🔴#LIVE: BAHARIA ALIYETOSWA BAHARINI AKIWA HAI, Asimulia MATESO ALIYOPITIA NUSU AFE | MAPITO PART 2..

  Рет қаралды 30,937

Global TV Online

2 жыл бұрын

🔴#LIVE: BAHARIA ALIYETOSWA BAHARINI AKIWA HAI, Asimulia MATESO ALIYOPITIA NUSU AFE | MAPITO PART 2..
KARIBU kutazama kipindi cha MAPITO kinacholetwa kwako na GLOBAL TV kila wiki, Leo tumetembelewa na Kijana Bashir Bashir, mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam, ni miongoni mwa vijana waliowahi kuzamia meli na hapa anasimulia mikasa mbalimbali aliyokutana nayo katika harakati zake za kuzamia meli.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: kzfaq.info/sun/PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: kzfaq.info/sun/PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 91
@sadamissa5687
@sadamissa5687 2 жыл бұрын
Huyu jamaaa anatakiwa ahojiwe na media kama millardayo ana vitu sana , huyu maza anafeli kumuuliza maswali
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
Kabisa bro
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 ай бұрын
Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekuambia na kukudanganya kuwa muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na kukutawala akili mwako pamoja na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni ? , au mwenzetu umekulia vijijini ? loooooh na ndio unashanga neno uhuni , ebu nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa sifahamu jinsi yalivyo na yanavutwaje .kwasababu wewe zoba na punguani hasidi hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na lakini wala si wahuni na wala hawana hayo matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni wenyewe
@hashmseif2184
@hashmseif2184 2 жыл бұрын
Hujui kumuhoji mtu kabisa
@deepconcept2020
@deepconcept2020 2 жыл бұрын
Mtangazaji unahoji vizuri, keep it up, comments zisikushushe moyo
@hamisaabdalah6232
@hamisaabdalah6232 3 ай бұрын
Napendaga saaaaana hz stor sarut kwako Bashir
@kelvinevarist8801
@kelvinevarist8801 2 жыл бұрын
Hujui kuhoji sister samahani lakini.
@fadhilially7357
@fadhilially7357 5 ай бұрын
NDANDA LUBEBELA BASHIRI KUTOKA MABIBO BEACH ❤
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
Bashiru ana vitu vingi vingi vimejificha sema dada ana moto haendi nae kihekima.
@adolphyamin1245
@adolphyamin1245 2 жыл бұрын
Simulizi kama hiz huwa napenda sana kuskiliza zina mafunzo
@boblatino3899
@boblatino3899 2 жыл бұрын
Jamaa anamadini sana ila mtangazaji anakosea kumuoji ajafanya utafiti kabisa
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 2 жыл бұрын
Huyu angeachwa ajielezee mwenyewe...mtangazaji maswali hayakuwa na umuhimu
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 2 жыл бұрын
Ungemuacha aelezee mwenyewe siyo kumuhoji
@sulleyally5040
@sulleyally5040 2 жыл бұрын
Ayo tv na dar24 dupa mdupange mtafuteni Huyu jamaa ana madini sanaaa
@markmwaghogho9226
@markmwaghogho9226 2 ай бұрын
Dada hujui kuhoji kabisaaaaa
@africano98.
@africano98. 2 жыл бұрын
Mtangazaji waki anaharib story damn shubakengemti
@hashmseif2184
@hashmseif2184 2 жыл бұрын
Unamuhoji mtu unaenda mbele una ludi nyuma hatukuelew
@lucyfred2649
@lucyfred2649 Жыл бұрын
Anaemuhoji anazingua
@chudomzungu7482
@chudomzungu7482 2 жыл бұрын
Bab kubwa twahitaji part3
@dsuzerbweko4148
@dsuzerbweko4148 Жыл бұрын
Dah noma aisee hiyo yakutiwa kwenye kiroba alafu mzima alafu unatupwa kwenye maji...umekwishaa...
