LEMA AIKAANGA SERIKALI KISA UTALII, NANI ANAMJUA WEMA? "MWAMBIENI MTOTO WA RAIS SAMIA AENDESHE BODA"

  Рет қаралды 2,663

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

18 күн бұрын

#TANZANIA: Godbless Lema aikaanga Serikali ya Rais Samia, atoa nondo za kuboresha utalii, adai badala ya kumtumia Rais Samia au wakina Steve Nyerere na Wema Sepetu kutangaza utalii wawatumie mfano Ronaldo au Messi kwa sababu wao wana wafuasi wengi zaidi.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZfaq Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 15
@sjdbxjdhsudjxjhd615
@sjdbxjdhsudjxjhd615 17 күн бұрын
Nimekuelew kaka Lema lakinpunguza maneno makali ccm tatizo mfumo wao umechoka kufikiria kuondoa umaskini.
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 17 күн бұрын
Hapo na mwika kwa Tengia hakuna maji. Ndio moja 500
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 17 күн бұрын
Wameuwa viwanda vyote zaidi ya yote ati sasa wanauza Bandari iliyokuwa imebaki. Ndege waliuza ikafa Masikini Magufuli akaifufua mara wamemuondoa ili wakataifishe. Kweli tunawatu na akili bungeni kweli. Tuna wabunge wachawa wote wa Samia. Wakisha sifia Samia mjadala umekwisha. Mbunge Mpina wamemfukuza kwa sababu alikuwa anaongea kuhusu wanainchi. Kwao ni kudharau bunge la wachawa.
@mlyamalitv1789
@mlyamalitv1789 17 күн бұрын
Kweli tuna wabunge maboya yanaelea elea tu.
@yomseyyomsey5114
@yomseyyomsey5114 16 күн бұрын
Huyu jamaa Anajua NAMKUBALI SANA Anajua Sana SIASA Hakika Anajua Namkubali sana na Mungu Amlinde sana HAKIKA Ni mchambuzi Bora Na Nguli wa Uchumi, Jamii, SIASA Na HAKUNA Mwana-ccm ATAMUWEZA Kwa Hoja Huyu bwana.
@HenryCastuli-jz3cx
@HenryCastuli-jz3cx 16 күн бұрын
Cy siasatu! hadina akilianayo
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 17 күн бұрын
Kwakweli lema unamaarifa
@mlyamalitv1789
@mlyamalitv1789 17 күн бұрын
Huyu Bwana ni mashine, Rasilimali ya nchi.
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 16 күн бұрын
Great visionary,
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 17 күн бұрын
Hiyo Royal tour ilikuwa anataka kujionyesha watu wamwone. Kwani alikuwa ndiyo ameingia offisini na alikuwa hajatalii kama anavyofanya sasa. Je sasa bado anakumbuka hiyo Royal tour. Samia anadhani kuwa raisi kila mtu anamfaham duniani kote. Africa hatuna watawala wenye akili. Hasa Tanganyika na watu wenyewe pia hata Zanzibar tu wanatuzidi kufikili. Zanzibar ina raisi wake mzanzibari, serikali yao, na maamuzi ya Inchi yao. Kwani Tanganyika iliungana na Inchi gani sasa? Sasa Tanganyika haina serikali yake kwa sababu ati wanainchi wote Tanganyika hawawezi kuwa raisi. Mpaka ati Zanzibar imetuazima raisi. Kweli watanganyika wako na akili?
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 17 күн бұрын
Bango la Samia na Stiiv Nyerere 😁😁😁😁
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 17 күн бұрын
Ikiwa wa kwsko haenxeshi bodaboda vipi wa Raisi?Mlikimbia hapa wakati wa magu mukenda Ulaya tofauti na viongozi wa aACT WAZALENDO walibakia na watu wso wakati wa shida japo kina Jussa walipata ulemavu wakini walionrsha kwa vitendo kuwa wapo na wenxao wskati wa rsha ns shida.Nyinyi CHADEMA kazi yenu maneno tu yasio na vitendo.
@YassinRajabu
@YassinRajabu 16 күн бұрын
😂😂😂😂
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 17 күн бұрын
Msingi ni wazo, wametangaza mpaka hapo, wanaweza kuboresha zaidi kwa kutumia hao watu maarufu. Msingi Rais kwa uweka tayari tuboreshe zaidi
@user-jc1do5gf3w
@user-jc1do5gf3w 17 күн бұрын
👋👋👋👋
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 25 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 21 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 682 М.
Nani Atagombea Urais CHADEMA 2025?
3:59
The Chanzo
Рет қаралды 3,8 М.
At the Point of Collapse
14:19
Herman Manyora
Рет қаралды 5 М.
MWABUKUSI ASHINDA RUFAA, KUWANIA URAIS TLS
4:56
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 427
🔴LIVE: NASAI MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA.
1:00:12
Chadema Media TV
Рет қаралды 6 М.
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government.
43:38
SpiceFM
Рет қаралды 79 М.
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 25 МЛН