No video

LEMA ANGURUMA ARUSHA JIONI HII, ATANGAZA MAANDAMANO NAKUGOMBEA UBUNGE

  Рет қаралды 40,392

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 205
@athuman7480
@athuman7480 6 ай бұрын
Lema unaongea point sana mzee wanahalibu nchi kwa kigezo cha dini
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 6 ай бұрын
Hongera sana Lema kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki sana
@user-jb3zp9uo7o
@user-jb3zp9uo7o 6 ай бұрын
Umeongea point sana Lema.
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 6 ай бұрын
Point mtumishi
@jonaycemoshi7261
@jonaycemoshi7261 6 ай бұрын
For real for sure ushindi uupate kwenye uchaguzi ujao.Unawafaa sana Waarusha na Watanzania kwa ujumla!Viva Hon Lema.
@Kichwakikubwa-y9o
@Kichwakikubwa-y9o 6 ай бұрын
Nakukubali sana Lema
@muhammadkhamis5798
@muhammadkhamis5798 6 ай бұрын
Umeongea point Lema
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 6 ай бұрын
Lema anaweza kupata kura arusha. Bado yupo vizuri
@user-qn8pb9er6c
@user-qn8pb9er6c 6 ай бұрын
Ni kichaa tu hawezi kukuelewa, na aliyebeba laana za kumtosha
@davidlyimo8079
@davidlyimo8079 6 ай бұрын
Tuko pamojaa Mh shimiwaa.....for real you've been spoken the truth in this Earth✌️✌️
@boscokabulwa-uk9gh
@boscokabulwa-uk9gh 6 ай бұрын
Watanzania tambueni jambo hili, wale wote mnazosema kuwa Lema anauraia wa nchi mbili napata shida sana na uelewa wenu maana kwa Sheria za Tanzania haziruhusu mtu mwenye uraia pacha kugombea nafasi yoyote ya uongozi, kwa hiyo nadhani wale wote mnaosema juu ya jambo hilo tambueni mmerishwa ujinga na hao viongizi wa ccm, fuatilieni then mtaelewa ninachosema
@damianmakala2913
@damianmakala2913 6 ай бұрын
Ni kweli maisha ni magumu Sana ! Ila Hata siku moja mwanasiasa hawezi kukubadilishia maisha yako maisha yako yapambanie Mwenyewe yaani hakuna we pambana tu Mwenyewe tutatoboa mwanasiasa hawezi kukugaia pesa bhana yy Mwenyewe anatafuta kula hapo awe ccm au chadema wote matapeli tu
@aaa64sa13
@aaa64sa13 6 ай бұрын
Lema ingelipendeza kueleza ukichaguliwa utawafanyia nini Wanaichi wako. Haya ni Maoni yangu.
@peterjohn2099
@peterjohn2099 6 ай бұрын
Apo atakua anafanya kampeni
@gerardyoung1707
@gerardyoung1707 6 ай бұрын
Kwani aliyoko amekufaniya nn
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 6 ай бұрын
Hahahaaa mgonjwa wa UTI amelipiwa na mbunge wake, dawa enyewe sasa ni AXUMA hahahaaa, Acha kuwachukulia watu kama mtaji
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 6 ай бұрын
Huyo Malasusa Anamfuata Yesu Gani???? Yusu Hakuwa CHAWA! Bloody Kumbafu... Yesu Kila Wakati Alikuwa Anazua Purukushani 1) Na Wakuu wa Makuhani 2) Watoza Ushuru 3) Waandishi, 4) Masadukayo, 5) Na Hata Mzee Mzima Herode na Pilato... MALASUSA NI CHAWA WA MACHAWA Wachafu.
@CyprianMhanga
@CyprianMhanga 6 ай бұрын
Hongela lema
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 6 ай бұрын
AKITOKA HAPO ANAENDA KUMUOMBA SAMIA SULUHU MEETING,,ANAENDA KUMUELEZA SHIDA ZAKE NA KUOMBA ATATULIWE😊😊
@georgepeter2055
@georgepeter2055 6 ай бұрын
Ndio nyie swali suni…. Watu wanazungumzia utaifa unaleta porojo
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 6 ай бұрын
Chadema acheni vurugu!!wakati wa JPM mlitoroka!sasa mmeona kwa mama samia kuna uchochoro!!mnajidanga mama yup very strong!tunajua hamna kazi za kufanya ndiyo sababu mnazurura ma barabarani!
@paulheavyrain9584
@paulheavyrain9584 6 ай бұрын
UGUMU WA MAISHA UONGEZEKE ZAIDI YA HAPA NDIO WATAPATA AKILI. KILO YA SUKARI IFIKE 10,000,
@user-qx7jg4gh6i
@user-qx7jg4gh6i 6 ай бұрын
Mbona ulituongoxa hatukuona msaada wako mdomo tuuu mbora hata mgabo Mara 100
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 6 ай бұрын
Safi sana lema ,sema ukweli kabisa
@mussahancy6591
@mussahancy6591 6 ай бұрын
Kwa mbaaaali naona bendera ya Chama changu pendwa CCM,Lema tulia wakati wako umepitwa
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 6 ай бұрын
Aisee naipenda sana CCM
@powermediatv9878
@powermediatv9878 6 ай бұрын
Tupesera tukuelewe acha ngonjera sukari bei gali tuambie tuambie Bei rahisi ipo wapi hiyo ndio point
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 6 ай бұрын
Lema ngonjera nyingi sana alafu umewapata maboya hapo nao wanakusiliza sjui hawana kazi hao badala wafanye kazi wanaskiliza mistar ya hip hop marehem tupac halaaa
@morrismwaipopo2243
@morrismwaipopo2243 6 ай бұрын
Wana siasa kwa uongo ,juzi tu mmepewa billion mbili na million Mia saba za ruzuku kwanini msiwasaidie wananchi,hataofis mikoan hamna ni aibu tupu
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 6 ай бұрын
Mnajitahidi sana kutushawishi masikini tuwape madaraka mwisho wa siku maisha ni yaleyale
@Kabwela776
@Kabwela776 6 ай бұрын
Muwape muone labda maisha yatakuwa ni bora
@erickbiharagu894
@erickbiharagu894 6 ай бұрын
Wananjaa kam sisi wanatafta magap yqkupga tu
@EliaEgbert
@EliaEgbert 6 ай бұрын
Lema ubunge ni ajira unatafuta ya nini km sio ajira wacha kutudanganya
@melch3097
@melch3097 6 ай бұрын
Usimchague
@erickbiharagu894
@erickbiharagu894 6 ай бұрын
Asaidiane nawaliopo 😊
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 6 ай бұрын
Umemtukana askofu malasusa mweee Mungu anakuona
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 6 ай бұрын
Hawezi pata shida kaongea ukweli watumishi wanatakiwa waongee watoe sauti
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 6 ай бұрын
Marasusa ni mmeo asisemwe kwa ujinga wake!
@SilaMinanda
@SilaMinanda 6 ай бұрын
Malasusa mungu wako sio?
@rasheedmbaraka7199
@rasheedmbaraka7199 6 ай бұрын
Hivi ukiwa kiongozi cdm ukiongea ni mpk uwe km unarap ?..mbn hii style sijui imekopiwa wapi?
@melch3097
@melch3097 6 ай бұрын
Marekani
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
ndiyo
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 6 ай бұрын
Watu wanajisahau nyie, ivi huyu si alikuwa mbunge na akawa anakwenda kueleza utabiri wa nani atakufa badala ya kero za watu huyu
@gangan4618
@gangan4618 6 ай бұрын
Kero ya NCHI hii ni Ma-CCM na VIONGOZI WAKE sasa imepita miaka zaidi 60 baada ya uhuru, Bado Watanzania wana maisha Yale Yale magumu Bora kipindi cha Mkoloni mweupe Kuliko huyu Mkoloni mweusi (CCM) HADI ROHO YAKE NI NYEUSI yaan MAISHA YA GIZA TU Wala hakuna matumaini ya kesho iliyo njema. Mfumo WA kikoloni WA CCM NI LAANA TU... UONGO MWINGI KULIKO UHALISIA WA MAISHA YA WATANZANIA WAZALENDO. Watanzania WAZALENDO WANATESEKA SANA NDANI YA NCHI YAO TANZANIA.
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 6 ай бұрын
KURA YANGU NA FAMILIA YANGU YA MTU 12 KURA ZOTE NI KWAKO LEMA
@user-gq4bq9ff5t
@user-gq4bq9ff5t 6 ай бұрын
Mkuu nakupa big up na nakukubali sana
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 ай бұрын
UYU LEMA NA MWENZAKE LISSU WANAURAIA WA NCHI MBILI ALAFU WANAFANYA SIASA YAKOTOKEA MACHAFUKO WANAKIMBIA
@FrankGabriely-up5yo
@FrankGabriely-up5yo Ай бұрын
Nimekuelewa
@VictorZimba-kg3xr
@VictorZimba-kg3xr 6 ай бұрын
Ni kweli Lena Ila nawakubali sana waloma wanamsimamo viongozi wengi wa dini ni wanafiki sana sana
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 6 ай бұрын
Wape hela basi! Mnajifanya miungu watu! Tushawqsoma!😂😂😂
@saimonmunishi5387
@saimonmunishi5387 6 ай бұрын
kuma la mama ako mbichi na yako imeoza malaya kahaba ww
@mbwanahasan2971
@mbwanahasan2971 6 ай бұрын
Malaya mmoja Ambae hujitambui
@SilaMinanda
@SilaMinanda 6 ай бұрын
Unaongea mavi kipochi manyoya
@Liverpool-uv4fc
@Liverpool-uv4fc 6 ай бұрын
Kweri kaka lema chadema ndio sauti ya mashekh kuriko ccm yyte
@rynesawaya7043
@rynesawaya7043 6 ай бұрын
Ni kweli sio kweri,ni kuliko sio kuriko 😂
@far_hard1301
@far_hard1301 6 ай бұрын
100% trueth we support u 👍
@boscokabulwa-uk9gh
@boscokabulwa-uk9gh 6 ай бұрын
Viva Lema viva😅😅
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 6 ай бұрын
Bob Amsterdam hajaleta Posa tu anasubiri nn? Mwali amekuwa!!
@renatus5687
@renatus5687 6 ай бұрын
Umasikini upo mpaka marekani sembuse bongo tafuteni kazi za kufanya yenu yanawashinda yetu mtayaweza
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
hata huku Umasikini upo
@HappyChuwa-gs8bw
@HappyChuwa-gs8bw 6 күн бұрын
🔜✌️✌️
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 6 ай бұрын
Wenye akili watampa gambo vichaa watampa lema mwenye familia yake canada
@valenakomba7686
@valenakomba7686 6 ай бұрын
ULIPOKUWA MBUNGE ULIWAPA NINI?. HAO MACHANGU?.
@mbwanahasan2971
@mbwanahasan2971 6 ай бұрын
Chawa mwenye akili zilizopo makalioni
@narrissajackson3869
@narrissajackson3869 6 ай бұрын
Ulitaka awape nini
@SilaMinanda
@SilaMinanda 6 ай бұрын
Matako sana kwan waliokua muda huu madarakani wanakupa nini?
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 6 ай бұрын
Rema tupo pamoja Sana tunakuwerewa sana
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 ай бұрын
WEWE LEMA WACHA NJAA KIBARAKA WA BOB AMSTERDAM
@melch3097
@melch3097 6 ай бұрын
Si uwende uwaeleze
@osmanmussa6596
@osmanmussa6596 6 ай бұрын
Kichaa kakutana na vichaa wenzie
@ismailhaji6471
@ismailhaji6471 6 ай бұрын
Kikubwa ni nnchi iwe na amani tu, maisha hayajawah kuwa rahisi tokea enzi hizo
@tato8979
@tato8979 6 ай бұрын
Nikweli kabisaa
@grayjordan3900
@grayjordan3900 6 ай бұрын
Askofu aliongea ukweli wake sasa ulitaka aseme yuko chadema, Jinga kabisa huyu jamaa
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 6 ай бұрын
WAHUNI BADO WANAONGELEA MATUKIO WALA HAWANA HOJA MAMA KAWAPA DOZI WAMECHANGANYIKIWA 😢😢😢😢
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
Bora uwaambie Waislamu kama Mashekh walifungwa na Kikwete
@AnastaziaKundi-mv8mr
@AnastaziaKundi-mv8mr 6 ай бұрын
Hapo nikichaaa kakutana na kichaka mwenzio
