No video

BINADAMU EPISODE 2 (SEASON ONE)

  Рет қаралды 225,224

KitaleMkudeSimba

KitaleMkudeSimba

Күн бұрын

#Binadamu #Series
Story - Musa Yusuph Mahenge [Kitale]
Camera - Leonce Laurent
Editor - Emilian Kobelo/Tiga Papanko
Director - Musa Kitale

Пікірлер: 499
@KitaleMkudeSimba
@KitaleMkudeSimba 2 жыл бұрын
Tuendelee kufuatilia Tamthilia Yetu Pendwa waungwana, huko mbele mambo mazuri zaidi.
@edwinjohn6334
@edwinjohn6334 2 жыл бұрын
Nimesubili kwa mda sasa atma yake tumewekewa apsod ya pili wale time binadam wabaya tujuane kwa like🔥🔥🔥
@annamduma4009
@annamduma4009 2 жыл бұрын
Tunao mfatilia MKUDE SIMBA series zake tukunje Nne na tugonge chairs 🍷to enjoy part 2
@feysalhamisi3459
@feysalhamisi3459 2 жыл бұрын
Watuongezee dak bhan
@mwanakijana31
@mwanakijana31 2 жыл бұрын
Bakari hajawah niangusha huyu jamaa anajua sana sehem ya kuhuzunisha basi atafanya uhuzunike na sehemu ya kucheka basi atafanya ucheke nakubari sana
@bahatiagape7121
@bahatiagape7121 2 жыл бұрын
Nipo jmn mi mshabik wenu...like zangu jmn hata 20.Ninawapenda sana...❤️💗♥️💕
@hopeeve3558
@hopeeve3558 2 жыл бұрын
Wenye tunawatch tukisoma comments tujuane
@msouthdablack
@msouthdablack 2 жыл бұрын
Daaaaah sio poa ... mzigo wa 🔥🔥🔥sanaaa.. ila fanya juu chinii utie maandishi yaa kingereza kwa chini hapo .. yani utatisha Africa nzima kaka
@directorshasibu
@directorshasibu 2 жыл бұрын
Kwa namna tamthiliya hii ilivyotulia Ni Kama SQUID GAME...... Big CONGRATULATIONS to Director
@kelvinhassan4270
@kelvinhassan4270 Жыл бұрын
Kabisaa
@user-xi1pi4zr3b
@user-xi1pi4zr3b 2 жыл бұрын
Kitale na Team yako mungu awaweka Salama Mnajua Mpk mnakera Kazi Nzur sana💯❤
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 2 жыл бұрын
Kitare pumbavu yaaani mnajua mpaka shenzi
@khalfanjuma7678
@khalfanjuma7678 2 жыл бұрын
Hahaaaaa
@turencyt.t8407
@turencyt.t8407 2 жыл бұрын
Nakubali sana
@samsonsokoni1607
@samsonsokoni1607 2 жыл бұрын
Amnaga kazi mbaya, kwanzia MANENO YA KUAMBIWA mpaka hii sasa!!! Big up to you MKUDE SIMBA
@madimaditz5834
@madimaditz5834 2 жыл бұрын
Tamthilia ninzur sana natumain hatamuendelezo wake utazid kuwa mzur🔥🔥🔥
@fatumamlugele4018
@fatumamlugele4018 2 жыл бұрын
Kazi nzuriii sanaa❤❤, one love
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 2 жыл бұрын
Shukran Sana Mapema Mapema Binadamu Kazi. Hongereni Sana Washiriki.Jini la raster Latisha.
@husnamagayane5663
@husnamagayane5663 2 жыл бұрын
Sanaaa mm hapa nawaza nalalaje jamn
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 2 жыл бұрын
@@husnamagayane5663 🤣🤣🤣🤣🤣 Pole Maana Latisha Mno.Hata Chooni Hakwendeki.
@shopalareen4303
@shopalareen4303 2 жыл бұрын
Yaan anatisha sana na ss tuliopo uku kwa watu ni shida
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 2 жыл бұрын
@@shopalareen4303 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Usinichekeshe Swahiba.