@amirclassic8326
@amirclassic8326 Жыл бұрын
Safi Sana lakini baharia asikiki vizuri asogelee mic
@nabrycedawood6860
@nabrycedawood6860 Жыл бұрын
Unamuingilia sana ssa unamfundisha maisha yake hauna lolote
@sulaimanhemed4045
@sulaimanhemed4045 2 жыл бұрын
Huyu mdada anazingua kweli yaani unajua hasomeki..!
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 2 жыл бұрын
Hii kazi ya kuhoji mabaharia mwachie yule jamaa wa Ughaibuni wewe dada hujui kuhoji unaboa
@muhitiraamissy7198
@muhitiraamissy7198 2 жыл бұрын
waburundii badoo tupoo kwa mzee dizoongaa uyoo ni jeshii kashapitiya life ngumuu
@athumanimtajih
@athumanimtajih 2 жыл бұрын
Part 1 jaman,mbona sijaiona
@hashmseif2184
@hashmseif2184 2 жыл бұрын
Story nzuli anaye muhoj hayupo
@hamisaabdalah6232
@hamisaabdalah6232 3 ай бұрын
Hivi huwa wanalipwa kidogo baada ya kuhojiwa
@alimjahidsuo6524
@alimjahidsuo6524 2 жыл бұрын
Mkuu siyo pekee mpanda mitenga ujue kunao waboti boti wanaskikiza msg zako lkn jaribu ujielewe kwa za na kama ulikua unatafuta Kiki fresh.. Kwa maneno yako unavyoengea unaonekana umeyapata kwa stowaway original lkn sio wewe.. =na kwa wanaoishi South Africa Kuna wastaarabu na washenzi pengine wewe uliangukia ushenzini samahani kwa kutumia lugha kali kidogo
@tonyytelala3096
@tonyytelala3096 2 жыл бұрын
Mbona tunaishi vizuri south Africa 🇿🇦🇿🇦
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@africano98.
@africano98. 2 жыл бұрын
Bashir yuko real G
@MohamedAli-ho5fq
@MohamedAli-ho5fq Жыл бұрын
Mimi ninayo stori yangu nilizamia meli.mwaka 1987 December katika bandari ya Kenya mombasa.inaitwa port kilindini .maisha ya Mombasa yalikuwa magumu Sana . nchini kanya nilifungwa mara mbili mara ya Kwanza nilifungwa miezi 6 kwa kosa lakuishi nchini Kenya bila kibala.baada ya kutoka jela sikurudi nyumbani nakaendelea kukaa Kenya ni kashikwa tena na nikafungwa miezi mitatu katika jela baridi inaitwa majengo Preson.baada ya kumaliza kifungo changu sikurudi nyumbani.nikaona apa nitakufa kwa maisha Aya nikaamua nipande meli yoyote intakayoi jua kama inaondoka Nilipata habari kwamba kuna meli ya wachina inaondoka kesho yake .nikaenda pale get no 9 usiku kama saa Saba nikapanda ngazi
@kanyika14kanyika16
@kanyika14kanyika16 2 жыл бұрын
Vijana tunapitia changamoto nyingi. Mimi Nina mkasa mzito kuhusu safari yangu ya Mbagala Kiburugwa 🤣🤣
@ilungasalle
@ilungasalle 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@janethmnubi8117
@janethmnubi8117 2 жыл бұрын
Mbagala kiburugwa tupe story
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kanyika14kanyika16
@kanyika14kanyika16 2 жыл бұрын
Nilizamia meli kutoka posta Hadi mtwara nikajua nipo Durban 🤣🤣
@tonyytelala3096
@tonyytelala3096 2 жыл бұрын
Mbona tunaishi vizuri tu south Africa 🇿🇦🇿🇦
@dsuzerbweko4148
@dsuzerbweko4148 Жыл бұрын
Ila mwamba nimemkubali muuni flani hv...
