Rema hapo kwa makonda mtakaa chini tu kushindana na makonda ni sawa na kujilisha upepo hamumuwezi ni mtu mwenye kipaji na karama ya ajabu kutoka kwa MUNGU❤❤❤❤ makonda
@irenemollel4363Ай бұрын
Makonda ana karama gani😂 mpuuzi sana wewe. Akili huna wewe
@philemonmagesa5548Ай бұрын
Anasema kwamba et vijana wanakuwa wezi kutokana na maisha magumu kwani marekani wezi hawapo na marekani ni nchi tajiri?? Tabia ya wizi ni moyo wa mtu sio umaskini.
@ayoubsanga315Ай бұрын
Kuna tamaa na Njaaa. Wezi wengi wa kitanzania wezi wa njaaa na sio tamaa
@ConfusedFrog-lc9db28 күн бұрын
Usiupalilie unafki
@elviswebbo1164Ай бұрын
Bahati mbaya umekuwa mbunge wetu Kwa miaka 10 lakini hakuna Cha maana ulichofanya mzee Lema....hawa wanasiasa ifike mahali mjue tunajua mnawatafutia watoto wenu chakula.
@RomanMwinyiАй бұрын
Wewe jitambue at kifanyaa nn wakati yeye akiomba bajetii kwa ccm awa toi ela Kila ukiomba Wana toa haadii Sasa ata uwe mbunge Ina saidia nn sio lawama zakee izooo vip uliona mpina walicho mfanyia au uwangaaliii
@user-le1gv4wb1nАй бұрын
amnaa kitu hapaa huyuu ni siasaa za njaaa tu
@markoshem-ij6cfАй бұрын
Mujinga ni Gabo hakuna mbunge yure, rema piga misumari
@ayoubsanga315Ай бұрын
Akili yako imeganda yy ilikua kusimamia serikali itoe hela ambayo ni mapato ya kodi za wananchi yafanye utekelezaji wa miundombinu na serikali haitaki inapeleka kwenye misafara ya kichama na kiserikali iliyopo madarakani , mwananchiii amka utajikojoleaaa🎉
@isaacmwaseba9972Ай бұрын
Kumbe basi bora apewe mbunge wa ccm ambaye atasikilizwa kwa maneno yako uliyoandika@@RomanMwinyi
@Lushinge27Ай бұрын
Maneno mengi hamna hata Cha maana ww si ulikuwa mbunge hapo Arusha ?, umefanya nini Cha maana Cha kutushawishi
@JacksonTembaАй бұрын
Makonda mtu na nusu ❤❤
@ayoubsanga315Ай бұрын
Huo umtu unaouona wew ni kwa sababu ya umaskini anaousema Lema , unayaona mamb kwa udogo kwa sababu unaangalia kushiba tuu
@JacksonTembaАй бұрын
@@ayoubsanga315 unataka nani akuletee utajiri baba, piga kazi kama unaona boda sio kazi ni umasikini, jikwamue huko ufanye kazi zingine, hata kufuga, kulima pia ni kazi mkuuu
@JacksonTembaАй бұрын
@@ayoubsanga315 jitahidi sana mtu asikufunze kuzarau kazi yako mwamba,
@emmapaul1766Ай бұрын
@@JacksonTemba mtu na nusu nyumbani kwenu
@mussakiligaliga4348Ай бұрын
Wewe muongo na ni mnafiki mvunjifu wa amani kazi zipo watu asie na kaz mvivu wewe unahamasisha vijana wasifanye kaz
@hawakazimoto2949Ай бұрын
We pumbavu sana achana na Makonda WETU pumbavu
@emmapaul1766Ай бұрын
@@hawakazimoto2949 mpumbavu ni wewe na huyo mfoji vyeti bashite
@elimishanyamoga6797Ай бұрын
Makonda na ww wote wangese
@Ibrahim-ne3inАй бұрын
Yan hili lijamaaa kila cku sera yake n boda boda😂😂
@SisopotashiumzАй бұрын
@@Ibrahim-ne3in lema mahubiri yake ni usenge tu haji na chakufanya anakuja na malalamiko tu?