@villagelife_innature
@villagelife_innature Жыл бұрын
Baada ya maneno ya kuambiwa Mnatuletea BINADAMU filamu nzuri sana. From RWANDA,Kigali
@abdullatifsuleiman9238
@abdullatifsuleiman9238 2 жыл бұрын
Daah mmetisha sana hii KTU IPO vzursana haswa pa1 na kuwa inatisha
@othmanmbarouk8499
@othmanmbarouk8499 2 жыл бұрын
Ninefurah kumuona mwinyimkuu ila mwenyez mungu amrehem mzee jengua angekuwepo tungeona uwezo wake zaid
@deodatusantony9483
@deodatusantony9483 2 жыл бұрын
Jamaa kitare uko vizuri sana Yan beka jasho linavomtoka hatri hana majanga huyu .
@veroniquegershomu9197
@veroniquegershomu9197 2 жыл бұрын
Kitale your the best 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ramasimba5665
@ramasimba5665 2 жыл бұрын
Beka hajawai kuwa na wakati mzuri 😂😂😂
@tundahatibu2814
@tundahatibu2814 2 жыл бұрын
Naomba msituboe kama kwenye,maneno,ya kuambiwa ss,nidyo mafans,wenu kitale
@salhatphidelis8884
@salhatphidelis8884 2 жыл бұрын
Aliemuona jini maimuna anatembea hfu huku wameonyesha kapotea I like
@davido-scooper9471
@davido-scooper9471 2 жыл бұрын
Mfalme #kitale we kwa tz hap umeshndkan
@aminaqatar5041
@aminaqatar5041 2 жыл бұрын
Mwinyi mkuu oyee nilikumic wallah nafurah kukuona
@shaaliomar1528
@shaaliomar1528 2 жыл бұрын
Namkubali sana Bakari yupo serious sana
@mundhirmansour6591
@mundhirmansour6591 2 жыл бұрын
Tuongezee muda kitale unatutesa mashabiki zako kwa week mara moja duh tufikirie tamthilia Ni kali kinoma
@priscapaulpaul6254
@priscapaulpaul6254 2 жыл бұрын
Tunzo mwaka huu yako💪💪💪
@deodatusantony9483
@deodatusantony9483 2 жыл бұрын
Mtawala namuelewaga sana yaan anatulia sana kwenye muvi yaan kama kweli kabisa
@hamisamobeto6103
@hamisamobeto6103 2 жыл бұрын
Oyooooooooooooo mwinyimkuu 😇😍😊😊 am so happy
@jamespeter8368
@jamespeter8368 2 жыл бұрын
Nakubar kaka kitare hujawah kukosea na maneno ya kuambiwa Tuzo lazima ipate
@shaharabinramadhn8306
@shaharabinramadhn8306 2 жыл бұрын
Yaan kitalr wee baba lao nakubali kaka piga kazi
@josephellytemu9645
@josephellytemu9645 2 жыл бұрын
duuuh atar nayo hii bora mnatuooza machungu ya binadamu wabaya
@zaychocolate1835
@zaychocolate1835 2 жыл бұрын
Mnajua na mnajua natena hii ndomichezo yakiafruca👌
@nonolove1358
@nonolove1358 2 жыл бұрын
Yani natamani wew munatuekea vipande5 kwasiku 😋🤣🤣
@mwanahawaninga6160
@mwanahawaninga6160 2 жыл бұрын
Nani kagundua mtawala amenenepa😂😂
@adnanmzimbiry6917
@adnanmzimbiry6917 2 жыл бұрын
Mm
@josephinemwanajuma1366
@josephinemwanajuma1366 2 жыл бұрын
My love mtawala you always make me smile much love from Kenya 🇰🇪 I wish one day i see you
@erickelia9826
@erickelia9826 2 жыл бұрын