@hawaaabdallah6586
@hawaaabdallah6586 2 жыл бұрын
Maswali unayoyauliza yakijinga sana hata huendani na kazi yenyewe
@mwananchipicha3212
@mwananchipicha3212 Жыл бұрын
Jamaa anastory mzuri ila anayemuhoji alitakiwa afahamu mazingira ya Mabaharia na wazamiaji ndo ingekuwa bomba
@kamalbashir5127
@kamalbashir5127 Жыл бұрын
Stori za uongo
@albethoildefonce9117
@albethoildefonce9117 2 жыл бұрын
Mtangazaji anaonesha kuwa na huruma sana,ndio maana hata anapoteza confidence hivi
@hashmseif2184
@hashmseif2184 2 жыл бұрын
Dada hujui kutangaza
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Mtangazaji kazingua maswali yake yanenda mbele na kurudi nyuma ila huyu kaka ana mambo mengi yakuelezea jamii tukajifunza ingefaa km milard akamuhoji tupate kujifunza
@Chemba67
@Chemba67 2 жыл бұрын
Global Tv .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki
@kalangwapaschal7718
@kalangwapaschal7718 Жыл бұрын
Kijana huyo,ana kitu hidden behind
@zainabshabani2669
@zainabshabani2669 2 жыл бұрын
Bashir ndava Lubebera Skupingii kaka Msafiri KAFILI
@SHEIKHMWAIPOPOTV
@SHEIKHMWAIPOPOTV 2 жыл бұрын
Hapana huyo kijana anamatatizo hakuna mzazi asie penda mtoto huyu kijana sio mtu mzuri anashida Sana kwanza bange anaonekana anavuta
@shaulitangaugulumo1597
@shaulitangaugulumo1597 Жыл бұрын
Basi bb yako labda pesa zake za masharti na alikuwa anataka ufe lkn mizimu inakulinda
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 Жыл бұрын
Siyo bahari sema mzamiaji
@evancemayala1576
@evancemayala1576 2 жыл бұрын
Mwandishi hujui kumfanyia mtu interview
@emmanuelbukuku1
@emmanuelbukuku1 2 жыл бұрын
we reporter embu mind your interviewing ethics unataka aseme nn sasa zaidi ya hayo a expose kila kitu kuhusu familia yake....kasha ongea kuhusu ubaharia....mambo ya familia ataongea akipenda na kwa limit yake....Eish
@julianusjameskimodoi4186
@julianusjameskimodoi4186 2 жыл бұрын
Taja kampuni ya Meli ndugu zake wafungue kesi ubaficha ninii sasa
@hassanibanzi9322
@hassanibanzi9322 2 жыл бұрын
Dada hajui kuhoji kabisa mpaka anaboa
@venancjoseph1498
@venancjoseph1498 2 жыл бұрын
Kweli kaka inshope nimefika Mimi naishi huku msumbiji
@Zaikadena
@Zaikadena 2 жыл бұрын
Dada unafanana na brenda fasi
@robertoantonio5682
@robertoantonio5682 Жыл бұрын
Huyu mtazaji chenga
@beckooh
@beckooh 6 ай бұрын
Mdada mtangazaji mpuuzi kwel😂
@magrethmanintveld5477
@magrethmanintveld5477 2 жыл бұрын
Baalia, baharia
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Maanayake ni nini sasa
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
Huyu dada atakuwa beki Tatu, siyo mwandishi
@sulleyally5040
@sulleyally5040 2 жыл бұрын
Dupa mdupange wa dar 24 tv unamuachaje huyu jamaa ?
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
😅😅
@esherjumaa4982
@esherjumaa4982 2 жыл бұрын
Ndava ckupingi kaka unaongeaga vitu quality kabisa
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 2 жыл бұрын
vipindi kama hivi muache mtu ajielezee mwenyewe
@bonita329
@bonita329 Жыл бұрын
mtoto wa kiume ni wa mama sio baba. na mtoto kike ni wa baba
@faithreed861
@faithreed861 Жыл бұрын
Jee huyo baba yake bado yu hai ??
