No video

KUHUSU USHOGA ASKOFU MKUU RUWA'ICHI AFAFANUA TAMKO LA PAPA FRANCIS

  Рет қаралды 30,411

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

7 ай бұрын

Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Пікірлер: 271
@ransonlema3916
@ransonlema3916 7 ай бұрын
Sema hivi, kiongozi wetu ni mpagani tunamsihi Mungu atupatie kiongozi mcha Mungu
@severinkinunda5269
@severinkinunda5269 7 ай бұрын
Tusipende kuhukumu watu. Ktk maisha yangu nikiooa nje ya taratibu za kanisa. Na kipindi hicho nilikuwa kwenye kikundi cha wokovu. Kikundi kiliniondoa kwenye kundi lao wakatutenga mimi ni mkeo. Lakini sisi na udhaifu na dhambi zote tukiwa nje ya kikundi tuliendelea kumnyenyekea Mungu na Mungu yupo nasi mpaka leo tunadumu tukiwa kiroho na kimwili vizuri. Wale waliotuhukumu wengine ndoa zao zilisambaratika, wengine kiroho wamepotea Ktk safari ya wokovu nilichojifunza kuwa hakuna aliyeokoka ktk dunia awe ni Padre, Askofu ama mitume na mitume. Hapa duniani tunaongoka. Kuongoka ni harakati za kuachana na dhambi ili kuelekea utakatifu. Hakuna asiye na dhambi. Sisi wote tu wadhambi. Tunamtafuta na kujiweka mikononi mwa Yesu ili kuutafuta utakatifu. Hivyo kwa kuwa sisi sote ni wadhambi tusiwe na tabia ya kuhukumu watu. Visasi na hukumu ni juu ya Mungu. Suala la maamuzi ya Papa, anayejua kama Papa yuko sahii au siyo ni Roho Mtakatifu na Yesu Kristu pekee
@lucaskashangaki7986
@lucaskashangaki7986 7 ай бұрын
Tafuta Mungu wa kweli acheni kuabudu masanamu
@ntegrity277
@ntegrity277 7 ай бұрын
Mnabariki nini yaani mashoga wabarikiwe ili litokee nini Mungu mwenyewe hawezi kubariki watenda dhambi baraka ya nini kwa wauwaji au makahaba wabarikiwe ili wafanye nini kwa faida ya nani au nini kitokee
@severinkinunda5269
@severinkinunda5269 7 ай бұрын
Kiujumla tunapoomba Baraka za Mungu ni kutafuta mahusiano na Mungu. Pale mtu anapotaka baraka za kimungu, jambo hili linaambatana na toba na kuacha dhambi. Kwa hiyo kama kuna shoga anatafuta baraka za kimungu hii ni njia pekee ya yeye kuhubiriwa habari ya wokovu. Kwa kuhubiriwa toba, shoga ataacha njia mbaya na kuwa na maisha yanayompendeza Mungu. Tujifunze kusikiliza na kutafakari. Tusome biblia na kutafakari kwa kina
@florapeter6919
@florapeter6919 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa tunapaswa kuwa nao karibu ili eijue kweli wamrudie Mungu,Yesu Anasema msiwalaani watu, wabarikini watu watakieni mema, na ktk baraka hiyo kuna neema ambayo inaondoa yalemapepo ya ushoga,sisi sote tumepungukiwa na ututukufu ndio maana kuna seemu nyingi sana za toba kwenye ibada ya Misa Takatifu, lakini tumekatazwa kushiriki itu vitakatifi Kumpokea Yesu wa Ekarist Takatifu pasipo kamahatustaili. Kwa hiyo niwajibu wetu kuwa mwanga ktk giza Amina
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 7 ай бұрын
Wajue wapi hao Bibilia yenyewe wanakaririshwa mistari
@loner_wolf
@loner_wolf 5 ай бұрын
Siasa
@jacksonsimonmulinde857
@jacksonsimonmulinde857 7 ай бұрын
Tamko la Papa msilifafanue tofauti na alivyotamka kuhusu kuwabariki mashoga.Yeye aliruhusu hajazuia kuwabariki. Sisi hatujafurahia tamko lake Kama watumishi wa Mungu.
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 ай бұрын
Tamko la Papa ulilisoma?
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 7 ай бұрын
Huyo papa wenu SI mzungu walikoruhusu ushoga anafuata katiba za kwao wafrika wakatoriki mtapinga mtaweza Bora tu mungu wenu awasaidie kuwaepusha naroho hiyo nanyi siku Moja wafrika mpate papa
@akimu-gl7zp
@akimu-gl7zp 7 ай бұрын
Kwanza usimuite mtakatif. Mtakatif ni mungu tu.
@akimu-gl7zp
@akimu-gl7zp 7 ай бұрын
Hapo ndipomnapomuuz mungu. Kwa kumuabudu papa.