Tamthiria nzur Sana honger kwa kazi nzuri
@robertemmanuel2354
@robertemmanuel2354 2 жыл бұрын
Kitale heeeeeeeeh daaaah we mwamba
@sitymohd3818
@sitymohd3818 2 жыл бұрын
Mtawala huna bahati ni bora ukasafishe nyota ⭐️ya mapenzi maana looh ! Kila mara unakimbiwa wewe tu
@aishatanzania1194
@aishatanzania1194 2 жыл бұрын
Alegundua km chili ndio mganga agonge like😜😜😜😜🤪🤪👉👉🤩🤩☑☑☑☑📢📢📢📢📢
@reginaphilimon782
@reginaphilimon782 2 жыл бұрын
Khaaaa😂😂 nilivyoisubir kwa ham jmni kuliko mshahara wa mwez😀😀😀 kitale umetuweza bab
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
😂😂😂
@jumabokole4642
@jumabokole4642 2 жыл бұрын
Hii movie ya binadamu wabaya nimoto wakuotea mbali dah very nice movie 💪💪🙏👌
@marcelinahtimothy9803
@marcelinahtimothy9803 Жыл бұрын
Nakukubali sana mtawala unajuwa kucheza movie hatariii sana wewe
@marcelinahtimothy9803
@marcelinahtimothy9803 Жыл бұрын
Bila kumsahau MWINYI MKUU mtaalamu mwenyew unatisha mwamba hatariii sana daahh nawakubali sana mnajuwa kucheza movie
@danielmwampashi469
@danielmwampashi469 2 жыл бұрын
Bonge moja la movies imetulia sana
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Waoooo mwinyi mkuu nilikumis
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 2 жыл бұрын
Yn nimajanga2 umu, Ongeren sn kaz mzr🤝🤝🤝🤝
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 2 жыл бұрын
Beka anajuwa mpaka anajuwa tena jamani na mtawala big up
@allenkwaya8594
@allenkwaya8594 2 жыл бұрын
Nimeikubali,hata maneno ya kuambiwa haijatisha!! Hii ni fire
@Chuotv48
@Chuotv48 2 жыл бұрын
Hongereni sana ila kiukweli muda ni mchache sana alafu mara moja kwa wiki mmmmmh kitale tunaomba ulifanyie kazi hili,,,,
@nuhumakame5191
@nuhumakame5191 2 жыл бұрын
Kuangalia leo moja tukushinda maneno ya kuambiwa
@bakamuubakamuu1556
@bakamuubakamuu1556 2 жыл бұрын
Jini anakatiza kichochoro😃😅😂 jini maimuna umetisha sana jini anayevuka barabara na Mara ya pili kaonekana tena 2021😃😅😂
@amirnassor300
@amirnassor300 Жыл бұрын
Masha Allah good istor hongereni sana washiriki
@aliboss2736
@aliboss2736 2 жыл бұрын
Hiko powa lakn hivi visanga vingefanyika usiku ingekuwa powa zaidi
@azinarashidi5204
@azinarashidi5204 2 жыл бұрын
Mwinyimkuu ndan y nyumba👌🏽
@athmanmushi4509
@athmanmushi4509 2 жыл бұрын
Ahahahahaaa yan me nainjoy nikicheki maisha ya beka since MANENO ya KUAMBIWA na kwnye hii BINADAM....yan inanifanya nifill kaa ana laana flan hv...asee big up director...
@zainabalex9810
@zainabalex9810 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@jasminally9129
@jasminally9129 2 жыл бұрын
Nizur Sana kwa wiki ata Mara 3 basi
@allykaucha4207
@allykaucha4207 2 жыл бұрын
Sio kwa siku mara tatu kama dawa?
