Mungu awakumbuke ktk kufifiisha Imani za kondoo wa Mungu
@danieljoseph16102 жыл бұрын
Kanisa la wapi hilo? Kanisa linaongozwa na wanyenyekevu na watakatifu wa Mungu! Wataka bifu hatuwataki kabisaaaaa!
@sebonikegobi62442 жыл бұрын
Jamani watumishi mbona mnaenda kwa akili zenu?eee Mungu naomba uingilie Kati jambo hili kanisa lako linazidi kujichafua jamani ni aibu
@jifunzekuhusuwewe74752 жыл бұрын
Hahaaaa vijana ,Mmelishwa matangopoli
@tunsumejohntunsumejohn22102 жыл бұрын
Huyu nae nimchungaj 🤣🤣hawa vijana wa ovyo sana tamaa mbaya hiv wale wachaw wakanisa walishaisha maana zaman watu kama hawa kanisan wanatolewa kimya
@nyaganyaga38762 жыл бұрын
Kwa Mungu mbali Sana...
@annamasoko18932 жыл бұрын
Jaman mungu atusaidie
@esternaftari82862 жыл бұрын
Mengine huwa ni mashambuliz wengi huwa hatuelew swala ni kufunga na kuomba achen Mungu mwenyew atoe majibu ya maswali yenu
@annamasoko18932 жыл бұрын
Hiyo Ni kazi ya mungu kwanini mnagombana shamban mwa bwana
@nurumbilinyi532 жыл бұрын
Ila kweli mmejisahaulisha jamani poleni sana
@zabronijoseph7282 жыл бұрын
Eti kujiweka sawa!! Sii mmesha jitoa kkkt meamiaa KANISA lingine.
@nikodemmwahangila33342 жыл бұрын
Ila mmetuabisha wakristo wote acheni majengo ya kkkt serikali ipo sawa itaamua hatakama kanisa ulijenga hati inasoma nini jina nani nani mmiliki mbona nikama wachungaji wamewaachia washilika hawawaelimishi kkkt ni taasisi kubwa najua mali zote viwanja makanisa hata yanapojengwa kuna vibali vilitolewa kwa jina gani ni ngumu sana mali ya taasisi kupotea ilikua vema wao watoke wakajenge kanisa waenderee na huo mwamvuli
@iblahimumwakajegela14602 жыл бұрын
Ww unapata wapi ujasiri huo
@yusuphsanga35432 жыл бұрын
Katiba ndo kila kitu na c vinginevyo
@twiseghekisilu88452 жыл бұрын
Kimewapata kitu
@janethmagemakwakeliinauma35812 жыл бұрын
Ilawewe uliovaa miwani yani kopokweri kopo
@pescopenterprises27282 жыл бұрын
Kuna uwezekano mkubwa washilika wa kawaida kabisa wakaiona mbingu lakini sio viongozi wa dini huu ni mtizamo wangu maana viongozi wa dini baadhi yao wapo kwa kwa ajili ya mali tu washilika wamechanga fedha wamejenga jengo la kukutania kufanya ibada siku mkipishana mtazamo unata jengo fyuuuuuuu roho za hao watu hunahabali nazo
@ilovejesus6662 жыл бұрын
Biashara hii makafiri mtaisoma namba 😜🤣😜😂😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣😂😂
@ernestlaiza11762 жыл бұрын
Matako
@zabronijoseph7282 жыл бұрын
Alafu nnyie washikaji wote na wafahamuu waimbaji wa mewakifuna acheni ujinga melishwa nini? Kwenye diivai mbona hamjielewi!!!