@adamuandrea6658
@adamuandrea6658 7 ай бұрын
Hata msemeje, mwenye kanisa anataka mashoga wabarikiwe
@elizabertnyamubi6477
@elizabertnyamubi6477 7 ай бұрын
kabisa hapa wanafunikafunika tu ni kwamba anataka wabarikiwe na iwe huru ktk dhehebu lao
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 7 ай бұрын
@@elizabertnyamubi6477 Ukweli kabisa congratulations kwao 😈🔥 shetani Yuko kazini.wamejiingiza kwa siri alafu wanajifanya wao ndio wanajua kusaidia watu MASHETANI mtu afiche watoto wake wapi.
@user-gn8my7pw4v
@user-gn8my7pw4v 7 ай бұрын
Amina baba ubarikiwe
@febroniamsoma178
@febroniamsoma178 7 ай бұрын
Uyu Askofu ana hekima sana, kiukweli kama papa angeruhusu uo uchafu io ingekua mwisho wa kanisa hili rasmi, ila kama kweli aliyoyasema ndivyo yalivyo basi sisi ni nani ata ttushikane na uzushi wa watu?? Tuko pamoja kama mmoja Amen
@issakisalu9237
@issakisalu9237 3 ай бұрын
Jamaa anazunguka sana kashasema mashoga wabarikiwe na huo ni msimamo wake sio wa kanisa, alafu unasema ukijua mashoga wewe huwezi kuwabariki na yeye kashasema MASHOGA alafu unaleta siasa nyiiiingiiiiiiio
@chazy7ya216
@chazy7ya216 7 ай бұрын
Kwaiyo mimi sijui kusoma nakufafanua uku kichwani apatushasokotwa
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 7 ай бұрын
MNAMUHITAJI YESU TU SIO PAPA❤
@edesaron9070
@edesaron9070 7 ай бұрын
Tukitaka baraka za bwana lazima Kwanza tuziache njia zetu mbaya
@emmanuelfideliskashumba8802
@emmanuelfideliskashumba8802 7 ай бұрын
Huyu Bwana Yesu tunayemzungumzia sio huyu aliyekuja kutukomboa angali tu dhambini? Sio huyu aitwaye nuru ya ulimwengu uliopo gizani?
@ampeliusjoachimu7820
@ampeliusjoachimu7820 7 ай бұрын
Acha kutetea uchafu, hii haikubariki, ndoa ni kwaajili ya ke na me si ke kwa ke au me kwa me, vinginevyo ni uchafu warumi 1:25-27 acha kupotosha ukweli, acha ushetani
@willygwaikana
@willygwaikana 7 ай бұрын
Ukiona inzi wanaingia hadi vyumbani, ujue tatizo lipo kabla yaani uchafu. Kauli ya Papa inaashiria uozo liopo kabla ya tamko hili. Lakini Mungu anaruhusu inzi waonekane ili wapenda usafi wajue kuna uchafu ili wachukue hatua ya kusafisha nyumba yote. Waumini waaminifu kwa kanisa badala ya kuwa waaminifu kwa Bwana, hawatachukua hatua, bali kuwakasirikia wale wanaoona uchafu wa kanisa. Lakni waumini walio waaminifu kw Bwana, watachunguza kila fundisho ili kujua nyufa ambazo shetani ameingilia kanisan. Mttini Mungu mpingeni shetani nae atawakimbia - Yakobo 4:7-10. La sivyo tutazidi kuona na kusikia mara hili mara lile yakinadiwa kuingzwa kanisani akama ambavyo mengi ya uongo yamepandikizwa kanisani kupitia mapapa wanaojiita BABA MTAKATIFU!!!!!!. Jina tu ni chikizo ila kama una macho ya kuona. Mtumishi wa kweli wa Mungu hawezi ujikweza kujiita au kuitwa jina hili linalo mhusu Mungu tu BABA MTAKATIFU.
@ChristinaMkyobwe
@ChristinaMkyobwe 7 ай бұрын
Kweli kabisa ni uruma😢😢😢😢
@worframtimothy1738
@worframtimothy1738 7 ай бұрын
Lazima ivi vitu vitokee ili roho MT afanye kazi yake ya kuliongoza kanisa kutoka kwenye comfortable zone to new place, Lakini ukienda ata kuungama Padre uwa anaanza kukubariki kwanza kabla ya kuungama dhambi, kanisani Padre utoa baraka kwa wote wadhambi wakiwemo, ivyo MTU akija kuomba baraka ya Mungu, huwez mnyima.
@StadiusJustus-ck8xi
@StadiusJustus-ck8xi 7 ай бұрын
Dini ya kweli ni ile onayoendana na mapenzi ya mungu kweli kweli ila na dini nzuri ni ile inayowasaidia wajane nayatima
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 7 ай бұрын
Usibariki ushoga hapa Tanzania tafadhali sana. Shoga ni kuomba au kutubu lakini kusema ati akija kuomba kubarikiwa. Kama nashoga wakija kubarikiwa katika ndoa yao utafanya nini 4:01
@leonardmakwela5551
@leonardmakwela5551 7 ай бұрын
Kanisa Katoliki lina heshima kubwa ! Mimi si mkatoliki , ila sijawahi kukinzana nao katika imani , Najua tofauti ziko chache na madhehebu/ dhehebu langu ! Kwa hili la ndoa za JINSIA MOJA ni UJINGA MKUBWA !. Hatuhitaji kuupamba kwa namna yoyote ile ! Ni UPUMBAVU na ninashauri kanisa hili kubwa , lenye heshima kubwa kuingia kwenye mtego huu wa kijinga!!!
