No video

Kujiunga na jeshi Jeshi la Marekani | Taratibu na faida zake

  Рет қаралды 17,957

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Kuna faida gani ya kujiunga na jeshi la Marekani? Ni hatua zipi na sifa zipi inabidi uwe nazo uwweze kujiunga?
#marekani #ebmswahili #ebmscholars

Пікірлер: 60
@egmegm6202
@egmegm6202 Жыл бұрын
Dah ahsante sana kaka yetu kwa ujumbe walio na vigezo wachangamkie fursa iyo me napenda jeshi ila kaelimu kadogo ila napenda sana
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 2 жыл бұрын
Nakupata Brother EBM nafatilia vyema kutoka Dar Es Salaam Now time nipo kazini I'm Bajaj Driver... Thank you...
@daimavlog
@daimavlog Жыл бұрын
Mungu akupuganie ndugu.
@mustafamtupa9061
@mustafamtupa9061 2 жыл бұрын
Kuna kipindi ulisema wasiokuwa na High School kuna mtihani maalumu wanaufanya, hii imekaaje ndugu..?
@halisimediatz
@halisimediatz 2 жыл бұрын
Ahsante EBM Swahili Kwa Elimu ✊
@barakalameck7163
@barakalameck7163 2 жыл бұрын
Asante. Je ulikaa jeshini kwa muda gani? Na je unaweza kustafu muda wowote ukihitaji?
@shalomsimon6953
@shalomsimon6953 Ай бұрын
God Bless America
@isaacomogo9872
@isaacomogo9872 2 жыл бұрын
Good 👍 advice brother
@user-wc2tx7uj3u
@user-wc2tx7uj3u 5 ай бұрын
Maisha marefu brother Mungu na Akubariki
@thisandthat1523
@thisandthat1523 Жыл бұрын
Nyinyi waTz mna ndoto ndogo sana maishani. Kuingia US army ni kitu ya mtoto wa miaka 17-20 akimaliza high school hata akifeli mtihani. Watu waafrica wamesoma shahada za nguvu na nyinyi ni kuota ndoto za kiushenji tu. Hasara tupu nyinyi mtabaki kuwa mkia kwa East Africa..
@alawifarahani4788
@alawifarahani4788 Жыл бұрын
Hilo ndilo pekee uliloliona?
@stanleyjohn2929
@stanleyjohn2929 9 ай бұрын
Na uyo mbona ajawa mkia
@eaglemaris327
@eaglemaris327 2 жыл бұрын
Nina miaka 22 sasa ninasomea cyber security and digital foreinsic engineering Tanxania udom natamani kuishi marekani kwa maisha yangu yote kaka EBM naomba unisaidia kwenye hili natamani niingie kwa njia ya jeshi
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 2 жыл бұрын
Acha kusasilit taifa lako ww hv kweli unasubutu kusema nataka kuishi malekan kwa maisha yanga yoteeee pumbavu sana ww tena ww sio mzalendo Yan unasoma kwa Kodi zetu alf utumikie taifa lengine
@ernestlaiza1176
@ernestlaiza1176 Жыл бұрын
@@miltonmachage2462 fala were anasomaa Kwa ela ya mama yako
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 Жыл бұрын
@@miltonmachage2462 sasa kama nchi yake haijampatia nafasi ya kulitumikia katika jeshi afanye nini?!
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 Жыл бұрын
Saf kijn elimu yako ni nzuri sana..nakuombea utimize ndoto zako..maisha popote,usidanganywe na kivuli cha uzalendo utakufa masikini😂
@Laizer3
@Laizer3 Ай бұрын
JESHI GANI HIYO HADI USHOGA INAFANYIKA 😂😂NA IMERUHUSIWA .
@user-ih9xy5vd5d
@user-ih9xy5vd5d 7 ай бұрын
Muongo, the reason watu hujiunga na majeshi ya marekani au any western military ni kutafuta status ya ukaazi, yes at some point unatakiwa kuwa na status, but possibly hata mwanafunzi you might be able ku switch na kujiunga na Jeshi and eventual kupata status ya mda mrefu
@MUNAHSHWAI
@MUNAHSHWAI 2 жыл бұрын
Jeshi la U.S A raha sana
@mlindemabrouk8699
@mlindemabrouk8699 Жыл бұрын
Kwiyo ukiwa Na certificate ya Coz example account je unakubalika?
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 жыл бұрын
Hahahaha Maisha ya Africa ni depo tosha😆
@T-puaBoy
@T-puaBoy Ай бұрын
Unaweza kunisaidia kuhusu kujiunga na IDF
@coldhart24
@coldhart24 Жыл бұрын
Kaka @EBM je mtu wa diploma anaweza kwenda jeshi la Marekani ???😊
@ernestk3549
@ernestk3549 2 жыл бұрын
Sio kwamba unajiunga tuu inabidi first kufanya mitihani yawo ✊
