Kweli kabisaaaa huwa tunamhitaji mtu mmoja tu katika maisha .... Nakumbuka kuna kipindi nilikata tamaa kuwa sitaweza kwenda chuo kikuu lakini alikwepo mtu mmoja ambaye ni wewe aliyetambua thamani yangu na kutoa order kwa mkurugenzi wa kituo fulani hadi sasa niko hapa nilipo ....ulikuwa upo ofisi za CIT)... Mungu akuhifadhi milele kwa ajili ya kuwavusha watu wenye maono