kufuatilia Kambi ya Simba lakini kesi za wazee wenu aaaah🐸🐸🐸
@essaumapunda5766
@essaumapunda5766 Ай бұрын
Nssf kitanzini
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kITANZI MASHUZI PWIIIIII PWIIIIII 😂😂😂 NA BADO
@michaelmwikalo971
@michaelmwikalo971 Ай бұрын
Ubaya Ubwela ndio inaanzia hapo 😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
NA WEWE KAZI YA ALI KOMO UPEWE WEWE 😂😂😂 KWANI WEWE JUMA UNAPEWA MSHAHARA????
@NeemaAntony-b8q
@NeemaAntony-b8q 7 күн бұрын
Sisi Simba tunamuamini Mungu tu ndio msaada wetu
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k Ай бұрын
Sikia hayo maswali mabayo hayana maana kama alikua anaendelea kukusanya upelelezi baada ya upelelezi kukamilisha ndio kaenda mahakamani na kashinda kesi
@AbusamiyaMpangachuma
@AbusamiyaMpangachuma Ай бұрын
Kisugu uko njema sanaa pasuka tu usiogope hao wazee wametumwa kutuvuruga Kwa karne hii wameshindwa na watalegea
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
YULE MOMO WA ZANDAAAAAANI KWANI ANASEMAJE??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂UBAYA UBWELA
@wetemjini8818
@wetemjini8818 Ай бұрын
Wazee oyeee
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
ALBADIRI ISHAANZA KAZI YAKE WANGA WACHAWI WAKUBWA NYIE 😂😂😂😂😂😂 NA BADO MACHOGOOOOOOOOO
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 Ай бұрын
Katiba jamani
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
KWELI KISUGU ANAFAA KUWA MSEMAJI WA SIMBA .
@JumbeKajembe
@JumbeKajembe Ай бұрын
Mtalijua jiji
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u Ай бұрын
Kisugu pamoja sana
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
MWANDISHI NENDA KWENYE MKUTANO WA MACHOGO WAKITIANA BAKORA RECODI UTULETEE 😂😂😂😂😂😂 NG'OMBE WA MAZIWA OYEEEEEE 😂😂😂😂😂
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Ай бұрын
Na ww ndio muhusika mkuu jinga mkubwa
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Ай бұрын
Ubaya ubwela
@SinemaZaChina
@SinemaZaChina Ай бұрын
figisungu zimeanza
@mdemualphonce1559
@mdemualphonce1559 Ай бұрын
Mahakama iheshimiwe
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
BABRA WA SIMBA KAITWA CAF NA NDIE ALIEMPIGIA DEBE HUYO HERIS WENO HAMNA LOLOTE MATOPOLO MACHOGO FC MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂😂
@emmanueltango2179
@emmanueltango2179 Ай бұрын
Hao vijana watuachie timu yetu wazee yaani ata mzee pili walimuaxha na gari
@briankatani6770
@briankatani6770 Ай бұрын
Mahakama kuu ni chombo cha juu ktk sheria.Hao viongozi watoke wakabidhi ofisi
@Mumewangu
@Mumewangu Ай бұрын
Uto walikurupuka wanapenda kuiga manake baada ya simba kumtangaza mo awe rais wa heshima na wao wakaiga
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 Ай бұрын
mishabiki ya yanga ni mimbumbu hayaelewi ha kiswahili
@hajingangila1558
@hajingangila1558 Ай бұрын
Sasa wewe mbona hauongelei Yanga yako mpaka hapo bado Simba mbovu Shabalala mala Kapombe sema sisi siyo people tutakutana.🎉
@SaimonAnton-rj3vt
@SaimonAnton-rj3vt Ай бұрын
Hiyo kofia ya mzee unatsha ni noma
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Ай бұрын
Wazee wa Yanga wamesahaurika sana na ndo walezi vijana wanawabeza wazee wao hapi utulivu haupo tena Mzee Juma Magoma komaa mchuzi wa moto moto Eng hapo alipofanya inatoshaaa
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 Ай бұрын
KISUGU UNACHOPIGIA KELELE TUTAKIONA TAREHE NANE KWANZA WEWE NI POROJO TU UNALUPWA NA VIONGOZI WA SIMBA KUSIFIA UJINGA WA VINGOZI WAO IVYO WEWE UJUI MPIRA ILA KIPAJI CHAKO NI KUPIGA KELELE TUU UJUI MPIRA UJUI MPIRA NARUDIA TENA UJUI MPIRA WENGE NI NYINGI SANA
