ambao umaiangalia hii had mwaka huu 2024 gonga likes
@GEORGEYUSUPH-jf4sp4 ай бұрын
Pp
@jordanbarweta34294 күн бұрын
Daaah Simba Yetu..Naipenda hii Club ♥ Still watching July/2024❤❤❤
@zunguofficial6104 ай бұрын
Tunae iangalia ihii gem 15 .3 .2024 tujuane
@blessjuniortz27664 ай бұрын
Tar 22/3/2024
@jumaamohamed245510 күн бұрын
Tupo
@GodlistenKweka5 күн бұрын
G
@MariamuYusuphu6 ай бұрын
I love ❤ simba🦁🦁🦁
@fredyjoackimu-bk1tf5 ай бұрын
Yes, I ❤ simba kwa sababu ndio team pekee yenye mafanikio.
@hansmswagara27893 жыл бұрын
Simba baba laoooo
@shanmlawa10 ай бұрын
Jamani shiza alikua mtu😘🥳🦁
@user-bn3cs8lf7t10 ай бұрын
Hiyo siku naikumbka sanaa katika family yangu tupo watoto4 ukijumulisha nawazazi watu6 pekeangu ni simba hiyo siku nilinyimwa chakula😅😅😅😅😢
@GenovevarKavikule-it2wc10 ай бұрын
Hahahahaha pole sana
@obedwilson10 ай бұрын
Kwanini
@zachariakishiwa415410 ай бұрын
😂
@user-bn3cs8lf7t10 ай бұрын
@@obedwilson nilikela watu kwa frahaa sometimes frahaa yako kikwazo kwa wengine
@obedwilson10 ай бұрын
Hahahahaha 😀 😀 😀 nakubari
@NasibuChobanga10 ай бұрын
huwezi amini hiyo siku ndio nilinza kuishangilia simba mpaka kesho simba sihami
@abdisalim79003 ай бұрын
Simba walipaswa kuwa naye kichuya hata km kiwango chake kimeshuka kwani bado umri unamruhusu.Hy ni damu ya Simba,na ndio mana sichoki kuiangalia hii mechi
@khalidfesto85185 ай бұрын
HII KITU INANIFANYAGA NIMKUBALI KICHUYAAAA POPOTE ALIPO MPKA LEO HIII🙌🙌🙌 ameacha alama kwenye maisha ya wana simba🙌🙌🙌💯💯
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Wakumbushe baba utopolo wepesi wa kusahau
@sigwamkinga623610 ай бұрын
Simba wa nyika ❤
@mariamshibanda33583 ай бұрын
Ilikua tam sana🦁💪
@geofreysolomon372810 ай бұрын
Kochuya ana nafasi yake ndani ya mashabiki wa Simba😂😂😂
@gyeong597210 ай бұрын
Alieskia Sauti ya Salim Kikeke Kama mimi like plz
@user-su1mh6ju6k10 ай бұрын
Sio kikeke ni baruani muhuza
@Mumewangu10 ай бұрын
Hakika kichuya nitaendelea kumpenda naiomba simba impatient heshima ya uongozi pale atakapo staafu
@stellambaga10 ай бұрын
66😅
@nshaijatedy55125 ай бұрын
❤
@AbelWales20 күн бұрын
Naitw Edgar Toka mwanza Simba dam
@user-zu3sq8ph4e10 ай бұрын
yanga kwa simba ni wadogo sana basi tu ni timu ya waswahili hawaishiwi maneno
@IZAACManyonyi6 ай бұрын
Daah simba tulitoka nayo mbali❤❤❤❤❤❤❤
@Zowazowa-xu1gk6 ай бұрын
Utopolo fc waliyatimba wallah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@humphrelemaa763011 күн бұрын
Sanaaaa
@yohanayohanaadamu64833 жыл бұрын
Utopolo walishasau tuvyowagonga tukiwa pungufu
@petrosamike4205 ай бұрын
Ambao leo mnaangalia hii 19/2/2024 tujuane mapema.
