VITA IMEANZA UPYA SHEIKH DIWANI NA MTOTO WA BACHU || MAULIDI YASOMWE
Пікірлер: 292
@user-mu1ge1nx5k9 ай бұрын
Sheik diwani hapana sio hivo ,ushabike sio nzuri,ust saidi na sheik kubra hamna kitu, sheik Mohammed katufunga goali na hatuwazi kuiakumbua mpaka mwisho wa dunia, lakini Mimi moulidi basi,sheik Mohammed nimekualawa mm ahsant sana
@faridasaleh49829 ай бұрын
Kasome kwanza ndugu yangu maana sh diwani kitu anachokielezea anakijua ndo mana anaongea
@user-ws7fb8ph9q9 ай бұрын
Sheikh muhammad bacho allah akujaliyemwishomwema sisitumejihoneyawenyewe musitulazimishe kupoteya nasijiyayahakitunahijuwa natumezidikuhelimika kupitiya sunnah na Quran
@bakarhaj92149 ай бұрын
Hongera sana shekh kwa kuweka samary ya mjadala na ushaur nzur
@shabaniumande9 ай бұрын
Unakuja kujibu kuwa wanyama waliongea ao hawakuongea JIBU Tunasubiri jibu kama wanyama waliongea ao hawakuongea
@waterforlife93569 ай бұрын
Mashallwah umekua muwazi sana Allah HAFIDHKUM
@AllyNgale9 ай бұрын
Shekhe yusufu diwani uko vizuri saana Allah akulipe Kila la kheri Kwasababu hakuzingatia Allah alivyo mdhalilisha Kwa kukojolea kiti Kwasababu Bado mtoto wa bacho anaendelea na kukirashi mambo ya kheri Tunacho kisubiria Sasa ni mtoto wa bacho kujinyea kabisa
@loudcrytv89499 ай бұрын
Shekhe Bachu amewavuruga Sana Mashekhe. Yaani kwenye Mitandao yote ya kijamii ninaona ni watu wanatokwa jasho kulalamika Wala siyo kujibu hoja.. Sasa imebaki majigambo ya Usomi. Sasa Usomi huo si utumike kujibu hoja? BORA MNGENYAMAZA TU
@rashidmohd1159 ай бұрын
Sio km huoni na husikii hoja za kielimu zinazotumika kisheria ya kiislam kuulizwa bachu ktk hoja zke anazojenga lkn jiulize kwann bachu kisheria anakwepa kujibu hoja
@omarkioma31549 ай бұрын
ASSALAAMU ALAIKUM. NYINYI MNAOJISEMA KUWA MNAJUA MBONA HAMTOI UFAFANUZI KWA HAYO YANAYOSEMWA NI UONGO KATIKA MAULID ILI UONEKANE NI UKWELI. DINI YA KIISLAMU MSINGI WAKE NI KITABU CHA ALLAAH NA MWENENDO WA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA HAYO MAULID YAPO WAPI KATIKA MSINGI HIYO. TOENI UFAFANUZI KWA UFAFANUZI KWA WAISLAMU WAELEWE.
@omarmsomall38099 ай бұрын
Nyinyi hamuna elimu yenye manufaa mnaupoteza Umma muogopeni Allah mola wenu kesho mtaenda kuulizwa
@yassinm699 ай бұрын
Huyu Bachu amewashinda elimu asilimia 99.9 acheni discussion ,tunataka majibu sio mbwembwe
@zainabshariff1149 ай бұрын
Allah akulipe kheyr shekh said
@abdallahsaid11279 ай бұрын
Alhamdu Lillah mapovu yanawatoka mashekhe, tunataka kuthibitishiwa kwa dalili ni kweli wanyama walizungumza ilipoingia mimba ya mtume.
@zainabshariff1149 ай бұрын
Wanya wawe waliongea au hawKuongea inakuumia nn
@muniraally40919 ай бұрын
Duhh sheikh ulikaa kimyaaa sasa umepata kiki ebu nukuu jibu japo moja tuuu toka kwa said
@user-lp3gi5wd4e9 ай бұрын
Watu wameshabaini porojo za sheik wazanzibar
@solomonsteve37499 ай бұрын
As/alykm warahmatullahi wabarakatuh Iman mtakua ktk afya njema. Jamaa tunahitaji kumuombea dua Mohamed bachu. KASHAANZA KUZUNGUMZA NA PAKA. HAYUPO SAWA. HIVI MTU AKIANZA KUZUNGUMZA NA PAKA ANALIWA SAWA?