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 6 ай бұрын
Bingwa anatafuta utajiri Kwa nguvu Kweli kweli alipokuwa mbunge mlikuwa Na shida miaka Kumi Arusha haikubadilika wadanganye dogo😅😅
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 6 ай бұрын
Walahi kama nyie watu wa arusha mnampenda huyo lema mwulize ,hivi ni mtanzania au ni nani,huyu jamaa mwongo haswaaaa haswaaa
@melch3097
@melch3097 6 ай бұрын
Muulize baba yako vizuri akwambie ukweli, kama yeye nimtanzania
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 6 ай бұрын
@@melch3097 nisaidie kumwuliza babako
@SilaMinanda
@SilaMinanda 6 ай бұрын
Jakaya sio muislam wa kweli ni shetani kama mashetani wengine, yeye ana abudu pesa mjinga
@user-ss1ph9vp7h
@user-ss1ph9vp7h 6 ай бұрын
My people
@JudithAdonis
@JudithAdonis 6 ай бұрын
MUNGU ATUJALIE AMANI IDUMU TANZANIA
@This-f1k
@This-f1k 6 ай бұрын
Viva chadema
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 6 ай бұрын
Waambie hao
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 ай бұрын
WANASHILIKIANA NA MAJASUSI WEZI WA MADINI YETU WAKANADA NA WABERINJIAM HAWA C WATU WAZURI
@Kabwela776
@Kabwela776 6 ай бұрын
Ujinga ni ugonjwa
@mahijayusuph8186
@mahijayusuph8186 6 ай бұрын
Tangaza sera
@melch3097
@melch3097 6 ай бұрын
Kwani kiziwi utasikia
@restitutalucian78
@restitutalucian78 6 ай бұрын
Naipendaga chadema, lakini wanakoseaga kuweka wagombea wao.
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 ай бұрын
WATANZANIA KUWENI MAKINI AWA WANAURAIA WA NCHI MBILI ALAFU WANAFANYA SIASA VIBARAKA
@mwlpierre
@mwlpierre 6 ай бұрын
Kwenda k- - -a Wewe!
@HappyChuwa-gs8bw
@HappyChuwa-gs8bw 6 күн бұрын
Tafta n. Ww
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 күн бұрын
@@HappyChuwa-gs8bw wewe unaulaia wanchi mbili mbona unawaka mnyarwanda
@HappyChuwa-gs8bw
@HappyChuwa-gs8bw 6 күн бұрын
@@KingBuddah-nx3ui au cyo
@ayubujumaa5011
@ayubujumaa5011 6 ай бұрын
Wewe vipi kwani chadema haina nguvu wapii?1
@FurahaMwandoje
@FurahaMwandoje 6 ай бұрын
Mtamsema alikimbilia Canada ni sawa,kati yenu ni nani angesubiria kupigwa risasi kama Lissu?.Kama Mungu amekujalia haujawahi kuonewa wewe mshukuru Mungu na sio kuwabeza waliokimbia kujiokoa na watu waliokosa utu.
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 6 ай бұрын
Asipigwe heche aliekua na mdomo mchafuu kwa magu apigwe lema huyu aliwah fursa nje kwasababu alijua hapa hana lake
@rasnchimbi
@rasnchimbi 6 ай бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@user-og4ox5jb4v
@user-og4ox5jb4v 6 ай бұрын
Mimi Niko kigoma lakini nakukubali mno
@jakuabdull34
@jakuabdull34 6 ай бұрын
Kwisha habari yako kama udini ww ndo unahubiri udini
@restitutalucian78
@restitutalucian78 6 ай бұрын
Ila Kwa Arusha Bado Jimbo utachukua. Sababu mgambo wameshatengeneza mazingira ya kushindwa
@MmbarukuAbibu
@MmbarukuAbibu 6 ай бұрын
Mbona pemben kuna bendela ya ccm😅😅😅😅
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 6 ай бұрын
Hapo Kuna shina la CCM na chadema.
@daudisalum9574
@daudisalum9574 6 ай бұрын
Nabiii lema tupo pamoja kamanda
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 6 ай бұрын
Duu nabii tena
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 6 ай бұрын
Acha uwongo mbona huna hoja .mwizi mkubwa .