@AdamSkabenga5 ай бұрын
Tupo🎉🎉🎉
@emmanuelymeresta-si4ur4 ай бұрын
08/3/2024
@MajaliwaBugota12 күн бұрын
hii mechi kiukwel huwaga nailudiaga Hadi mwili unanisisimkaga aise ❤💪💪
@user-vg7rz2yj1n10 ай бұрын
KichuyaBado anaitajika simba
@user-tz6ds8rq1i5 ай бұрын
Well done lion
@eliamwanamayo35965 ай бұрын
😂😂😂 na wew upo hapa muda huu😂😂🙌🙌
@papaahussein52633 ай бұрын
Mm mpaka sasa ni mchezaji mzuri sana ujinga tu wa viongozi wa simba
@LaurentKarugura5 күн бұрын
Daah mbal san nakmbuka kichuya mwamba kwel kwel
@magembekisabo963210 ай бұрын
Dah Mo Ibrahim
@user-ri4ys2vn7r4 ай бұрын
Nice moment by kichuya
@user-vi7fg3yz6o10 ай бұрын
Mimi ni simba damu
@sillassadiki11 күн бұрын
Mnaoangalia hiii kitu tar 10,7,2025 tujuane😂😂😂😂
@mrgujarat839117 күн бұрын
Hapo kabla hawajaijua pesa
@rajabuwazirishekigenda59245 ай бұрын
yanga Hana historiya ya kumfunga Simba akiwa pungufu. hakika hii ni record ya kipekee kwa hao Simba..
@pianamkai46203 жыл бұрын
Tena mara 2 tunawauwaga hawa tukiwa pungufu
@ezrakenyanya73993 жыл бұрын
Wape salam utopolo
@yasinshaban49333 жыл бұрын
Utopolo wanajisahaulisha kila siku
@gaudencehaule739810 ай бұрын
Viongoz wa Simba huwa wana kiburi ssna. Lufunga hakuwa na hadhi hata ya kukaa benchi Simba. Binafs nlishukuru sana alivoondoka na nafas yake kuchukuliwa na Salim Mbonde
@oscarmtocar76816 күн бұрын
Simba sasa inapaswa kurudi
@user-ru1vo9qz6w4 ай бұрын
Hakuna kama simba🎉❤🥴👹
@ivonobedy673213 күн бұрын
Daah inasisimua
@othmanhamad788717 күн бұрын
Hii penati ilkw ya mchongo ila Mungu akalipa palepale uwanjani,malipo ni duniani
@abdoulrahimmigomba388513 күн бұрын
Dah!
@user-du2lt5th7x9 ай бұрын
Mechi ilikuwaga safi sana
@abdulisiwa411810 ай бұрын
Wasema tu
@flova702210 ай бұрын
Nomaaa
@hermankawea920410 ай бұрын
Kichuya aje asitafie simba
@Tamimsaid-xq2ct3 ай бұрын
Goooal
@VitalisNyami11 күн бұрын
Tuko hapa
@vaxminja90532 ай бұрын
Jifariji tu kwa yaliyopita
@carolineonesmo234510 ай бұрын
Shiza kichuya na mguu wake wa kushoto utampenda
@jerryxeventeen53457 ай бұрын
TBT la kibabeee🎉
@user-vi5us1lt1s10 ай бұрын
kichuya noma xana
@isayamwanja433318 күн бұрын
Tupo wengi tu
@ClatusChama23 күн бұрын
Sitahisahau hiyo mechi
@nellymichael47139 ай бұрын
Wakuiponda simba waiponde Ila wakiifuatilia watajua ni team ya namna gani
@thomassaguda55596 ай бұрын
Ya kale....
@user-rb5pc1qw1r5 ай бұрын
Vyakale vinathamani Kama ndomana Somo LA historia lipompkaleo shule ilikuwakumbusha watu Kama nyinyi !!
@frankpatroba482113 күн бұрын
Ni dhahabu
@mecksedeckkauzeni57033 жыл бұрын
Tena yanga ya kampa kampa tena
@franktazuba10 ай бұрын
Simba
@AjhidKakuru-hg7gw10 ай бұрын
Jaman kichuy Mmmhhh
@afterfull-time13483 жыл бұрын
UTOPOLO hawanaga chaoo
@jojigeorige10569 ай бұрын
Shiza hakubahatika kupata Wakala mzuri. Alikua ni wa kucheza Ulaya!
@hajiMfundo3 ай бұрын
Mh san tu
@omarkipotwile90529 ай бұрын
Hivi Manara anaikumbuka hui 😂😂
@kateadam82049 ай бұрын
hii ndo mechi nloamini dawa zpo ndo maana hili litimu linavaa nguo nyekundu huwaambii kitu😂
@Japhary-sx3je11 ай бұрын
Nilikesha hii mechi
@user-sk2mj6nj9f6 ай бұрын
Hata mm siji kusahau hii siku
@user-hn1jo7zd5e6 ай бұрын
Goli 5 zitawasumbua sana.
@JeshKikove-xw1bh3 ай бұрын
simba ya kichuya
@RubenDaudi11 ай бұрын
❤🎉
@msafirilucianmpangile718310 ай бұрын
Uto Huwa wanazimia zimia sana wakicheza na Simba😂😂😂😂😂😂😂
@SophiaSlivesthy-ft4yj10 ай бұрын
❤
@user-mf4cc3tp9y5 ай бұрын
mmH au bas
@Tamimsaid-xq2ct3 ай бұрын
Goal
@SamikeSunhwamachimagi4 ай бұрын
Mmh kichuya kona
@ALOIIOMUMBA6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@samuelMatanga3 ай бұрын
Kumbukizi😂😂
@user-cf6ly2fn8g5 ай бұрын
keel yanga Tam jaman😮😮😮
@user-tk7cg4kt9k5 ай бұрын
Nan anaweza kufanya maajabu haya kama SI Mnyama
@keymwanyika8403 ай бұрын
Wanaumbaaa mje ukuuu muone vitu
@reiphan989410 ай бұрын
Kwahiyo wewe ni simba au tuelwwe vipi😂😂😂
@Cavengermichael2 ай бұрын
F❤❤❤❤❤
@frimasonidunia866 ай бұрын
Mpira saf
@paulmsape16310 ай бұрын
Mambo yalikuwa ni moto sn
@user-vk5nb4uz6h3 ай бұрын
Kipindi hicho watu wanajitoa haijalishi wako pungufu
@CostantinoJanuary-pp5ck4 ай бұрын
Watisha xana
@stephanopeter96984 ай бұрын
23.03.2024
@magigesabai86746 ай бұрын
Hii mechi naikumbuka nikiwa mwaka wa pili chuo
@Exavery121810 ай бұрын
Sauti ili nakauka iyo siku maan nilikuwa nixhakata tamaa alaf kichuya anakuja kuxhinda gori kam lionel messi vile
@gyeong597210 ай бұрын
Nimpenda goal Keeper wa Yanga alivyomuonesha Mchezaji wa Simba kiatu
@390_siez10 ай бұрын
Kichuya wa moto Dah.. BHAS tu
@user-px5gf4tq7z4 ай бұрын
Live
@marwawilliam364810 ай бұрын
WAZEE tumewanyoosha
@AlfajiliMuhagama3 ай бұрын
Saf
@DenisAllan-kk4pt9 ай бұрын
Ebwana eeeeeee!!
@HafidhRwambo-hm3jt4 ай бұрын
Goof
@KefaGeorge-oo1jw3 ай бұрын
talehe 5 mrikura tano bado talehe 20 sijui mtakura 20