Рет қаралды 2,663
#TANZANIA: Godbless Lema aikaanga Serikali ya Rais Samia, atoa nondo za kuboresha utalii, adai badala ya kumtumia Rais Samia au wakina Steve Nyerere na Wema Sepetu kutangaza utalii wawatumie mfano Ronaldo au Messi kwa sababu wao wana wafuasi wengi zaidi.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZfaq Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram