Kwa Nini Marekani na Ulaya Wamechukizwa na Ziara ya Putin Nchini Vietnam

  Рет қаралды 23,728

The Chanzo

10 күн бұрын

Rais wa Urusi Vladimiri Putin amemaliza ziara yake nchini Vietnam baada ya kuwasili hapo jana asubuhi, Alhamisi Juni 20, 2023, ambapo alipokelewa na mwenyeji wake To Lam, Rais wa Vietnam.
Ziara hii imekosolewa vikali na nchi za magharibi zikiongozwa na Marekani pamoja na Umoja wa Ulaya.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: TheChanzo
INSTAGRAM: thechanzo
FACEBOOK: theChanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 20
@yordanyona1234
@yordanyona1234 10 күн бұрын
Wakome ..wamarekani wadhalimu sana.. Wana roho mbaya
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 10 күн бұрын
Hivi wapi wadharimu km ya urusi na marekani urusi pga hayo mashoga
@mabulajoel1967
@mabulajoel1967 10 күн бұрын
Endeles Putin kupanua wigo na kutafuta wadau wa kunyoosha hao mashoga.
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 10 күн бұрын
Wamarekani na ulaya mashoga wanaona waume kwa waume na wanawake wanaona wake kwa wake 😢😢
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 10 күн бұрын
Upo vizuri
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 8 күн бұрын
Marekani ndiye anaestahili kutengwa na dunia, anavuruga amani kwa faida yake. Atengweee.
@rashidmollel529
@rashidmollel529 8 күн бұрын
Kabisa!!
@PUTINN365
@PUTINN365 10 күн бұрын
Urusi piga hao mashoga
@gorettimtungwe9011
@gorettimtungwe9011 6 күн бұрын
Mandira boy anawasungua vichwa, ❤Putin. Kama wanaweza wafanye ziara kwa Kim
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 10 күн бұрын
Wivu tu
@user-xl9so6jg1e
@user-xl9so6jg1e 2 күн бұрын
Hao wataungana mpaka wachoke lakn mzungu ana tumia akili sana sana.... Marekani hawezi shindwa kirahc hvo
@SalimuKimaro
@SalimuKimaro 6 күн бұрын
Wamarekani bado wanandoto ya kuendelea kuitawala Dunia, ni jambo ngumu sana,manya nyaso yao ndiyo wamafanya mataifa mengine kujipanga, ss anapata taabu sana, China ni super power kiuchumi na kijeshi ,marekani na mashoga kwisha
@MohamediOmari-nz4vv
@MohamediOmari-nz4vv 9 күн бұрын
Vietnam wanapigana hawa jamaa 😅😅😅
@user-xo4qc2hk4j
@user-xo4qc2hk4j 9 күн бұрын
Putni ongeza washirika uwe na G 10 muwapige hao mashoga
@adimudachi7984
@adimudachi7984 9 күн бұрын
Yaani mpaka waseme pakahao
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 10 күн бұрын
Washindwe kbs wamarekani
@mapundawilliam370
@mapundawilliam370 10 күн бұрын
Hilo niswali la wasio elimu.
@RamoDee
@RamoDee 9 күн бұрын
Marekani ni mbwa
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 10 күн бұрын
Marecani jasusi wa dunia.
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 9 күн бұрын
marekani mashoga ya dunia
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 6 МЛН
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 147 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 28 МЛН
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 94 МЛН
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 6 МЛН