@HassibuMvungi
@HassibuMvungi Ай бұрын
Kila tatizo la yanga wanayanga wanakuambia limetoka simba huu niupungufu wa mawazo wabadilike
@user-bn6iz2ve1n
@user-bn6iz2ve1n Ай бұрын
Leo ndo nimengundua baadhi ya watazania ni watyu wa hovyo kabisa
@TibaKamna
@TibaKamna Ай бұрын
Mm niko pamoja na wazee mpaka kieleweke litang'oka jitu😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
HATA MIMI WAZEE WAHESHIMIWE
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 Ай бұрын
Kisugu anatumia Matako kufikiria
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana Ай бұрын
Siyo mahakama unayo isema siyo ya michezo kumbuka kenye ilio fanyiwa
@hamzaminangu1053
@hamzaminangu1053 Ай бұрын
huyo mzee nyuma ya kisugu anaonekana nae alikuwepo na wazee wa yanga mahakamani
@FrankLuhaha-dt5sh
@FrankLuhaha-dt5sh Ай бұрын
Hahahahahahahaha duuuuuuuh hako kazeee kanaonekanaaa
@MohamediSleyum
@MohamediSleyum Ай бұрын
😂😂
@user-zs4fu5et2c
@user-zs4fu5et2c Ай бұрын
😂😂
@user-xd4lu1xl6c
@user-xd4lu1xl6c Ай бұрын
Na nyie nguvu moja,kazi kuiga uto
@clemantmalisawa3080
@clemantmalisawa3080 Ай бұрын
Kwamafanikio walionao yanga si rahisi kumtowa hersi mana kawafikisha yanga kwenye nchi Yao ya ahadi
@mack_vita_onyango8409
@mack_vita_onyango8409 Ай бұрын
Injinia hawezi pinga mamuzi ya mahakama, lazima atii usicheze mahakama
@luckygmdegela8477
@luckygmdegela8477 Ай бұрын
Simba inahusikaje hapo
@InocentInocent-wh1lr
@InocentInocent-wh1lr Ай бұрын
Mzee huyo mchawi😅😅😅
@user-br7fz4zd5x
@user-br7fz4zd5x Ай бұрын
Kolo furahieni lakini mjue yule kolo mwenzenu hafui dafu
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 Ай бұрын
Kwani Mo alipokua anapangua watu taharuki ilitoka wpi si kwenu mvurugane tu😂
@EmanuelMwambu
@EmanuelMwambu Ай бұрын
Na hizo bajeti za matumizi mengineyo zilizokuwa zikipitishwa wazee hawazitambui.mmmh hapo Sasa.!
@Nasibuhelemani
@Nasibuhelemani Ай бұрын
Wewe nimpumbavu katiba inasemaje
@EliaMkumbo-wn7bm
@EliaMkumbo-wn7bm Ай бұрын
Ww ndo mjinga katiba ya yanga inakuhusu nn ww Debora
@ramamohamed492
@ramamohamed492 Ай бұрын
​@@EliaMkumbo-wn7bm🤣🤣 unajizima data sio et Debora umesahau kuwa kuna joys upande wenu
@user-id5oc7hm4n
@user-id5oc7hm4n Ай бұрын
​@@EliaMkumbo-wn7bm😂😂😂😂😂 jamon joyce😂😂😂😂
@johnmwita9370
@johnmwita9370 Ай бұрын
Uyu jamaa j na upaa wote atajui kuongea
@OmarAshraph
@OmarAshraph Ай бұрын
Piga churahao
@EmanuelMwambu
@EmanuelMwambu Ай бұрын
Eti combination ataipata wapi,no logic.mmepatwa na wazee.
@MohamediSleyum
@MohamediSleyum Ай бұрын
Watu wa simba ni mafala sana leo ndo nimejua hilo wanahangaika na mambo yasowahusu
@RamadhanAlly-qg9hq
@RamadhanAlly-qg9hq Ай бұрын
Mpiraa usipokuwa na imani unaweza piga mtuu mpira unakelaa
@MataulaMikusi
@MataulaMikusi Ай бұрын
Watu wampige magoma
@StanleyMhagama-t3w
@StanleyMhagama-t3w Ай бұрын
Hapo mwishoni nimerudia na kucheka
@PeterLazaro-x6e
@PeterLazaro-x6e 27 күн бұрын
Kisugu mwaga sumu ubaya ubwela
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Ай бұрын
Bundi huyoooooooo hakuna lugha moja tena yapoooo!
@johnmwita9370
@johnmwita9370 Ай бұрын
Nywere kichwani huna Akili huna, mbona umeshindwa kesi yanga?
@MwanahamisHussein-dp2if
@MwanahamisHussein-dp2if Ай бұрын
Ndiogongowazi
@ThomasMatale
@ThomasMatale Ай бұрын
Tatizo vijana wa yanga hamjui katiba yenu
@francisphilipo5749
@francisphilipo5749 Ай бұрын
7:34 ppo 7:36 7:37
@felixmluge3211
@felixmluge3211 Ай бұрын
mtangazaji kafanana na Kicheche wa komediani...