@newbornhaule
@newbornhaule 7 ай бұрын
Yesu akasema acheni vipofu waongoze vipofu... HAKUNA jambo baya kama kupenda watu au DINI kuliko Mungu
@user-fk9dy6ng4f
@user-fk9dy6ng4f 7 ай бұрын
Mtu kuomba baraka kukinzana na Mungu kubariki muunganiko wa mume na mume ni mpinga Kristo tamko limetolewa hayo ni mawazo yako
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 7 ай бұрын
,NAKUULIZA INABARIKI NDOA JINCIA WEWE UNA WADUDU KWA KICHWA YAKO TOA NDUGU ZAKO KWANZA
@Jackxon_tz1
@Jackxon_tz1 7 ай бұрын
Axant bb Kwa ufafanuz
@ChristinaMkyobwe
@ChristinaMkyobwe 7 ай бұрын
Ivi nini amekisema cha maana si unamuhunga mkono tu mwenzio sijuhi ni wa parokia ngani alikataa kuusu ushoga na akasema Uyo Papa waroma hata aruusu ushoga yeye awezi kubali nahawezi ungana naye😢😢😢
@Fredrickrobson01
@Fredrickrobson01 7 ай бұрын
Wewe askofu Mungu hajawahi wabariki Paulo anaandika wafilaji na walawiti hawataingia mbinguni,acha kudanganya waumini utaulizwa siku ya mwisho
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 7 ай бұрын
Kipofu akimwongoza kipofu wote watatumbukia shimoni
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 7 ай бұрын
Watu wengi hawaelewi kinachozungumzwa wala mjadala uliopo na maelekezo ya Papa
@godlistenlaban9933
@godlistenlaban9933 7 ай бұрын
Amna kitu kilichotekwa wala nini mafundisho ya Papa amenukuu wapi kwenye vitabu vitakatifu ambapo yalifanyika hayo? Endeleeni kujichanganya na mwishowe mtajikuta mmeruhusu hadi viongozi mashogo. Muombeni Mungu awape Roho wake awasaidie kwenye maamuzi na sio kwa kutumia hisia.
@leonardmakwela5551
@leonardmakwela5551 7 ай бұрын
Sorry , nashauri kanisa hili lisiingie kwenye mtego huu wa kipumbavu ! Huu ndio UPINGA KRISTO ! Upinga Kristo ni kwenda kinyume na yale Mungu anayopenda
@macharosandra9467
@macharosandra9467 7 ай бұрын
Watoto wangu jana waliniuliza kuhusu hili swala,, niliwaambia nendeni kanisani kumtafuta Mungu, Yesu, wala sio kumtafuta papa, wala padre.. ila nafasi imefadhaika sana.. kwani kanisa kutoa tamko kuwa hao watu hatuwatambui kuna shida gani?
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 7 ай бұрын
Kweri namimi simfuati papa namfuata mungu baba alie tuumba na yesu aliye tufia msalabani tu, huyo papa matendo yake ataulizwa na mungu,na mimi nitaulizwa matendo yangu.
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 7 ай бұрын
​​@@yesunimwema4497Kama misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini? Kiongozi wa vipofu mkiambiwa mfumo mzima wa katoliki uko chini ya freemason mnakataa na Bado mtasikia mengi
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 7 ай бұрын
​@@LodvolaLameck-jl5vswe ngombe kweli hao freemason madhebu mnaiga Kwa Kanisa KATOLIKI
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 7 ай бұрын
Kanisa KATOLIKI la YESU KRISTO mwenyewe kaanzisha nyiye chongeni ila Kanisa ni Moja Takatifu KATOLIKI la mitume
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 7 ай бұрын
@@audifansisafari5587 Mimi ng'ombe wewe mtu lakini iko siku utaelewa jamaa yangu Mungu akupe kuona sawasawa, umewahi kujiuliza kwa nini kauli ya papa kuhusu ndoa za jinsi moja ni sawa na Ile ya Serikali ya Marekani? But Bado mnamwita baba mtakatifu!!!!!!!!! "Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia yoyote maana haiji usipokuja kwanza ule ukengeufu akafunuliwa yule mtu wa kuasi mwana wa uharibifu" (2Thesalonike 2:3)
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 7 ай бұрын
Isaya 1:18-20
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 7 ай бұрын
Hapo nimekuelewa na umefanya vizuri sana kutoa ufafanuzi, maana watu wengi tulikuwa tumeelewa tofauti kabisa ukweli halisi wa hoja ya msingi.