@jordan.31099 ай бұрын
NYINYI MASHIA MUKISHINDWA MNAPENDA KUTOA POVU SANA.
@awatifomar51859 ай бұрын
TWASHUKURU KWA KUIJUA HAKI BACHU ALLAH AKUHIFADHI
@ustadhmrishorunigangwe70249 ай бұрын
Nime gundua wafuasi wengi wa Mawahabi hawana elimu watakao gundua bachu hana elimu ni yule ambae ana elimu angalau ya mutawaswitwat
@twaibumikidadi73779 ай бұрын
Sasa Yusuf Dıwani ! Unataka kutumbia kuwa Sharif Abulkadar ni MUONGO ? kuhusu Sabbas Kubra??
@mchakhamis-fr5nc3 ай бұрын
Mashaallah
@user-tq2iw7tl5p9 ай бұрын
Www shkhe mavi kabisa
@iddimohamed2549 ай бұрын
We ulikua tanga ukachemsha usituletee huna lolote watafta kiki tu.
Sheikh tanga ulipewa nafasi mbona hujanufaisha uma
@omarmsomall38099 ай бұрын
Pigeni hivo vinanda ,matarumbeta ,mukiimba na kukatika viuno
@abuuamourmuhamed19349 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bakarhaj92149 ай бұрын
Bachu jibu suala basi tuendelee na mjadala au huna majibu? Wambie wakusaidie
@abdulkhalfan85869 ай бұрын
MASHAALLAH
@abubakarbakari93729 ай бұрын
Masha allah
@user-pl8zu4nv8r9 ай бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli
@omarmsomall38099 ай бұрын
Kajiungeni na mashia maana wao wameandaa kombe la kumswalia Mtume swalla llaahu alayhi wasallam.
@assadyabdull51469 ай бұрын
Hutaki kombe weye ambae umesilimu jana
@abdallahally8429 ай бұрын
Kasome
@rahmasaid70849 ай бұрын
Ww unae jiita shekh diwani kwanza kabisa ulikua na chuki na mhmd bachu ss ndio umepata la kusema lkn nataka nikwambie hao watu wakenya wanawacheka nyny mashekh wa tz wanawaambia hamuko vzr kwa ilmu ya dini na kudunia hukumbuki yule mbarawa mhmd khatimi alivyo msema kishki pia akamsema na bachu Tena hao ni mashekh wetu wakubwa utakuwa ww Tena unampongeza shekh said kwa lipi haswa alilolisema zaidi ya kurudia swali lake lisilo na maana ... Mm nampongeza Sana shekh wangu bachu Allah amlinde na hasaad zenu
@badiyo00169 ай бұрын
Ikiwa una Akili na fahamu mzuri na una usomi japo kidogo tu basi usingekosa kutambua sehemu alipo kamatwa huyo mtoto wenu bachu ambae hana hishima na wanazuoni walotangulia walomzidi ilimu na umri Lakini nyote ni sawa sawa tu hatuwezi kuwalaumu
@faizaa1559 ай бұрын
Ukweli unauma shaikh Mohamed bachu hajatukana mtu amesema maneno yaliokk ndani y kitabu ndio siyakweli km nyinyi niwasomi jibuni Acheni kuropokwa ukweli utabaki 19 zijibiwe
@salimmbwana69269 ай бұрын
Angalau mwiite mtoto wa Sheikh Nassoro Bachu.
@husseingitonga89219 ай бұрын
Nyinyi makurafi hamna chochote ila uwongo huwa hamjibu chochote ila fitnah.
SHEIKH diwani wewe wamfahamu sana Bachu ana Ujanja lkn wenzake mahabi hamuelewi kabissssa.