@mlayson5281Ай бұрын
@@Sisopotashiumz -wanakufa sana hawa boda tunapoteza nguvu kazi ya kesho-nyie hamjui mnafurahia watu kufa wanaacha familia zinateseka..why serikali isitafute vuwanda vya kutosha waka ajiri vijana wetu -acha ung* wewe.
@SisopotashiumzАй бұрын
Unaonekana ww hicho kichwa ni cha kukausha na mafuta ya moto saana,alikuja magufuli kaanza kutafuta umeme wa kutosha kufungua viwanda wakaponda sasa unaweza kuwa ma viwanda bila umeme???? Acha ulimbukeni wa kisikiliza na kubeba kila unachoambiwa mbwa wee
@Ibrahim-ne3inАй бұрын
@@Sisopotashiumz panya kweli wewe
@SisopotashiumzАй бұрын
@@Ibrahim-ne3in njoo na sera alf niambie umepata nini au kimefanywa kipi na wabunge wa upinzani,alf nipe maana ya kua mbunge?? Malaya mjane ww
@frankndendu2570Ай бұрын
Pigeni porojo mtuachie Makonda wetu
@KingiMakesen-ju9otАй бұрын
Nchi ambayo CCM ndio maendeleo sasa Kuna haja gani ya uchanguzi
@emmapaul1766Ай бұрын
Machoko ya ccm
@michaelaloyce2072Ай бұрын
Mgonjwa wa akili ww@@emmapaul1766
@ayoubsanga315Ай бұрын
Machawa
@samwellwiza1098Ай бұрын
Lema hakikisha unasoma hizi comment za wenye nchi
@user-lr6qx9df4zАй бұрын
Sasa ww ulifanya nini wakati ukiwa mbunge mbona muongo sana ww
@officialkinghimself263728 күн бұрын
Alichangia kutengeneza sheria zinazo kusaidia wewe mpuuzi
@SisopotashiumzАй бұрын
Huyuu anaongeaga tu halete tufanyeje? Anaangalia makosa tu! Nilionaga anaongea point kumbe ni ufala tu,nchi hii upinzani mtaisikia tu nchi.
@ayoubsanga315Ай бұрын
Akili yako imeganda na aliyegandisha ni umaskini anaouongelea Lema ndo maana mtazamo wako umekua mdogo
@SisopotashiumzАй бұрын
@@ayoubsanga315 wee unauonaje mtizamo Wang? Wakati mwisho wa mawazo yako ni ilipoishia chupi yako.
@jerominalfonceАй бұрын
@@Sisopotashiumz umasikin huo ulio nao mpaka unatukana
@user-lr6qx9df4zАй бұрын
Sasa ww umefanya nini hebu sema na ww ulisho kifanya wakati mbunge mbona unaongea pumba
@fidahusseinkassim9778Ай бұрын
Lema magufuli huyo kimbia
@knight6757Ай бұрын
😂
@adammbuba7230Ай бұрын
Makonda oyeeeee
@mohamedslh5478Ай бұрын
😂
@AzizMangaraАй бұрын
Bora Lema uungane na makonda tu😂😂
@macksonimwandemele42Ай бұрын
wakati wako ulisha pita waachie na wenzako
@RomanMwinyiАй бұрын
Co wakati wao ume pita ayo wanaongea Kwa Wana mnchiinmaisha magu eti au we ume pewa kiajila una pagawa
@emmapaul1766Ай бұрын
Machoko ya ccm
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Hahahaha kimeo kingine hiki zile zama za kuleta taharuki zimeisha, ulikuwa Mbunge hapo nini umefanya Zaid ya mapishano na marumbano, Lema kaaa kimyaaa tena utulie, hivi familia imerudi tokea Canada?