@hoseadonaldmwasanga6973
@hoseadonaldmwasanga6973 2 жыл бұрын
HIII NI ZAIDI YA TAMTHILIA JAMANIIIII.... MAAANA DAAAAAAH NI YA🔥🔥🔥 EPISODE 3 ....COME FAST
@janethkasanga1058
@janethkasanga1058 2 жыл бұрын
Hakuna zaidi yako kitale
@fatumasaidi2588
@fatumasaidi2588 2 жыл бұрын
Binadamu wabaya
@mkingaogtv1463
@mkingaogtv1463 2 жыл бұрын
Jamani uyu jini anaonekana anazamia kule konani Ila hongera jini hajacheka maanaaa apa bongo
@abassimwenda6366
@abassimwenda6366 2 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka na namkubali Sana mtawala
@reginaphilimon782
@reginaphilimon782 2 жыл бұрын
Ila kafupi jmni bas ungetufanyia mara mbili kwa wiki eti kitale
@gabiharseni855
@gabiharseni855 2 жыл бұрын
Daah bro hongera
@marthajohn9120
@marthajohn9120 2 жыл бұрын
Tamthilia nzuri sana
@salumnyange507
@salumnyange507 2 жыл бұрын
Aiseee bongela move sema sasa mjitahidi alaukwawiki mtuwekeee epsd 2
@cosmascosmas2822
@cosmascosmas2822 2 жыл бұрын
nakukubali kwa kaz nzur mkuu
@tafutapesatv6389
@tafutapesatv6389 2 жыл бұрын
Jini limeyeyuka na bado tunaliona kweli bongo
@saimonikatema5796
@saimonikatema5796 2 жыл бұрын
Sema kuna makosa nimeona Director hakuzingatia utaratibu kila mtu anafaham ukikuta mtu kafa hauruhusiwi kushika Robby alimshika jamaa akaenda tena kuita watu wale wazee wakashika tena maiti jambo ambalo sio sawa na ukizingatia hawakuvaa grovuz
@yohanasaimon5685
@yohanasaimon5685 2 жыл бұрын
Sasa si hawajui kama kafa au la
@hawa_bland8923
@hawa_bland8923 2 жыл бұрын
Big congratulations kwa timu mzima👊👊👊
@neemaherman5684
@neemaherman5684 2 жыл бұрын
Watu wa maneno ya kuambiwa mmenenepa hongereni
@samiasaidi1348
@samiasaidi1348 2 жыл бұрын
Nzurii mpaka inakera
@aa-bk3ej
@aa-bk3ej 2 жыл бұрын
hongera mtunzi nzuli sana move muenderezo part 3 sijaiyona mimi
@kasabukuanthony6208
@kasabukuanthony6208 2 жыл бұрын
Mama bashiru haonekan kuwa na huzuni... Bakari ana unyama wake flani... Sasa mwinyi mkuu ndo mnyama kabisa💯... Kazi nzuri
@hamismbwana8592
@hamismbwana8592 2 жыл бұрын
Daah kwenye jini huyo au shetani sijui tumepigwa na kitu kizito Mana kayayuka alafu anaonekana anamalizikia kwenye ukuta 😂😂ila kazi nzuri
@phanestandabila3490
@phanestandabila3490 2 жыл бұрын
Umefanya nirudie ili nmuone maimuna😇
@saidymo360
@saidymo360 2 жыл бұрын
Mkude simba ujengewe sanamu ❤🔥
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@turencyt.t8407
@turencyt.t8407 2 жыл бұрын
You are the best..kitale
@mzeekara2370
@mzeekara2370 2 жыл бұрын
Nakubali picha limeanza kama linaishia saluti director na kikosi kazi Kwa ujumla
@user-ut1rz1wx4q
@user-ut1rz1wx4q 7 ай бұрын
Safi sana Kaz iendeleeeee❤
@ahmadyzubery9126
@ahmadyzubery9126 2 жыл бұрын
Kaliiii
@jofreykitabila4276
@jofreykitabila4276 2 жыл бұрын
Na nyie muwe mnabadilisha mazingira
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 2 жыл бұрын
Mtawala na humu ashaanza kuumia na mapenz ndio kwanza tunaanza sijui kama atamaliza series hii kam halijafa jitu😂😂😂kam kwenye maneno ya kuambiwa😂😂
@rtv7906
@rtv7906 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@njengamichael102
@njengamichael102 2 жыл бұрын
One of the best ever 👌👌
@user-pu8li7jp2q
@user-pu8li7jp2q 2 жыл бұрын
