Рет қаралды 17,602
Tusipojua tulipotoka hatutajua tulipo na tunapotaka kwenda, Historia ni muhimu kwa kila jambo ili tujue way forwad yetu!!
Sikuwa najua kwamba nyumba yetu ya Temeke Wananchi waliivunja vioo vyake na sikuwa nafahamu kwamba Mabeki wa zamani wa Simba ikifika mechi na Pan Africans hawali mchana 🤪
Kubwa sana hii interview baina ya Baba na Mtoto hapa Belgium.