@amonalexander1513Ай бұрын
Wape suluhu Cha kufanya sio kupiga porojo zako,watu wanataka suluhisho sio kulalamika kiongozi gan wewe?
@KwelihukuwekahuruАй бұрын
Hujamsikia akisema tuondoe umaskini au unataka aseme nini
@khaalidcheo5383Ай бұрын
@@Kwelihukuwekahuru mavi yakuondoa umasikini.anayo?
@khaalidcheo5383Ай бұрын
@@Kwelihukuwekahuru eti kuondoa umasikini.nitajie nchi moja duniani watuwake wanasema wao matajili kwasababu ya mtawala alie madarakani.
@ifmknowledgepower7333Ай бұрын
Ni nchi gani ambayo haina maskini Duniani? Hata marekani kwenyewe kuna maskini tena umaskini uliokithiri, wanaitwa homeless, wanalala mabarabarani tu.
@allymusira2153Ай бұрын
Hakika kabisa tatizo wanasiasa wanatuona wananchi wote ni wajinga pumbavu sana
@yusuphalinani5432Ай бұрын
Mutuache na makonda wetu
@user-qi7px6nb8rАй бұрын
Uhuni mwingi sana.
@emmapaul1766Ай бұрын
@@user-qi7px6nb8r machoko ya ccm
@yohanajackson4160Ай бұрын
Lema 😂😂😂 comedian
@emmapaul1766Ай бұрын
@@yohanajackson4160 choko
@neemanziku5403Ай бұрын
Kweli kabisa mheshimiwa lema sukar imepanda sh 4000 kilo moja, afu pombe Lita sh, 1000 Bora ninywe pombe
Lema ,Lema,lema ulitawala miaka 10 ulifanya nini,Mimi ni Chadema Lakin mnazingua,Mnaongea mengi Lakin hamtoi ufumbuzi,Shenzi na Nusu
@user-lr6qx9df4zАй бұрын
Ww lema nchi gani haina wizi mbona unapotosha watu walio kuwa hawajawahi kusafiri nje ya nchi wakajionea wizi huku wanapiga bunduki ijekua huko wacha kupotosha watu ww wacha upuuzi huo
@user-lr6qx9df4zАй бұрын
Ww lema usidanganye watu sisi tupo nchi za watu huku ndio hayo hayo tu wacha uwongo
@allymusira2153Ай бұрын
Liongo sana hili jamaa wanasiasa wanatuona watu wote wajinga maskini wapo kila nchi hata marekani wanalala nje homeless
@elimishanyamoga6797Ай бұрын
Una akili sana MUNGU akuweke achana na hao mashoga
@venaritovenance9468Ай бұрын
Uyu ana jipya anaongea utumbo ,tafuta sere zingine
@BarakaKihongosiАй бұрын
Huyu atakuwa alilewa maana ameongea utumbo
@hansbukuku762Ай бұрын
Wajumbe ni noma sana aiseee, yaani wale wanaojaa kwenye mikutano ya Mkuu wa Mkoa na wanashangilia kwa kusema “SEMA BABA” na ndo hawa hawa wanaoitikia “PEOPLE’s, POWEEER.” Ukiwategemea wajumbe kuanzisha “VAGI” haki ya mama ndo utayastaajabu ya walimwengu utakapojikuta uko pekee yako eneo la tukio 😄😄😄
@ziddyziddy2524Ай бұрын
Umeona eeee 😅😅😅😅😅 yaani akili mkichwa
@eliudramale5075Ай бұрын
Arusha kaisaidia nn huyu falaa amwachee mtetes wetu makonda kaishiwa sera boyaa huyooo
@HarunaDanielmbanzeofficialАй бұрын
Wew kama unasoma sms hii acha kusema mambo ya utoto kama hayo njaa nikwamtu na iko kila mahari duniani vitu vilipanda bei kote so acha kujichosha tafuta kura kwanjia nyingine mi nakuona uko nanjaa sasa ukipewa chakwanza sikujijenga nawako acha hio siansa niya kitoto
@jacksonsulle6673Ай бұрын
Unampigania nani Lema ,acha hizo blablaa.