mashallah tearm ya maneno yakuambiwa muko sawa nove zina mafundisho sanaaa lov u all
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
Marahii hamna mapambano baina ya beka na akram😅😅😅 mkude mukiachia sat na sun itakuoa poa sana
@issamashishanga3958
@issamashishanga3958 2 жыл бұрын
Kumbe bongo tuna weza kitare 🙌🙌🙌🙌
@mkalifanny4555
@mkalifanny4555 2 жыл бұрын
Huyu jamaa mwinyimkuu anapatoa scene ya uganga hataree
@ahmadihamza4647
@ahmadihamza4647 2 жыл бұрын
Tamthilia nzuri Sana, tangu nianze kufatilia tamthilia za kitale kuanzia maneno ya kuambiwa, kimbiji na hii,zinamafunzo makubwa, ila kwa hii no nzuri bt aongezee tyu ulefu kidogo wa kila episode at least 35-40 minutes per episode,,
@ramadhanramadhan5051
@ramadhanramadhan5051 2 жыл бұрын
kitu juu vitu
@ramadhaningajua6248
@ramadhaningajua6248 2 жыл бұрын
Bomba xan
@alhmdulilah1187
@alhmdulilah1187 2 жыл бұрын
Nzuri Sana nawapenda jomon usitucheleweshee mwendelezo tfdhl
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 2 жыл бұрын
Nlkua nshahama bongo movie ila hawa jamaa noma nimerudi tena!!
@sebastiantsyamba3817
@sebastiantsyamba3817 2 жыл бұрын
Nangoja kobelo na kitale
@jabirabdalla2200
@jabirabdalla2200 2 жыл бұрын
Nakubali kazi Mzee baba
@jameskikezi1492
@jameskikezi1492 2 жыл бұрын
Kali san
@happyemmanuel412
@happyemmanuel412 2 жыл бұрын
Yan mnatuvurugaa mpaka mnatuvurugaa tenaa,,afu wekenii nyingii bhanaaaa
@mauwarashid4823
@mauwarashid4823 2 жыл бұрын
kazi mnzuri
@tafutapesatv6389
@tafutapesatv6389 2 жыл бұрын
Kitale niuziee hiii move yote
@myfetty1960
@myfetty1960 2 жыл бұрын
Unajuwa adi unajuwa tena kitale alafu ujigambi walanini kama unajuwa adi unakela 🤴
@sophierseyyd1162
@sophierseyyd1162 2 жыл бұрын
Mkude umetuweza ss hv 😂😂😂 yn nguo imenidondokea hz kelele nilizopiga 😂😂😂😂 mpk mwanang alikuwa anakula hz mbio yn amenikimbia amekimbilia nje namwit hatk kuja 😂😂😂😂😂👌👌👌
@aminahashim4829
@aminahashim4829 2 жыл бұрын
Jini kapotea halaf kaonekana kwa mbali anatembea but all in all kitale unajua
@fettyharoun1333
@fettyharoun1333 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🙏 shukran sana bro kitale
BINADAMU EPISODE 3 (SEASON ONE)
20:20
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 200 М.
WAKE WENZA FULL MOVIE (SEASON 1) EPISODE 1-6
1:07:25
Comedy Plus
Рет қаралды 657 М.
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 26 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 29 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 32 МЛН
LESO FULL MOVIE
2:24:00
MBWELA MEDIA
Рет қаралды 190 М.
'MZIGO" Movie sehem ya 1 / Starling Tinwhite Ringo Masantula
25:59
WHITE FILMS
Рет қаралды 140 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /29/ #love
43:38
BabaJoan
Рет қаралды 177 М.
KIFO CHA DOCTOR.   Episode 1#Azam tv#House girl#Sifi leo
22:18
JEBALEKO TV
Рет қаралды 431
AFRICAN DRAMA!!: THE PREGNANT GIRL
16:29
Flaqo Raz
Рет қаралды 1 МЛН
MJEDA"Movie Episode1 Starling Tinwhite  Mwelesi Silva Queen
16:21
WHITE FILMS
Рет қаралды 850 М.
Maneno Ya Kuambiwa Epsode 4 (Official Video)
27:00
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 66 М.
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Cinewatch
Рет қаралды 70 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18