@jafari001music6
@jafari001music6 Жыл бұрын
🙏
@michaelkasogela7219
@michaelkasogela7219 Жыл бұрын
Kwl kabisaa maisha ya africa ni jeshin kamil hahahahahaha
@remyntiranyibagira1432
@remyntiranyibagira1432 Жыл бұрын
Sasa nambie mbona nasikia eti ukipokea mushala auluhusu kutumana pesa kwenu kumazilikio ata ukituma eti kuna hela fulani auezi kuzidisha tupe ukweli kwaico kitu
@haysam6317
@haysam6317 Жыл бұрын
😂😂EBM 11:36 maisha ya africa ni boot camp toshaaa
@emmanuelkamenya4004
@emmanuelkamenya4004 Жыл бұрын
Hahaaaa maisha ya Africa ni depo tosha dah!
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 Жыл бұрын
Jiunge mkuu uende Afghanistan 🇦🇫
@husenihuseni5246
@husenihuseni5246 Жыл бұрын
Je kujiunga ni bure au inakuje
@oxwad3836
@oxwad3836 2 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿 . 🇹🇿
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 жыл бұрын
Kujiunga na jeshi la US ni kupoteza muda. Unaweza kufanya kila kitu na zaidi bila kwenda huko jeshini. Wengi wameenda jeshini na sasa wapo mtaani wanapambana na hali zao huku maisha yamewachapa. EBM makes informative videos ila kuna kipindi anaiabudu sana US kupita kiasi.
@mbuvamedia195
@mbuvamedia195 2 жыл бұрын
Umarekani ushamuingia huyu
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 жыл бұрын
@@Arnolvel Sahihi kwa lipi? Nini ambacho vet anafanya ambacho mtu mwingine hawezi? Kazini kwangu vets kibao wapo chini yangu wapo wapo tu hadi nawaonea huruma walienda kupoteza muda wao tu huko jeshini.
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 жыл бұрын
@@mbuvamedia195 Kabisa. Jamaa anaiabudu sana US. Anafanya watu waamini hakuna maisha zaidi ya US.
@ellymia5555
@ellymia5555 2 жыл бұрын
vip wewe upo us?
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 жыл бұрын
​@@ellymia5555 Ndiyo.
@ruhumurizarobert990
@ruhumurizarobert990 Жыл бұрын
Ukitaka kusomea ujasusi ama intelligency unasoma course gani?,ninge penda kufanya kazi n'a Nasa, ama CIA, FBI etc...,
@olaycereuben419
@olaycereuben419 Жыл бұрын
Sasa kwanini veterans wanaishia kutumia madawa na suicide kama kuna mambo mengi kama haya
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Hujasikia memory kwenye miti hakuna wajenzi?
@valentinoraymond7659
@valentinoraymond7659 2 жыл бұрын
mwamba wewe ni tajiri aisee umetoboa
@zawadix9574
@zawadix9574 2 жыл бұрын
Wewe ni opportunist sana mpaka una ingia jeshi LA USA sio mzalendo kabisa!!!!!
@klaussteiner94
@klaussteiner94 2 жыл бұрын
😳😳
@veraisaria
@veraisaria 2 жыл бұрын
Kwani Kuna mtu duniani sio opportunisty?bro ebm eh! Endelea kusaidia watu wako sio lazima tujazane humu
@klaussteiner94
@klaussteiner94 2 жыл бұрын
@@veraisaria imma eeeh 👍
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 2 жыл бұрын
Ww nmuzarendo
@ayoubabdullrahaman6120
@ayoubabdullrahaman6120 2 жыл бұрын
Zawadi×'...wewe baki na kauli hiyo,hiyo ya kufanya watu mabwege eti uzalendo pumbav sn ..wenzio wanyoosha mambo yao wenye nchi🤣
Kujiunga na Jeshi la Marekani (Sehemu ya 2)
18:02
EBM SWAHILI
Рет қаралды 6 М.
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 20 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 30 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
Jinsi ya kupata fursa ya kufundisha Kiswahili Marekani
3:30
Durusu Kiswahili
Рет қаралды 449
Kazi za Usiku wa Manane Marekani, Canada na Ulaya
9:59
EBM SWAHILI
Рет қаралды 3 М.
Safari yangu kuja USA na kuishi miaka 15 (Njia niliyotumia)
15:34
Mtanzania Daktari Bingwa USA 🇺🇸 aliyesoma Harvard University
12:55
Kujiunga na Jeshi la Marekani (Sehemu ya 3)
17:09
EBM SWAHILI
Рет қаралды 3,6 М.
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 20 МЛН