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 7 ай бұрын
Kanisa catholic linahitaji marekebisho mengi mana lilivamiwa na adui tangu karne nyingi
@EvandaSalumu
@EvandaSalumu 7 ай бұрын
Mm nahama katoliki kumbe hili kanisa ni lakishetan ivi bora uislam tu
@deonjawike4881
@deonjawike4881 7 ай бұрын
Mpinga kristo ni rc ,unabii unatimia😢😢😢
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 7 ай бұрын
Ukweli kabisa
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 7 ай бұрын
Ukweli kabisa
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 7 ай бұрын
Una shida wewe
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 7 ай бұрын
HAWA WANAONGOZA UPUMBAVU YAO WENYEWE NA MBINGU NI BABA YAO 😈🔥 SHETANI, JE NAULIZA SWALI UKO KAMA YESU MAANA UKIMTAZAMA MWANAMKE USHAZINI NAE,ARE VERGENNE LIKE HIM, NI JIBU HIYO SWALI.
@johansenerasto5890
@johansenerasto5890 7 ай бұрын
Unampinga bos wako?
@WilirkMushy-tk8gw
@WilirkMushy-tk8gw 4 ай бұрын
😢😢😢 hiii ni siasa mpya. siasa ya zambi
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 7 ай бұрын
SWALI MUHIMU....KWA NINI MAPAPA WOTE WALIOPITA HAWAKUWABARIKI MASHOGA!
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 7 ай бұрын
Huu Ni walaka ambao kanisa uenda lilishindikizwa na hao mabeberu hivyo Ni Papa yupi angeingia Kwenye historia ya hili Jambo? Utakumbuka Papa Benedict 16 aling'atuka sababu afya yake, aliyemfuata naye sababu sintofahamu. Yote na yote ukitumia akili utaona dini haiambatani na haya ila Kuna mgandamizo mkubwa kutoka kwa mashetani waliopenya kanisani ambao wana nguvu kubwa mno
@BenjaminMalando
@BenjaminMalando 7 ай бұрын
Mmmh ni Tamko la kiongozi wa wakatoriki 😅😅 kazi kwenu
@user-cm8jx5qf3w
@user-cm8jx5qf3w 3 ай бұрын
Wewe ni mjinga na ndyo mana mme chelewa kupata Elimu
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 7 ай бұрын
Hinasikitisha mnalitia haibu kanisa
@aloycembogo
@aloycembogo 5 ай бұрын
Mshajifia nyote okokeni..ukipinga utafukuzea ni lazima utetee tu...yesu awape macho..Hosea4...6
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 7 ай бұрын
Ninachojua mimi baraka za Mungu hazitoki wa maaskofu au papa au padri kwan wenyewe ni wachafu kuliko hata mtu wa kawaida.sasa niambi padri mlawiti kama kimaro wa kipindi kile atakupa baraka gani.?Baraka za Mungu zinaambatana wa watumikiao Mungu kwa uaminifu hazitoki mifukoni mwa padri.ni vizuri kila mtu ajikane mwenyewe kwenye safari ya kuelekea mbinguni kama Yesu alivyosema,kila mtu ajitwike msalaba wake na sio kusikiliza fikra binafsi za maaskofu na mapapa.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 7 ай бұрын
Wewe huwapi watoto wako baraka? Je yakobu alipewa Nini na baba yake? Je hupewa baraka za esau kwa shinikizo la mamae soma bibilia uielewe vizuri 😁😁😁
@majaysjrmtitu5300
@majaysjrmtitu5300 7 ай бұрын
Hapo bado kuna kazi nzito. Kanisa na ushoga wapi na wapi?. Nikama kujaribu kuchanganya maji na mafuta.
@bestman8182
@bestman8182 7 ай бұрын
Viongozi wengi wa dini dhehebu la Catholic kwasasa wana changamoto ya kimaadili. Umadhubuti wa kusimamia maadili na staha. Usimamiaji wa maadili umebaki kwa kiongozi mmoja mmoja, parokia moja inatofautiana na nyingine. Mfano hapa nipo st. Joseph mida hii. Naona anaingia mwanamke wa kizungu akiwa ameambatana na mwanaume wa kiafrika ambaye amesuka nywele kama mwanamke vile. Hakuna anayejali, lkn "couple" hii ikienda parokia zingine hususan kule Moshi hawataruhusiwa kuingia hata getini
@josephkaveya4284
@josephkaveya4284 7 ай бұрын
Ni baba mtakatifu huyo?
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 4 ай бұрын
Africa tuwe na uwongozi wetu na dini zetu hawa jamaa yoka nje wanatulea maada sio
@davidmembedalamethepsalmis2885
@davidmembedalamethepsalmis2885 7 ай бұрын
Baba Mtakatifu mnamjuwa
@EvandaSalumu
@EvandaSalumu 7 ай бұрын
Anajua nini yaani ujinga tu uwo
@Sostere98
@Sostere98 7 ай бұрын
Kimsingi dhambi zipo nying duniani tena zngne kubwa kama mauaji, ushoga n.k. Lakin mtu akija kwa padre personally anaomba baraka, padre atambariki yeye kwasababu ni binadamu na amehitaji baraka ya kimungu, kwahyo kinachobarkiwa ni mtu na sio dhambi zake. Na kupitia baraka hyo ya kimungu huwenda huyo mtu akaacha njia zake mbaya na kumcha Mungu. Lakini walaka wa Papa umeeleza ya kwamba watakapokuja watu wawili mshoga wanawake au wanaume wakiomba baraka katika ushoga wao n jambo ambalo halikubaliki na sacramenti hyo haipo katka kanisa katoliki. Walaka upo kichungaji zaidi watu wausome kwa makin sana. Chakushangaza hizo tafsiri potofu znaenea lakn hamjawah shuhudia mashoga wakifunga ndoa katka kanisa katoliki, lakn mnasema limeruhusu!!!!!. Soma na utafakari kwa makin walaka wa Papa(Primary source)
@lydiawilliam
@lydiawilliam 6 ай бұрын
Acha kumtetea kimsingi nyie ni wapagani tangu siku nyingi,tangu ulivyowafanya wenzenu wasioe au wasiolewe,mkawaweka kwenye makambi jinsia Moja muda wote Hawa Huwa wanafanya Nini tafakari. Mtumishi😂
@Sostere98
@Sostere98 6 ай бұрын
@@lydiawilliam Kweny Biblia imeandikwa kwamba, kama jicho lako litakufanya ukosee ling'oe, na kama ni mkono basi ukate. Ni heri kwenda mbinguni ukiwa kilema. Sas Mapadre kuoa na Masister kuolewa ilionekana kuwa n jambo ambalo litawafanya wasiwe na concentration kubwa kwenye utumishi wao na ufanisi utapungua na kanisa litashindwa kuwa strong. Wakarejea maandiko na kuona kwamba kama kitu ktakufanya kuwa na ufanisi mdogo katika utumishi wako bas unaweza kuachana nacho.
@lydiawilliam
@lydiawilliam 6 ай бұрын
@@Sostere98 huo ufanisi unaousema ndio haupo mtumishi sana sana mnawatendesha dhambi na wao wanafanya Kwa ajiri ya shida tu
@Sostere98
@Sostere98 6 ай бұрын
@@lydiawilliam Kama wapo wanaoenda tofauti basi wanatenda dhambi kwani wanaenda tofauti na taratibu za kanisa. Na wanapoingia katika huo utumishi wanakua wanajua utaratibu huo. Pia kingine sis binadamu ni wakosefu kwahyo si ajabu mtumishi wa Mungu akaenda tofauti na utumishi wake, n kama sisi tu binadamu wa kawaida tunavoenda tofauti na matakwa ya Mungu sometimes. Pia imani ya mtu au watu fulani si vyema kuijaji kupitia mtu au watu n vyema ukaijaji kupitia wanachokiamin Kwan mtu au watu huweza kwenda tofauti na msingi wa imani yao
@deejayvlctz
@deejayvlctz 7 ай бұрын
Anaebariki ni Mungu.😢
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 7 ай бұрын
KWELI NI MUNGU AMEN
@user-jk1tw1fh5q
@user-jk1tw1fh5q 3 ай бұрын
toka hapo
@soiyoikileli8748
@soiyoikileli8748 7 ай бұрын
Ilitakiwa tu viongozi wa Dini mseme tumegoma katika Hili mcha Mungu Yuko wap😢
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 7 ай бұрын
Mnavunga na huyu papa alishasema ulawiti si dhambi😮
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa 7 ай бұрын
Katoliki atika hili msipo simama kwisha habali
@Nkonyololuchana
@Nkonyololuchana 7 ай бұрын
Nyinyi viongozi wetu mmekuwa wanafiki tu
@athumansaid796
@athumansaid796 7 ай бұрын
Kwa ww nimekuelewa saaana Ila kwa mkubwa wako kaanyosha maelezo mazuli kuhusu ilooo.
@TwahaMdoe-jh9uh
@TwahaMdoe-jh9uh 7 ай бұрын
Namshukuru mungu kuzaliwa nikiwa kwenye uislam
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 7 ай бұрын
Rafiki yangu unafurahi kuwa kwenye moto nabii wa mwisho YESU Muhammad mlimtoa wapi pia uarabuni ndiyo kwenye michezo hiyo Zanzibar ndiyo hivyo hivyo
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 7 ай бұрын
Achini kujisifuni na dini zenu jisifieni IMANI zenu,dini zinawspeleka wapi, IMANI na MATENDO yenu ndo vitawaokoa,mkifa mtaacha miskiti na makanisa, angalie wenzenu kule gaza wameiva kwa IMANI na MATENDO wote Islamic na christian jifunze kwao,na huu ushwetwani uko kwenye dini zote ila wanajifichaficha, Anglican wapuuzi wale waliweka wazi bila ya aibu kulikuwa na mchungaji shoga tafuteni kwenye mitandao mtae lewa vizuri, inusuru nafsi yangu ee yarab
@user-wd4eo5lu2c
@user-wd4eo5lu2c 7 ай бұрын
Huyo papa siyo mtakatifu itakatifu gani WA kipagani namna hiyo ya ushoga?
@hamishasan7737
@hamishasan7737 7 ай бұрын
Kwani una mamlaka gani ya kubariki?
