Naibu waziri mwana fa kaa Na konki master atakuwa anakupa ushauri mzuri sana jamaa anajua mambo mengi sana
@evancemichael5489Ай бұрын
Dudubaya ana upeo mkubwa Sana, tofauti na watu wanavyomchukulia.
@yudanziku6030Ай бұрын
Sana kabisa
@Kobe_254Ай бұрын
From WASHINGTON... Dudubaya interview zake ni za hekima na huwa anasema ukweli saaana sana!! Anachokisema kuhusu Mange ni ukweli mtupu, ata Kenya hajulikani au ng'ambo HAJULIKANI kamwe... Maisha ni mafupi ila kuna watu watang'aa wakiondoka ulimwenguni.. ndio talanta ya kuimba ilikua kidogo lakini ako na wisdom kubwa sana huyu jama!!! He's a GENIOUS
@chiefndatu1895Ай бұрын
Ilibid awe basata huyu!
@user-qh9cy9lu4h2 ай бұрын
🎉dudu unaongea ukwel serikali ingekupereka wizara ya sanaa ukasemea wasanii ikuangalie serikali kwa jicho ra tatu kunawaliosoma ila hawana kitu ulichonacho konk
@issaramadhaniathumanАй бұрын
Dudu chafu imekubali kirahisi Sana kichwa inafanya kazi huyu kakosa sapoti anafaa kuwa mwanasiasa %95
@mzeemombasa.3456Ай бұрын
Huyu ni mwanasiasa sijui anapoteza mda Kwa nini kwenye usanii.
@obviousmphande86213 күн бұрын
Huyu koki namuelewa sana ,ni watu wachache wa namnahii .Anaupeo mkubwa sana .maana ushahidi wa maneno yake pia anawo Gonga like tumuunge mkono.
Nimemfuatilia sana Dudu Baya. Jamaa anajua mambo mengi sana anafaa kuwa mchambuzi wa kiasiasa na anafaa kuwa Kiongozi kabisa. Akipewa platform anaweza acha alama.
@humphreychristopher8577Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza namuelewa DUDU BAYA NA NAMPIGIA SALUTE. Hii ni observation na uelewana mpana sana kwenye tasnia ya sanaa ya muziki.
@abdallahhamisiiddi451313 күн бұрын
Dudubaya nimagufuli lakini hatujuwi tu.jamaa yupo vizuri sana .na tutamsifu akisha kufa kama ilivyo desturiyetu
@suzanarupia648420 күн бұрын
Kweli Dudu baya nakuunga mkono mbezi ya kamala kwa msumi heneo lote hakuna maji tuna nunua tu huu mwaka wa7 na wameweka mabomba njiani Yana Pata kutu.jaman jamani na codi tunatozwa.
@charlesmbori88Ай бұрын
Yaani napenda jinsi DUDU huwa na information,,, kajua hapa kwetu Kenya kuwa prezzo ametokea familia tajiri...We like u so much konki 🇰🇪
@BobErick-er6qmАй бұрын
From Nairobi Kenya God give u more strength dudu baya uko na elimu bora
@EliahKayomboАй бұрын
Wabongo flavor legend wakikuwa wanaspend sana life bila kuwekeza
@kennethmhaiki8957Ай бұрын
Konki master ana akili sana huyu mtu, sikumdhani kabisa
@lazarolaurent8800Ай бұрын
Dudubaya mimi siwezi kuona interview yako na kuiskip lazima niitazame na kuiskikiliza kwa makini. Nimecheka sana eti wasanii wanafunika kwenye show lakini mfukoni wanafunikwa 😂😂😂😂😂
@aminkasim77312 ай бұрын
Dudu baya Kila interview lzma ataje Mungu,,,big up brother
@henribwema2778Ай бұрын
Kumbe Dudu baya una akili hivi! Nakupata ni kiwa DRCongo.
