Lema unaongea point sana mzee wanahalibu nchi kwa kigezo cha dini
@KamwandaNzowa-eo4ur6 ай бұрын
Hongera sana Lema kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki sana
@user-jb3zp9uo7o6 ай бұрын
Umeongea point sana Lema.
@nyabahailani31696 ай бұрын
Point mtumishi
@jonaycemoshi72616 ай бұрын
For real for sure ushindi uupate kwenye uchaguzi ujao.Unawafaa sana Waarusha na Watanzania kwa ujumla!Viva Hon Lema.
@Kichwakikubwa-y9o6 ай бұрын
Nakukubali sana Lema
@muhammadkhamis57986 ай бұрын
Umeongea point Lema
@user-sj3wf5vz7l6 ай бұрын
Lema anaweza kupata kura arusha. Bado yupo vizuri
@user-qn8pb9er6c6 ай бұрын
Ni kichaa tu hawezi kukuelewa, na aliyebeba laana za kumtosha
@davidlyimo80796 ай бұрын
Tuko pamojaa Mh shimiwaa.....for real you've been spoken the truth in this Earth✌️✌️
@boscokabulwa-uk9gh6 ай бұрын
Watanzania tambueni jambo hili, wale wote mnazosema kuwa Lema anauraia wa nchi mbili napata shida sana na uelewa wenu maana kwa Sheria za Tanzania haziruhusu mtu mwenye uraia pacha kugombea nafasi yoyote ya uongozi, kwa hiyo nadhani wale wote mnaosema juu ya jambo hilo tambueni mmerishwa ujinga na hao viongizi wa ccm, fuatilieni then mtaelewa ninachosema
@damianmakala29136 ай бұрын
Ni kweli maisha ni magumu Sana ! Ila Hata siku moja mwanasiasa hawezi kukubadilishia maisha yako maisha yako yapambanie Mwenyewe yaani hakuna we pambana tu Mwenyewe tutatoboa mwanasiasa hawezi kukugaia pesa bhana yy Mwenyewe anatafuta kula hapo awe ccm au chadema wote matapeli tu
@aaa64sa136 ай бұрын
Lema ingelipendeza kueleza ukichaguliwa utawafanyia nini Wanaichi wako. Haya ni Maoni yangu.
@peterjohn20996 ай бұрын
Apo atakua anafanya kampeni
@gerardyoung17076 ай бұрын
Kwani aliyoko amekufaniya nn
@isackkivuyo19806 ай бұрын
Hahahaaa mgonjwa wa UTI amelipiwa na mbunge wake, dawa enyewe sasa ni AXUMA hahahaaa, Acha kuwachukulia watu kama mtaji
@ThobiasMarandu6 ай бұрын
Huyo Malasusa Anamfuata Yesu Gani???? Yusu Hakuwa CHAWA! Bloody Kumbafu... Yesu Kila Wakati Alikuwa Anazua Purukushani 1) Na Wakuu wa Makuhani 2) Watoza Ushuru 3) Waandishi, 4) Masadukayo, 5) Na Hata Mzee Mzima Herode na Pilato... MALASUSA NI CHAWA WA MACHAWA Wachafu.
@CyprianMhanga6 ай бұрын
Hongela lema
@hassanbakari45256 ай бұрын
AKITOKA HAPO ANAENDA KUMUOMBA SAMIA SULUHU MEETING,,ANAENDA KUMUELEZA SHIDA ZAKE NA KUOMBA ATATULIWE😊😊
@georgepeter20556 ай бұрын
Ndio nyie swali suni…. Watu wanazungumzia utaifa unaleta porojo
@hamzakimaro37646 ай бұрын
Chadema acheni vurugu!!wakati wa JPM mlitoroka!sasa mmeona kwa mama samia kuna uchochoro!!mnajidanga mama yup very strong!tunajua hamna kazi za kufanya ndiyo sababu mnazurura ma barabarani!
