LIVE KUTOKA IRINGA: WANANCHI WAFUNGUKA KERO ZAO MBELE YA RC HAPI

  Рет қаралды 37,692

Millard Ayo

5 жыл бұрын

a

Пікірлер: 17
@dariussymbert9079
@dariussymbert9079 4 ай бұрын
mungu akupe maisha malefu maan ulisimamia vyema aki zawananchi
@allymuhammadi9497
@allymuhammadi9497 5 жыл бұрын
Mungu akulipe mema Rc
@veronicatweve4786
@veronicatweve4786 5 жыл бұрын
Ali Happy mimi nakupongeza saana kwa kazi zako unazofanya lakini ninavyocheck hapa hata baadhi ya hao viongozi wenzako wanakuzunguka hebu waangaalie wanavyokuna vichwa vyao.Asante natoka Mbeya
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
Kwani mbeya hamna mkuu wamkoa kama kakaa apulizwa na viyoyozi mwambieni aangalie mfano
@maggielunguja81
@maggielunguja81 5 жыл бұрын
Millard Ayo uko juu habari zako hua napenda kuangalia coz heading zinasadifu yaliyomo ndani Hongera saana ndivyo inavyotakiwaa Mungu akujalie upeo Mkubwa zaidi
@tinagorges3741
@tinagorges3741 5 жыл бұрын
Sahihi mnyalukolo washuhulikie hao matapeli waviwanja
@azezaalkh8536
@azezaalkh8536 5 жыл бұрын
RC Hapi angalia sana Hugo bibi asije kukutoa Roho
@allyissa3771
@allyissa3771 5 жыл бұрын
Siku yakiama itakuwa kama ivi ila kule itakuwa niatari sana
@husainabdu2676
@husainabdu2676 5 жыл бұрын
Kwakwel una piga Kaz
@titongailo9135
@titongailo9135 5 жыл бұрын
Upon sahihi kaka hapi mungu akuongezee miaka
@tatukilanza8371
@tatukilanza8371 4 жыл бұрын
Tunaomba mkuu wa mkoa wa morogoro nae apite kusikiliza kero za wananchi mjini na vijijini
@azezaalkh8536
@azezaalkh8536 5 жыл бұрын
mwanaume chapa kazi tu
@gracemwanjabala8073
@gracemwanjabala8073 5 жыл бұрын
kwaiyooo mliwadanganya
@farajihokororo601
@farajihokororo601 5 жыл бұрын
Hap njoo mtwara nako kuna madudu tena masasi
@paulinalukas9947
@paulinalukas9947 5 жыл бұрын
Napenda sana utendaji wa mkuu wa mkoa wa Iringa,namna unavyoshughulikia kero na migogoro.Mungu akutetee sana,akupe hekima zaidi,uwasikilize wananchi na kuwasaidia,nchi hii ilifika pabaya sana,haki ni ya mwenye pesa tu,kila unapopagusa pameoza bila pesa hakuna haki,jitie nguvu kwa Mungu,Siku za usoni jiandae kushika nafasi kubwa sana,muda ukifika utafahamu ninachokuambia,ila wewe Mungu atakufanya mkuu sana,ongeza bidii,watete wasiokuwa na sauti,maana Mungu anapenda kazi yako,usiumie moyo ukisemwa vibaya,ukichukiwa,Mungu anakutazama wewe
@tinagorges3741
@tinagorges3741 5 жыл бұрын
Mmhhh mdesi huyoo
@tinagorges3741
@tinagorges3741 5 жыл бұрын
Huyo police muongoo .mheshimiwa wamlipe ataenda kuandika uongo wasimlipe muongo huyoo police