@nasarsulaiman95499 ай бұрын
oyaa we muuza madawa ya nguvu za kiume vipi wewe huna hata nishai basi nyundo 19 zimekuchanganyeni kweli
@muhyidinalinoor62499 ай бұрын
MASUFI WASHIRIKINA....HAKUNA SHAKA NDANI YAKE....ENDENI WATU WA MAULIDI MKASILIMU
@user-zo6wx9zt3p9 ай бұрын
ww diwani wacha kupayuka haki iko wazi kabisa
@ebenezerchurchsupremetv94909 ай бұрын
Na nyie ili muonekane mnasema kweli jibuni hoja zile 19 zilizopo ndani ya barzanji, sifa za uongo ziko nyingi sana mule ndani lakini nyie mnataka kulazimisha
@abdallahkiwaka59489 ай бұрын
yaani inasikitisha sana swali ni je! wanyama walitamka kweli?mbona maelezo matamuu lakini waislam wanataka kufaham ilo.sio bachuuu bachu.mbona Sheikhe Abdallah Swareh Al Farsy alisema kuwa ndani ya barzanji kuna uongo?hamjawai sikia? .
@hamadmohammed99289 ай бұрын
Ndio maana akaulizwa kuwa mtu akiweka hadithi munkar huitwa muongo angejibu angejua kuwa wanyama waliongea au la
@abdallahkiwaka59489 ай бұрын
hivi hata ww msomi mzuri haufahamu kuwa anayekutwa na kitu cha wizi huitwa mwizi!.hii sii hoja hii Dini ni ya Mwenyezi Mungu kila kilichohitajika kimeshafundishwa na mtume(s a w) tusiwe wabishi jamani.
@abuhassan95529 ай бұрын
Wewe ukiwa wamtambua Sqidi ni shekhe wako je wewe tukuhisabu ninani hata hujielewi saidi aliongea nini wata propaganda hamumuwezi Shekh Bachu Allah amuhifadhi
@maawymuhammad67799 ай бұрын
Mawahabi wana tabu sana! Hawana ilmu kisha wajiona hakuna kama wao. Maulidi yataendelea Inshaa Allah hata wakichukia wenye kuchukia hatujali na chuki zao.
@yoramabubakar80129 ай бұрын
Sheikh semeni ukweli acheni fitna bachu yuko sahihi swali lake ndogo tu . Je wanyama walizungmuza ?
@islamseyffden77239 ай бұрын
Ndioo sheikh wanyama wameongea njoo nkupe kitabuu we s ukasome
@ahmedattas22169 ай бұрын
Ndio, walizungumza! Kwani hujui kama wanyama wanaweza kuongea… kama hujui sema SIJUI!
@ahmedattas22169 ай бұрын
Ndio walizungumza, kwani hujui kama wanyama wanaweza kuzungumza? Kama hujui sema SIJUI!!!
@shabanibndaruwesh18108 ай бұрын
Kuna watu walimpinga mtume kabla yenu, shida mnamtafsiri mtume kwa maoni yenu mnadhani mlishindwalo nyinyi pia mtume hawezi nendeni darasani mkasome kwa mtume hayo madogo sn
@kingofshorts68249 ай бұрын
Mashalah sheikh kwa maarifa yako
@abubakarbakari93729 ай бұрын
Subuhanallah angalieni comments zaa mawahabi wanatukana tu allah awaingoze
@omarmsomall38099 ай бұрын
Kalegezeni sauti kaleni mpunga wenu maana nyinyi mnasimamia maswlaahi-lbutwuuni.
@user-om7ov3ji3r9 ай бұрын
Wewe mwenye maarifa tupe jibu aloshindwa bachu sasa pale saidi ndokafanyanini mbona hajatowa elmu kwa masufi wadogo wakaelimika
@user-zp4wp5kg8g9 ай бұрын
Yaan masuf mnatulingania kwenye kupiga gitaa
@davidruhasha96709 ай бұрын
Nyinyi mliitwa mashekh wa tiktok mbona hujamjibu shekh wa barzanji kenya ?
@YusraynatAlly-mo7sq9 ай бұрын
Kiufupi katika siku niliyokuona kwamba huna ukweli ni leo hii
@user-zp4wp5kg8g9 ай бұрын
Kwanza mutuambie masuf wa kenya wanasema c majaaz bali inafaa kutumia hadithi zaifu nyny masuf wa Tanzania munasema ni majaaz sasa kubalianeni masuf kwanza
@abubakaromar61019 ай бұрын
Kasome rafiki yangu Imam Ahmad Ibnu Hambal ametumia Hadithi Dhwaifu ktk baadhi ya vitabu vyake pia mutamwita muongo. Hata hao wanazuoni wenu kina Ibnu Mutymiya Hadithi zao nyingi ni Dhaifu nao pia ni waongo? Someni hamasa za Bachu hazitawailimisha
@user-uz8cr6qr6j9 ай бұрын
HUYU SHEIKH DIWANI SASA ANAPELEKA MAMBO ZEHEMU NYINGINE ANALETA MAMBO YA UYANGA YANGA HAPA JE NA YEYE HAJUI KUWA AMEKOSEA KWANI HAPA SIYO MAHALA PAKE KABISA KUMBE NDIYO MAANA MUHAMMAD BACHU HUWA ANAKUTUKANA KUMBE NA WEWE MTUPU KABISAA UNA ULIKUWALO REKEBISHA UJINGA HUU
@sharaful-anaam1389 ай бұрын
Kweli kabisaa
@idrisjames93929 ай бұрын
Na vip zile 19 shekh mbn km hazikij.....🤔
@maawymuhammad67799 ай бұрын
Jizumbukuku la zama hizi ni muhammad bachu
@awatifomar51859 ай бұрын
UZUSHIIIIIII TUUIIII HII NI DINI
@alaminbahero36049 ай бұрын
Huyo Yusuf diwani kwanza ni mjinga alafu hajielewi mpuzi sana
@HassanHassan-sn5cj9 ай бұрын
Yusuf Diwani ni mtoto sana afanye duatu apige pesa apite hivi!?
@abdallahally8429 ай бұрын
Kasome
@daudyussuf81809 ай бұрын
Wewe ustadhi bure kabisha
@mohammedamour49309 ай бұрын
Wewe si ufanye munaqasha nae?unawasemea wengine
@yusufyusuf13959 ай бұрын
Shkh Abdulqadir kamkataaa shkh Sabaas na kamsifu Ustadh Saidi ……kwa mantiq gani ??? Watu wa mantiq mutueleze
@Gamba1779 ай бұрын
Huyo mtoto Bachu anapenda sana kula urojo uliyochanganywa na bangi
@user-ki4sg8yz9j9 ай бұрын
Acheni kejeli sana. Bachu elimu anayo ila hana maarifa na ukaidi mwingi mpaka anaharibu mambo.
@user-ki4sg8yz9j9 ай бұрын
Havuti bangi wala sigara.
@user-ki4sg8yz9j9 ай бұрын
Ila mkaidi tu
@zeitunMohammed9 ай бұрын
Hata niqash ya Tanga bhachu hangetoboa ila hakukuwa na sheria.ndo alipo hepa swali la sabas akajitembeza
@user-md5tr1kg5s9 ай бұрын
Hahah unafurahisha khurafi ww😊
@Nuru_ya_sunnah.official9 ай бұрын
Swala ni Moja tu masufi waache maulidi au wafe 😂😂
@user-me5do6nh2d9 ай бұрын
Mshindetu ni umoja Ahlali suna walijama
@sheikhsalimsirajtv83329 ай бұрын
Ustadh Diwani kwa heshma na taadhima nakuomba ujibu hilo swal la ustadh saidi lililomshinda bachu,,na pia tupe elmu kuhusu wanyama kuongea kiarabu na kupeana bishara kua mimba ya mtume imeingia,,kama hutojibu na ww pia unapoteza watu bado tunaitaji elmu kujua tuache story ya wahabi ama ushabiki tupe elmu Ustadh Diwan
@jaaffarabuu67509 ай бұрын
kauze madawa
@user-ig6bw9lr5t9 ай бұрын
km mnaekana sawa jtahdn msvunjiane heshm masheh zet
@abdallahkambangwa72159 ай бұрын
Sheikh acha bid'aa
@nassleydady57839 ай бұрын
Kwaiyo wanyama waliongea au hawakuongea ? Mbna swali dogo lakin mnajikosha
@omaryjumas63279 ай бұрын
Muulize aliyeleta hiyo hadithi, sisi tunanukuu tu.