@BennihinnyHermanАй бұрын
Jamaaa umechelewa sana, tatizo wakati umepita na ushawishi umepotea!!!! Wanasema kila jambo na wakati wake kama mlitumia wakati wenu kujitaftia basi kwa sasa ni Makonda time.
@allyhasani3750Ай бұрын
Watanzania wengi walinyimwa elimu ya uzalendo ,wengi awaelew maskin awajui wajibu wa selikali
@musamusa6213Ай бұрын
Makonda kaja mda mfupi kwetu kafanya Mambo makubwa arusha wewe ulipo kuwa mbunge ulifanya nn huna jipya kwa makonda.
@balljmushi9599Ай бұрын
Huna loloteee,,,wanaojiuza wapo dunia nzimaaa
@danielmakelemo2395Ай бұрын
Lema umepoteza radha umepwaya
@bushbabytzАй бұрын
Lema ndio Rais wa Arusha
@bonifacemeela5247Ай бұрын
Ila lema Mtata sana Aisee
@mwasavevoАй бұрын
UTATUMIA NJIA GANI KUWAPA WATU AJIRA
@magdalenampanda1426Ай бұрын
Acha mambo muda wote mkoa una watu wenye roho mbaya ulikuwa unaangalia tu, . Sema ukweli acha siasa Maya. Mmeshindwaaaaa
@user-xc7qj7ze7mАй бұрын
Wakati ww ni mbunge arusha hakukua na bodaboda
@geey7893Ай бұрын
Humjui mtu unayemuita Boya wewe😂😂umeyanyaga. Makonda ni chizi kuliko wewe, utajamba Moshi kumaninaa...unafkiri Mchaga mwenzio Yule😂
@@emmapaul1766 hata mama hakosi ukikiona kwa wazazi wawenzako.
@emmapaul1766Ай бұрын
@@Sisopotashiumz kitu anacho mamako choko la Samia wewe
@SisopotashiumzАй бұрын
@@emmapaul1766 umehamia kwa samia sababu ww ndio unamshukuru samia badala ya mungu,choko ni yule baba ako ambae kashindwa kumtomba mama ako kama zamani
@emmapaul1766Ай бұрын
@@Sisopotashiumz choko wewe utandelea kuliwa huko ccm huku ukihongwa buku kwaajiri ya bando wakati wenzio wanakula matrillion ya Dpworld jinga wewe
@habaccucisrael5328Ай бұрын
Viwanda 🏭 kwa vijana 2025-2050
@user-es4uf6gj7uАй бұрын
Watu sasa hivi hawa angalii unatoka chama gani wana angalia jnafanya nn magufuli amebadilisha fikra za watu wengi
@MarckyChollaАй бұрын
Milard ayo huyu fala msomee coment zetu maana akili yake imefyatuka
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
HUYU JAMAA NIMEMSIKILIZA VIZURI SANA KAONGEA VITU VYOTE PAFECT UBALIKIWE KIONGOZI KWA MANENO MAZURI ❤❤❤❤❤😢😢😢😢
@user-fl3fb5gh6bАй бұрын
Wewe ulitaka wafanye nini
@hawakassimu6120Ай бұрын
Hamna sera kwani wanao uza michicha hawana miili ya kuuza ?"eti boda boda wanaua watu watu wanakufa kwa ahadi ya Mungu ama kweli mmekosa sera Wamekosa ajira kuendesha boda boda ulitaka wakaibe ?ulitaka waje kuomba kwako ?