@ChristinaMkyobwe
@ChristinaMkyobwe 7 ай бұрын
Baba mtakatifu tena jamani😢😢😢😢
@SylvesterMbonimpaye-oc9yi
@SylvesterMbonimpaye-oc9yi 7 ай бұрын
Kwa kweli wakati umefka tuwa na uongoz wa kanisa katoliki usiokuwa na uhusiano na Vatican kwa sababu saiv wazungu wanataka kuendana na wakati na sio maandiko tena. Kubariki watu wa jinsia moja ni sawa na kuwafariji waendelee na tabia hiyo na kujiona kuwa wamepiga hatua kuelekea kwenye kuhalalisha ndoa ya jinsia moja . In discourage sana katka iman coz kanisa lilikuwa na msimamo imara lakn sasa !!!
@issamnada8210
@issamnada8210 7 ай бұрын
Kiongozi wa kanisa duniani anatetea ushoga
@davidmembedalamethepsalmis2885
@davidmembedalamethepsalmis2885 7 ай бұрын
Kumbe papa ndiyo baba Mtakatifu Raman roman Catholic mmelogwa na nani?
@abdonvenedeus4860
@abdonvenedeus4860 7 ай бұрын
acha siasa nyingi ushoga ni haukubariki tu
@elizabertnyamubi6477
@elizabertnyamubi6477 7 ай бұрын
kabisa
@user-lq7kv7sx3t
@user-lq7kv7sx3t 7 ай бұрын
Ww pamba uovu lakin haki inatambulikana hilo jambo halifai kabisa
@LawrenceGingo
@LawrenceGingo 7 ай бұрын
mataka kutuaminisha wislam ndodin hali yamwenyez mungu
@willygwaikana
@willygwaikana 7 ай бұрын
Hakuna dini duniani hata ingekuwa ya shetani kiasi gani ambayo haina mazuri ya kujifichia. Uislamu umetengua Amri zote 10 za Mungu na kuweka Nguzo 5 ambazo hazijawahi kuwepo kwa manabii wa kale. Sheria nyingi zao ni upinzani wa dhahiri dhidi ya Yesu. Hata dini ya wahindu au Atheists au za wachina na wajapani au zingine zote za wapagani hazikubaliani na ushoga. Si ajabu kuona jambazi anatoa msaada hospitali au kwa wazazi wake.
@hassankimaro3633
@hassankimaro3633 7 ай бұрын
Tatizo kanisa katoliki linaungana na dunia kuwatambua mashiga na kidogo kidogo ipo siku kanisa litaruhusu na ndoa kabisa tusubirini ipo siku tamko la kuoa pope atatoa 😢
@elizabertnyamubi6477
@elizabertnyamubi6477 7 ай бұрын
kabisaa
@user-pl5ny9mc2g
@user-pl5ny9mc2g 7 ай бұрын
Acha kutafsiri maatamko ya baba yenu
@lynhwilbardruckachale4205
@lynhwilbardruckachale4205 7 ай бұрын
Ukisikiliza Vizuri Maneno haya aliyotamka Papa Inaonyesha Wazi Anasaport Ushoga MUNGU Tu Anisamehe, Lkn kwa hakili zangu Ndogo Naona hivyo, Yaan kama ndo Ilivyo " BASI MUNGU AJE AUTWAE TU ULIMWENGU WAKE INATOSHA SASA",.
@user-su9fg7dp8k
@user-su9fg7dp8k 7 ай бұрын
Tena ufanye Toba ya kweli.
@shijamasanja
@shijamasanja 6 ай бұрын
Anakosea kuruhusu ushoga kwani biblia inakataza someni mambo walawi 20:13
@elimikasasa643
@elimikasasa643 7 ай бұрын
Hii kitu haikubaliki jamani! Ushoga haukubaliki Afrika
@kinemorwangisho2168
@kinemorwangisho2168 7 ай бұрын
Acha kuuma maneno toka hadhalani SEMA hatutaki ushoga kanisani sio tawabariki mara sio kwa malengo ya ushoga dunia iko mwisho sana
@westonkatiti9120
@westonkatiti9120 7 ай бұрын
Hakuna baba mtakatifu duniani tubu haraka
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 7 ай бұрын
MNAJIDANGANYA,,,,, SOMA ZAB 11:3 "MISINGI IKIHARIBIKA MWENYEHAKI ATAFANYA NINI......JIBU HILI HAPA 1KOR6:17TOKENI KATI YAO MKATENGWE NAO..... ROMA NI IMANI YA MASANAMU YAANI SHETANI FULU FULU, HAKUNA MUNGU ROMAN MNAJIFARIJI TUU...TOKENI HUMO....
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 7 ай бұрын
Tuende wapi
@ramadhanhassan3884
@ramadhanhassan3884 7 ай бұрын
Mtaliwa kweli?
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 7 ай бұрын
Baba ulivyolijibia tunakuelewa. Swala hili siyo kama ulivyojibia u kweli usiyopingia haliko hivyo. Kwa kuwa mimi na wewe ndiyo wahanga liache hivyo hivyo. Papa alikuwa amelenga ndoa za jinsia moja u kweli usiyopingika. Kwa wazungu huko viwanda vya kutengeneza madawa ya Kumtengeneza shoga vimejaa wamewatengeneza weeee mpaka wamekuwa wengi sasa wamekuambia wewe baba ukabariki sanamu tu walizoharibu hawana ufahamu wowote hawa baba.mimi nafikiri wakatibiwe labda watapona ni kifo cha kiroho maana hana uwezo wakufikiri kutubu Ee Mungu wangu tumekwisha. Mtu akiambiwa hapa panapesa yuko tayari kwa lolote lile papa angesisitiza viwanda vya madawa ya kuwa shoga vichomwe moto na sisi huku visiingie kwenye manchi yetu. Sijui huyu papa anaruhusu ya nini? Badala ya kuzuia. uharibifu mara achanganye uwislamu na u kristu ye ye atulie na msimamo wa kanisa katoliki wao watakuja na kufuata utaratibu wake hakuna kulekebisha biblia
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 7 ай бұрын
Ndugu yangu umeelewa vizuri Cha muhimu chunga xn IMANI yako
@lynhwilbardruckachale4205
@lynhwilbardruckachale4205 7 ай бұрын
HAKUNA NA HAITATOKEA MUNGU KUBARIKI UPUMBAVU NA USHETANI KAMA HUU, YAANI SIJUI NANI ATAIONA MBINGU 😭😭😭😭😭😭 E MWENYEZI MUNGU TUNAOMBA UTUNUSURU BABA 🙏🙏🙏😭, DAAH,. 😡😡😡😡😡😡
@mohamedkulaga8131
@mohamedkulaga8131 5 ай бұрын
Maelezo ya ufafanuzi wako unatia nguvu kukuamini ,Lakini watu wale wagumu kukuelewa utawasaidiaje ? Vipi kuhusu mamlaka ya juu kabisa kuaminiwa au tuseme kuwa ndiyoumeisemea ?
@habibuluyangi2702
@habibuluyangi2702 7 ай бұрын
Unaposema wakiomba baraka huku hufahamu utabariki askofu hajanyoosha maelezo angesema mashoga hapana kwa namna yoyote ile hakubariani,
@johnmzuma9631
@johnmzuma9631 7 ай бұрын
Je mliandia barua Vatican kuhusu wazo lenu mkakaliwa Tena lisingefika kwa waumini ndio utaratibu
@f.a6043
@f.a6043 6 ай бұрын
Mnafafanua kitu gani muache huyo papa aseme mwenyewe sio kujidai mnatoa ufafanuzi nyinyi kwa huyo papa hana mdomo wa kujisemea yy mwenyewe nyinyi mtakua ni kiherehere tu nyamazeni huyopapa aseme asituletee ushetani baraka za nn kwa hao watu
@user-hl8je8wf7y
@user-hl8je8wf7y 7 ай бұрын
Nina wasiwasi na huyu askofu anapalilia maneno ya papa
@elizabertnyamubi6477
@elizabertnyamubi6477 7 ай бұрын
Hapalilii anavunga na kujaribu kupindishapindisha tuu ukweri karuhusu ushoga iko wazi,na ipo siku papa huyuhyu ataruhusu waziwazi ili wajione wanafiki tu
@user-uv3oq1tv9z
@user-uv3oq1tv9z 7 ай бұрын
Ww umechoka huna jipya
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa 7 ай бұрын
Fafanua vizuri usiume maneno msichafue kanisa msimunge nkono huyo mwana halam tunasema mwana halam kwasababu anabaliki usodoma nagomola inatisha kichefuchefu inatapisha hatakusikiliza kanisa mama kukengeuka
@ntegrity277
@ntegrity277 7 ай бұрын
Yaani mashoga wakiomba baraka ya kuishi vizuri wanabarikiwa au mashoga wanaomba baraka wapate kazi au nyumba zao au mali zao wanabarikiwa
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 7 ай бұрын
Kwanini MUNGU hakuwapa hiyo baraka kipindi cha luthu na kuangamiza sodoma na gomora jameni papa ni nina yeye?,
@RehemaSalamba
@RehemaSalamba Ай бұрын
Walishaga oana jinsia moja toķa zamani nimwana mume gani asieoa eti padri au papa wote mashoga tu unaona sasa leo papa anavyosema😂
@AlexJustine-jj7rh
@AlexJustine-jj7rh 7 ай бұрын
Kweli hiz ninyakati za mwisho
@mwanakitimbaraka2574
@mwanakitimbaraka2574 7 ай бұрын
Toeni tamko rasmi km la Bandari mlivyopinga na mpinge na hili
@robertnjeru6539
@robertnjeru6539 7 ай бұрын
Wacha kuweka maneno kwa mdomo ya Pope. Yeye alisema wazi mashoga wambalikiwe ndoa zao. Huyu papa si mtakatifu tena. Yeye ni mpinga kristo kwa sababu anapinga mafundisho ya kristo kuhusu ndoa takatifu.