@nassleydady57839 ай бұрын
@@omaryjumas6327 nyinyi c ndio munasema ibada ndio mtuambie
@edyiddy47119 ай бұрын
Wewe unaenukuu kwaakili zako wanyama waliongea?
@hameidseif70839 ай бұрын
ah huna poiny
@twaibumikidadi73779 ай бұрын
Tumefuatılıa mınakasha yote Tumeelewaaa kumbe mnawafundsha qatu vitu ambavyo hata ninyi hamvijui. Maneno ya uongo ndan ya kitabu mpaka leo hamjatıelezaa yalee maneno ni ya KWELİ au Ya UONGO???
@omarytobaomary71489 ай бұрын
Yani wwe shehke nimafiki unaongelea kiupinzani unaungaunga vipande vyamashe wamaulidi kuwatengenezea watu ukweli minaqasha yote iliyo fanyika tumeina mwanzo mwisho ongopea wasiojua hunaaibuwee mnafikikabisa
@zainabshariff1149 ай бұрын
Maulid itasomwa milele
@omarytobaomary71489 ай бұрын
@@zainabshariff114 ndiomana ikaumbwa Pepo na moto kwa7bu sio wote wataenda Peponi nasio wote wataenda motoni
@ramasalimricha9438 ай бұрын
Ahlul Hawa ndivyo walivyo.
@nassleydady57839 ай бұрын
Ww ndio ucongee asaaaaa wazee wa majaaazzzz nyinyi kilakit majaz hatukupata chochote zaid ya majz
@abuusumaiyamiburanipba9 ай бұрын
Munajifaharisha kwa eliminate ya lugha wakati hatamakafiri wakiarabu wanaijua lugha ya kiarabu kuliko hata nyinyi masufi,muhimu ni tauhid ndio inayo pelekea ucha mungu, masufi hamugopi hata mafsadi yanayo one kana wazi wazi kwenye sherehe za maulid,
@abubakaromar61019 ай бұрын
Bro nyinyi muna Tauhid ipi maanake nyinyi mawahabi Tauhid mumeigawanya tupe Aya ya Quran au Hadithi kigawanyo cha Tauhid
@hamisikanyama9848 ай бұрын
Mawahabi Wala hawasumbui Kwanza ni hizbul yahudiyah Wana fanyakazi zamayahuei huku wakijivika kilemba chauislam
@hajihajihaji83519 ай бұрын
1:52 1:54 1:55
@user-hx2yq6xy2u9 ай бұрын
Huyu ndio hamna kitu kabisaa .
@lemalisipilali9 ай бұрын
Boss wako Apase sauti lakini diwani wewe ni sawa kama umbwa aliyo kosa boss wake hakika Kusilimu kwako kama Ulisilimu bure tena Akili yako kama ya mtoto mdog
@DiudaKozi-qu8sl9 ай бұрын
Acha upotovu
@princehalawa_official79809 ай бұрын
Ni ujinga na upuuzi waisalam wenyewe tunagombana na kujibizana hivi hamjuwi kama mnawapa kichwa maadui wa uislam acheni upuuzi yapo mambo mengi ya kujadili ili dini yetu iende mbele na sio muanze kujibizana ujinga nyinyi nyote muna makosa rudini kwa Mtume mutaupata mwenendo wa uislam
@allymwanga82539 ай бұрын
Waisilam tunakwenda wapi jamani
@user-dg9pn5tl2d9 ай бұрын
USIWE HIVYO NDUGU YANGU DIWANI WALLAHI TUMEJUWA UKWELI UPO WAPI HATUWEZI KUTUDANGANYA TENA,WEWE NA HUYO SABAS HAMUTAMBULIWI MAMBRUI KABISA WALA HAMUJULIKANI MUMESOMA WAPI WALA MASHEIKH WENU NI WAPI
@yusufyusuf13959 ай бұрын
Nakubaliana na Wewe kuwa munaaqasha wa Mombasa ulikuwa sawa na wa Tanga I’ll tu Nilitarajia uje umuuulize shkh Abdulqadir kwa nini kamkejeli na kumkataaa shkh Sabaas na kaja kumsifu Ustadh Saidi ???
@user-bu4du5kn2k8 ай бұрын
: Mawahabi acheni upotofu ikubalini haki jamani
@uledihassan60659 ай бұрын
Sisi tumeelimika, wewe diwani huna ujualo
@user-ql2om7qj3v9 ай бұрын
Kama wampenda mtume weka ndevu umekaa kama embe
@faizaa1559 ай бұрын
Hamujajibu n hamutawezakujibu
@amiramour8579 ай бұрын
Wewe shekhe unasema sasa hivii acha uzuchi
@mohamedimcheni20689 ай бұрын
Mawahabi mijinga sana
@faizaa1559 ай бұрын
Hamunalipya mwenzako amenyamaza n ww usiharibu hewa
@asrymohd66909 ай бұрын
Diwani ulikuwepo tanga ulishindwa
@abubakarbakari70429 ай бұрын
Mimi ni muwahabi napinga maulidi lkn huyu mtoto Hana elimu ilikua aseme sijui na sisi tuelimike tupate tujue na mengine
@swalehejuma66119 ай бұрын
Ikiwa maneno hayo yamesemwa na mtu X au Y, tuambieni ni ya kweli? Wanyama walisema nk. Bachu ni mtu na anaudhaifu wake. Muhimu jibuni hoja msimjibu Bachu. Hayo maneno yalisemwa pia na Sheikh Salehe Farsy
@alhimnamussasaid36199 ай бұрын
Na nyinyi mawahabi si mututhibishie huo ni uongo kwa mnasaba upi
@jambu9669 ай бұрын
Usitupoze bundle.
@user-uf6jm4jr7r6 ай бұрын
Kuweni na tahadhari na ahlu lbidaa watu ambao wanao linda maslahi yao mambo ambayo hawana dalili nayo ,tusikubali jambo lili
@sharaful-anaam1389 ай бұрын
Nyie mulikuwa munabishana na mtu asokuwa na elimu
@muhamadyabubakary67509 ай бұрын
Hahahaha hamna kituu saidy hamna kiutuu
@DiudaKozi-qu8sl9 ай бұрын
Achani polojo masufi hamna lolote
@user-oc8uo9rl3u9 ай бұрын
SHEKHE HAO MAWAHABI ACHANA NAO WATAKUPOTEZEA MUDA KSB BIDAA WANAZOFANYA WAO HAZINA TATIZO ILA TUKIFANYA SISI WANATUKATATA BIDAA ZAO AMBAZO HAZINA AYA WALA HADITHI ALAU YA MUNKAR 1. MASHINDANO YA QURAN 2. KHUTBA ZA IJUMAA KWA KISWAHILI 3. KUSALI WAKIWA WAMEKAMATA MSAHAFU NA KUUTIZAMA 4. KUWAJENGEA WANAWAKE MSIKITINI VYUMBA AU SEHEMU MAALUM ZA KUSALIA 5. KUSOMA JUZUU NZIMA KTK SALA YA TARAWEIKH TOENI DALILI YA AYA NA HADITHI JAPO YA MUNKAR
@abubakaromar61019 ай бұрын
SHEKHE WANGU WACHA NIKUONGEZE YA HII PIA NDIO UZUSHI MBAYA MBOVU MCHAFU ZAIDI 6. KUIGAWANYA TAUHID
@abubakaromar61019 ай бұрын
Mawahabi mwaigawanya Tauhid. Sisi Tutamsifu Mtume S.A.W mpaka kiyama
@usseneandurabe97339 ай бұрын
Muhamadi bachu 19-0-0 Al majaazi wal kubra and Said wal munkar Endelea kuwasulubu masufi makhulafi wezi Wa michele ya mayatima
@abubakaromar61019 ай бұрын
Bachu First 11 Tarzan kikojozi
@user-md5tr1kg5s9 ай бұрын
Hahah maskin najua mnahangaika sana nafsi nabado mwakahuu mtabak kwenye malid wenyew