@hawakassimu6120Ай бұрын
Eti nawapiganieni mnanikatisha tamaa nooo thank u unapigania tumbo lako na watoto wako posho yako ya ukimbizi unayopewa huko canada unakula na mtu?si unakula na familia yako na watu wako wa karibu makonda kawashika pabaya
@KalunirashidiАй бұрын
kweli mmekwisha akuna jipya
@eliezamashimba4062Ай бұрын
Kwa keel siasa ya tz bhana Huyu mwamba si alisha wahi kuwa mbuge huko je wananchi aliwapea nn hebu waache watu na ubinifu wao wafanye kazi basi mbona huhu jamaa mtukutu sasa
@jackxonmollel7984Ай бұрын
Mpeni lema arudi aliko toka amwache makonda wa mungu
@muksinimbaruku1233Ай бұрын
Rema kweli Ccm wanazngua ila makonda usimguse utatoka maana
@user-kd3mk4to2hАй бұрын
Kiukweli nchi hii inatakiwa watu shupavu ilintupate mabadiliko ya kweli. Tuwaombee Mungu sanasana
@user-fl3fb5gh6bАй бұрын
Faraa moja huyu
@emmapaul1766Ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6b kafilwe na bashite choko wewe
@johnmalembo6464Ай бұрын
Kenya imemshinda Ruto wewe Tz utaiweza.,...kwetu smani ni bora kuliko ajira....chakula tumezoea kutafuta wenyewe
@KalunirashidiАй бұрын
Kweli mnakosa lakuonge amna oja zamsingi kwann ata izonchizawazungu kama ufanyi kazi uli
@selemanisalum7283Ай бұрын
Hapo kwa wanao jiuza mh umebugi ni tamaa zao Tu wala siyo kwa sababu ya maisha magumu
@ElishaKasambo-yu5jtАй бұрын
Makonda ana karama
@AdamuJuma-tp1xrАй бұрын
Yani wewe huna jipiy mropokajitu
@WazirJuma-gd5ooАй бұрын
Kwa hyo tufanyeje brother
@RomanMwinyiАй бұрын
We ujui chakufanya nenda shule ujitambuee
@stevenjackson4985Ай бұрын
Ndiyo mnavyowajibu wananchi @@RomanMwinyi
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Sasa lema sera ya chadema? Ebu tuambieni utafanya nn mbona naona una lalamika sana. 😢
@sasha-ri7tfАй бұрын
Huna hoja wewe shoga, Mama Samia ndio chaguo letu wa Tz 2025 - 2530 pamoja na viongozi wasaidizi wake wenye kututatulia matatizo yetu kwa vitendo sio porojo. Umaskini ni wakujitakiamwenyewe kwa kutojiengeza. Arzi kupwa tonayo serikali haiwezi kuajiri raia wote milioni (67) serikali imewapa wakulima mbolea bure kwanini wasiende kulima na kuwapandishia bei mazao yao ?...
@bilid4128Ай бұрын
Toa kelele hapa tunajua wewe mwenyewe unatafuta ugali kupitia matatizo ya watu kwa ahadi za uwongo kuwa utayatatua
@AgnessNesphoryАй бұрын
Kwaiyo bodaboda siyo kazi kila nchi duniai kuna bodaboda mamantilie kila seem wapo akuna nchi dunian akuna masikini wala watu wa hali ya chini ujatembea dunian kumbe 😂😂
@patricknewguy8189Ай бұрын
Hivi huyu yupogo
@gracemwakibolwa7910Ай бұрын
Lema soma huku kwanza ndio utajua watu wanakuonaje.
@jomba6514Ай бұрын
Acha kutupigia kelele na chama chenu cha upatu.Muulize mwenye kiti wenu lini atapisha na wengine ukipata ilo jibu endelea kupiga kelele
@MarioNdanzi-kp9hpАй бұрын
Uhuni mtupu
@personpeter2221Ай бұрын
Ww acha uongo kwan ww ukiwa rais utawapa ajila ote ulipokwa mbunge nn ulifanya ???
@boboonesmo5431Ай бұрын
Umeferi kk 😂😂
@kostajoseph5811Ай бұрын
TUNAMSHUKURU RAIS SAMIA , SHULE KILA KATA, HOSPITALI KILA KATA, MAJI YAPO YAKUTISHA, BARABARA ZIMEBORESHWA, AJIRA ZINATOLEWA KILA SIKU, DARAJA LA KIGONGO BUSISI LIMEKAMILIKA, SGR INAFANYA KAZI BWAWA LA UMEME LIMEKAMILIKA NK, NK
@allyhasani3750Ай бұрын
Tembea uone acha uchawa
@mohamedimuhinga9064Ай бұрын
Leo ndio nimegundua kumbe Lema nae yupo kwenye kundi la waduduu
@DeodatuslivingKessyАй бұрын
Bodaboda nikazi kama kazi nyingine achana na bodaboda tafuta sera nyingine mzee umefeli uongozi sio siasa uongozi ni vitendo na utekelezaji wa majukumu chakwanza ni tutambua matatizo ya wananchi na sio kuwaubiria watu bakonda kaja arusha kangundua matatizi mengi ameyajua na kuyatatua
@user-ei6mm3go8wАй бұрын
iiiiiiiiiii MAKONDA MWACHE KAMA ALIVYO TENA UKOME
@joojombi2341Ай бұрын
Muongo mkubwa hayo ndo maisha fatani mkubwa huyo
@mwanajumaomahundumla6504Ай бұрын
Chefuuu
@MohamedRashid-py7roАй бұрын
Huyo Lema anacho sema ni pumba tupu
@user-mn2et2pf6zАй бұрын
Kuhusu swala la mlo ukiona nigarama nenda shambani ukalime ili uondokane na garama za kupima robo ya Michele.
@user-es4uf6gj7uАй бұрын
Binafsi sipendi ccm sijawahi kuipenda lakini namkubali makonda kwa kile ninacho kiona siwezi kukizungumzia nisicho kiona lakini huyu leme ni zaidi ya mbwa mnafki kumatu huyu alipata nafasi hata kama nindogo lakini alikuwa ana nafasi yakuonyesha mfano lakini huyu nimbwa
@jomba6514Ай бұрын
Lema acha wivu wewe uliisha kua mbunge apo ulifanya nini?muache makonda ahudumie watanzaniana.na ujifunze kusifia pia sio kulia lia tu
@MalamboSelijusiАй бұрын
Vikoba oyeeeee
@Eliaskasanya-hm5ykАй бұрын
Wewe utawapa hizo ajira? Acha kudanganya watu wewe
@user-ux3jl9cl4wАй бұрын
Uku liware korosho akuna bei t
@hawakazimoto2949Ай бұрын
9:
@user-wy4fv9vd7wАй бұрын
achana na makonda boya wewe huna sera kalime kahawa
@mashimbazephania3511Ай бұрын
Wala hata haeleweki anachongea, yaani unatetea wezi au unatetea fani yako?
@user-qg1iy5ov3uАй бұрын
Lema ongea Tena mikopo ya mitandaoni tunadhalilishwa sana kisa benki Wana mashariti ya ubepari tusaidie
@MarckyChollaАй бұрын
Lema hatukuelewi tena maana tumegundua wewe siasa zako ni kutafutia tumbo lako tuu tuache na makonda wetu
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
CHADEMA CHAMA CHA MATOKEO. HAMNA CHOCHOTE
@seneu.2128Ай бұрын
Lema na mwenzako Gambo wote hamtakiwi tena ubunge Arusha mjini nendeni mkagombee mlipotoka maana nikama mnabeba watu ufala, hamna uchungu wowote na jimbo na mkoa kwa ujumla. Unamuwaza Makonda maana unajua anapata ushawishi kwa wananchi wengi maana ni mtu mwenye msaada kwa wengi.