@kitovasaidi6753Ай бұрын
Kaka una madini sana unajua kupambanua ishu wachache sana Wana uwezo wa kufikiri kihivyo hasa hawa wasanii wetu.
@Dysmedia2543 ай бұрын
Huyu manzee anafaa apewe ulinzi sanaa na akifa ajengewe sanamu. Salut sana kaka konki konki konki master. Much love from Kenya 🇰🇪
Jamaa umetisha sana na pia kama ni kutangaza unaweza kaka na mimi naomba ufanye vipindi hivi hivi vya burudani.
@husseinjosephitocho675427 күн бұрын
we mwandishi mwongo uko kwenye mapagare beach ya silver send wanakaa watu waliokwama kwa hiyo dudu baya konki master ajanunua ilo eneo acha kutudanganya
@godsson5954Ай бұрын
huyu dudubaya alipaswa aapewe ajira kitengo cha basata au wizara ya tamaduni sanaa na michezo tena position ya operation haki
@sawiabatenga35548 күн бұрын
Sikujua kama Dudu baya anaakili kama hii. Hongera sana.
@sumayaishengoma45437 күн бұрын
Akili kubwa sana 👏👏👏👏
@wilbertnyambi10369 күн бұрын
Uko vzr broo nakukubali sna una madini
@nanaritho6850Ай бұрын
Mimi ni mwanamuziki nimemuelewa sana konki leo
@kennethmhaiki8957Ай бұрын
Dudu baya ana stori sana na huchoki kumsikiliza
@tyterbrainer197523 күн бұрын
Uko vzr mdogo wangu Tumaini
@user-nf5vl4sb9dАй бұрын
I respect dudu baya!!! Big up
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj2 ай бұрын
Huyu ndio mtetezi wa wasanii tz big up dd by
@SalesDodoma21 күн бұрын
Hichi ni kichwa sana anajielewa mno
@maxwellnjehu2425Ай бұрын
Didn't know dudu is this wise and informative! Long live
@bkkomesho92722 ай бұрын
Sikuwahi kufatilia interview yako hata moja, najuaga ni dudu baya ila sijuagi kama una mapoint hivi. Big up
@user-ij3dx3xc2wАй бұрын
Uyu dada BAYA ni mtu mwenye upeo wa kuelewa mambo na watu wa aina hii Huwa wanamisimamo.yao binafsi wakiamini kile wanacho kiamini bahati mbaya ya watu wa namna hii Huwa awapendi kujishusha au kujipendekeza mara nyingi ni watu wa kukataliwa pia maendeleo yao Huwa ya chini au kwa ugumu sana , maana Huwa hawapendi kuzurumiwa ,kuzarauliwa au kuwa vinamba wa watu wengine, mfano angalia watu kama wakina ,Mandela, Nyerere, magufuli, nawengine unao wajua wewe angalilia misimamo yao na maendeleo ya maisha yao binafsi, watu awa wapendi na wao awapendi kujipendekeza wapo lazi wawe masikini lakini asi aibishe utu au misimamo yake, ndio dudu BAYA alivyo ,zaidi yupo vizuri sana kwa mawazo na upeo wake , ndio Ile unakuta msomi mwenye uwelewa mkubwa au elimu sana , mara zote Huwa aliziki na mawazo ya wengine , uyu dudu BAYA serikali ingekuwa inaangalia aina za watu wa namna hii wangekuwa wanawapa majukumu flani flani ya usimamizi wa mambo yanayo itaji kufosi,
@AllyMwazoaАй бұрын
Unakosea hapo kwenye kumponda babaake ambae hausiki na ugomvi wenu na huyo mange.Hivyo hana hatia
@123228792 ай бұрын
Naombeni namba ya simu ya Mamba nimrushie hela ya maji meupe.
@MabelaShija2 ай бұрын
Mbona ngosha leomkali sana.
@JonasNestory6 күн бұрын
Big up bro........attractive stories,,
@samweljuma58514 күн бұрын
wasanii wa zamani wana uelewa mpana sana sikiliza maishairi yao ndo utajuwa.
