mungu akupe maisha malefu maan ulisimamia vyema aki zawananchi
@allymuhammadi94975 жыл бұрын
Mungu akulipe mema Rc
@veronicatweve47865 жыл бұрын
Ali Happy mimi nakupongeza saana kwa kazi zako unazofanya lakini ninavyocheck hapa hata baadhi ya hao viongozi wenzako wanakuzunguka hebu waangaalie wanavyokuna vichwa vyao.Asante natoka Mbeya
@zainabumbondei86353 жыл бұрын
Kwani mbeya hamna mkuu wamkoa kama kakaa apulizwa na viyoyozi mwambieni aangalie mfano
@maggielunguja815 жыл бұрын
Millard Ayo uko juu habari zako hua napenda kuangalia coz heading zinasadifu yaliyomo ndani Hongera saana ndivyo inavyotakiwaa Mungu akujalie upeo Mkubwa zaidi
Siku yakiama itakuwa kama ivi ila kule itakuwa niatari sana
@husainabdu26765 жыл бұрын
Kwakwel una piga Kaz
@titongailo91355 жыл бұрын
Upon sahihi kaka hapi mungu akuongezee miaka
@tatukilanza83714 жыл бұрын
Tunaomba mkuu wa mkoa wa morogoro nae apite kusikiliza kero za wananchi mjini na vijijini
@azezaalkh85365 жыл бұрын
mwanaume chapa kazi tu
@gracemwanjabala80735 жыл бұрын
kwaiyooo mliwadanganya
@farajihokororo6015 жыл бұрын
Hap njoo mtwara nako kuna madudu tena masasi
@paulinalukas99475 жыл бұрын
Napenda sana utendaji wa mkuu wa mkoa wa Iringa,namna unavyoshughulikia kero na migogoro.Mungu akutetee sana,akupe hekima zaidi,uwasikilize wananchi na kuwasaidia,nchi hii ilifika pabaya sana,haki ni ya mwenye pesa tu,kila unapopagusa pameoza bila pesa hakuna haki,jitie nguvu kwa Mungu,Siku za usoni jiandae kushika nafasi kubwa sana,muda ukifika utafahamu ninachokuambia,ila wewe Mungu atakufanya mkuu sana,ongeza bidii,watete wasiokuwa na sauti,maana Mungu anapenda kazi yako,usiumie moyo ukisemwa vibaya,ukichukiwa,Mungu anakutazama wewe