Baba kama baba piga kazi mzee baba watanzania wote tunakuombea kwa Mungu
@omarinasoro62113 жыл бұрын
Nakupongeza mzee magufuli katika utendaji wako wa kazi, hasa kwakuwapa vipaumbele wanyonge, Sasa tunaheshimiana,
@wardajoseph69093 жыл бұрын
Na ndivyo mwenyezi mungu anavyowapenda wanyonge
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
@@wardajoseph6909 Na Mungu hapend tuwe wanyonge
@kwilasacharles17473 жыл бұрын
Tuko pamoja sana Rais wetu mpendwa,hakika Tanzania tumebarikiwa sana
@makameabdalla31473 жыл бұрын
Nakuelewa sn magu Wananchi kwanz stor baadae Order coffee ☕ popote ulipo ntalipia
@athumaniomari28333 жыл бұрын
Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu
@athumaniomari28333 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wangu
@TM.Sullusi3 жыл бұрын
Magufuli 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
@thieryniyonkuru50233 жыл бұрын
Mpaka raha kuongozwa na Raisi anayejuwa kila kitu, kumdanganya ni kazi ama haiwezekani kabisa.
@mu-crzymahez92293 жыл бұрын
nice km nice
@salumnakauka53553 жыл бұрын
Bonne travail monsieur président.Dieu vous protège.
@SalmaSalma-nb2cv3 жыл бұрын
Bado tunakupenda baba mbona unaongoza vizur jmn
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
Mungu akulinde akuongoze akuimarishe.
@safhe-mpungi60753 жыл бұрын
Chezea JPM, humfahamu vizuri. Hapa kazitu
@gilbertmichael91303 жыл бұрын
Hapa kazi tu! Maneno matupu yalikuwa awamu zilizopita... Sio hii
@erickgodwin31483 жыл бұрын
Anko magu ni Yule Yule..jembe kama jembe.
@gilbertmichael91303 жыл бұрын
Katika ubora wake! Hapoi wala haboi ...
@kuntakintekoko53203 жыл бұрын
mheshimiwa watu wanakuheshimu, na waswahili tunaamini ukiheshimiwa jiheshimu, zungumza na wenzako kwa heshima awe ni waziri, mkandarasi au mmachinga,
@mdl64633 жыл бұрын
Magufuri piga kazi baba tunakuombea kwa mungu udumu milele daima
@safhe-mpungi60753 жыл бұрын
Mungu mbariki JPM
@saikouamadousow3 жыл бұрын
my president and father
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
Hyo ruwasa mbona muongo Sana bombs nchi 14 kwa litre million mbili 😂😂😂😂😂 litre million mbili wangeweka bombs nchi 12 ni sawa na 300 cio 350 na bomba ni duct ama DI ndio nzuri Zaid ya hapo labda MM-STEEL valve,adapter,coupling,spool za kununua zitawasumbua sana za nchi 14 ruwasa kampiga changa raisi zitawasumbua sana
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
Inaonekana ruwasa hata hajui mabomba yapo nchi ngapi hata said zake zinaanzia na ngapi na PN zake 😂😂😂😂😂 nchi 14 vituko hivi akati ni nchi 12x10 decrese na 10x8 na 8x6 au 4
@chrispinchrisant15403 жыл бұрын
DATA ZA USANIFU UMEZIPATA WAPI CHIEF,MAANA NAONA TAYARI UMEISHA-DESIGN???🤣🤣🤣🤣🤣
@maishacenter-eastafricatv39763 жыл бұрын
Magufuli afise ubwenge bwinshi cane nukuri, mubisanzwe arazi ivyo arimwo, nico ciza co gutwarwa n'umuntu yakoze mubushikiranganji butandukanye imyaka myinshi!! Courage Mon Président 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿
@luindamchwakanigee48113 жыл бұрын
Saf mkuu
@salamagat47843 жыл бұрын
Wakwanza
@paulmyavilwa19913 жыл бұрын
watakoma 😂😂😂😂
@erickchitumbi13083 жыл бұрын
Engineer kashikwa paaaabaaayaaaaha
@ntihaboseadonis87463 жыл бұрын
Waooo inabidi 2025 ukacaghuliwe tena Wewe ni jembe