The Raila of Tanzania speaking..My good friend lissu...one day you will lead tanzaniaaaa
@mohamedali-fz5dw7 ай бұрын
nakukubali sana tungu lisu kwa maongezi yako from zanzibar
@user-kg8dn6qr8o9 ай бұрын
Mungu Akupe Maisha mema mwamba lisu Tunaimani na ww
@fahamimohamed90158 ай бұрын
Good lissu we are back on you
@clintonmakongo42839 ай бұрын
Tundu Lissu another Truthful man😂😂
@johnmasinde18759 ай бұрын
He's right. This regional business relationship is wanting.
@salemaliy19638 ай бұрын
Amesema ukweli
@user-dc1xh2pk6e9 ай бұрын
Tunamupenda Tundu lissu na message yako
@SalmaAbanoor9 ай бұрын
Watanzania wasijaribu kumuweka tundu lisu madarakani waswahili husema kilicho mpata mamba na kiboko nihichohicho huyo nikibaraka wa wazungu mutalia kama wakenya wanavolia saa hii
@IsmailClassictz8 ай бұрын
The Truth of Life is Doomed
@amidulyuma18339 ай бұрын
Tundu lisu the super brain .....Genius
@badmanno.16508 ай бұрын
Lissu amesema kweli .. Tanzania bado iko chini ya mfumo wa chama kimoja .. japo wanajifanya kukubali vyama vingi .. l fail to believe that watanzania tangu 1961 hawajachoka kuongozwa na CCM.
@user-kz4qs4go6e8 ай бұрын
Ongoza ww
@justinollomy58619 ай бұрын
upooo.vizurii kmandaaa mahijianoo yakoo ni matam Sana'a Tanzania nchii ya ovyooo fisadii anapigwa faini ya laki mbilii anaekula nyama ya swalaaa anafungwa maisha nchii ya kikudaaa Sanaa
@dominicksangu89349 ай бұрын
Very good lissu tunakukubali mh
@chrisodongookubasu1349 ай бұрын
Whatever Tundu is talking about, is when Kenyatta was president. We are under different leadership. Zakayo is messing our Nation.
@brianjiwo97639 ай бұрын
Ahsante Tundu katukumbusha mengi tuayoyapuuza
@peterdeus60938 ай бұрын
Ofcourse we do admit to have some tragedies in our country but you shouldn't have been talking like that on abroad media cause that can be weaponized against your own country sounds like Tanzania is not in your primary interest, there's secondary gain on that for your own benefit! Unazingua bro, weka Tanzania kwanza.
@frankanyona28578 ай бұрын
East africa is one. What about Ruto who goes complaining to Americans about Kenyan government?
@faisalyusuf89868 ай бұрын
Yoko sawa Tanzania au Kenya sio chochote wala lolote zaidi ya mipaka ya kikoloni
@Ernest-jo5di5 ай бұрын
He is Right. Let the Genius talk
@King_Of_Everything9 ай бұрын
👍👊✌️.
@dastonamichaels18549 ай бұрын
Mr Lissu modern day Raila Odinga
@HonestMassawe-lb6xj8 ай бұрын
Ngoja kwamza tupigwe Mara 5 zaidi!huyu jamaa anamambo ya ajabu na asiseme lolote kuhusu magufuli!!
@AnkoLolo-mv5bk9 ай бұрын
Ubarikiwe tundu
@abuyusufbillelsalafy50669 ай бұрын
Hapo ni kweli zanzibar tunalipishwa sawasawa na bei ya marekani
@FrankKashamakula-xb1pc9 ай бұрын
Lisu anagonga nondo tuu 👍👍
@Ernest-jo5di5 ай бұрын
Mwamba huyo. God Bless Tundu Antiphas Lissu
@jacktheking969 ай бұрын
jamaa anaongea from the point of opposition to the Tanzanian Government. so huwezi muamini sana. but pia akona ukweli kias. kenya sai ni moto. alaf nashagaa jamaa anaogea kama mjaluo
@richardnganya23119 ай бұрын
Zanzibar.. ukiandika kitabu na ukapewa tuzo hapo utaitwa hadi ikulu na kupongezwa sana !! Zanzibar ni Nchi ndani ya nchi..!!
@philemonsnyanda94509 ай бұрын
We mjinga kabisa huwezi kumwita lisu hivyo, kwani ni uongo saiv vyombo vya habari vya Tanzania vimezuia kuongea na wapinzani
@isaacondieki96099 ай бұрын
Mama toso na zakayo wetu.
@MajiiIfande9 ай бұрын
Wakenya hongereni sqna
@mrafm72859 ай бұрын
Umesema ukweli kuhusu Palestine
@LafatOgutaWere-px6vb9 ай бұрын
Bado kuna mtu atapinga.
@danielmussa69448 ай бұрын
Amna kiongozi hapa ni siasa tu 😅
@ernestmatimba99648 ай бұрын
Mwamba huyo
@MagdrenaBernad-vq1hn9 ай бұрын
Bo upo juu baba juu sans shinyanga tunakupenda sans ana mungu wa mbinguni aendelee kukutunza wanaokuombes ufe wade wap na watoto wap
@johngibson30899 ай бұрын
T7ndu Lissu ni mtu mwenye akili na hata CCM wanalijua hilo-HAKUNA KILOCHOJIFICHA. Huyu ni kiumbe wa level nyingine kabisa na si wa mchezo mchezo
@ramadhanmusa28789 ай бұрын
Mzee anaongea ukweli...Tanzania ubinafsi umekitiri sana
@SalmaAbanoor9 ай бұрын
Tundu lisu anatumiwa na wazungu waamerka kuleta ushoga Tanzania LGBTQ watanzani wachunge sana
@maheitumdintunya29289 ай бұрын
akili ndogo
@AntonyDova9 ай бұрын
Sifuri kabisa
@wilbertmmary90768 ай бұрын
Wenye akili kubwa ndio watamuelewa
@malkiawagiza1327Ай бұрын
Ni ukweli mtupu ulichoandika.
@justinnoah45908 ай бұрын
Lissu mzee wa kuongeza chumvi. Mwambieni Lissu akae hukohuko atuachie Tanzania yetu
@mkoma498 ай бұрын
Nafikuri una chuki zako binafsi lkn content alio itoa ni constructive sana
@lugendondago84939 ай бұрын
Ni lini zanzibar wakenys wsmeingia kwa viza?
@anthony40468 ай бұрын
Hakuna buz za kenya zumehamia kenya 💯, labda subsidiaries, nq bado zapigwa, nlikaa tanga na dar miaka mingi nkiwa nimetumwa kazi na watanzania, walio pewa kazi na hii kampuni ya kenya nliokua nkifanya kazi nayo, walikua wana sema ..."ahhhh kampuni ya kenya hii , hii ni ya kupigwa tu...."
@benardmunjalu37389 ай бұрын
Tundu wewe ni mkristo' Biblia iliandikwa lini na Palestine na hamas walifanya nini hawa ni watoto wa mungu bwana
@juliusndungu-sv3ng8 ай бұрын
Mama tozo 😂😂
@MohammedAwadh-gq9si8 ай бұрын
Yaani jamaaa chooookaa ! Hana jipya
@kadaskarim50819 ай бұрын
Unajiskiaje kuponda kwako kwel hauna akili kabsa yaan wew keny wanajua bila Tanzania hakuna Kenya hata wakenya wanakushaaa san
@wahurumasibale61559 ай бұрын
Siyo kuwa anaponda ila anaongea ukweli halisi wa nchi yetu ambao chanzo chake ni andiko letu tulilonalo yaani katiba.
@SanzeyZakayo8 ай бұрын
Wew ni mmoj wa watu ambao hawapendi kuambiwa ukwel unapenda kudanganywa ndo tatiz lako
@hamishamis82829 ай бұрын
Yaani LISU ni muongo wewe aisee, acha uongo na unafiki wewe
@shazyahya41219 ай бұрын
Lisu anamatatizo ya akili anachofikiria yeye kuisema vibaya Tanzania ndio solution ya kupata ubunge utasubiri sana adi 2070 na hapo vijana adi tukuonee huruma we omba uraia uko kenya wakupe ubunge au cheo
@melkizedeckmathew59089 ай бұрын
Kama unaona ana matatizo ya akili wewe utakua unaumwa ugonjwa usio na jina he is giving his own opinion wewe unawashwa na nini
@shazyahya41218 ай бұрын
Kweni we ni mke wa Lisu au concubine wake mbona misuli ya matako imekusimama kama mtu aliepigwa dole la mkundu wewe na yeye wote sawa kenge mmoja
@melkizedeckmathew59088 ай бұрын
@@shazyahya4121 umeongea kwa experience kubwa sana mkuu una experience ya kufanyiwa hivyo kwa muda gani shangazi?