@maandaliobandmbeyatz23452 жыл бұрын
Kwanini tusijaribu kumuogopa Mungu kwanini hekima ya Mungu istumike kelele hizi ni upagani mkubwa ni uchafu mkubwa MBELE za Mungu na ht MBELE za WANADAMU kwann kila MTU astulie sehem yake na kuendelea na iman ya kile anachokiamin NDUGU ZANGU HII DHAMBI NI ZAID YA DHAMBI
@davidosward14192 жыл бұрын
Mwakihaba anafanyaje mapinduzi kanisani huyo ndo mbaya nasikia alikuwa makamu wa askofu mwaikali anayepingwa sasa vita bas anawezaje kuwa askofu kama mwenzie kakosea basi hata yeye hafai alishindwa kumshauli vizuri mkubwa wake watu kama hawa hawafai katika nchi ndo huvuluga amani mim nipo dar na dayosisi yangu huku ila kiukwer mbeya watoto wa mwaikali pambaneni kutetea haki lindeni kanisa la MUNGU hao ni wana maslahi mwaikali inaonekana anawahalibia mambo yao ila nawambieni MUNGU yupo mbegu anayoipanda mwakihaba atakuja kuvuna pamoja na wachungaji walio hasi watakuja kuvuna nawambia
@shambogokitundu7542 жыл бұрын
wote hapo hamna kitu,,,,,vichwa maji
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Mmmmmh kesi ya msingi kanisani KWELI YESU YUPO MLANGONI JURUDU OLE WANGU MM
@agnesshonga75702 жыл бұрын
Hela hizi zitatufikisha pabaya.....kuna siri inayoendelea hapo sisi tunalishwa matangopori wafunguke tuuh.mnatudharirisha na tabia zenu mbaya
@anwaritesal46952 жыл бұрын
Wakatoriki huwa hatuna Mambo hayo ya ajabu,
@daudpaulo28672 жыл бұрын
Sema mambo ya ovyo Sana msikubali viongozi wengine waovyo Sana wako makanisani Ila macho yao kwenye pesa
@janethchriss60392 жыл бұрын
Mwakihaba anakosea xanaaa basi kila mchungaji abaki kwny usharika wake
@tumainimwakyaka27752 жыл бұрын
Wachungaj wa upande wa Mwaikali n mapepo nyie
@micgaapary72162 жыл бұрын
Jela inawahusu miaka 2 inawatosha
@williamhalinga35842 жыл бұрын
Jela ni ya kila mtu hata mtume Paulo aliwekwa jela na makafiri
@florencengwavi69392 жыл бұрын
Mnatuaibisha kabisa na kudhalilisha KKKT, Mungu atashughulika na nyinyi, tuache kuganga njaa zetu kwa mgongo wa kanisa, kanisa lina muongozo wake, kaanzisheni kanisa lenu muweke sheria zenu
@twiseghekisilu88452 жыл бұрын
Kabisa wakaanzishe kanisa lao hilo wamelikuta wapumbavu hawa
@williamlulale87912 жыл бұрын
KKK t wajiabishe mara ngapi ,walikwisha jiabisha zamani tangu walipotoka kwenye MSIngi wa Martin Luther , hakuamini Mafundisho ya katoriki haya ati maaskofu ,mapadre Luther alikataza huo upuuzi Leo Hawa wametoa wapi ? Wala Luther hakuwa Askofu wa kwanza alikuwa Mtumishi wa Mungu tu Bali waluther wa Leo wanaongopa kuwa Luther alikuwa Askofu wa kwanza na kama sivyo huo mfumo wa uongo niwa katoriki ulifikaje Luther Ani ? Yezebeli alileta miungu mingine nje ya Mungu wa ISRAEL katoriki ni mke Yezebeli aliyeanzisha Mafundisho ya kuwapeleka maaskofu na mapadre chuo na kumwacha Roho mt .mwenye aelewe Ukweli madhehebu ni milango ya kuzimu
@tumainimwakyaka27752 жыл бұрын
Kumbe walijenga wazaz wenu sasa ww inapiga kelele nn Mwaikali kaligawa kanisa yaan MUNGU huyu atutetee kanisa n moja tu KKKT wala hakuna kanisa kkam,kkam n kanisa la wap?
@nurumbilinyi532 жыл бұрын
Tuachieni majengo na Mali za K.K.K.T anzisheni kanisa lenu shida Iko wapiii
@williamhalinga35842 жыл бұрын
Tuwaachie majengo hayo majengo mulijenga ninyi ss tulitoa fedha zetu tukajenga na ss ni wa KKKT daima na hatutoki hapa.