@paulheavyrain95846 ай бұрын
UGUMU WA MAISHA UONGEZEKE ZAIDI YA HAPA NDIO WATAPATA AKILI. KILO YA SUKARI IFIKE 10,000,
@user-qx7jg4gh6i6 ай бұрын
Mbona ulituongoxa hatukuona msaada wako mdomo tuuu mbora hata mgabo Mara 100
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Safi sana lema ,sema ukweli kabisa
@mussahancy65916 ай бұрын
Kwa mbaaaali naona bendera ya Chama changu pendwa CCM,Lema tulia wakati wako umepitwa
@JophasJohn-oh8zu6 ай бұрын
Aisee naipenda sana CCM
@powermediatv98786 ай бұрын
Tupesera tukuelewe acha ngonjera sukari bei gali tuambie tuambie Bei rahisi ipo wapi hiyo ndio point
@davidmalisa80436 ай бұрын
Lema ngonjera nyingi sana alafu umewapata maboya hapo nao wanakusiliza sjui hawana kazi hao badala wafanye kazi wanaskiliza mistar ya hip hop marehem tupac halaaa
@morrismwaipopo22436 ай бұрын
Wana siasa kwa uongo ,juzi tu mmepewa billion mbili na million Mia saba za ruzuku kwanini msiwasaidie wananchi,hataofis mikoan hamna ni aibu tupu
@user-bz5ti6op6z6 ай бұрын
Mnajitahidi sana kutushawishi masikini tuwape madaraka mwisho wa siku maisha ni yaleyale
@Kabwela7766 ай бұрын
Muwape muone labda maisha yatakuwa ni bora
@erickbiharagu8946 ай бұрын
Wananjaa kam sisi wanatafta magap yqkupga tu
@EliaEgbert6 ай бұрын
Lema ubunge ni ajira unatafuta ya nini km sio ajira wacha kutudanganya
Hivi ukiwa kiongozi cdm ukiongea ni mpk uwe km unarap ?..mbn hii style sijui imekopiwa wapi?
@melch30976 ай бұрын
Marekani
@trophywilson72116 ай бұрын
ndiyo
@tiffanyakramJr8226 ай бұрын
Watu wanajisahau nyie, ivi huyu si alikuwa mbunge na akawa anakwenda kueleza utabiri wa nani atakufa badala ya kero za watu huyu
@gangan46186 ай бұрын
Kero ya NCHI hii ni Ma-CCM na VIONGOZI WAKE sasa imepita miaka zaidi 60 baada ya uhuru, Bado Watanzania wana maisha Yale Yale magumu Bora kipindi cha Mkoloni mweupe Kuliko huyu Mkoloni mweusi (CCM) HADI ROHO YAKE NI NYEUSI yaan MAISHA YA GIZA TU Wala hakuna matumaini ya kesho iliyo njema. Mfumo WA kikoloni WA CCM NI LAANA TU... UONGO MWINGI KULIKO UHALISIA WA MAISHA YA WATANZANIA WAZALENDO. Watanzania WAZALENDO WANATESEKA SANA NDANI YA NCHI YAO TANZANIA.
@odoieriasmonga65916 ай бұрын
KURA YANGU NA FAMILIA YANGU YA MTU 12 KURA ZOTE NI KWAKO LEMA
@user-gq4bq9ff5t6 ай бұрын
Mkuu nakupa big up na nakukubali sana
@KingBuddah-nx3ui6 ай бұрын
UYU LEMA NA MWENZAKE LISSU WANAURAIA WA NCHI MBILI ALAFU WANAFANYA SIASA YAKOTOKEA MACHAFUKO WANAKIMBIA
@FrankGabriely-up5yoАй бұрын
Nimekuelewa
@VictorZimba-kg3xr6 ай бұрын
Ni kweli Lena Ila nawakubali sana waloma wanamsimamo viongozi wengi wa dini ni wanafiki sana sana
@dorothmsuya16866 ай бұрын
Wape hela basi! Mnajifanya miungu watu! Tushawqsoma!😂😂😂
@saimonmunishi53876 ай бұрын
kuma la mama ako mbichi na yako imeoza malaya kahaba ww
@mbwanahasan29716 ай бұрын
Malaya mmoja Ambae hujitambui
@SilaMinanda6 ай бұрын
Unaongea mavi kipochi manyoya
@Liverpool-uv4fc6 ай бұрын
Kweri kaka lema chadema ndio sauti ya mashekh kuriko ccm yyte
@rynesawaya70436 ай бұрын
Ni kweli sio kweri,ni kuliko sio kuriko 😂
@far_hard13016 ай бұрын
100% trueth we support u 👍
@boscokabulwa-uk9gh6 ай бұрын
Viva Lema viva😅😅
@ramadhanmwandambotuntufye59726 ай бұрын
Bob Amsterdam hajaleta Posa tu anasubiri nn? Mwali amekuwa!!
@renatus56876 ай бұрын
Umasikini upo mpaka marekani sembuse bongo tafuteni kazi za kufanya yenu yanawashinda yetu mtayaweza
@trophywilson72116 ай бұрын
hata huku Umasikini upo
@HappyChuwa-gs8bw6 күн бұрын
🔜✌️✌️
@PrinceHendry-hp8vv6 ай бұрын
Wenye akili watampa gambo vichaa watampa lema mwenye familia yake canada
@valenakomba76866 ай бұрын
ULIPOKUWA MBUNGE ULIWAPA NINI?. HAO MACHANGU?.
@mbwanahasan29716 ай бұрын
Chawa mwenye akili zilizopo makalioni
@narrissajackson38696 ай бұрын
Ulitaka awape nini
@SilaMinanda6 ай бұрын
Matako sana kwan waliokua muda huu madarakani wanakupa nini?
@mnolamanyendi49566 ай бұрын
Rema tupo pamoja Sana tunakuwerewa sana
@KingBuddah-nx3ui6 ай бұрын
WEWE LEMA WACHA NJAA KIBARAKA WA BOB AMSTERDAM
@melch30976 ай бұрын
Si uwende uwaeleze
@osmanmussa65966 ай бұрын
Kichaa kakutana na vichaa wenzie
@ismailhaji64716 ай бұрын
Kikubwa ni nnchi iwe na amani tu, maisha hayajawah kuwa rahisi tokea enzi hizo
@tato89796 ай бұрын
Nikweli kabisaa
@grayjordan39006 ай бұрын
Askofu aliongea ukweli wake sasa ulitaka aseme yuko chadema, Jinga kabisa huyu jamaa
@OmmyJames-xn7ji6 ай бұрын
WAHUNI BADO WANAONGELEA MATUKIO WALA HAWANA HOJA MAMA KAWAPA DOZI WAMECHANGANYIKIWA 😢😢😢😢
@trophywilson72116 ай бұрын
Bora uwaambie Waislamu kama Mashekh walifungwa na Kikwete
@AnastaziaKundi-mv8mr6 ай бұрын
Hapo nikichaaa kakutana na kichaka mwenzio
@aediayumgo85466 ай бұрын
Bingwa anatafuta utajiri Kwa nguvu Kweli kweli alipokuwa mbunge mlikuwa Na shida miaka Kumi Arusha haikubadilika wadanganye dogo😅😅
@isackkivuyo19806 ай бұрын
Walahi kama nyie watu wa arusha mnampenda huyo lema mwulize ,hivi ni mtanzania au ni nani,huyu jamaa mwongo haswaaaa haswaaa
@melch30976 ай бұрын
Muulize baba yako vizuri akwambie ukweli, kama yeye nimtanzania
@isackkivuyo19806 ай бұрын
@@melch3097 nisaidie kumwuliza babako
@SilaMinanda6 ай бұрын
Jakaya sio muislam wa kweli ni shetani kama mashetani wengine, yeye ana abudu pesa mjinga
@user-ss1ph9vp7h6 ай бұрын
My people
@JudithAdonis6 ай бұрын
MUNGU ATUJALIE AMANI IDUMU TANZANIA
@This-f1k6 ай бұрын
Viva chadema
@HijaSaid-xd7fg6 ай бұрын
Waambie hao
@KingBuddah-nx3ui6 ай бұрын
WANASHILIKIANA NA MAJASUSI WEZI WA MADINI YETU WAKANADA NA WABERINJIAM HAWA C WATU WAZURI
@Kabwela7766 ай бұрын
Ujinga ni ugonjwa
@mahijayusuph81866 ай бұрын
Tangaza sera
@melch30976 ай бұрын
Kwani kiziwi utasikia
@restitutalucian786 ай бұрын
Naipendaga chadema, lakini wanakoseaga kuweka wagombea wao.
@KingBuddah-nx3ui6 ай бұрын
WATANZANIA KUWENI MAKINI AWA WANAURAIA WA NCHI MBILI ALAFU WANAFANYA SIASA VIBARAKA
@mwlpierre6 ай бұрын
Kwenda k- - -a Wewe!
@HappyChuwa-gs8bw6 күн бұрын
Tafta n. Ww
@KingBuddah-nx3ui6 күн бұрын
@@HappyChuwa-gs8bw wewe unaulaia wanchi mbili mbona unawaka mnyarwanda
@HappyChuwa-gs8bw6 күн бұрын
@@KingBuddah-nx3ui au cyo
@ayubujumaa50116 ай бұрын
Wewe vipi kwani chadema haina nguvu wapii?1
@FurahaMwandoje6 ай бұрын
Mtamsema alikimbilia Canada ni sawa,kati yenu ni nani angesubiria kupigwa risasi kama Lissu?.Kama Mungu amekujalia haujawahi kuonewa wewe mshukuru Mungu na sio kuwabeza waliokimbia kujiokoa na watu waliokosa utu.
@PrinceHendry-hp8vv6 ай бұрын
Asipigwe heche aliekua na mdomo mchafuu kwa magu apigwe lema huyu aliwah fursa nje kwasababu alijua hapa hana lake
@rasnchimbi6 ай бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@user-og4ox5jb4v6 ай бұрын
Mimi Niko kigoma lakini nakukubali mno
@jakuabdull346 ай бұрын
Kwisha habari yako kama udini ww ndo unahubiri udini
@restitutalucian786 ай бұрын
Ila Kwa Arusha Bado Jimbo utachukua. Sababu mgambo wameshatengeneza mazingira ya kushindwa
@MmbarukuAbibu6 ай бұрын
Mbona pemben kuna bendela ya ccm😅😅😅😅
@JK-uq1tv6 ай бұрын
Hapo Kuna shina la CCM na chadema.
@daudisalum95746 ай бұрын
Nabiii lema tupo pamoja kamanda
@fahadfaraj64746 ай бұрын
Duu nabii tena
@clemencemkondya85616 ай бұрын
Acha uwongo mbona huna hoja .mwizi mkubwa .
@muhsinikoki40606 ай бұрын
we fala
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi6 ай бұрын
We zombi hujielew kabisa na akili yako matope
@brysonkaale30036 ай бұрын
Usitukane watu wanaotoa mawazo yao,hata Kama Wewe Ni mjumbe wa nyumba 10 CCM,hiyo siyo leseni ya kutukana watu!
@dynamicmwakibinga43716 ай бұрын
Good
@titonkwabi74306 ай бұрын
Mgonjwa na tapeli wa kisiasa huyu.Hutapata tena ubunge wewe,wewe ni tapeli kama matapeli wenzio.
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Mimi sio wa arusha ningekuwa ningekupigia kura
@KingBuddah-nx3ui6 ай бұрын
WEWE NI KIBARAKA WA WACANADA WANATUIBIA MEDINA YETU
@Tatianusi-zr6pz6 ай бұрын
We kiazi Tena kitamu kwerkwer kwani hao waCANADA madini wanayoyaiba wanayachukua chini ya selikar ya chama kipi kwa mikataba baina yao na serikari ipi? Lejea mchango wa Lisu bungeni dhidi ya madini anawaambia nini ma ccm dhidi ya mikataba ya uchimbaji wa madini nchini. Alafu nawewe unanifanya kulopoka et mjinga mmoja ww.
@husseinmaingo50096 ай бұрын
Mi napitia comment tu maana kusikiliza unafiki ndo sipendagi
@mwanahamisinyenzi-vo6mj6 ай бұрын
Tuko pamoja
@OmbeniShoo-kg8dr6 ай бұрын
Ukizaliwa kwenye ujinga usitegemee ujinga wako uko kwa wengine someni majira na nyakati zama za giza zimepita sasa hivi ni peupee uongo huwa haudumu una ukomo wake na ukifika. ni aibu ukweli hauna mwisho.
Unatangaza kugombea 2025 kwa hiyo hamna wagombea wengine wa chadema hapo? Ni umsukule
@elymollel6 ай бұрын
Unategemea maaskofu na mashekh wanga'nga'anie katiba mpya ilihali wao wanapata ushirikiano wa kutosha serikalini? Nafkiri ungetenganisha dini na siasa, usitegemee ushirikiano kutoka kwao.
@mohamedrashid90356 ай бұрын
Wacha Ujinga wewe LEMA sana ni njaa tu unaleta miaka ulio kaa mitano ulifanya nini
@dorothmsuya16866 ай бұрын
Wewe mwenyewe mpigaji tu! Rudi Canada kaka na wanao!😅😅
@RomanMwinyi6 ай бұрын
Ivi m2 kaka ww unakomenti ujinga una kua mchawi au ndo elim ndigo yani watu Wana pambana kukwamua inchii jitu alijulikani ata linapo ishi linaongea pumba ivi uwoni maisha mtaani yalivyooo kua magumu au uchizi kuzaliwa naoo
@dorothmsuya16866 ай бұрын
@@RomanMwinyi usinilazimishe kuwa na mawazo yako! Wewe ni wewe na mimi ni mimi ! Bando langu na mawazo ni yangu! Take your time! Tumekunywa maji ya bendera!!!....