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 7 ай бұрын
Mkristo ni nani?Biblically who is a Christian? Matendo 2:47b
@user-zd3ov1jx4o
@user-zd3ov1jx4o 7 ай бұрын
usipindishe alichosema mkuu wako mmeruhusu ushoga!
@elizabertnyamubi6477
@elizabertnyamubi6477 7 ай бұрын
iko wazi wanawadanganya wajinga,werevu wamejua na ni kwamba litatamkwa wazi mda si mrefu,harafu wajione walivyo wanafiki
@benjaminshayo32
@benjaminshayo32 6 ай бұрын
Hakuna issue hapo...haya mambo bhna tukishaanza kucompromise ndo tunaanza kuliruhusu taratibu...nlitegemea papa angekataa njeeeee....waaaaziii kabisa kwamba this issue haitakiwi kabisa....lakn alkuja na matamko ya kuonyesha kama linafaa vilee🤔🤔, sasa kama kiongozi wa kanisa kama huyo akishaanza kuleta comprimises za kiivo yaani hapo moja kwa moja tumepigwa.... Mm binafs nmeokoka...kama nngekuwa niko catholic nngehama kwakuwa cwezi ongozwa na mtu ambaye mtazamo wake uko hiv....kwamaana sheria ya kimbingu ni utii...sasa kama tamko kama hili limetoka kwa kiongozi mkuu...na ni kiongozi wa watu wa kiroho, inamaana najiungmanisha nae kuwa niko chini yake na imenipasa kutii...sasa cwezi kutii hii kitu....kibiblia c ndoa kwanza, ni uchafu🔨🔨🔨
@geofreymtasingwa742
@geofreymtasingwa742 7 ай бұрын
Uwabaliki wanao wauzi
@Ms-TV-247
@Ms-TV-247 7 ай бұрын
Kwera kabisa ..pia Wewe unafinywa 😂😂
@issamnada8210
@issamnada8210 7 ай бұрын
Jamani tuwe wakwe embu fikiria mjadala wa sodoma na gomora umeingia kwenye dini
@mtokambali1
@mtokambali1 7 ай бұрын
Anapindisha maelezo papa amefeli
@rogatiusscarion726
@rogatiusscarion726 7 ай бұрын
Anazunguka tu
@ntegrity277
@ntegrity277 7 ай бұрын
Mbona mnauma uma maneno baraka ya nini
@user-gn8my7pw4v
@user-gn8my7pw4v 7 ай бұрын
Umeeleza vema kunawatu wananjaa wanatafta waumin wameona wazushe skendo😂😂😂😂mungu awasameh hamjui mtendalo
@user-qh7ix2fy5z
@user-qh7ix2fy5z 6 ай бұрын
0:25 0:27
@PatriciaNduku-lj9pn
@PatriciaNduku-lj9pn 7 ай бұрын
Huwezi enda kinyume na Papa aliyekuchagua kuwa askofu.kumbalini tu katoliki imekubali ushoga
@elizabertnyamubi6477
@elizabertnyamubi6477 7 ай бұрын
kabisa anapindishapindisha tu kudanganya watu ila katoliki imekubali ushoga ukweli ulio wazi,na mda si mrefu huyuhyu papa ataweka wazi maandiko yatimie na huyu ndiyempinga kristo!
@masudimanueri3733
@masudimanueri3733 6 ай бұрын
Huyu asikofu naye mwongo nitafafanua ni mwongo kivipi? Maana amesema kuwa mtu amekuja kwake mufano ni kahaba anaomba baraka ili afanye vizuri kazi ya ukahaba je? Nihalari kumbariki?
@abbiecox1
@abbiecox1 6 ай бұрын
Mmhh
@lynhwilbardruckachale4205
@lynhwilbardruckachale4205 7 ай бұрын
Mimi nadhan Papa asimame atoe Tamko Kwamba USHOGA HAURUHUSIWI NA NI DHAMBI MBELE ZA MWENYEZI MUNGU BASI, Na si Kuzungukazunguka, Aisee Inatia hadi Hasira 😡😡
@user-uv3oq1tv9z
@user-uv3oq1tv9z 7 ай бұрын
Kila mtu ajitadhimini mwenyewe hapo hakuna chamaana
TOP 12 SHULE ZA KANISA KATOLIKI ZILIZOFANYA VIZURI MATOKEO YA FROM 6 2024
8:11
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 9 М.
MAHUBIRI YA KARDINALI RUGAMBWA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUVALISHWA PALLIUM,ANENA HAYA..
10:45
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 20 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 13 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,8 МЛН
Police surround Jimi Wanjigi’s Muthaiga home
7:31
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 83 М.
MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA
14:14
ASKOFU KINYAIYA ATANGAZA NEEMA MKOMBOZI BENKI,WANAHISA KUANZA KUPATA MAMILIONI
6:25
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 1,2 М.
TAFAKARI YA SIKU YA ALHAMIS JUMA LA 17 MWAKA B WA KANISA 08/08/24
10:14
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 154
MANENO MAZITO YA BALOZI WA PAPA AKIMVIKA PALLIA TAKATIFU KARDINALI RUGAMBWA
6:55
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 720
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 20 МЛН