@nurumbilinyi532 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@nurumbilinyi532 жыл бұрын
kwani nani kawafukuza.?
@zabronijoseph7282 жыл бұрын
Anacho kiongea atahamueleweki
@akimuwaziri40892 жыл бұрын
Niwapumbavusana nyie. Tena niwasengesana. Mnatamaa yavipesa. Hamunamungu.
@oliverkyara82322 жыл бұрын
We kaka Kwa manufaaa yako na familia yako weka maji mdomoni unatumika vibaya unasema hutambui uongozi kirahisi rahisi tu. Kuwa makini utajiingiza pabaya
@johnrichard31772 жыл бұрын
Mwanzilishi wa Kkkt aliasi Ukatoliki hiyo dhambi ya Uasi bado inawatafuna kila kona kelele, ngumi, mpaka polisi wanaingilia kusuluhisha migogoro mnatia aibu. Kazi ya kanisa ni kuwaelekeza waumini kutafuta "utakatifu na sio utakafujo"
@williamlulale87912 жыл бұрын
Ukatoriki na ukkkt ni kitu kimoja tu , aliyeasi ni Mmoja tu Martin Luther na wengine wote Hawa ,nikatoriki maana baada ya kufa Kwa martin Luther walirudi kwenye mafundi sho ya katoriki , katoriki ndiye mama wa Manabii wa uongo kama Yezebeli Kwa Eliya , katoriki waliacha Kweli zamana sana na hamwabudu Mungu wanamwabudu Mungu bahari Vatikani .utatu ni fundisho la kuzimu kutoka Kwa Mungu Bahari Vatikani ni mizimu ya vatikani
@florangido2022 жыл бұрын
Kuhasi Imekujaje hapo, Kiongozi gani aliahasi, Kama ni Martin Luther King Alikimbilia Ujerumani Baada ya kumpinga papa KUHACHA KUSOMA bible KUSOMA misale ya wahumini na pia alikimbia SHERIA ya Kutokuoa Mapadri na Masister iutokuolewa Waka Mapadri na Masister WANAZINI!! EBOO.... KIONGOZI WETU ALIASI ZINAA NA TARATIBU ZA KUZUUA NGONO!! UJUHI KAMA MAPADRI WANA WATOTO!! Chefuuuu kajambe MBELE huko, pumbafuuuuu.....
@vickymgonja30072 жыл бұрын
Shetani hana mwili iliatende kazi zake lazima atafute mwili mchafu angie atimize uchafu wake
@angelnyinge41392 жыл бұрын
MTASHUHUDIA SASA LITAKAPOFUNGWA NA MINYORORO, YAANI ONGEA YAKO TU MNAONEKANA MMESHINDWA.
Kkam n mashetan nyie hebu liachen KKKT libak km lilivyoanzishwa&Martin Luther hivyo anzishen lenu kwa jina lenu MUNGU aturehem
@cdptraveler60662 жыл бұрын
Makanisa aya jaman
@ezzetz2 жыл бұрын
Inabidi tuchague sehem sahihi
@tusajigweashery3512 жыл бұрын
Du ulikuwepo kumchagua au unaongea ty kama kasuku ulikuwepo kuiandaa hiyo katiba umefeli saaa
@tusajigweashery3512 жыл бұрын
Huyu maiko utadhani mchungaji kiherehere kama chooote
@ezzetz2 жыл бұрын
@Pierre Petros mm Tena jaman
@ezzetz2 жыл бұрын
@@tusajigweashery351 😂😂😂😂😂😂
@shadrackmwakalinga8652 жыл бұрын
Kuweni makini, shetani yupo kazini. Hivi mlisha ona wapi matambiko yanahamishwa? Mahenge; Hivi ikulu ya Pakhipande imehama hata baada ya kufa? Nafikiri Kunahaja ya kujifunza toka Roma, hawaja wahi kutaka kuhama ila huongeza huduma za kiroho
@zabronijoseph7282 жыл бұрын
Eti kujiweka sawa!! Sii mmesha jitoa kkkt meamiaa KANISA lingine.