@alimjahidsuo6524
@alimjahidsuo6524 2 жыл бұрын
Mshkaji unajitahid ktk maongezi lkn unakosoro. Ya wazazi alafu kama mbeach bichi acha kuwaponda wazazi iwe bimkubwa au mdigi.. Ukumbuke msela uko kwenye social media huyo ni ushamba... Umeongea fresh mdigi kakupa ujasiri lkn sio kumuongelea utumbo.. Oyaa za wapi hizo
@diolindanativo7268
@diolindanativo7268 2 жыл бұрын
Jamaa alikuwa kwenye kundi la chakama ni kama kundi au chama pizani kama ccm na cuf
@adamngulube8296
@adamngulube8296 Жыл бұрын
Bashir katoa taarifa za uongo huyo dah!
@salmabinyaga2357
@salmabinyaga2357 9 ай бұрын
Unamjua kiundani
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Wahuni tunauchungu sana na familia zetu sema rahia hawatujui tu, mimi before nilikua naonekana mvuta bange tu lakini leo Mungu kanijalia nipo kiwanjani na nawapiga tag ndugu zangu
@husseingabo5497
@husseingabo5497 Жыл бұрын
Sasa kama we ni muhuni SI unatakiwa ubadilike we unaona kula bangi ni ujanja ndio mnavyodanganyana jinga kabisa wewe
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 ай бұрын
Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekumbia muhuni ni lazima avute bange au madawa ? , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni , au mwenzetu umekulia vijijini na ndio unashanga neno uhuni , ebe nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na engine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa yanavutwaje .kwasababu wewe zoba hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na si wahuni na wala hawana hao matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni,
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 ай бұрын
​@husseingabo5497 Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekubia muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni , au mwenzetu umekulia vijijini na ndio unashanga neno uhuni , ebe nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa yanavutwaje .kwasababu wewe zoba hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na si wahuni na wala hawana hao matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni,
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 ай бұрын
​@husseingabo5497 Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekuambia na kukudanganya kuwa muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na kukutawala akili mwako pamoja na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni ? , au mwenzetu umekulia vijijini ? loooooh na ndio unashanga neno uhuni , ebu nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa sifahamu jinsi yalivyo na yanavutwaje .kwasababu wewe zoba na punguani hasidi hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na lakini wala si wahuni na wala hawana hayo matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni wenyewe
@djnangaxtwo2975
@djnangaxtwo2975 2 жыл бұрын
Mtangazaji chenga😁😁😂😂
@leahlucas479
@leahlucas479 2 жыл бұрын
Yaani badala aulize ilikuwajekuwaje mkatekwa, ulikuwa ukaweza kutoroka , ulipata mikasa gani huko njiani ulikuwa pekeyako ? Je ulifikampaka nchigani? Au ulifanikiwa kufika South Afrika moja kwa moja. Yaani jmn huyu mama
@sadamissa5687
@sadamissa5687 2 жыл бұрын
@@leahlucas479 interview moja mbovu sana , i never seen before
@hawaaabdallah6586
@hawaaabdallah6586 2 жыл бұрын
Yaani watangazaji saivi bora msisomee huo utangazaji hamjui kuuliza maswali kabisaaa mnaboa mnauliza maswali nje ya mada mwangalien millard ayo anavyohoji maswali mkoje nyie
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Dupa mdupange
@justineibrahim9567
@justineibrahim9567 Жыл бұрын
Dada hajafanya utafit kujua historia ya mabaharia na jinsi ya kuwahoji maswaliii jamaaa anaokana na story nyingi sana
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 жыл бұрын
Unaoji Kama unadeka...unaoji Kama unaongea..sauti sio ya kuoji maswali ya kijinga
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 34 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН