Audience ni wana-SUA ni vigumu sana ku-perform mbele yao ni wana stress ya Chuo😂😂
@BUCHOSAONLINETV2 жыл бұрын
Sahiv uumiz kichwa am your fan... Leonard ebu Leta yale mapunchline y fainal
@bouzocartoon30442 жыл бұрын
Aiseee JAMAA ulikua unaongea vitu vinachekesha sana, ila ulikua kwenye WRONG AUDIANCE ... hapo hawakuwepo wa kuweza kufafanua kwa haraka uliokua unayamaanisha. POLE SANA mkuu, Ilikua one of your best perfomance, Nataman uyarudie yoote hayo kwenye Cheka tu.
@omarkipotwile9052 Жыл бұрын
Hii Audience wote wana stress, changamoto sana kwa mwamba
@fransismange10912 жыл бұрын
Hii show ilikuwa ngumu sana kwa mwamba
@husseinwabibi86392 жыл бұрын
😂😂
@peterphilipo41522 жыл бұрын
Hawa kenge walikuwa na njaa ndo mana hawacheki halafu ni washamba wanakushangaa hawaamini kama wakuona so kila mmoja amekaa tayari kukutazama sio kukuskiliza in short ni vilaza ila apo jeshi umepita sana ungekuwa cheka tu ungeuwa sana
@D-Man.B-Free2 жыл бұрын
Hawa hawakuja kucheka 🤝🤝🤝
@ephraimedward87402 жыл бұрын
Perfect jokes but wrong audience 🙄hizi jokes angefanya Cheka tuu ingekua bonge la performance
@NelsonMangaleJrII Жыл бұрын
Mi nacheka kinomaaaaa....hao watu hapo hawaelew kiswahili au😂😂😂😂
@abdulmohd68802 жыл бұрын
Broo hii show ilikukataa but keep up man🤞
@alainpicainirakoze-rz2ntАй бұрын
Jama huu anaweza kbx
@kelvinswai942 жыл бұрын
Unajuwa broh ❤️🚀
@abrahammbuba43052 жыл бұрын
Jamaa unajua
@yaminkizalaban93312 жыл бұрын
Hii audiance haikukuwa serious aki...
@soulking4072 жыл бұрын
Nmeona jamaa anachekesha sana nmecheka sana nlipo naangalia kila mda ila hiyo mijitu ilikua inamshangaa msanii haipat mda wa kuconcentrate kwenye jokes
@witneywilly2 жыл бұрын
Audience imezingua... katoa vitu vikal sana... sa kama hao wanao chat wataelewa
@davidoscooper2372 жыл бұрын
Huyu jamaa anatakiwa awe professor tcha
@maasairecordsqualitysound_5062 жыл бұрын
jokes 🤣😂 khaliii sana sema kikoba na maden inawafanya watu wasielewee
@jacksonmtazama282110 ай бұрын
Jamaa umepata changamoto sana lkn ukobamba sana 😂😂😂😂
@stormc20193 ай бұрын
respect bro
@automotivetz12752 жыл бұрын
Show kali audience siwaelew ni mazombi au🥲
@robertgagabhi81882 жыл бұрын
Unajua sana bro keep it up.
@eliazarinyakiema19692 жыл бұрын
Good
@vickydan28692 жыл бұрын
Kwan wanadaiwa mbn hawacheki
@mkadinali_ent. Жыл бұрын
i think maybe he performed late hours ,when people are tired
@ErickChrispin2 жыл бұрын
Kazi ngumu sana hii
@braysonsteven3555 Жыл бұрын
Etii eeh
@onesphoryo4072 жыл бұрын
audience ya mabibi but big up boy unjuaa sanaa
@sullivanofficial.5201 Жыл бұрын
😂😂leonardo mwamba
@c-soundbeats2 жыл бұрын
Siku ngumu 😀
@mariasixmund79642 жыл бұрын
Hii audience ni watu wenye stress uko vizur bro
@vickydan28692 жыл бұрын
Mbn hawacheki wawap hawa kwan
@kelvinedward50912 жыл бұрын
Hii audience ina stress ya mikopo
@mswahili62472 жыл бұрын
Kifupi sana; katika kila kazi kuna zile siku tunaamka tofauti mambo hayaendi
@albinimichael13422 жыл бұрын
I laughed bro
@kivuyotv2 жыл бұрын
Hao jamaa walikua na stress sanaa
@rwekasimlizi2029 Жыл бұрын
Unajitahidi
@salmamabago364 Жыл бұрын
Audience mikausho mikaliii
@mundhiraly33682 жыл бұрын
Dogo hii imekukataa lakini ndio kazi🤣🤣🤣🤣
@amosethantheking88152 жыл бұрын
Wrong audience, jokes nzuri.
@chichamusiq14982 жыл бұрын
My Kuna kinadada kina charti tu ... shenzi
@felixstewart59202 жыл бұрын
suree kabisaa
@witneywilly2 жыл бұрын
Kabsa wanaboa
@basiaarsh3835 Жыл бұрын
Hapo hakuna mchekaji maana mawazoyao hayapo hapo na mchekeshaji ameshajua kuw hapo amechemka
@chidiomari.652 жыл бұрын
Jamaa wamegoma kucheka
@issaally41032 жыл бұрын
Jamaa amepoa sana hata steji haitumii ipasavyo kasimama sehemu moja
@enockrwehumbiza35552 жыл бұрын
Haimbi ngonjera Sio running comedy ni standup comedy
@361NEWS2 жыл бұрын
😹😹
@nestorycharles3382 Жыл бұрын
X,,,,,
@user-ei2ud7gh5h3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@muzikimtamumtakatifu8972 жыл бұрын
Audience wana stress balaa
@salimusemkuya30862 жыл бұрын
Audience wazembe
@zuriathabdallah94922 жыл бұрын
😂😂😂😂
@user-gy3wo2ez4d3 ай бұрын
😂😂😂
@Kulthoom-pu5tw10 ай бұрын
Ni maneno ya busara yy kakamlika
@Kulthoom-pu5tw10 ай бұрын
S... N...
@yassirsalmy6246 Жыл бұрын
audiences ni marobot😂
@barakakusa76062 жыл бұрын
Ni kama wamegoma vile 🤣🤣🤣 hawacheki
@timothpius3310 Жыл бұрын
Hii audience
@MuttaRweyemamu-ni6iz Жыл бұрын
Performance nzuri ila ao maaudience wamekaa kishamba sana as if wapo msiban 😢