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Ай бұрын
Kisugu umecheka kama mbuzi
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana Ай бұрын
Kisugu kasuguwe meno yoko machafu
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 Ай бұрын
kwani simba ndyo mahakamam
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 Ай бұрын
Mimi ni mpenzi wa Yanga niwaulize hawa wazee akitoka injinia halafu iweje??? Hawa wazee wametumwa
@bettyrugemalila9185
@bettyrugemalila9185 Ай бұрын
Wametumwa lkn hawataweza,hvi kwa mafanikio haya wanataka kuipeleka yanga kumbe wenyewe hawakufurahishwa na haya mafanikio
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA Ай бұрын
Dr MSHINDO aliondolewa Kwa MAPINDUZI BARDI....hii HAINA BUSARA utaratibu UGUATWE....
@AshaAbdallah-o9d
@AshaAbdallah-o9d Ай бұрын
Sasa wewe mwandishi kagoma ni nani
@MohamediSleyum
@MohamediSleyum Ай бұрын
Fatilieni SIMBA yenu YANGA itawasaidia nini Nyie MAKOLO Kwanza nyie SAIVI ni WAFAMAJI TU
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx Ай бұрын
Ukimfanyia ubaya MTU Tena kwamakusudi,tambuaaa mabaya yoteeee yatakuludia
@Bashirusalum
@Bashirusalum Ай бұрын
Mbona mkiyaoji majitu ya yanga nyie waandishi mnawasapoti hadi maneno wakishindwa waacheni washindwe tu
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
case mahakamani ya yanga haituhusu sisi simba
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Ай бұрын
Kisugu sura mbaya sana na roho
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 Ай бұрын
Wale wazee wametumwa na Mangungu na Try again full stop
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw Ай бұрын
😂😂😂😂
@user-id5oc7hm4n
@user-id5oc7hm4n Ай бұрын
😂😂😂😂😂,, jamani mbona mnaionea Simba ,,,ubaya ubwela
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣👉🐸🐸🐸🐸🔥🔥🔥🔥🔥
@user-pf6yw7vh1p
@user-pf6yw7vh1p Ай бұрын
Eee yamekua hayo zamu yenu tulieni 6 zinakuja 4:35
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
@@user-pf6yw7vh1p yanga hawafahamu club yao imeingizwa hasara bilion moja ushehe
@HemedLikondoro
@HemedLikondoro Ай бұрын
Y
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Ай бұрын
KISUGU FUATA YA TIMU YAKO MBOVU
@SaidiMpate-o5m
@SaidiMpate-o5m Ай бұрын
S
@AtirioDaimon
@AtirioDaimon Ай бұрын
Aende zake huyo mzeeee asitulundishe kule
@MonaMbalike
@MonaMbalike Ай бұрын
Yaan wameshindwa kupambana uwanjan wanaanza siasa zao
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 Ай бұрын
Waropokaji wengi Akina Kisugu Kagoma amesema Hajui aliye peleka Kesi Mahakama Kagoma Sio Mzee ni Shida zake hawezi kufanikiwa Kiumbe Magoma
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 Ай бұрын
Huyo ajui mpira ji jinga tuuu
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Ай бұрын
Mambo ya Michezo hayaendi Mahakamani
@bone102
@bone102 Ай бұрын
MORISON mlimpeleka mahakamani alikuwa mwanasiasa au🤣
@amirabubakar9195
@amirabubakar9195 Ай бұрын
Ndio lishafika
@user-fl4jy5zj3v
@user-fl4jy5zj3v Ай бұрын
Hii hukumu umetoka mahakama ya kisutu sio mahakama kuu
@SaidiMpate-o5m
@SaidiMpate-o5m Ай бұрын
Ao wazee wana2mika na waasilika kuivuluga yanga kwann wasiendemahakmani kipindi yangainafanyavibaya waende wakatiinafanya vzr?ha2waelewi
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Ай бұрын
Tatizo Kisugu hajielewi kabisa. Halafu waandishi hawajielewi kabisa
@ErcksonjohnMishoori
@ErcksonjohnMishoori Ай бұрын
huyo mzee ni mbwa
@ramamohamed492
@ramamohamed492 Ай бұрын
Baba yako ndo mbwa
@ErcksonjohnMishoori
@ErcksonjohnMishoori Ай бұрын
We nae kuma lamam yako
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
Acheni Matusi iwaingie sawasawa
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 Ай бұрын
​@@ErcksonjohnMishoorimama yako ana nini???
@AbusamiyaMpangachuma
@AbusamiyaMpangachuma Ай бұрын
Kikubwa ni utulivu tu sio kingine
@AbusamiyaMpangachuma
@AbusamiyaMpangachuma Ай бұрын
Kwani yeye huyo shabiki wa Simba anataka haya yazungumziwe wapi kama sio kuita watu comfrence ni muhimu weee umetumwaaa sio wewe
@kilambanyuchi5731
@kilambanyuchi5731 Ай бұрын
Wazee wengine wachawi tu
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,3 МЛН
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 3,7 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 81 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 52 МЛН
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,3 МЛН