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 6 ай бұрын
we fala
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 6 ай бұрын
We zombi hujielew kabisa na akili yako matope
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 6 ай бұрын
Usitukane watu wanaotoa mawazo yao,hata Kama Wewe Ni mjumbe wa nyumba 10 CCM,hiyo siyo leseni ya kutukana watu!
@dynamicmwakibinga4371
@dynamicmwakibinga4371 6 ай бұрын
Good
@titonkwabi7430
@titonkwabi7430 6 ай бұрын
Mgonjwa na tapeli wa kisiasa huyu.Hutapata tena ubunge wewe,wewe ni tapeli kama matapeli wenzio.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 6 ай бұрын
Mimi sio wa arusha ningekuwa ningekupigia kura
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 ай бұрын
WEWE NI KIBARAKA WA WACANADA WANATUIBIA MEDINA YETU
@Tatianusi-zr6pz
@Tatianusi-zr6pz 6 ай бұрын
We kiazi Tena kitamu kwerkwer kwani hao waCANADA madini wanayoyaiba wanayachukua chini ya selikar ya chama kipi kwa mikataba baina yao na serikari ipi? Lejea mchango wa Lisu bungeni dhidi ya madini anawaambia nini ma ccm dhidi ya mikataba ya uchimbaji wa madini nchini. Alafu nawewe unanifanya kulopoka et mjinga mmoja ww.
@husseinmaingo5009
@husseinmaingo5009 6 ай бұрын
Mi napitia comment tu maana kusikiliza unafiki ndo sipendagi
@mwanahamisinyenzi-vo6mj
@mwanahamisinyenzi-vo6mj 6 ай бұрын
Tuko pamoja
@OmbeniShoo-kg8dr
@OmbeniShoo-kg8dr 6 ай бұрын
Ukizaliwa kwenye ujinga usitegemee ujinga wako uko kwa wengine someni majira na nyakati zama za giza zimepita sasa hivi ni peupee uongo huwa haudumu una ukomo wake na ukifika. ni aibu ukweli hauna mwisho.
@newtonmwongi3647
@newtonmwongi3647 6 ай бұрын
Huyu mjinga hana point anatukana DADA zetu.
@kaayakitomary1233
@kaayakitomary1233 6 ай бұрын
Dada yako nana huna akili kweli hujawaona kwasababu huna dada yako anajiuza
@user-bv5ym1ov7m
@user-bv5ym1ov7m 6 ай бұрын
Unatangaza kugombea 2025 kwa hiyo hamna wagombea wengine wa chadema hapo? Ni umsukule
@elymollel
@elymollel 6 ай бұрын
Unategemea maaskofu na mashekh wanga'nga'anie katiba mpya ilihali wao wanapata ushirikiano wa kutosha serikalini? Nafkiri ungetenganisha dini na siasa, usitegemee ushirikiano kutoka kwao.
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 6 ай бұрын
Wacha Ujinga wewe LEMA sana ni njaa tu unaleta miaka ulio kaa mitano ulifanya nini
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 6 ай бұрын
Wewe mwenyewe mpigaji tu! Rudi Canada kaka na wanao!😅😅
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 6 ай бұрын
Ivi m2 kaka ww unakomenti ujinga una kua mchawi au ndo elim ndigo yani watu Wana pambana kukwamua inchii jitu alijulikani ata linapo ishi linaongea pumba ivi uwoni maisha mtaani yalivyooo kua magumu au uchizi kuzaliwa naoo
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 6 ай бұрын
@@RomanMwinyi usinilazimishe kuwa na mawazo yako! Wewe ni wewe na mimi ni mimi ! Bando langu na mawazo ni yangu! Take your time! Tumekunywa maji ya bendera!!!....
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 6 ай бұрын
@@dorothmsuya1686 m2 anaejitambua akiona anaona una akili nibola iyo jelo yako ya bando kanunu bangi uvute ukalale una maajabu mawazo finyu una leta kwa wasomi unaonekana mjinga
@Kabwela776
@Kabwela776 6 ай бұрын
@@dorothmsuya1686una maisha mazuri unakunywa chai na sukari au ukaa gizani na unakunywa chai bila sukari ☕️
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 ай бұрын
SISI TUSIWASIKILIZE VIBARAKA TUWE MBALI WANATUCHONGANISHA BAADAE WANAKIMBIA
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 ай бұрын
WATANZANIA WAPENI URAIA NA WATANZANIA WANAOISHI URAYA MBONA UYU ANAURAIA WA NCHI MBILI
@user-fe9po2tr5v
@user-fe9po2tr5v 5 ай бұрын
Niko. Simiyu. Nakuelewa. Mno
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 6 ай бұрын
WEWE C MTANZANIA WEWE LEMA MCANADA NANI ASIEJUA
@swahibal-karama145
@swahibal-karama145 6 ай бұрын
@all Msidanganywe na hawa matapeli wakisiasa hakuna Mageuzi yoyote kupitia mfumo huu Wa Kidemocrasia ya vyama vingi.