@cdeleo9336Ай бұрын
Ila dudubaya unakaa sijui kwenye gofu. Inshort hata wewe hali yako ya uchumi na afya ni mbaya ila kutwa kuongelea wengine
@GibsonNtamamilo27 күн бұрын
Msikilize vizuri analaani unyonyaji.
@TishaniUlanga-bj3nxАй бұрын
Jamaa kama ana madin iviiiii au wenzangu mnaonajeee
@GibsonNtamamilo27 күн бұрын
Tena madini yakutosha
@khadejakhadeja971321 күн бұрын
Ndio maana wakamuuwaa tuachie. Hapo 😂😂
@RichardChattaАй бұрын
Daah inaumiza sana mm sio msanii lkn wanapigwa sana....!,kaka umenena ukweli mtupu...!
@mariamalongo88032 ай бұрын
Dudu bayanfor ever
@mwasoprince345919 күн бұрын
Nilichogundua ma interviewer wengi wa Tanzania hawana Extended knowledge about to investigate journalism matters, zaidi ya ushabiki wa mambo yasiyoumiza kichwa.
@rosemkude48042 ай бұрын
Ila wanaume jamani.. Mmesikia story ya Mr. Nice.... MLA MLA LEO MLA JANA KALANI
@Johnhamad-bz7go2 ай бұрын
aisee dud umeongea vizuri sana mN
@tumainiamanyisye83342 ай бұрын
😂😂😂😂dah dudu noma sana bro
@jackmajura6514Ай бұрын
Kaka mkubwa. mwamba kabisa🙌🙌kisima cha madini
@yudanziku6030Ай бұрын
Dudu baya uko vizuri sana
@aloycesjoseph26522 ай бұрын
Dudu uko vizuri snaa
@ngambikomsu64Ай бұрын
Mzungu hawezi kumfuatilia Mange kwa sababu mange anawasema watanzania. Hawasemi wazumgu kwa hiyo hawana sababu ya kumsikiliza
@tigejuma98652 ай бұрын
Kafunika na kafunikwa mfukoni ...dudu unaongea point xna😅😅
@richardchristopher589Ай бұрын
Dudu umetisha sana. Hala baby😂
@YohanaCharles-zx3pyАй бұрын
Hoongera sana mambo
@jitabojilala6162Ай бұрын
Dudu baya your hero
@bethmahela2182Ай бұрын
Nimekuelewa vizuri sana dudu baya
@ScolaMwamlima17 күн бұрын
Dudu nimtu mwenye upeo mkumbwa sana nimkweli daima
@OmariJuma-su6fzАй бұрын
Nakupenda sana mwanetu
@shabanimbega4027 күн бұрын
Konki master yupo vizuri sana
@abelmbijima43242 ай бұрын
Unaye m intevew dudu hujasomea amekufunika
@fadhilinanyanga2048Ай бұрын
Nimekupata konki master
@123228792 ай бұрын
Mwamba sana aise
@Gamyalian2 ай бұрын
Dudu baya anaongea ukwel hahaha
@beatusharald56Ай бұрын
Rungwe hiyo kunduchi silver send
@dominicfrancis40732 ай бұрын
Respect dudu baya 🇹🇿🙏
@jumabuckary76982 ай бұрын
Dudubaya mkongwe sumu unaongea vitu vya kweli kabisa wengine atujui.
@khadejakhadeja971321 күн бұрын
Tanzania wagepatikana watu kama hawaa.ingefika mbali hongera konk mastar .unaongea.ukweli sio biyashara ya mahindi wala Korosho😂😂😂😂😂😂😂😂😂konk konk. Konk Master❤❤❤❤❤❤❤❤
@giftmusa65432 ай бұрын
Hv mwandishi ulifanya research ukaona ukivaa hivyo ndio unatuvutia watazamaji?