@shazyahya41218 ай бұрын
@@melkizedeckmathew5908 muulize Lissu kweni nyie si ndio watu wa upinde mabwana zenu wazungu watu wa magharibi ndio vitu vyao hivyo na nyie ndie chakula chao mkishapelekewa moto mnapewa na uwakala watu tunajua michezo yenu kila siku mnabadilishwa jinsia ulaya uko mnaolewa na Western people ukiuliza eti haki za binadamu 😁😃
@EvanceIssa7 ай бұрын
Yaan kunanajitu mengine hayanaga akili, shida sjui niu ccm , hivi kwahii tz unaweza ukawa ukaongeaongea paspo kutumia akili ukabaki salama bila kuwekwa jera???, Tanzania Sheria zimejaa vby mno halafu unaanza kusema lissu Hana akili??, Embu ww mwenye hakili jalibu kuikosoa selikali hata ya mtaa uone Kama Kama utabakia huru, lisssu anatumia akili ya kisomi pia kajaliwa hekima, nahisi kungekuwa kunakumfunga mt paspo sheria lissu angeozea jera , Mungu akulinde lisssu ubalikiwe sana ww na family yako
@em5519 ай бұрын
are you people serious 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mama tozo na zakayo... but he is making an important point
@yusufumwasha5489 ай бұрын
Amaizing
@BIGBOSS-hl3bu8 ай бұрын
Kiufupi hapo kinachowasumbua kati ya tz & Kenya ni kama ndoa aliyopo kwenye ndoa anatamani kutoka walio nje ya ndoa wanatamani kuingia 😂😂😂
@MohamedSleyim9 ай бұрын
Tundu anajichanganya blah blah nyingi.Tanzania haijateketea ni maneno ya uwongo. Siasa nyengine unamix mambo.
@johnndegwa679 ай бұрын
Thanks Tundu lissu 😂 advice Kenyans citizens
@elgringo85929 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@saidinyoni24638 ай бұрын
Huyu jamaa kinacho mponza ni ushaamba
@mwimbiejose18008 ай бұрын
HUYU MPINZANI WA SEREKALI YA TANZANIA NA MWONGO SANA.STUPID
@mako3319 ай бұрын
Msimsikilize huyu ni mwana siasa, Tanzania ni bora kuliko anaongea nn huyu
@gsamoei9 ай бұрын
@mako331, please, we know Tanzania. This gentleman is talking the truth. We had a flourishing business in kenya, and we tried to expand in arusha, pharmaceutical company. Sincerely, Tanzania we opened office in a storey building, but basic printer, lazy tanzania in an entire 15 storey building are entitled to "Ndugu" yangu ago na printer... we are going to share. The moment uchamaa nonsense gets out of your heads, Tanzania will be the best place to be.
@jemeslaizer84369 ай бұрын
Huyo alichanganyikiwa mimi ni mwanachadema lakini , huyo alipoteza dira... TZ TUKO SAWA.. BADALA YA KUJENGA CHAMA UNA ZUNGUKA.
@shabelibashili20649 ай бұрын
Wewe siyo chadema wewe ni chawa2 usitudanganye
@faustinebahenobi34129 ай бұрын
Ww sio mwana chadema unajifanya tu uelewi anachokiongea nyinyi ndo machawa wa samia
@khatibal-zinjibari69569 ай бұрын
TIMU ZA UCHAGUZI NI ZA CCM Kwa Zanzibar, Mh. Juma Duni alienguliwa na Tume ya Uchaguzi eti hawajui jinsia yake😂
@richardnganya23119 ай бұрын
Kwa hiyo kiongozi wako akizunguka zunguka anabomoa Nchi !? Heri usingetoa maoni. Umepwaya !!
@jemeslaizer84369 ай бұрын
Yaani kusema nchi yako vibaya ndio kufaulu kutatua tatizo... Haiendi hivyo ukisidiwa. Maarifa, inamisha kichwa kuja na sheria mpya ya kulegeza serikali na kuchangasha wanainchi na sio kuibonda inchi yako.. Nje ya inchi iga mbowe.. Ni kiongozi, shupavu.. Raila... Ni kiongozi shupavu.. Bob wine wa Uganda 🇺🇬 Democratic ya Uganda ni mbaya lakini hasunguki nchi kwa inchi kuharibu nchi yake... Uwe muungwana.. Kiasi.. Maana kusema inchi yako ,, haitoshi.. Kubadili serikali,, ni kutumiza na sisi wanainchi wa kawaida.. Tafuta. Njia nyingine siasa. Ni plan si projo lissu... Tumieni sera zenu vizuri.... Mta win... Ila sii kwa njia ya kuharibu nchi yoko kwa mabaya tu.. Badili njia.. Nyingine
@lugendondago84939 ай бұрын
Lisu wewe ni mnafiki sana
@MohammedAwadh-gq9si8 ай бұрын
Mjinga huyo
@talibsaid80969 ай бұрын
Kelele tu huna mpya bakiahuko kenya
@kimalinganomhelela83779 ай бұрын
This Tundu Lisu got it wrong.He has no proper data that is why he is untruthful.
@richardnganya23119 ай бұрын
Proof is required to support your point. Otherwise you will be considered as man of no data !!
@AntonyDova9 ай бұрын
How far??
@joojombi23419 ай бұрын
Fatani mkubwa huyo na muongo mkubwa sana huyo. Muongo sana na Fatani mkubwa sana huyo. Shoga mkubwa sana