@frankcryk3241
@frankcryk3241 6 ай бұрын
wewe mwenyewe tapeli wakidini?
@swahibal-karama145
@swahibal-karama145 6 ай бұрын
@@frankcryk3241 AMA WE KWELI CHIZI TAPELI WA KIDINI NDIO NINI SASA:
@leonardmartine662
@leonardmartine662 6 ай бұрын
Uko vzuli kamanda
@mgayamgaya
@mgayamgaya 6 ай бұрын
2025 ole wao waibe kura tena, we ni mbunge wangu na njiro mimi ntakuwa diwani
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 ай бұрын
Una waamini wanasiasa wakutajirishe.😮😮
@dianamakyara4210
@dianamakyara4210 6 ай бұрын
✌️✌️
@user-sr1ch3zn8j
@user-sr1ch3zn8j 6 ай бұрын
Mshamba
@jumadinya3796
@jumadinya3796 6 ай бұрын
Njaa inakusupua huna lamaana hata moja peleka moshi maandamano acha waarusha wafanye wenyewe wewe peleka moshi kwenu acha kuchafua miji ya wengine nyinyi mnakwepa huko moshi kuna nini
@petermogha7025
@petermogha7025 6 ай бұрын
Walianza kipindi ngani. Acha kudanganya lema Mlina ilkuwepo tangu zamani
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
Lema hupati Ubunge kamwe
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x 6 ай бұрын
✌️✌️💯
@yusuphswaibu8532
@yusuphswaibu8532 6 ай бұрын
Acha kueneza udini eleza utafanya nn ukichaguliwa rofa ww
@Tatianusi-zr6pz
@Tatianusi-zr6pz 6 ай бұрын
Pole brother unaitaji kuombewa na huo udini Ili ujinga ukutoke maana jamaa ajaeneza udini pale badala yake anauelimisha uma wa Wana Arusha dhidi ya janjajanja za ma ccm wanazozitumia kupola mali za waTanzania Hila kwavile una upofu wa akili ndo maana umeona hivo. Pole kwa malanyingine brother
@mot.tvmsamvu6770
@mot.tvmsamvu6770 6 ай бұрын
ccm imekusaidia nini ww
@mussamsuva3995
@mussamsuva3995 6 ай бұрын
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 6 ай бұрын
Kiongozi pekee wa chadema mwenye mvuto aliebaki ni huyu peke yake agombee tu urais
@kambamazig02024
@kambamazig02024 6 ай бұрын
Maneno matupu, hakuna lolote hapa anaandika historia upya! Ni lini ulikuwa mtetezi?
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 6 ай бұрын
Na hupati kura kweli! Unajisikia sana! Tazama unavyowasema viongozi wa dini sababu ya njaa yako!
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
Doroth hapati kawatukana sanaaaa watumishi na Mungu wachungaji mshenzi huyo
@allandavid752
@allandavid752 6 ай бұрын
Wachungaji wamekua washenzi na wanafiki wenye kujikomba
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
@@allandavid752 biblia agano la kale lilisema kutatokea manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk sasa ndugu yangu ndiyo uyajue hayo dini ni biashara nzuri sana na wanaopatikana kwa wingi kwenda huko ni wanawake kama wanavyoshinda kwa waganga wa kienyeji hawa wanatumia tunguli hawa wanatumia biblia hapo sasa moto mkali
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 73 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 26 МЛН
白天使选错惹黑天使生气。#天使 #小丑女
00:31
天使夫妇
Рет қаралды 14 МЛН
KENYA :GEN Z WAAMKA TENA MAANDAMANO WAKIIMUHITAJI RAISI RUTO KUACHIA MADARAKA
8:41
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 73 МЛН