@RomanMwinyi6 ай бұрын
@@dorothmsuya1686 m2 anaejitambua akiona anaona una akili nibola iyo jelo yako ya bando kanunu bangi uvute ukalale una maajabu mawazo finyu una leta kwa wasomi unaonekana mjinga
@Kabwela7766 ай бұрын
@@dorothmsuya1686una maisha mazuri unakunywa chai na sukari au ukaa gizani na unakunywa chai bila sukari ☕️
@KingBuddah-nx3ui6 ай бұрын
SISI TUSIWASIKILIZE VIBARAKA TUWE MBALI WANATUCHONGANISHA BAADAE WANAKIMBIA
@KingBuddah-nx3ui6 ай бұрын
WATANZANIA WAPENI URAIA NA WATANZANIA WANAOISHI URAYA MBONA UYU ANAURAIA WA NCHI MBILI
@user-fe9po2tr5v5 ай бұрын
Niko. Simiyu. Nakuelewa. Mno
@KingBuddah-nx3ui6 ай бұрын
WEWE C MTANZANIA WEWE LEMA MCANADA NANI ASIEJUA
@swahibal-karama1456 ай бұрын
@all Msidanganywe na hawa matapeli wakisiasa hakuna Mageuzi yoyote kupitia mfumo huu Wa Kidemocrasia ya vyama vingi.
@frankcryk32416 ай бұрын
wewe mwenyewe tapeli wakidini?
@swahibal-karama1456 ай бұрын
@@frankcryk3241 AMA WE KWELI CHIZI TAPELI WA KIDINI NDIO NINI SASA:
@leonardmartine6626 ай бұрын
Uko vzuli kamanda
@mgayamgaya6 ай бұрын
2025 ole wao waibe kura tena, we ni mbunge wangu na njiro mimi ntakuwa diwani
@gracekagoma32316 ай бұрын
Una waamini wanasiasa wakutajirishe.😮😮
@dianamakyara42106 ай бұрын
✌️✌️
@user-sr1ch3zn8j6 ай бұрын
Mshamba
@jumadinya37966 ай бұрын
Njaa inakusupua huna lamaana hata moja peleka moshi maandamano acha waarusha wafanye wenyewe wewe peleka moshi kwenu acha kuchafua miji ya wengine nyinyi mnakwepa huko moshi kuna nini
@petermogha70256 ай бұрын
Walianza kipindi ngani. Acha kudanganya lema Mlina ilkuwepo tangu zamani
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Lema hupati Ubunge kamwe
@user-gy5gu1mn4x6 ай бұрын
✌️✌️💯
@yusuphswaibu85326 ай бұрын
Acha kueneza udini eleza utafanya nn ukichaguliwa rofa ww
@Tatianusi-zr6pz6 ай бұрын
Pole brother unaitaji kuombewa na huo udini Ili ujinga ukutoke maana jamaa ajaeneza udini pale badala yake anauelimisha uma wa Wana Arusha dhidi ya janjajanja za ma ccm wanazozitumia kupola mali za waTanzania Hila kwavile una upofu wa akili ndo maana umeona hivo. Pole kwa malanyingine brother
@mot.tvmsamvu67706 ай бұрын
ccm imekusaidia nini ww
@mussamsuva39956 ай бұрын
❤
@adamkapolo88176 ай бұрын
Kiongozi pekee wa chadema mwenye mvuto aliebaki ni huyu peke yake agombee tu urais
@kambamazig020246 ай бұрын
Maneno matupu, hakuna lolote hapa anaandika historia upya! Ni lini ulikuwa mtetezi?
@dorothmsuya16866 ай бұрын
Na hupati kura kweli! Unajisikia sana! Tazama unavyowasema viongozi wa dini sababu ya njaa yako!
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Doroth hapati kawatukana sanaaaa watumishi na Mungu wachungaji mshenzi huyo
@allandavid7526 ай бұрын
Wachungaji wamekua washenzi na wanafiki wenye kujikomba
@margarethpolepole74386 ай бұрын
@@allandavid752 biblia agano la kale lilisema kutatokea manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk sasa ndugu yangu ndiyo uyajue hayo dini ni biashara nzuri sana na wanaopatikana kwa wingi kwenda huko ni wanawake kama wanavyoshinda kwa waganga wa kienyeji hawa wanatumia tunguli hawa wanatumia biblia hapo sasa moto mkali