@rashidkapile2 ай бұрын
Huyu bingwa anafaa awe mwana siasa haswa agombee ubunge Yupo fiti Kama sugu
@OmanOman-bx5duАй бұрын
Nimecheka eti wanakula wao. Umechomoa betlii konki konki konki
@user-hv6qw2zw2y3 ай бұрын
DUDU WACHA WAKUCHUKIE TU . ILA UNASEMA KWEL SANA WASANII WA BONGO WANATESEKA SANA MADOGO VICHWA PANZI WENGI✊✊
@nurumasha7 күн бұрын
Dude baba akili kubwa sema wengi wanakuona mgomvi
@lowkeybongo2 ай бұрын
Mtangazaji na Dudubaya wameclick poa sana
@joelnamkwahe5928Ай бұрын
Mwamba Konki nakubali sana
@aishandayishimiye5127Ай бұрын
Kweli hatumfatiliagi mange uku ulaya😂😂😂😂😂😂😂
@frankmganda2424Ай бұрын
Kusema ukweli kwa dudu baya nichanzo cha watu kumchukia
@tumainiellyimo46572 ай бұрын
Dudu Baya upo safi sana ila Angalia unavyomwattack Mage na hata statements zako kuhusu Mage yanajichanganya Leta story nyingine mengine tuachane nayo na tubaki katika maombi
@NeemaMassawe-qg6kfАй бұрын
Wewe dudu huwezi cheza na mchaqa wewe umechoka unamwita mwezio mbwa? Na wewe mbwa mwezio 😢😮😅😅
@LatiphaMwangaАй бұрын
Wewe masawe wewe🎉 rombo moja hiyo
@allykihenga953915 күн бұрын
Nikweli kabisa Mimi nipo Germany 😂😂😂
@KhalfanSeleman2 ай бұрын
Kwamacheni alikua ananunu BIa zote watu wanywebule
@sabiimohamed6560Ай бұрын
Msema ukweli kashasema😊
@VictorFranaelАй бұрын
Ila Darassa nimekuja kuelewa ana akili sana kukataa shows.
@tsumiduwe1406Ай бұрын
MAMBA UNATULIZA MACHOZI MSKINI WASANII WETU KUMBE HAWANA MENO KIASI HICHO
@danyflavourd54912 ай бұрын
Fact tupu
@elizabethbigilwa6822Ай бұрын
Ungepunguza maneno. Uko kànisani unajifunza kuishi vipi na watu?
@bahatiandre622216 күн бұрын
❤
@athumankagoro4187Ай бұрын
Mungu akulinde koknk
@Abby_Shawn_KEАй бұрын
Dudu ana akili nyingi sana, interview zake siwezi kuziruka
@NicholasDittoАй бұрын
Interview zuri sana wewe mtu wa kuhoji
@Connection_onlineTVАй бұрын
Wewe ni familia
@francismillinga4591Ай бұрын
Dudubaya ana akili sana
@user-qc8fc2tc8h18 күн бұрын
My brother Dudu baya, I love you for nothing for your facts research
@JeniphaEdwardАй бұрын
Nina chojua nikukupenda konki 🎉❤
@cuthberthango733014 күн бұрын
Nimekuelewa mwamba
@georgemashauri4657Ай бұрын
Hakuna msanii ninae mkubali kama dudu baya na Afande sele
@JosephuSwai2 ай бұрын
Umefulia dudu una jambo
@samirshabani-yu4xu23 күн бұрын
Wewe Nikenge
@paschalkipeta235328 күн бұрын
😂😂😂 eti kama huyu mbwa😂😂😂
@EhwazmohaАй бұрын
There is something wrong with DuDu Meiby ANaumwa Ama Pombe Daah Wasanii wetu wakongwe hebu waangalieni jamani !!
@rosemilingi7860Ай бұрын
Anaumwa
@EhwazmohaАй бұрын
@@rosemilingi7860 appearance haiko sawa aseee umeona rose